PROFESSOR [4]

  Рет қаралды 155,728

KIPARA BRAND

KIPARA BRAND

Күн бұрын

Пікірлер: 556
@hamisisalimu3310
@hamisisalimu3310 10 күн бұрын
Mungu awabariki wote mnafatilia movie ya ndg yetu kipara Wana man ...Na Kila anae amini mwaka huu anafanikiwa asipite bila ku like ....ila 112 😅
@Pasicke
@Pasicke 10 күн бұрын
Nawey pia ubalikiw san naweny munafanyanaw kaz
@nyamiziramadhani4232
@nyamiziramadhani4232 10 күн бұрын
😂😂😂😂 kavurugwa😂😂😂
@MekiAli-ub4ld
@MekiAli-ub4ld 10 күн бұрын
Amiin inshallah
@NurahMummy
@NurahMummy 10 күн бұрын
Namba 112😂😂km Dori wa kipesile😂😂😂
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 9 күн бұрын
Nampenda uyo mkuu wa wachawi anajiamini na anajua kucheza kwenye nafasi yake na kipala chake feki😅😅😂😂
@Whitezinc
@Whitezinc 7 күн бұрын
Kipara brand unschelewa sana kazi zako kutoa jitaidii unajua sana brother
@EsterSteven-m8m
@EsterSteven-m8m 4 күн бұрын
Yani move nzima Kwanza napenda kuku pongeza we kipala kuto kumuoga clam ume uwa 🔥🔥🔥ume ongea kama ww mwenyew alafu kingine uyo mpare jamn 🔥🔥 🙌 ana ni fur Ahishaa😂😂😂😂
@EzekielWaiton-j9e
@EzekielWaiton-j9e 4 күн бұрын
Mung akibariki kipara brand maana unatufunza meng kwenye hii moove yako god bless you may brother
@PeterNguno-w6r
@PeterNguno-w6r 9 күн бұрын
Kipara wana man unaweza ukatusaidia huu wimbo tukaupata maaana mzuri sanà na una make attraction🎉🎉🎉🎉🎉
@pastor-Chrisfeston1
@pastor-Chrisfeston1 10 күн бұрын
Kipara wana man unakuja kwanguvu mpya kbs mwaka huu huwaachi salama kbs❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 9 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kipara one man ❤
@UsagePersonnel-q4p
@UsagePersonnel-q4p 8 күн бұрын
Baba kipara mulishelewa kutuashiya movie zuri Sana
@rizikisam6481
@rizikisam6481 8 күн бұрын
Huyu mzee anaweza sana ❤❤
@MadayaSelim
@MadayaSelim 10 күн бұрын
kazi nzuri kutoka kwa kijana wetu kipara hakika tanzania filims tumeendelea sana tumshukuru mungu kwa hili
@LizieTopsha-254
@LizieTopsha-254 10 күн бұрын
❤❤❤❤to you Kipara na team Yako hii ni bonge la movie kweli,,,,,,nami Leo naomba like hata kumi jamani
@morishoissa4155
@morishoissa4155 10 күн бұрын
Asante sana kipara kazi nzur kijana wangu mwenyezi mungu akuzidishie kipaji chako kizidi kuu ngaa 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥
@mtalammathayo5184
@mtalammathayo5184 9 күн бұрын
Kipara jaiva hii noma sana kk🎉🎉 Yaani umetuliya vizuri sana❤❤
@josephmanga1695
@josephmanga1695 10 күн бұрын
Kipara hii season yako Kali🔥🔥Ila mnachelewesha Sana ... big ups bro from 🇰🇪🇰🇪
@NeemaMzur
@NeemaMzur 8 күн бұрын
Professar❤❤ Tunakukubali mno......kipara🎉🎉
@FauzMchopanga
@FauzMchopanga 10 күн бұрын
Jaman nipeni like zangu nimekuwa wa kwanza leo
@MICHAELWILLIAM-p7h
@MICHAELWILLIAM-p7h 9 күн бұрын
For sure kipara anatoa kazi nzuri ila hiii ni KIBOKO YAO.💪💪
@NCHIHURU
@NCHIHURU 10 күн бұрын
Tulio msamee kipara bland na wafuasi wake tujuane❤❤❤
@rahmrashid8025
@rahmrashid8025 10 күн бұрын
Professor Akaona utokee Darajaniii Jmn I like it
@ZalhaMbarka
@ZalhaMbarka 9 күн бұрын
mwnye rangi ya mtume anataka elf 2000 kapewa 10000 kakimbia 😂😂😂❤❤tunawapenda
@Dieumercishabani-q9y
@Dieumercishabani-q9y 6 күн бұрын
Kipira kweli unajuwa kwanini ss unagawiya kutosha❤❤❤❤❤ nimehikubali hiyi muvie ya kipara nikali kweli ila kuna watu sijawaona dani ya muvie.
@sharon_maua
@sharon_maua 10 күн бұрын
Nmewai though nmechelewa kidogo..makopa❤ za kipara zimwagike huku
@AmaniNangerembe
@AmaniNangerembe 9 күн бұрын
Good nice one story brother professor eke eyi kipara wanamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@IrakozeHami-t9m
@IrakozeHami-t9m 10 күн бұрын
KIPARA na SANDRA mpaka sasa washauteka moyo wangu swz ku kaa bila kuona movie zao❤❤❤🇧🇮🇧🇮
@JazillahAlly
@JazillahAlly 4 күн бұрын
Unizidi Mimi bhana 🤪🤪
@RahmaSaid-d9q
@RahmaSaid-d9q 10 күн бұрын
Nampenda huyu kipara aisee anajuwa mpaka anabowa Mpeni🎉🎉❤
@CHYULLUKENYA
@CHYULLUKENYA 10 күн бұрын
Weueh❤❤❤❤❤❤my professor .......kiparaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HamisiMachinda
@HamisiMachinda 9 күн бұрын
Kipala Kazi nzul sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉
@MagrethLuambano
@MagrethLuambano Күн бұрын
Kazi nzuri kipara jah bless u and ur team😍😍😍
@nurucinemax
@nurucinemax 10 күн бұрын
Fanya utukiletea mapema kipenzi ♥️❤
@stevepopstar
@stevepopstar 10 күн бұрын
kipara jaivah aweeh umetisha
@MwanamkuuMumbe-q2y
@MwanamkuuMumbe-q2y 8 күн бұрын
MUARABUU ASL ALYK GOD BLESS YOU 😅😅 NA HUYU MKUU SAUTI YAKE KAMA YA MZEE MAGARI 😅😅 GOOD JOB
@angelrichard899
@angelrichard899 10 күн бұрын
Kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii lakini ungetuongezea dakika coz umechelewaa et......
@SamuelMitu
@SamuelMitu 10 күн бұрын
wow mm wa Kwanza kutoka Kenya naomba likes zenu tunaopenda professor 🎉🎉🎉
@Cheusi_media
@Cheusi_media 10 күн бұрын
BIG UP KWAKO MA-BROTHER KIPARA JAIVAH 🎉🎉🎉 PROFFER ✅
@CedrickMutonkole
@CedrickMutonkole Күн бұрын
Kazizuri sana naipenda❤❤❤
@MarkOlubayo
@MarkOlubayo 10 күн бұрын
Kazi nźuri sana wana Sandra wote. Mkenya n̈ko nanyi pamojʻa.🎉🎉🎉🎉🎉
@KevooMpl
@KevooMpl 10 күн бұрын
Kama unaamin mungu ni bora kuliko hii movie like hapa❤
@AsifiweNatalia
@AsifiweNatalia 8 күн бұрын
Unatutega au
@SalumKissuu-il1hv
@SalumKissuu-il1hv 4 күн бұрын
Kwanz huyo mungu uliyemuandika ni mungu wako lakn ss tunamjua Mungu huyu lazim herufi ya kwanza au zote ziandikwe kwa herufi kubwa Mungu.😅😅
@KevooMpl
@KevooMpl 4 күн бұрын
@SalumKissuu-il1hv saw pastor salum
@hafishsutihafish1891
@hafishsutihafish1891 10 күн бұрын
Professor upo vizuri majani kua pesa so mchezo hongera muishi miaka mingi team nzima🎉🎉🎉🎉🎉
@MarcelinbbmBirindwa
@MarcelinbbmBirindwa 6 күн бұрын
Wa pili leo from DRC 🇨🇩 congo tunawa kubali sana 😊😊
@FistonBirare
@FistonBirare 10 күн бұрын
Kutoka South Africa 🇿🇦 naomba like 🎉🎉❤❤
@GuiFyyHusina
@GuiFyyHusina 10 күн бұрын
❤❤❤
@Godwin-g6m
@Godwin-g6m 9 күн бұрын
Upo vizuri kipara ukikaza kidogo clam VEVO utampiga chini, sema vizur sana kipara ngoto Songa ugali tule.
@johnchilumba100
@johnchilumba100 9 күн бұрын
Nipo na wewe kamanda wangu💪💪💪💪💪💪
@elishanduwimana
@elishanduwimana 10 күн бұрын
Kipara wee kiboko wee nice job my brother 👌👌
@EglyneAngadia
@EglyneAngadia 10 күн бұрын
KAZI nzuri Sana kipara 🎉❤ila umechelewa sana
@Nicershadruck
@Nicershadruck 7 күн бұрын
😂😂😂kiparaaa nmecheka saana kka hongeraaa mungu ukujarie kwenye kazi zaki huyo rangi nyeupe umemuweza saana😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@Katuni862
@Katuni862 10 күн бұрын
Professa halali njaa duh majani tu anageuza peaa
@AshaAbedi-nw9xd
@AshaAbedi-nw9xd 10 күн бұрын
Uyu mzee wa kipare ananifuraisha sana aisee😂😂
@rashidbenzimba528
@rashidbenzimba528 10 күн бұрын
Team from 254 Kipara salut
@alphonselwitela5797
@alphonselwitela5797 10 күн бұрын
Professor kipara kaupiga mwingi hiyi nibonge lamovie hongera sana team kipara
@malichanda3146
@malichanda3146 10 күн бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂 mwarabu una vituko
@franktodory
@franktodory 10 күн бұрын
kazi nzuli sana mr kipara wana man 🎉🎉🎉
@RukundooMichel-t1e
@RukundooMichel-t1e 9 күн бұрын
Kipara Sandra sizo Hao nawapenda sana. Nimekaa zangu huku Burundi.
@SantosDunia
@SantosDunia 10 күн бұрын
Jamani tuna waomba musiwe na kawisha filamu, ku toka. Na ishi DRCongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 na penda sana iyi filamu.
@sheillahLinsey
@sheillahLinsey 8 күн бұрын
Dah mwenzetu una tisha balaa na kiswahili,mm pia mkongomani ila ww noma, kiswahili kibaya kama nn
@HassanYussuf-y5d
@HassanYussuf-y5d 9 күн бұрын
Kipara nimekunyooshea mikono we ni kiboko Allah azidi kukupa Afya njema.
@IllhamMakagula
@IllhamMakagula 10 күн бұрын
Mhhh mwarabu jau kweli😂😂😂😂
@chuniiboy1680
@chuniiboy1680 7 күн бұрын
I'm from Kenya kipara Wana man endelea kutupa vitu vikali kaka we support you
@DokaSwamwel
@DokaSwamwel 10 күн бұрын
Big up sana kazi safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@Shukuru2535
@Shukuru2535 9 күн бұрын
Ni zuri tatizo unachelewesha sana nakwakua umechelewesha watu wengi awatakufatilia zaidi
@ZakiaAlRamadani
@ZakiaAlRamadani 10 күн бұрын
Huyo mwarabu sijui muhindi dah tatizo kamdomo ananiacha hoi😂😂😂🤭🙌
@kibibimlaula2526
@kibibimlaula2526 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@jackisonikaduli
@jackisonikaduli 7 күн бұрын
Kazi hizi ni ngumu kikubwa tuombeane tuu🎉🎉🎉
@MariamJulius-v3c
@MariamJulius-v3c 9 күн бұрын
Huyo mwarabu nishampend jmn💕💕
@Giftbugalama
@Giftbugalama 10 күн бұрын
Wapenda pilau tujuane hapa 😂😅❤
@priencedamdoek508
@priencedamdoek508 10 күн бұрын
Nawapongeza sana kwa kuifanyia kazi changamoto ya sauti maana sasa hivi imetulia na mkuu wa wachawi anaeleweka vizuri Big up kipara brand keep it up ❤❤❤
@NneKasoro-f8o
@NneKasoro-f8o 10 күн бұрын
PROFESSOR Ndio Habari ya mjini🎉🎉🎉🎉
@CléverOkundji-m1s
@CléverOkundji-m1s 9 күн бұрын
ILa umepita kuchelewesha kipara ebu wanze kuwahi tafadhali from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@zakariawilliam-3816
@zakariawilliam-3816 10 күн бұрын
Hongera Sanaaaaaaaa professor Kazi nzuri Sana
@OstadhKidoncho-m5v
@OstadhKidoncho-m5v 9 күн бұрын
Duh Hii Movie Mzur Respect Sana Kipara Brand
@KevinOnchwari
@KevinOnchwari 9 күн бұрын
Wabongo Mimi naomba mnipe Sandra tuwe mashemeji😊
@SantianEnock
@SantianEnock 8 күн бұрын
Hongera sana tuko pamoja na wewe, ila kama ulivosema jitahidini sana maana mnatoa utamu wa movie mkuchukua siku nyingi
@StephanoMangame-g2t
@StephanoMangame-g2t 7 күн бұрын
Hii ni kazi kubwa sn ya kipara hongera sn unaonesha umekuwa mkubwa sasa. Kaza Kaka
@sweetbabymwangi8373
@sweetbabymwangi8373 10 күн бұрын
Poleni kwa changamoto. Tunawapenda zaidi. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jairosyaugustine1610
@jairosyaugustine1610 4 күн бұрын
Daah sijawahi kukesha kuangalia movie ila hili goma limenifanya nikeshe🙌🙌🙌
@munahrahma-c3t
@munahrahma-c3t 10 күн бұрын
Jamani siwezi kuishi bila ya mzungu mimi😂😂😂😂mwambieni sijiwezi
@TikaaChildd
@TikaaChildd 5 күн бұрын
Brother kipara katika series kali uliyo towa hii ni machine nakubaliii sana mkuu umetisha ❤❤
@Jay_Blue-official
@Jay_Blue-official 10 күн бұрын
Professor from Malawi wow nice one Kali sana brother Mr kipala
@GraceChege-gy5sk
@GraceChege-gy5sk 9 күн бұрын
Kumbe ukiacha umbea unapendeza Ivo 😂😂😂kazi nzuri
@justusmuthui6577
@justusmuthui6577 5 күн бұрын
Hongera kipara kwa kazi nzuri
@BarakasensoJames
@BarakasensoJames 9 күн бұрын
Hii movie ni Kali Sana kipara jaiva tunakuomba angalau vipande viwe dakika 40 hivi utàkua umetisha
@BarakaStephano-u6q
@BarakaStephano-u6q 10 күн бұрын
Tatzo unachelewesha sana kipara jeiva hebu tuwahishie vitu asee Yan Iko vizuri sana
@KaimuKarubandika
@KaimuKarubandika 10 күн бұрын
Oya kidato kipala unachelewa sana kutoa mwendelezo ndugu
@FaustineRichard-kk5xt
@FaustineRichard-kk5xt 10 күн бұрын
Wewe kipara ni noma umekuwa the second artist in our country. Bigap sana.
@EricErikoo
@EricErikoo 9 күн бұрын
Professor 😂😂😂 nakupeda bure bro from Kenya
@KubelwaIlungaMardochéeSalama
@KubelwaIlungaMardochéeSalama 10 күн бұрын
Kazi nzuri ila tatizo ni kuchelewa ❤❤❤❤
@ZuberiMnyendelele-qb8vd
@ZuberiMnyendelele-qb8vd 10 күн бұрын
Kizuri chochote huwa kinahitaji muda mkuu
@mustafakimwaga
@mustafakimwaga 9 күн бұрын
Movie yangu pendwa Mungu akipenda tutakua pamoja mwanzo mwisho
@millicentluvai1652
@millicentluvai1652 9 күн бұрын
aweeee nxt usikue unachelewesha saana but videos zako ziko safi sana twakupenda saana🎉🎉🎉❤
@HassanNajma-c5f
@HassanNajma-c5f 10 күн бұрын
🎉❤❤❤Kazi nzuri kipara wanaman
@ChrisKahindi
@ChrisKahindi 8 күн бұрын
Hii ni Kali Sana much love from Kenya
@kura.the.boy-
@kura.the.boy- 10 күн бұрын
Hongera sana team kupara ila kwa huyu mpare mi nainjoy Zaid 😂😂
@SaraphinaFundi-rl2hx
@SaraphinaFundi-rl2hx 10 күн бұрын
Kipara, abi, sandra na suzy mnanikosha sana
@ChUsNy_CM
@ChUsNy_CM 10 күн бұрын
Wakwanza kutoka Mozambique 🇲🇿 naomba like ata 10 tu 🎉
@GgGgg-z8x
@GgGgg-z8x 10 күн бұрын
Haswaaa kipara mm nitakua mwenyeji wako❤
@NairatKiko-lp7cf
@NairatKiko-lp7cf 9 күн бұрын
Aise kipra unatisha kazi nzuri sana❤❤
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 10 күн бұрын
This is first love from Mozambique ❤🇲🇿✊🏿
@aminakatana8721
@aminakatana8721 10 күн бұрын
Hongera sana kakangu kipara ❤❤❤❤😂😂😂
@MANYANYAMbigo
@MANYANYAMbigo 9 күн бұрын
Sandra sas s kama mmeo alikufa njoo Kwa MANYANYA MSÅLÏTĪ Kenya ule vzur👁️👁️👁️
@storasebastian61
@storasebastian61 2 күн бұрын
Mnachelewesha kaz mwishoe tunogewe na nyingine changamka kak kaz ni nzur
@OmaryAllykumba
@OmaryAllykumba 10 күн бұрын
Umepigwa kimbola from dsm to zanzibar 😅😅😅
@Abudligame
@Abudligame 10 күн бұрын
OK SAWA NIME ELEWA APO PROFESSOR
@VenancioRachide
@VenancioRachide 10 күн бұрын
Weee kipala hii Atari Yani upo siriasi thanks you my friend kipara wanamani😅
@aishaomar2287
@aishaomar2287 9 күн бұрын
Nani kafurahi kumuona mirambo,karibu tena...alafu pastor anaishi na mchawi jaman😊,hii ndio dunia 🙌
PROFESSOR [6]#sandraOfficial #kiparabrand #clamvevo
18:00
KIPARA BRAND
Рет қаралды 58 М.
PROFESSOR [5]#sandraofficial #kiparabrand #clamvevo
17:49
KIPARA BRAND
Рет қаралды 143 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
CHA 2000  Full movie  STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE
1:18:57
KISIKI - EPISODE 01 | STARRING CHUMVINYINGI
15:11
CHUMVINYINGI GANG
Рет қаралды 227 М.
MSAKO | FULL MOVIE |
1:08:44
KIM VEVO
Рет қаралды 279 М.
SIRI YA HUBA S2  { 3 }
17:38
Rk Movies
Рет қаралды 260 М.
MCHAWI MMBEA [1-4]#clamvevo
45:47
KIPARA BRAND
Рет қаралды 47 М.
BLACK DAY  |1| #Kakoso
20:19
DIRECTOR KAKOSO
Рет қаралды 53 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН