Mungu awabariki wote mnafatilia movie ya ndg yetu kipara Wana man ...Na Kila anae amini mwaka huu anafanikiwa asipite bila ku like ....ila 112 😅
@Pasicke10 күн бұрын
Nawey pia ubalikiw san naweny munafanyanaw kaz
@nyamiziramadhani423210 күн бұрын
😂😂😂😂 kavurugwa😂😂😂
@MekiAli-ub4ld10 күн бұрын
Amiin inshallah
@NurahMummy10 күн бұрын
Namba 112😂😂km Dori wa kipesile😂😂😂
@halunimnenwa52249 күн бұрын
Nampenda uyo mkuu wa wachawi anajiamini na anajua kucheza kwenye nafasi yake na kipala chake feki😅😅😂😂
@Whitezinc7 күн бұрын
Kipara brand unschelewa sana kazi zako kutoa jitaidii unajua sana brother
@EsterSteven-m8m4 күн бұрын
Yani move nzima Kwanza napenda kuku pongeza we kipala kuto kumuoga clam ume uwa 🔥🔥🔥ume ongea kama ww mwenyew alafu kingine uyo mpare jamn 🔥🔥 🙌 ana ni fur Ahishaa😂😂😂😂
@EzekielWaiton-j9e4 күн бұрын
Mung akibariki kipara brand maana unatufunza meng kwenye hii moove yako god bless you may brother
@PeterNguno-w6r9 күн бұрын
Kipara wana man unaweza ukatusaidia huu wimbo tukaupata maaana mzuri sanà na una make attraction🎉🎉🎉🎉🎉
@pastor-Chrisfeston110 күн бұрын
Kipara wana man unakuja kwanguvu mpya kbs mwaka huu huwaachi salama kbs❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamzaIlunga9 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kipara one man ❤
@UsagePersonnel-q4p8 күн бұрын
Baba kipara mulishelewa kutuashiya movie zuri Sana
@rizikisam64818 күн бұрын
Huyu mzee anaweza sana ❤❤
@MadayaSelim10 күн бұрын
kazi nzuri kutoka kwa kijana wetu kipara hakika tanzania filims tumeendelea sana tumshukuru mungu kwa hili
@LizieTopsha-25410 күн бұрын
❤❤❤❤to you Kipara na team Yako hii ni bonge la movie kweli,,,,,,nami Leo naomba like hata kumi jamani
@morishoissa415510 күн бұрын
Asante sana kipara kazi nzur kijana wangu mwenyezi mungu akuzidishie kipaji chako kizidi kuu ngaa 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥
@mtalammathayo51849 күн бұрын
Kipara jaiva hii noma sana kk🎉🎉 Yaani umetuliya vizuri sana❤❤
@josephmanga169510 күн бұрын
Kipara hii season yako Kali🔥🔥Ila mnachelewesha Sana ... big ups bro from 🇰🇪🇰🇪
@NeemaMzur8 күн бұрын
Professar❤❤ Tunakukubali mno......kipara🎉🎉
@FauzMchopanga10 күн бұрын
Jaman nipeni like zangu nimekuwa wa kwanza leo
@MICHAELWILLIAM-p7h9 күн бұрын
For sure kipara anatoa kazi nzuri ila hiii ni KIBOKO YAO.💪💪
@NCHIHURU10 күн бұрын
Tulio msamee kipara bland na wafuasi wake tujuane❤❤❤
@rahmrashid802510 күн бұрын
Professor Akaona utokee Darajaniii Jmn I like it
@ZalhaMbarka9 күн бұрын
mwnye rangi ya mtume anataka elf 2000 kapewa 10000 kakimbia 😂😂😂❤❤tunawapenda
@Dieumercishabani-q9y6 күн бұрын
Kipira kweli unajuwa kwanini ss unagawiya kutosha❤❤❤❤❤ nimehikubali hiyi muvie ya kipara nikali kweli ila kuna watu sijawaona dani ya muvie.
@sharon_maua10 күн бұрын
Nmewai though nmechelewa kidogo..makopa❤ za kipara zimwagike huku
@AmaniNangerembe9 күн бұрын
Good nice one story brother professor eke eyi kipara wanamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@IrakozeHami-t9m10 күн бұрын
KIPARA na SANDRA mpaka sasa washauteka moyo wangu swz ku kaa bila kuona movie zao❤❤❤🇧🇮🇧🇮
@JazillahAlly4 күн бұрын
Unizidi Mimi bhana 🤪🤪
@RahmaSaid-d9q10 күн бұрын
Nampenda huyu kipara aisee anajuwa mpaka anabowa Mpeni🎉🎉❤
@CHYULLUKENYA10 күн бұрын
Weueh❤❤❤❤❤❤my professor .......kiparaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HamisiMachinda9 күн бұрын
Kipala Kazi nzul sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉
@MagrethLuambanoКүн бұрын
Kazi nzuri kipara jah bless u and ur team😍😍😍
@nurucinemax10 күн бұрын
Fanya utukiletea mapema kipenzi ♥️❤
@stevepopstar10 күн бұрын
kipara jaivah aweeh umetisha
@MwanamkuuMumbe-q2y8 күн бұрын
MUARABUU ASL ALYK GOD BLESS YOU 😅😅 NA HUYU MKUU SAUTI YAKE KAMA YA MZEE MAGARI 😅😅 GOOD JOB
@angelrichard89910 күн бұрын
Kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii lakini ungetuongezea dakika coz umechelewaa et......
@SamuelMitu10 күн бұрын
wow mm wa Kwanza kutoka Kenya naomba likes zenu tunaopenda professor 🎉🎉🎉
@Cheusi_media10 күн бұрын
BIG UP KWAKO MA-BROTHER KIPARA JAIVAH 🎉🎉🎉 PROFFER ✅
@CedrickMutonkoleКүн бұрын
Kazizuri sana naipenda❤❤❤
@MarkOlubayo10 күн бұрын
Kazi nźuri sana wana Sandra wote. Mkenya n̈ko nanyi pamojʻa.🎉🎉🎉🎉🎉
@KevooMpl10 күн бұрын
Kama unaamin mungu ni bora kuliko hii movie like hapa❤
@AsifiweNatalia8 күн бұрын
Unatutega au
@SalumKissuu-il1hv4 күн бұрын
Kwanz huyo mungu uliyemuandika ni mungu wako lakn ss tunamjua Mungu huyu lazim herufi ya kwanza au zote ziandikwe kwa herufi kubwa Mungu.😅😅
@KevooMpl4 күн бұрын
@SalumKissuu-il1hv saw pastor salum
@hafishsutihafish189110 күн бұрын
Professor upo vizuri majani kua pesa so mchezo hongera muishi miaka mingi team nzima🎉🎉🎉🎉🎉
@MarcelinbbmBirindwa6 күн бұрын
Wa pili leo from DRC 🇨🇩 congo tunawa kubali sana 😊😊
@FistonBirare10 күн бұрын
Kutoka South Africa 🇿🇦 naomba like 🎉🎉❤❤
@GuiFyyHusina10 күн бұрын
❤❤❤
@Godwin-g6m9 күн бұрын
Upo vizuri kipara ukikaza kidogo clam VEVO utampiga chini, sema vizur sana kipara ngoto Songa ugali tule.
@johnchilumba1009 күн бұрын
Nipo na wewe kamanda wangu💪💪💪💪💪💪
@elishanduwimana10 күн бұрын
Kipara wee kiboko wee nice job my brother 👌👌
@EglyneAngadia10 күн бұрын
KAZI nzuri Sana kipara 🎉❤ila umechelewa sana
@Nicershadruck7 күн бұрын
😂😂😂kiparaaa nmecheka saana kka hongeraaa mungu ukujarie kwenye kazi zaki huyo rangi nyeupe umemuweza saana😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@Katuni86210 күн бұрын
Professa halali njaa duh majani tu anageuza peaa
@AshaAbedi-nw9xd10 күн бұрын
Uyu mzee wa kipare ananifuraisha sana aisee😂😂
@rashidbenzimba52810 күн бұрын
Team from 254 Kipara salut
@alphonselwitela579710 күн бұрын
Professor kipara kaupiga mwingi hiyi nibonge lamovie hongera sana team kipara
@malichanda314610 күн бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂 mwarabu una vituko
@franktodory10 күн бұрын
kazi nzuli sana mr kipara wana man 🎉🎉🎉
@RukundooMichel-t1e9 күн бұрын
Kipara Sandra sizo Hao nawapenda sana. Nimekaa zangu huku Burundi.
@SantosDunia10 күн бұрын
Jamani tuna waomba musiwe na kawisha filamu, ku toka. Na ishi DRCongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 na penda sana iyi filamu.
@sheillahLinsey8 күн бұрын
Dah mwenzetu una tisha balaa na kiswahili,mm pia mkongomani ila ww noma, kiswahili kibaya kama nn
@HassanYussuf-y5d9 күн бұрын
Kipara nimekunyooshea mikono we ni kiboko Allah azidi kukupa Afya njema.
@IllhamMakagula10 күн бұрын
Mhhh mwarabu jau kweli😂😂😂😂
@chuniiboy16807 күн бұрын
I'm from Kenya kipara Wana man endelea kutupa vitu vikali kaka we support you
@DokaSwamwel10 күн бұрын
Big up sana kazi safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@Shukuru25359 күн бұрын
Ni zuri tatizo unachelewesha sana nakwakua umechelewesha watu wengi awatakufatilia zaidi
Nawapongeza sana kwa kuifanyia kazi changamoto ya sauti maana sasa hivi imetulia na mkuu wa wachawi anaeleweka vizuri Big up kipara brand keep it up ❤❤❤
@NneKasoro-f8o10 күн бұрын
PROFESSOR Ndio Habari ya mjini🎉🎉🎉🎉
@CléverOkundji-m1s9 күн бұрын
ILa umepita kuchelewesha kipara ebu wanze kuwahi tafadhali from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@zakariawilliam-381610 күн бұрын
Hongera Sanaaaaaaaa professor Kazi nzuri Sana
@OstadhKidoncho-m5v9 күн бұрын
Duh Hii Movie Mzur Respect Sana Kipara Brand
@KevinOnchwari9 күн бұрын
Wabongo Mimi naomba mnipe Sandra tuwe mashemeji😊
@SantianEnock8 күн бұрын
Hongera sana tuko pamoja na wewe, ila kama ulivosema jitahidini sana maana mnatoa utamu wa movie mkuchukua siku nyingi
@StephanoMangame-g2t7 күн бұрын
Hii ni kazi kubwa sn ya kipara hongera sn unaonesha umekuwa mkubwa sasa. Kaza Kaka
@sweetbabymwangi837310 күн бұрын
Poleni kwa changamoto. Tunawapenda zaidi. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jairosyaugustine16104 күн бұрын
Daah sijawahi kukesha kuangalia movie ila hili goma limenifanya nikeshe🙌🙌🙌
@munahrahma-c3t10 күн бұрын
Jamani siwezi kuishi bila ya mzungu mimi😂😂😂😂mwambieni sijiwezi
@TikaaChildd5 күн бұрын
Brother kipara katika series kali uliyo towa hii ni machine nakubaliii sana mkuu umetisha ❤❤
@Jay_Blue-official10 күн бұрын
Professor from Malawi wow nice one Kali sana brother Mr kipala
@GraceChege-gy5sk9 күн бұрын
Kumbe ukiacha umbea unapendeza Ivo 😂😂😂kazi nzuri
@justusmuthui65775 күн бұрын
Hongera kipara kwa kazi nzuri
@BarakasensoJames9 күн бұрын
Hii movie ni Kali Sana kipara jaiva tunakuomba angalau vipande viwe dakika 40 hivi utàkua umetisha
@BarakaStephano-u6q10 күн бұрын
Tatzo unachelewesha sana kipara jeiva hebu tuwahishie vitu asee Yan Iko vizuri sana
@KaimuKarubandika10 күн бұрын
Oya kidato kipala unachelewa sana kutoa mwendelezo ndugu
@FaustineRichard-kk5xt10 күн бұрын
Wewe kipara ni noma umekuwa the second artist in our country. Bigap sana.
@EricErikoo9 күн бұрын
Professor 😂😂😂 nakupeda bure bro from Kenya
@KubelwaIlungaMardochéeSalama10 күн бұрын
Kazi nzuri ila tatizo ni kuchelewa ❤❤❤❤
@ZuberiMnyendelele-qb8vd10 күн бұрын
Kizuri chochote huwa kinahitaji muda mkuu
@mustafakimwaga9 күн бұрын
Movie yangu pendwa Mungu akipenda tutakua pamoja mwanzo mwisho
@millicentluvai16529 күн бұрын
aweeee nxt usikue unachelewesha saana but videos zako ziko safi sana twakupenda saana🎉🎉🎉❤
@HassanNajma-c5f10 күн бұрын
🎉❤❤❤Kazi nzuri kipara wanaman
@ChrisKahindi8 күн бұрын
Hii ni Kali Sana much love from Kenya
@kura.the.boy-10 күн бұрын
Hongera sana team kupara ila kwa huyu mpare mi nainjoy Zaid 😂😂
@SaraphinaFundi-rl2hx10 күн бұрын
Kipara, abi, sandra na suzy mnanikosha sana
@ChUsNy_CM10 күн бұрын
Wakwanza kutoka Mozambique 🇲🇿 naomba like ata 10 tu 🎉
@GgGgg-z8x10 күн бұрын
Haswaaa kipara mm nitakua mwenyeji wako❤
@NairatKiko-lp7cf9 күн бұрын
Aise kipra unatisha kazi nzuri sana❤❤
@jaymapepefatma593610 күн бұрын
This is first love from Mozambique ❤🇲🇿✊🏿
@aminakatana872110 күн бұрын
Hongera sana kakangu kipara ❤❤❤❤😂😂😂
@MANYANYAMbigo9 күн бұрын
Sandra sas s kama mmeo alikufa njoo Kwa MANYANYA MSÅLÏTĪ Kenya ule vzur👁️👁️👁️
@storasebastian612 күн бұрын
Mnachelewesha kaz mwishoe tunogewe na nyingine changamka kak kaz ni nzur
@OmaryAllykumba10 күн бұрын
Umepigwa kimbola from dsm to zanzibar 😅😅😅
@Abudligame10 күн бұрын
OK SAWA NIME ELEWA APO PROFESSOR
@VenancioRachide10 күн бұрын
Weee kipala hii Atari Yani upo siriasi thanks you my friend kipara wanamani😅
@aishaomar22879 күн бұрын
Nani kafurahi kumuona mirambo,karibu tena...alafu pastor anaishi na mchawi jaman😊,hii ndio dunia 🙌