Professor Jay ameweka wazi juu ya tukio ambalo alilifanya na likamtoa machozi mke wake
Пікірлер: 185
@ligmmohd81126 жыл бұрын
Hakika wanawake wanatuvumilia sana wanaume, hasa wale WANAWAKE WENYE subira kama dda GRACE, hivyo MUNGU awasimamie professor.
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Saidi Amiri umeona heeeeee!!
@marymathew65296 жыл бұрын
na mwenye subira Mungu anamtunuku,huon bidada uvumilivu umempa shavu la kufa mtu
@bushmendatoga47546 жыл бұрын
Saidi Amiri wapare ni wavumilivu mno hilo nimeliona
@mctarimo16346 жыл бұрын
Kama unaikubali Wasafi Media na Pia unamkubali Prof Jay Gonga like Twende Sawa
@motonkalipaschal47906 жыл бұрын
Hakika nakukubali sana Prof. Jay maana nyimbo zako hunipa nguvu ya kuendelea katika maisha yangu. Mungu akubariki sana
@alquinmadoro80646 жыл бұрын
Huyu ni miongoni mwa watu wanaonifanya nisikate tamaa na nizidi kupambana zaidi coz ni mpambanaji sana since nikiwa mdogo sana ,respect profesa jay
@lucyisrael61216 жыл бұрын
Mungu amekupa mke mzuri na mvumilivu,nawatakieni maisha mema na marefu Prof.J na family yako!
@vivianlenard36186 жыл бұрын
Dah bro hongera sana kumpata mke mvumilivu. binafsi ningekata tamaa kwa tukio hilo.
@graceleonard61506 жыл бұрын
Unabusara sana pr j Mungu akupe hekima zaidi Mungu atakupa nzuri zaidi
@hadijaabdallah54776 жыл бұрын
Watapotea wengi ila muheshimiwa we we ni noma sanaaaa yaani wata pata tabu sanaaa gongs like kama unamkubalu process j wa mitulingaaa
@janeawuor94686 жыл бұрын
Beautiful good work prof Jay you the humblest artist . Na muziki zako zinamafunzo mno nakupenda sana Mungu akubariki
@arichardaristides6 жыл бұрын
Namkubali sana professor jay toka #zari_LA_mentali!!!
@josemahena23056 жыл бұрын
Brother uko vizuri sina cha kusema kwako bali mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi azidi kuibariki familia yako
@antoinebakevya89113 жыл бұрын
Japo kuwa tunavuruga wanawake wetu, wana umuhimu wa maisha yetu. Mimi ni shabiki wa Prof Jay kutoka Burundi
@jessicamm31716 жыл бұрын
its a new begining ever, mungu anauwezo wakukuinua zaidi na zaidi
@faybaibe90236 жыл бұрын
Aki pole sana kwa kubomolewa nyumb yako. I can really feel wat you felt. Mungu atakubariki na zaidi ulokuwa nayo.
@anneamor61926 жыл бұрын
Uko juu Jay ... Hata kuongea kwako kuko na uongozi ndani yake.... maybe God bless you more
@zuweinaalhabsya87736 жыл бұрын
Haa a pole Sana kaka ndio 🇹🇿 hiyo. Yaaan ni uchungu usio semeka speechless kwa kweli.
@tatimafahad93766 жыл бұрын
Nakukubali sana ujawai kukosea big up bro Mungu atakulinda
@jeviounipers6 жыл бұрын
your wife is so pretty and kind....shikilia hapo hapo. A wife is a blessing
@hadija8466 жыл бұрын
Pole sana kwa majonzi ya nyumba kwa kweli inauma sana tena sana. M/mungu lazima atakulipia 100%🙏
@بجادالصاعدي-و4د6 жыл бұрын
Nyimbo zako taari ni Advice tosha kwa wote, walokupa ubunge hawakukisea, Allah aibariki family yako proff
@mohamedsasma8796 жыл бұрын
Pole prof mungu ni mkubwa utapata nyingine na mengine mengi. Na hao waliyoyafanya hayo mungu anawaona na wengi wao wamejenga kwa kuiba pesa za serikali na mashirika ya umma. Pia wanakaa kwenye nyumba za bure. Ni wepesi kuvunja za walala Hoi. Ila mungu yupo believe me.!!!!
@johnsonyosiah48545 жыл бұрын
Shule ya watoto yenu ipo wap nimeipenda
@ilovejesus93036 жыл бұрын
Mahakama ya Tanzania ni vichekesho! Ndio muhimili tunaouamini na kuuheshimu ila hautendi Hali, kwa Nini waje kuvunja hao wa barabara wakati mahakama ilisema stop kwanza? Ilitakiwa isimamie Sheria yake hapo walichemsha. Prof pole sana, Mungu atakulipa haki yako😁🙄🙄🙄 Dr Lisa karibu kwenye fani tulisukume ghurudumu
@fatumakombo32626 жыл бұрын
I love Jesus
@maryammeme26156 жыл бұрын
Wasafi media the best just in this short time
@mortishavida22736 жыл бұрын
Yoooo! Man prof pole Sana kabisa. Naskitika kabisa. Huu ni unyama kabisa !!! Kubomelewa nyumba uliojenga miaka 15? Na hukupewa malipo? Ayayayayaaaaaa!!! Pole Sana kabisa mzeee
@SSs-tb9yo5 жыл бұрын
MashaAllah professor mungu yupamoja namwenye kusubiri
@marymathew65296 жыл бұрын
mke mzuri mtoto ndo balaa,very beautiful na nimezid kumpenda alivyosema anapenda kuwa daktari
@godsonsumari29346 жыл бұрын
Daah nice interview,Proffesa hujawahi kukosea since day one,nimeipenda sana hiyo saa yako pia
@smrmb766 жыл бұрын
Salute professor jay you still the great of our time
@zaituniyusuphjuma4156 жыл бұрын
Safi sanaaa ukianguka amka songa mbele tu kurudi nyuma mwiko
@obeymollel95376 жыл бұрын
Ee Mungu utuondolee siasa za kipuuzi zisizo na muelekeo Amen
@samwelnyabasi55696 жыл бұрын
Prof jay big up bro nakukubali sanaaaaaa from Nairobi kenya
@nemnem74316 жыл бұрын
Poleni sana kwa hasara hapo umenipa nguvu zaidi zakuvumilia.... Nakupenda hadi naumwa.. ..😍
@moureenmbuu19856 жыл бұрын
Unanikumbusha mbali prof j zali la mentali wimbo wangu huu...big up 254
@yohanamaugila7436 жыл бұрын
Mungu awabariki sana pamoja na Dr lisa
@brightfabian21906 жыл бұрын
Salute kamanda nakukubali sana
@khadijalubuva26296 жыл бұрын
hongera sana prf j pamoja na família yako mko vzr... wasafi TV pia mungu azid kuwaongoza.. inshaallah
@restjohn93426 жыл бұрын
Kaka pole sn kwa pigo naamin Mungu yupo atalipa, haki y mtu haipotei n wivu wa maendeleo tu, pole sn
@mpanduzimalugu47176 жыл бұрын
Salute legendary talk my brother
@georgeludakulo21186 жыл бұрын
Makini bro nakukubalili xn respect kwako
@aminahamisi78546 жыл бұрын
sister grace u are beautiful dear , tulelee msanii wetu , tunawapenda sana
@jaycee90676 жыл бұрын
Prof Jizzo! The master! One love brother💪
@salumukilangai51896 жыл бұрын
upo vizuli professa nakubali sana kaz zako na uongoz wako pia
@issadesmond4776 жыл бұрын
Nakukubali sn p jay ujawai kuniangusha na pole kuusu nyumba kubomolewa bila hata ww kujua
@bisophicatesalim1326 жыл бұрын
Nampenda prof jay na mkubali kama king wa hipop big up
@sigifridyfranky89846 жыл бұрын
pole Sana brother jay kwa kubomorewa nyumba yako ilikua mzuli Sana
@mosesg.pendael83816 жыл бұрын
Nooo! Sijapenda sana walipoelezea hiyo ishu mbele ya Lisa. Ilikuwa Birthdei yake....I mean its ok kwao cuz wameongea japo shemeji hasahau....talk to Lisa too kaka. It was her day. Sijapenda.
@ismailchilonga28786 жыл бұрын
Congulation wasafi media mko vizuri xaana
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
pole sana kaka kukuludisha nyuma mungu yupo nawe utapata zaidi ya hiyo
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Mashallah, tunawapenda pia, good show, *Tumewashaaa*
@magangakayola41756 жыл бұрын
Saumu Hassan saumu mambo vp mma lake mbona mikausho
@nobimgaya53596 жыл бұрын
Nakuonaaaaa
@lameckadamu11983 жыл бұрын
Limenigusa la nyumba vibaya pole jay
@francistsii78856 жыл бұрын
Pole Bro God be with u hongera u not put blame on person
@mainangatia10636 жыл бұрын
Kazi nzuri proffesa, 🇰🇪
@sadaabdallah16416 жыл бұрын
Duh pole sana profesa j kweli nilazima umie kaka
@nailaniyonkuru57186 жыл бұрын
Mke wake muzuri man shaa Allah.
@alimohammed68686 жыл бұрын
Naila Niyonkuru say masha allah
@samsonkibona53546 жыл бұрын
Uko vizur sana profesa na kukubari tokea chemsha bongo mpaka pagamisa
@mropeamadeus54456 жыл бұрын
Pole sana kwa kubomolewa nyumba yako
@jeshilamtu8634 жыл бұрын
Walikosea Sana,na kubomolewa hiyo nyumba ndo imesababisha Prof J asihamie kabisa CCM.lla poa karibu Sana ccm
@mulwamaiyu41405 жыл бұрын
Day care initiative so amazing I love it
@bensonfrank6436 жыл бұрын
PROFESSA THE UNDEFEATED MYWEATHER MC...
@hadija8466 жыл бұрын
Da inasikitisha sana haya yaliyomkuta yote ni kwa ajili yupo Chadema hatari sana pole sana my dear 😘
@thoyarashid57826 жыл бұрын
Ana bibi mzuri mashallah
@domydocta.6 жыл бұрын
Mahala pake safi sanaaa
@fredmankaingu41726 жыл бұрын
Poa xna J mungu akupe mwangaza zaidi na zaidi
@dinakidai41186 жыл бұрын
pole Sana kaka Joseph duu kubomolewa nyumba
@bothinabothina36036 жыл бұрын
Kiukweli nakupenda sana pamoja na miziki yako
@happinesschristopher106 жыл бұрын
#BLESSED PTOFJZ POLE SANAA KWA MTIHANI WA KUBOMOLEWA NYUMBA
@gemkachar6 жыл бұрын
Prof J, Naomba utunge nyimbo za kumsifia mke wako. Naona bado anaumwa sana.
@kihangasper6 жыл бұрын
Respect bro
@jaquilinekivunge3316 жыл бұрын
Mungu awabariki familia yenu
@fredreckmwakalinga34756 жыл бұрын
mungu ni mwema wote waliovunjiwa mungu atawapa
@zaharanihassan90136 жыл бұрын
**USHAURI** **KAMA MBUNGE SASA SISI WANANCHI TUNATARAJI TUJIFUNZE KWAKO TABIA NA MAADILI, NIKUOMBE UKIWA UNAENDELEA NA MUZIKI, HAKIKISHA HUACHII NYIMBO AMBAZO DANCERS WAKO UCHI KWANI JAMII NYINGI WANAKUANGALIA WAKIWA NA FAMILIA ZAO, (by mtazamo, well come UDSM_DUCE))
@kennedymaende5297 Жыл бұрын
Kolabo yake na Nonini ni Moto bin 🔥
@aizohimself85376 жыл бұрын
Heavy weight MC One Love sanaaaaaaaa
@agaaah66976 жыл бұрын
uko vzr sana jay
@yusuphmnyamani85716 жыл бұрын
vzuri sana ni jamb la maendeleo ktk taifa cause unainua na kuongeza idadi ya wasomi nchini
@nicksonmlugu26106 жыл бұрын
Poleh kaka lakn utapata nyumba nyngn
@gilbertgozibert8016 жыл бұрын
a humble brother.
@munashabanimunashabani99766 жыл бұрын
polee sanaaa profesa jey
@Barrydauda5 жыл бұрын
Sijui huyu jamaa hua nampendea nini,Maana namkubali kuliko kipimo cha kawaida...nilianza kumsikiliza toka 1999 nikiwa std5,mpaka sasahivi ni baba wa watoto 2 lakini sijawahi kuwa dispointed nae...this is a true genius of artist.... Pia nimependa hii style yenu wasafi,mnatupa burudani huku tunapata ujumbe kupitia maelezo..big up producer wa kipindi hiki. Hongera shemeji yetu,hakika ww.ni mvumilivu.
@rukiachamani11016 жыл бұрын
Kiukwel nimeumia sana tena sana. Kwa hili bora tu nihame chama hamna jinsi.
@kwzjkwz35326 жыл бұрын
Rukia Chamani kuna nini
@rukiachamani11016 жыл бұрын
Jk Montanno nyumba ya profjize, nimeumia sana.
@stansilauseliasi78836 жыл бұрын
Imenigusa sana kwakweli maisha tu haya
@francishaule51046 жыл бұрын
Pole sana kaka..
@mussatendeli69096 жыл бұрын
Gonga like kama umemuona mkurungezi wa Wcb.
@joelnassari1056 жыл бұрын
Nice Project
@geraldkweka20736 жыл бұрын
Tz bado sana one day ntakosoa nchi yangu naipenda sn tz naipenda ila meng hatuend xwa
@erickfestor45426 жыл бұрын
imagine umekaa na Baba na mama alafu mshua ana RAP... TINA (This Is New Africa)
@Barrydauda5 жыл бұрын
New era
@imanuelymrema35376 жыл бұрын
Show Love
@avelynesteven95006 жыл бұрын
Nakubali sana
@seifmdigo27726 жыл бұрын
Nakukubali mzazi
@hawazinga18526 жыл бұрын
Kweli maisha ynabadlika
@nobertmulesi33876 жыл бұрын
dungu zangu kutoka bongo ,mimi ni mkenya lakini napenda vitu vingi kutoka tzee moja kati ya hivo vitu napenda ni lugha mnayo itumia...lakini leo ningependa kujua maana ya'" kutimba"
@salehekondo3506 жыл бұрын
Nobert Mulesi kufika mahali
@nobertmulesi33876 жыл бұрын
asante sana kondo ..hivi karibuni nitatimba tzee
@valentinamussa42126 жыл бұрын
kutimba,nikufika,yaani kuingia,kuwepo
@Joe-tr2vk6 жыл бұрын
Nobert Mulesi 😂😂Karibu sana mkuu
@i.dclassic1166 жыл бұрын
Nobert Mulesi kufika
@EricBreezzManyota6 жыл бұрын
Legend
@zamoyonmaulid9536 жыл бұрын
Big up prof Jize
@graphixmaster61466 жыл бұрын
Sawa Legend wetu, but huyo mke hujazaa naye tu?
@karimhemed92616 жыл бұрын
WASAFI MEDIA... 🔥👊🙌
@abdallahmwanyende666 жыл бұрын
MP Joseph Aule,,, lkn bado mwana ukisikia viswahili vyake ausio? Hapo vipi
@almachusrobert98596 жыл бұрын
Mungu ndo mpaji
@asnakudra136 жыл бұрын
ongera sanaa
@alimohammed68686 жыл бұрын
Polesana kaka
@Obeddy16 жыл бұрын
So inspiring
@saitotisaitoti67346 жыл бұрын
Safi sanaaaaa
@deboramrema28616 жыл бұрын
Pig up sana kaka Mungu atakupa nyumba nzur kuliko hiyo kila jambo linalotekea kwenye maisha lina sababu kubwa Mungu akubariki akulinde ww na familia yako