PROFESSOR JAY: Nilishawahi kwenda kwa MKE WANGU na MCHEPUKO

  Рет қаралды 154,252

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Professor Jay ameweka wazi juu ya tukio ambalo alilifanya na likamtoa machozi mke wake

Пікірлер: 185
@ligmmohd8112
@ligmmohd8112 6 жыл бұрын
Hakika wanawake wanatuvumilia sana wanaume, hasa wale WANAWAKE WENYE subira kama dda GRACE, hivyo MUNGU awasimamie professor.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Saidi Amiri umeona heeeeee!!
@marymathew6529
@marymathew6529 6 жыл бұрын
na mwenye subira Mungu anamtunuku,huon bidada uvumilivu umempa shavu la kufa mtu
@bushmendatoga4754
@bushmendatoga4754 6 жыл бұрын
Saidi Amiri wapare ni wavumilivu mno hilo nimeliona
@mctarimo1634
@mctarimo1634 6 жыл бұрын
Kama unaikubali Wasafi Media na Pia unamkubali Prof Jay Gonga like Twende Sawa
@motonkalipaschal4790
@motonkalipaschal4790 6 жыл бұрын
Hakika nakukubali sana Prof. Jay maana nyimbo zako hunipa nguvu ya kuendelea katika maisha yangu. Mungu akubariki sana
@alquinmadoro8064
@alquinmadoro8064 6 жыл бұрын
Huyu ni miongoni mwa watu wanaonifanya nisikate tamaa na nizidi kupambana zaidi coz ni mpambanaji sana since nikiwa mdogo sana ,respect profesa jay
@lucyisrael6121
@lucyisrael6121 6 жыл бұрын
Mungu amekupa mke mzuri na mvumilivu,nawatakieni maisha mema na marefu Prof.J na family yako!
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 6 жыл бұрын
Dah bro hongera sana kumpata mke mvumilivu. binafsi ningekata tamaa kwa tukio hilo.
@graceleonard6150
@graceleonard6150 6 жыл бұрын
Unabusara sana pr j Mungu akupe hekima zaidi Mungu atakupa nzuri zaidi
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 6 жыл бұрын
Watapotea wengi ila muheshimiwa we we ni noma sanaaaa yaani wata pata tabu sanaaa gongs like kama unamkubalu process j wa mitulingaaa
@janeawuor9468
@janeawuor9468 6 жыл бұрын
Beautiful good work prof Jay you the humblest artist . Na muziki zako zinamafunzo mno nakupenda sana Mungu akubariki
@arichardaristides
@arichardaristides 6 жыл бұрын
Namkubali sana professor jay toka #zari_LA_mentali!!!
@josemahena2305
@josemahena2305 6 жыл бұрын
Brother uko vizuri sina cha kusema kwako bali mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi azidi kuibariki familia yako
@antoinebakevya8911
@antoinebakevya8911 3 жыл бұрын
Japo kuwa tunavuruga wanawake wetu, wana umuhimu wa maisha yetu. Mimi ni shabiki wa Prof Jay kutoka Burundi
@jessicamm3171
@jessicamm3171 6 жыл бұрын
its a new begining ever, mungu anauwezo wakukuinua zaidi na zaidi
@faybaibe9023
@faybaibe9023 6 жыл бұрын
Aki pole sana kwa kubomolewa nyumb yako. I can really feel wat you felt. Mungu atakubariki na zaidi ulokuwa nayo.
@anneamor6192
@anneamor6192 6 жыл бұрын
Uko juu Jay ... Hata kuongea kwako kuko na uongozi ndani yake.... maybe God bless you more
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 6 жыл бұрын
Haa a pole Sana kaka ndio 🇹🇿 hiyo. Yaaan ni uchungu usio semeka speechless kwa kweli.
@tatimafahad9376
@tatimafahad9376 6 жыл бұрын
Nakukubali sana ujawai kukosea big up bro Mungu atakulinda
@jeviounipers
@jeviounipers 6 жыл бұрын
your wife is so pretty and kind....shikilia hapo hapo. A wife is a blessing
@hadija846
@hadija846 6 жыл бұрын
Pole sana kwa majonzi ya nyumba kwa kweli inauma sana tena sana. M/mungu lazima atakulipia 100%🙏
@بجادالصاعدي-و4د
@بجادالصاعدي-و4د 6 жыл бұрын
Nyimbo zako taari ni Advice tosha kwa wote, walokupa ubunge hawakukisea, Allah aibariki family yako proff
@mohamedsasma879
@mohamedsasma879 6 жыл бұрын
Pole prof mungu ni mkubwa utapata nyingine na mengine mengi. Na hao waliyoyafanya hayo mungu anawaona na wengi wao wamejenga kwa kuiba pesa za serikali na mashirika ya umma. Pia wanakaa kwenye nyumba za bure. Ni wepesi kuvunja za walala Hoi. Ila mungu yupo believe me.!!!!
@johnsonyosiah4854
@johnsonyosiah4854 5 жыл бұрын
Shule ya watoto yenu ipo wap nimeipenda
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 жыл бұрын
Mahakama ya Tanzania ni vichekesho! Ndio muhimili tunaouamini na kuuheshimu ila hautendi Hali, kwa Nini waje kuvunja hao wa barabara wakati mahakama ilisema stop kwanza? Ilitakiwa isimamie Sheria yake hapo walichemsha. Prof pole sana, Mungu atakulipa haki yako😁🙄🙄🙄 Dr Lisa karibu kwenye fani tulisukume ghurudumu
@fatumakombo3262
@fatumakombo3262 6 жыл бұрын
I love Jesus
@maryammeme2615
@maryammeme2615 6 жыл бұрын
Wasafi media the best just in this short time
@mortishavida2273
@mortishavida2273 6 жыл бұрын
Yoooo! Man prof pole Sana kabisa. Naskitika kabisa. Huu ni unyama kabisa !!! Kubomelewa nyumba uliojenga miaka 15? Na hukupewa malipo? Ayayayayaaaaaa!!! Pole Sana kabisa mzeee
@SSs-tb9yo
@SSs-tb9yo 5 жыл бұрын
MashaAllah professor mungu yupamoja namwenye kusubiri
@marymathew6529
@marymathew6529 6 жыл бұрын
mke mzuri mtoto ndo balaa,very beautiful na nimezid kumpenda alivyosema anapenda kuwa daktari
@godsonsumari2934
@godsonsumari2934 6 жыл бұрын
Daah nice interview,Proffesa hujawahi kukosea since day one,nimeipenda sana hiyo saa yako pia
@smrmb76
@smrmb76 6 жыл бұрын
Salute professor jay you still the great of our time
@zaituniyusuphjuma415
@zaituniyusuphjuma415 6 жыл бұрын
Safi sanaaa ukianguka amka songa mbele tu kurudi nyuma mwiko
@obeymollel9537
@obeymollel9537 6 жыл бұрын
Ee Mungu utuondolee siasa za kipuuzi zisizo na muelekeo Amen
@samwelnyabasi5569
@samwelnyabasi5569 6 жыл бұрын
Prof jay big up bro nakukubali sanaaaaaa from Nairobi kenya
@nemnem7431
@nemnem7431 6 жыл бұрын
Poleni sana kwa hasara hapo umenipa nguvu zaidi zakuvumilia.... Nakupenda hadi naumwa.. ..😍
@moureenmbuu1985
@moureenmbuu1985 6 жыл бұрын
Unanikumbusha mbali prof j zali la mentali wimbo wangu huu...big up 254
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 6 жыл бұрын
Mungu awabariki sana pamoja na Dr lisa
@brightfabian2190
@brightfabian2190 6 жыл бұрын
Salute kamanda nakukubali sana
@khadijalubuva2629
@khadijalubuva2629 6 жыл бұрын
hongera sana prf j pamoja na família yako mko vzr... wasafi TV pia mungu azid kuwaongoza.. inshaallah
@restjohn9342
@restjohn9342 6 жыл бұрын
Kaka pole sn kwa pigo naamin Mungu yupo atalipa, haki y mtu haipotei n wivu wa maendeleo tu, pole sn
@mpanduzimalugu4717
@mpanduzimalugu4717 6 жыл бұрын
Salute legendary talk my brother
@georgeludakulo2118
@georgeludakulo2118 6 жыл бұрын
Makini bro nakukubalili xn respect kwako
@aminahamisi7854
@aminahamisi7854 6 жыл бұрын
sister grace u are beautiful dear , tulelee msanii wetu , tunawapenda sana
@jaycee9067
@jaycee9067 6 жыл бұрын
Prof Jizzo! The master! One love brother💪
@salumukilangai5189
@salumukilangai5189 6 жыл бұрын
upo vizuli professa nakubali sana kaz zako na uongoz wako pia
@issadesmond477
@issadesmond477 6 жыл бұрын
Nakukubali sn p jay ujawai kuniangusha na pole kuusu nyumba kubomolewa bila hata ww kujua
@bisophicatesalim132
@bisophicatesalim132 6 жыл бұрын
Nampenda prof jay na mkubali kama king wa hipop big up
@sigifridyfranky8984
@sigifridyfranky8984 6 жыл бұрын
pole Sana brother jay kwa kubomorewa nyumba yako ilikua mzuli Sana
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 6 жыл бұрын
Nooo! Sijapenda sana walipoelezea hiyo ishu mbele ya Lisa. Ilikuwa Birthdei yake....I mean its ok kwao cuz wameongea japo shemeji hasahau....talk to Lisa too kaka. It was her day. Sijapenda.
@ismailchilonga2878
@ismailchilonga2878 6 жыл бұрын
Congulation wasafi media mko vizuri xaana
@fatmamajuu5255
@fatmamajuu5255 6 жыл бұрын
pole sana kaka kukuludisha nyuma mungu yupo nawe utapata zaidi ya hiyo
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Mashallah, tunawapenda pia, good show, *Tumewashaaa*
@magangakayola4175
@magangakayola4175 6 жыл бұрын
Saumu Hassan saumu mambo vp mma lake mbona mikausho
@nobimgaya5359
@nobimgaya5359 6 жыл бұрын
Nakuonaaaaa
@lameckadamu1198
@lameckadamu1198 3 жыл бұрын
Limenigusa la nyumba vibaya pole jay
@francistsii7885
@francistsii7885 6 жыл бұрын
Pole Bro God be with u hongera u not put blame on person
@mainangatia1063
@mainangatia1063 6 жыл бұрын
Kazi nzuri proffesa, 🇰🇪
@sadaabdallah1641
@sadaabdallah1641 6 жыл бұрын
Duh pole sana profesa j kweli nilazima umie kaka
@nailaniyonkuru5718
@nailaniyonkuru5718 6 жыл бұрын
Mke wake muzuri man shaa Allah.
@alimohammed6868
@alimohammed6868 6 жыл бұрын
Naila Niyonkuru say masha allah
@samsonkibona5354
@samsonkibona5354 6 жыл бұрын
Uko vizur sana profesa na kukubari tokea chemsha bongo mpaka pagamisa
@mropeamadeus5445
@mropeamadeus5445 6 жыл бұрын
Pole sana kwa kubomolewa nyumba yako
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 4 жыл бұрын
Walikosea Sana,na kubomolewa hiyo nyumba ndo imesababisha Prof J asihamie kabisa CCM.lla poa karibu Sana ccm
@mulwamaiyu4140
@mulwamaiyu4140 5 жыл бұрын
Day care initiative so amazing I love it
@bensonfrank643
@bensonfrank643 6 жыл бұрын
PROFESSA THE UNDEFEATED MYWEATHER MC...
@hadija846
@hadija846 6 жыл бұрын
Da inasikitisha sana haya yaliyomkuta yote ni kwa ajili yupo Chadema hatari sana pole sana my dear 😘
@thoyarashid5782
@thoyarashid5782 6 жыл бұрын
Ana bibi mzuri mashallah
@domydocta.
@domydocta. 6 жыл бұрын
Mahala pake safi sanaaa
@fredmankaingu4172
@fredmankaingu4172 6 жыл бұрын
Poa xna J mungu akupe mwangaza zaidi na zaidi
@dinakidai4118
@dinakidai4118 6 жыл бұрын
pole Sana kaka Joseph duu kubomolewa nyumba
@bothinabothina3603
@bothinabothina3603 6 жыл бұрын
Kiukweli nakupenda sana pamoja na miziki yako
@happinesschristopher10
@happinesschristopher10 6 жыл бұрын
#BLESSED PTOFJZ POLE SANAA KWA MTIHANI WA KUBOMOLEWA NYUMBA
@gemkachar
@gemkachar 6 жыл бұрын
Prof J, Naomba utunge nyimbo za kumsifia mke wako. Naona bado anaumwa sana.
@kihangasper
@kihangasper 6 жыл бұрын
Respect bro
@jaquilinekivunge331
@jaquilinekivunge331 6 жыл бұрын
Mungu awabariki familia yenu
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 6 жыл бұрын
mungu ni mwema wote waliovunjiwa mungu atawapa
@zaharanihassan9013
@zaharanihassan9013 6 жыл бұрын
**USHAURI** **KAMA MBUNGE SASA SISI WANANCHI TUNATARAJI TUJIFUNZE KWAKO TABIA NA MAADILI, NIKUOMBE UKIWA UNAENDELEA NA MUZIKI, HAKIKISHA HUACHII NYIMBO AMBAZO DANCERS WAKO UCHI KWANI JAMII NYINGI WANAKUANGALIA WAKIWA NA FAMILIA ZAO, (by mtazamo, well come UDSM_DUCE))
@kennedymaende5297
@kennedymaende5297 Жыл бұрын
Kolabo yake na Nonini ni Moto bin 🔥
@aizohimself8537
@aizohimself8537 6 жыл бұрын
Heavy weight MC One Love sanaaaaaaaa
@agaaah6697
@agaaah6697 6 жыл бұрын
uko vzr sana jay
@yusuphmnyamani8571
@yusuphmnyamani8571 6 жыл бұрын
vzuri sana ni jamb la maendeleo ktk taifa cause unainua na kuongeza idadi ya wasomi nchini
@nicksonmlugu2610
@nicksonmlugu2610 6 жыл бұрын
Poleh kaka lakn utapata nyumba nyngn
@gilbertgozibert801
@gilbertgozibert801 6 жыл бұрын
a humble brother.
@munashabanimunashabani9976
@munashabanimunashabani9976 6 жыл бұрын
polee sanaaa profesa jey
@Barrydauda
@Barrydauda 5 жыл бұрын
Sijui huyu jamaa hua nampendea nini,Maana namkubali kuliko kipimo cha kawaida...nilianza kumsikiliza toka 1999 nikiwa std5,mpaka sasahivi ni baba wa watoto 2 lakini sijawahi kuwa dispointed nae...this is a true genius of artist.... Pia nimependa hii style yenu wasafi,mnatupa burudani huku tunapata ujumbe kupitia maelezo..big up producer wa kipindi hiki. Hongera shemeji yetu,hakika ww.ni mvumilivu.
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 6 жыл бұрын
Kiukwel nimeumia sana tena sana. Kwa hili bora tu nihame chama hamna jinsi.
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 6 жыл бұрын
Rukia Chamani kuna nini
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 6 жыл бұрын
Jk Montanno nyumba ya profjize, nimeumia sana.
@stansilauseliasi7883
@stansilauseliasi7883 6 жыл бұрын
Imenigusa sana kwakweli maisha tu haya
@francishaule5104
@francishaule5104 6 жыл бұрын
Pole sana kaka..
@mussatendeli6909
@mussatendeli6909 6 жыл бұрын
Gonga like kama umemuona mkurungezi wa Wcb.
@joelnassari105
@joelnassari105 6 жыл бұрын
Nice Project
@geraldkweka2073
@geraldkweka2073 6 жыл бұрын
Tz bado sana one day ntakosoa nchi yangu naipenda sn tz naipenda ila meng hatuend xwa
@erickfestor4542
@erickfestor4542 6 жыл бұрын
imagine umekaa na Baba na mama alafu mshua ana RAP... TINA (This Is New Africa)
@Barrydauda
@Barrydauda 5 жыл бұрын
New era
@imanuelymrema3537
@imanuelymrema3537 6 жыл бұрын
Show Love
@avelynesteven9500
@avelynesteven9500 6 жыл бұрын
Nakubali sana
@seifmdigo2772
@seifmdigo2772 6 жыл бұрын
Nakukubali mzazi
@hawazinga1852
@hawazinga1852 6 жыл бұрын
Kweli maisha ynabadlika
@nobertmulesi3387
@nobertmulesi3387 6 жыл бұрын
dungu zangu kutoka bongo ,mimi ni mkenya lakini napenda vitu vingi kutoka tzee moja kati ya hivo vitu napenda ni lugha mnayo itumia...lakini leo ningependa kujua maana ya'" kutimba"
@salehekondo350
@salehekondo350 6 жыл бұрын
Nobert Mulesi kufika mahali
@nobertmulesi3387
@nobertmulesi3387 6 жыл бұрын
asante sana kondo ..hivi karibuni nitatimba tzee
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 6 жыл бұрын
kutimba,nikufika,yaani kuingia,kuwepo
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 6 жыл бұрын
Nobert Mulesi 😂😂Karibu sana mkuu
@i.dclassic116
@i.dclassic116 6 жыл бұрын
Nobert Mulesi kufika
@EricBreezzManyota
@EricBreezzManyota 6 жыл бұрын
Legend
@zamoyonmaulid953
@zamoyonmaulid953 6 жыл бұрын
Big up prof Jize
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 6 жыл бұрын
Sawa Legend wetu, but huyo mke hujazaa naye tu?
@karimhemed9261
@karimhemed9261 6 жыл бұрын
WASAFI MEDIA... 🔥👊🙌
@abdallahmwanyende66
@abdallahmwanyende66 6 жыл бұрын
MP Joseph Aule,,, lkn bado mwana ukisikia viswahili vyake ausio? Hapo vipi
@almachusrobert9859
@almachusrobert9859 6 жыл бұрын
Mungu ndo mpaji
@asnakudra13
@asnakudra13 6 жыл бұрын
ongera sanaa
@alimohammed6868
@alimohammed6868 6 жыл бұрын
Polesana kaka
@Obeddy1
@Obeddy1 6 жыл бұрын
So inspiring
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 6 жыл бұрын
Safi sanaaaaa
@deboramrema2861
@deboramrema2861 6 жыл бұрын
Pig up sana kaka Mungu atakupa nyumba nzur kuliko hiyo kila jambo linalotekea kwenye maisha lina sababu kubwa Mungu akubariki akulinde ww na familia yako
Mkasi - SO3E04 with Professor Jay
26:54
MkasiTV
Рет қаралды 113 М.
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,8 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 32 МЛН
ALIKIBA : NIMECHEKA SANA BAADA YAKUONA HII VIDEO
7:25
Jonijooo
Рет қаралды 1,6 МЛН
Profesa J alivyoingia kwenye harusi yake kwa michano
10:07
Millard Ayo
Рет қаралды 211 М.
HASIRA: DIAMOND AMFUKUZA BABA LEVO WASAFI FM,,,ONDOKA TU........
11:51
PTVTANZANIA online
Рет қаралды 337 М.
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
YahStoneTown
Рет қаралды 118 М.
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34