Dah eti leo naisikiliza tena ndani ya gari yangu nikiwa New York wakati album yake inatoka miaka hiyo radio cassette yake niliinunua kwa mshahala wa kuchunga mbuzi Kabuku Tanga... miss home long time.
@mkijomutv96336 жыл бұрын
CHEDI CHEDI hahahaaa, maisha bhana kizunguzungu wala co kihindihindi.
@mkuurditv42275 жыл бұрын
Big up sana Broo ,kwangu ni Dream ambayo sijui kama itatimia
@samuelmwaipopo1302 Жыл бұрын
Anginyue mgosi
@timomgimba19885 жыл бұрын
Daaa ngoma hizi nakumbuka nikienda shule na kiledio kwenye mfuko wa lambo professor...enzi hizo betli za bell au national....zkiisha nachemsha na chumvi...mungu mkubwa azidi kutulinda.....
@hamadikingamba4702 Жыл бұрын
Hizi sasa ndo zilikua nyimbo uchoki kuziskirza Dah! aisee noma sana
@tudijama84277 ай бұрын
Atari noma daaaa mbari sana
@petermwenda51795 жыл бұрын
ww ndio wetu wa ukwel umebakia wwewe tu hiphop top jemedari congregation
@chassmamwenga20346 жыл бұрын
prof umekunywa maji ya mziki haushuki hauchuji yani kiracku ww unazidi kua mpya sauti yako tokazani hadi leo duuuh wee noma vijana chaliiiiyyy