No video

Profesa J alivyoingia kwenye harusi yake kwa michano

  Рет қаралды 211,506

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Rapper na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay’ leo July 8, 2017 amefunga ndoa na mpenzi wake Grace DSM ambapo watu mbalimbali wakiwemo Wabunge walialikwa na baada ya ndoa walikaa kwa ajili ya picha za kumbukumbu.

Пікірлер: 97
@negotz4701
@negotz4701 7 жыл бұрын
ongera sana my prof, Hakka umefanya jambo la busaraaa.....plz may god wxhea u a long lyf in ur marriage
@andrew29468
@andrew29468 7 жыл бұрын
hongera mh. mbunge wa mikumi,ni hatua nzr ukiwa km kiongozi,tunakutakia maisha mema ya ndoa
@paulntara2052
@paulntara2052 7 жыл бұрын
muheshimiwa umetishaaa, hongera sanaaa
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 7 жыл бұрын
WOW... VERY NICE.. CONGRATULATIONS SIR. #JAY
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 жыл бұрын
safi sana professor Jay umetisha mzee Baba harusi la kibabe
@lucyhadwiger3164
@lucyhadwiger3164 7 жыл бұрын
wangoni huku hatujaona ngoma za songea jamani..hongera wakunyumba❤❤
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Mngoni mwenzngu love u
@rachelmlaponi247
@rachelmlaponi247 7 жыл бұрын
hongera sana
@frolamoses1028
@frolamoses1028 7 жыл бұрын
ila wifi ulizubaa sana mwenzio kafurahi kinyama we umepoooza utafikiri ulinyimwa pilau mda wa saluni why???? yani hapo ulitakiwa ujimwage mpaka nyaku nyaku wafe kwa hasira
@Chemba67
@Chemba67 7 жыл бұрын
Hahahahahahaha Limy Masele
@annymsupa5175
@annymsupa5175 7 жыл бұрын
+Limy Masele hki umeongea kweli 😁😁😁hongera zako
@gracegeofreyzablonmatalu3946
@gracegeofreyzablonmatalu3946 7 жыл бұрын
Frola Moses daaaah kweli amepooza kinyama wifi yani ilibidi ayarudi mpk ilo wingi alishikilie mkononi! daaaah ila bro nimemkubali kaitendea haki harusi yake NICE
@maggymm7302
@maggymm7302 7 жыл бұрын
Frola Moses Yaaani umeona. alifaaa aserebuke vihasaaa..tchaa
@maggymm7302
@maggymm7302 7 жыл бұрын
Best entrance eveeeerr.. kuimbiwa hivyo dooh..af mke amepoa kama nn.. My future husband plz practice this song to sing for me n i will dance for yo😘
@michaellukas3914
@michaellukas3914 7 жыл бұрын
nice nice congratulation much
@waruhassan7881
@waruhassan7881 7 жыл бұрын
mashaallah
@benimagaya4440
@benimagaya4440 7 жыл бұрын
Hongera sanaaaa Brother Prof Jay
@hamisi8
@hamisi8 7 жыл бұрын
Congratulation Mr and MRS JOSEPH HAULE .....HAVE A LONG AND HEALTH MARRIAGE
@kuruthumomary4626
@kuruthumomary4626 7 жыл бұрын
iko vizuri sana nimeipenda
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
halafu wifi ndio hata furaha hana kabisa sijui hajapata hata juice ya maembe duuuuu ndio kununa hivyo kweli duuu
@akimmbwego797
@akimmbwego797 7 жыл бұрын
Nicely mnooooooo
@aligmohammed3738
@aligmohammed3738 7 жыл бұрын
nomanoma professor
@Nickojunior
@Nickojunior 7 жыл бұрын
hongereni
@gershonkomando4669
@gershonkomando4669 7 жыл бұрын
Gud job mr proff
@abiriawaelimu2428
@abiriawaelimu2428 7 жыл бұрын
Good mfalme jizoo
@jacksonmars7894
@jacksonmars7894 7 жыл бұрын
Sawaaaaa Mh Mbunge
@godfreymwita1808
@godfreymwita1808 7 жыл бұрын
huyu jamaa anaongoza binadamu na wanyama
@mcdaddyclinton853
@mcdaddyclinton853 7 жыл бұрын
sometimes wahusika huomba nyimbo wenyewe wanazopenda uwezi kumlaumu dj
@hkmayala414
@hkmayala414 7 жыл бұрын
good kweli muoe maana mmekula ujana hadi mnaingilia nyakati zetu bwana, muda wenu umeisha kikubwa kukubali matokea huu ni muda wetu bwana.
@ambokileosward8850
@ambokileosward8850 7 жыл бұрын
Hahahahahaha
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
Hahahahhahaha
@daudm1558
@daudm1558 7 жыл бұрын
professor kafanya kitu kizuri Sana.... ndoa njema na yenye baraka tele
@barakatesha7823
@barakatesha7823 4 жыл бұрын
Ilipendeza sanaaa
@TheJuvenyl
@TheJuvenyl 7 жыл бұрын
nimependa sana... kweli ye msanii bado... ndoa njema prof J...
@happynesndaki1443
@happynesndaki1443 7 жыл бұрын
Hadi raha
@nelibaba
@nelibaba 7 жыл бұрын
hongera J
@jimmymdugala8074
@jimmymdugala8074 7 жыл бұрын
bonge la harusi i like that
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Namuona lowasa jmn🥰
@jaystar1004
@jaystar1004 7 жыл бұрын
Sema bi harusi ana zgoo😂😂😂😂🙌
@duakyando791
@duakyando791 7 жыл бұрын
Jay Star shabaash yan ni ngoriiiii
@missagatha1756
@missagatha1756 7 жыл бұрын
safiiiii sana umetisha mheshimiwa ningeshangaa ungeingia na nyimbo za wenzio wakt ww una vichupa vikali vinakata,ila wife material mbona kazubaa jmn kamili gadooo anashindwa kujimwaga ?
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 7 жыл бұрын
safi sana ipo poa sana
@tumainkabengula6154
@tumainkabengula6154 7 жыл бұрын
Kila la kheri katika maisha mapya ya ndoa kwake proff j..aka Joseph haule
@faustinjamson2657
@faustinjamson2657 7 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@lucaserasto1312
@lucaserasto1312 7 жыл бұрын
xswe
@ashatadei5639
@ashatadei5639 7 жыл бұрын
iko poa sana
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 7 жыл бұрын
umetisha kaka
@adnanramadhanjunuzage1629
@adnanramadhanjunuzage1629 7 жыл бұрын
profesor mistal ad kwenye arus yako,,,uko vizur bro
@jimmyerick4021
@jimmyerick4021 7 жыл бұрын
Namuona lowassa apo 💪💪💪💪✌✌✌✌
@zulfasaid6710
@zulfasaid6710 7 жыл бұрын
wow ameezing asante milard
@pendomunguasaidiesufiani4254
@pendomunguasaidiesufiani4254 7 жыл бұрын
kweli watu walilipa kadi za halali
@pendomunguasaidiesufiani4254
@pendomunguasaidiesufiani4254 7 жыл бұрын
jaman huyu ndio yule mrangi Wa kondoa au mwingine
@fatmatanzania2412
@fatmatanzania2412 7 жыл бұрын
wow wamependeza kwa kwel wagen na magauni yao
@mohamedhamza1050
@mohamedhamza1050 7 жыл бұрын
Ume nishawish niowe
@mariamsuleiman3795
@mariamsuleiman3795 7 жыл бұрын
Mohamed Hamza hahahahahaha amsha dudeeeeee
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 жыл бұрын
Mohamed Hamza ukiiga utaumia utatusogezea sehemu tuwe tukijikunjua😂😂😂😂
@amashanampwapwa6636
@amashanampwapwa6636 7 жыл бұрын
Uko vizur
@amashanampwapwa6636
@amashanampwapwa6636 7 жыл бұрын
Ila baba usitoke wcb itakua umefeli maisha asikudanganye dem eshom office yako
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
mmh bi harusi umepoa ata aipendezi. nyama nimekosa mlaji loo ningekuwa mm
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 жыл бұрын
aha zari la mentele imenoga kumbe ulikua upoupo kwanza
@johnsonjohn8590
@johnsonjohn8590 7 жыл бұрын
iko poa tu
@aligmohammed3738
@aligmohammed3738 7 жыл бұрын
am in nairobi bt cjui why sikufika harusi
@zuhuraabdurlazack8008
@zuhuraabdurlazack8008 7 жыл бұрын
😘😘😘😘
@luluhaule4762
@luluhaule4762 7 жыл бұрын
uyo mwanamke umemlazimisha au maana hataki ndoa uyo
@mniwekubwa5124
@mniwekubwa5124 7 жыл бұрын
Wa kuitwa Jongwe aka Sugu rais wa mbeya, katisha sana
@mussadembelle1282
@mussadembelle1282 7 жыл бұрын
Tukumbuke kuwa Uyu Jamaa anaongoza Binadamu na Wanyama
@immaabukuku7180
@immaabukuku7180 7 жыл бұрын
Prof katisha sana af yuko kamili gado
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
Flora yote anafikir miaka 15 kuishi na mtu bila ya ndoa km hajaamin km kweli imekua
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 жыл бұрын
lowasa kawa bubu 😎 sio kwa mikono hiyo raisi mtarajiwa anaangalia tu 😂😂😂😁 huyu angekuwa raisi tz trip za vijivijni ningeuza kuku kwenye basi wala hata mtu asingeni jali 😚😚😚😚😚 twamtaka huyu ila tu amani iwepo tulinde amani yetu
@cynobaby50
@cynobaby50 7 жыл бұрын
Mtoto yuko kamili gado!!!
@TahmaneTV
@TahmaneTV 7 жыл бұрын
Too much Nigerian Music, Tanzania ama East Africa kwingine hakuna wasanii!!?
@rogermuncaster1582
@rogermuncaster1582 7 жыл бұрын
first
@saeedalsaeed6185
@saeedalsaeed6185 7 жыл бұрын
duh watu wahumu munavituko
@beatricekyando3815
@beatricekyando3815 7 жыл бұрын
ustawi wa jamii hili la watoto wadogo kuhudhuria masherehe kama hoya inakuaje?
@itsregie7346
@itsregie7346 7 жыл бұрын
huyo ni Lowassa au 😂😂😂
@winifridajoseph7858
@winifridajoseph7858 7 жыл бұрын
biaruc kazubaa kama amin kama angeilew
@gysevengeorge9549
@gysevengeorge9549 7 жыл бұрын
ongela prof jizee
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
duuu mbunge anachana mistari hatareeeeeee
@pendomunguasaidiesufiani4254
@pendomunguasaidiesufiani4254 7 жыл бұрын
huyu ndio yule mrangi au
@isharaclarahbeckam3731
@isharaclarahbeckam3731 7 жыл бұрын
god bless you dears
@queenandrea5648
@queenandrea5648 7 жыл бұрын
hahahaha wifi bhana umeshindwa kuitumia chance
@princerashidvevo7760
@princerashidvevo7760 7 жыл бұрын
yn hp Mc angekuwa pilipili ingkuwa xhdaaaaa
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 7 жыл бұрын
limy utaruka sarakasi km ebitoke
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 sugu acha kunichekesha mh sio kwa kuchezewa huko
@saimmabula3442
@saimmabula3442 7 жыл бұрын
Hahah Sugu sio wa mchezo mchezo
@daudm1558
@daudm1558 7 жыл бұрын
Nina mtakia pia maisha marefu wamitulinga
@benimagaya4440
@benimagaya4440 7 жыл бұрын
Hongera sanaaaa Brother Prof Jay
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
halafu wifi ndio hata furaha hana kabisa sijui hajapata hata juice ya maembe duuuuu ndio kununa hivyo kweli duuu
@pendomunguasaidiesufiani4254
@pendomunguasaidiesufiani4254 7 жыл бұрын
huyu ndio yule mrangi au
@cynobaby50
@cynobaby50 7 жыл бұрын
Mtoto yuko kamili gado!!!
Dakika 18 za AY, Sugu, Black Rhyno kwenye harusi ya Profesa J
18:06
diamond Platnumz - Alivyoshtukiza kwenye Harusi ya Professorjay
17:36
Diamond Platnumz
Рет қаралды 2 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 54 МЛН
Vipande vya Jussa vilivyomkera Rais Mwinyi ndo hivi hapa
19:58
Edward Lowassa na Mbowe harusini kwa Profesa Jay
26:31
Millard Ayo
Рет қаралды 132 М.