Ding'Ano you said the truth about harmonize keep up work kkkkkk 🎉🎉🎉🎉🎉🇿🇲💤
@DjumaShabani-d6w8 ай бұрын
dudubaya fala kweli mbona wabongo Kama munaubaguzi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️🇺🇸🇿🇦 kondeng for life djuma shaban leaving in cape Town
@baysomapea5008 ай бұрын
Hawa ma blaza wameitoa mbali sana bongo fleva wanaitaji heshima
@nsabimanadominique39078 ай бұрын
HATA MIMI SIKUPENDA ALICHOKISEMA DUDU BAYA. DUDUBAYA NI LEGENDARY ANGEPASHWA KUTOWA MOTIVATION SIYO KUPONDA
@kilungahamis12708 ай бұрын
Akimponda Diamond mnasema kaongea vzr Kwakua kamponda Harmonize mnachukia Acheni makasiriko mashabiki wa Kiba. Tunajua wengi wanaomshabikia Harmonize ni mashabiki wa zamani wa Ali kiba. Na sababu kubwa ni chuki zenu kwa Diamond. Ingawaje Diamond hakuna alichowakosea. Shida ni mafanikio yake tu.
@georgenzai13558 ай бұрын
@@kilungahamis1270tenda ukatafute pesa acha kutokwa na povu leupe....
@kilungahamis12708 ай бұрын
@@georgenzai1355 pesa ninayo zaidi yako, nyie masikini kazi yenu kuwachukia walichonacho.
@georgenzai13558 ай бұрын
@@kilungahamis1270 kama ungelikuwa unapesa ungelikuwa kila ukitembea Matako inalia firimbi 🤣🤣🤣🤣🤣.. Kama ni Matako unayo sikataki but pesa🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆
@kilungahamis12708 ай бұрын
@@georgenzai1355 matako unayo wewe, mi nnamakalio. Mtoto wa kiume unaongeleaje matako. Au utakua jinsia nyingine nisije kufanya kufuru 😂😂
@JamesMwandoje8 ай бұрын
Dudu baya...anaumwaaaa ko sio kosa lake....
@benardmatano1428 ай бұрын
..Dudubaya hujaongea vizuri,, ila sio kwa ubaya ni lugha huelewi
@JohnBanda-q3z8 ай бұрын
Dudubaya amesha changanyikiwa 😂😂😂😂😂
@coolbz1338 ай бұрын
😂😂😂 PTV mukiacha kumhoji dingano siangalii tena PTV ndingano anachemsha game ya mziki kisha huwapa pressure wasanii ili watoe ngoma nzuri much love for PTV and dingano
@SurprisedAstrolabe-id9gc8 ай бұрын
Huyu Dudunyoko hata hajui kutamka jina Shmuda, anasema Shumuda. Mzee wa hovyo sana
@BarakaGona-sb8iq8 ай бұрын
😂😂😂 jamen wazee wanakufa kwa imade it
@mashramadhani19898 ай бұрын
Ducu Baya na H Baba wako sawa kabisaaaa
@Kuminamoja19958 ай бұрын
👈👉 sisi tulieenda Cuba 🇨🇺 tumeelewa 😂😂
@vincentmomanyi-pg1rv8 ай бұрын
Uyu dingano yko njaa sana kichw Jake ovyosan
@baysomapea5008 ай бұрын
Uyu ajui chochote kuusu bongo fleva
@mbukumagiubukumagu4068 ай бұрын
Mie simjuwi koniki upo sahihi
@DjumaShabani-d6w8 ай бұрын
dudubaya kuma kweli
@khamisrubea50838 ай бұрын
Unaviweza vita na dudubaya ?
@Mejaclub8 ай бұрын
Dudu baya unazeeka vbaya, Kijana anajaribu na unamvunja moyo,sitakuvunjia heshima maana umezeeka ila ujuetu haujaongea vizuri.konde ni mupambanaji na inafaa tumupongeze.
@JeremieKambale-kf7gq8 ай бұрын
Mbona konde boy kacha wambiya tu kitambo yakwamba acheni machawa waongeye so waki teleza muna waita ma fala
@JulianaMushi-nq3kc8 ай бұрын
Tatizo anawahoji mavuta bangi
@gourmetmasters9108 ай бұрын
Bobby sh-mah-da*
@JulianaMushi-nq3kc8 ай бұрын
Dudubaya wadudu wamepanda kichwani mwachrni tu sas anaelewa nini jmn hata jina hajui kumtaka shbuda
@JoelRichard-hj3bi8 ай бұрын
Mzee wa pua kama ngumi kashazeeka hata ngeli hajui, sio kosa lake mayai yamemupita kushoto.
@flavourboyke8 ай бұрын
Dudu baya anasema ukweli
@baysomapea5008 ай бұрын
Ww unaujua mziki unalopoka ovyo tuu
@donkaloza69858 ай бұрын
Kumbe harmonize ananyimbo Mpyaa?!!
@denismigayi85138 ай бұрын
Nyimbo I made it instatiza wasafi sana
@rachidemomademomaderachide58978 ай бұрын
Si uyu dudu baya ataweza kuongea vizuri????
@mkudesimba95188 ай бұрын
Hata hizo zenu zote hazina maadili kwa watanzania !
@lujuomjanja28668 ай бұрын
😁😁😁😁 DAH NIMECHEKA SANA YAANI HUYU MEDIA MSHENZI SANA WEWE!! YAANI UNAJUA KUCHEZA NA WABONGO SANA WEWE DAH!
@MeenaHassan-fd9vv8 ай бұрын
Dudubaya ni mpumbavu kabisa nilikuwa namuheshimu anabisha upumbavu kweupe kisa anamuogopa diamond ramberambe mchemsho akimsifia mmakonde atakuwa hapati pesa ya kula kutoka kwa diamond, na nakumbuka harmonize alivyotoka wasafi alikuwa anamuita mfupi kama mavi sasahivi mmakonde anamfunika mpaka ramberambe mchemsho
@KALUGOWAMENZA8 ай бұрын
KONKI HAJAWAI KUKOSEA
@SalumJuniordiku8 ай бұрын
Wewe anakujua nani dudu baya nikujua baada ya kuongea ujinga mimi sipo bongo kitamba nashangaa fala kama dudu baya h.baba baba levo. Kwanza wajifunze kuongea kama watoto wa mjini. Kama enzi ya kamata yeye wangekuwepo mjini wangefunga midomo yao
@SalumJuniordiku8 ай бұрын
Wewe Dudu baya mshamba tu ata kiswahili chako cha kisukuma hunaweza hukaweka na mnyamwezi fala wewe hujui dunia hinakwenda sogea mbele hujuwe vitu njoo america mjinga mkubwa
@LaughKey-f8x8 ай бұрын
Acheni ufala dudu baya kaongea ukweli bana saai watoto wa 2000 adi saii ukitaja drake na uyo Shmurda nani anakuja faster n ju drake ako na hit song nying na icho ndo uyo jamaa anaongea
@GildoAgostinho-zw2mt8 ай бұрын
Problema dudubaya não entende inglês é por isso
@mariamalongo88038 ай бұрын
Ila du baya hapo umechemka, Bobby ansjulikana dina nzima Kama umfahamu ni wewe, lakini watu wenye upeo meingi, wanamjuwa. Je wewe Du baya umewahi piga na nani??? Wacheni maneno mabaya, mpaka Mmareksni akutamke mdomoni unue umefika mbali mwacheni Konde wa wary.
@georgemerere34488 ай бұрын
Ila wazee wengine jmn asa badala tujivunie msaani wetu wa taifa tumsapot lkn wengine wanaona jitihada za kijinga kwan wao kipindi chao walifanya nn nyimbo zao
@MeenaHassan-fd9vv8 ай бұрын
Mmakonde ni jeshi la mtu mmoja, mmakonde anapambana na wcb nzima 😂😂😂😂😂😂 na anawakalisha 😂😂😂 mmakonde nyoko ramberambe mchemsho hamuwezi mmakonde kama vip nayeye ramberambe mchemsho aimbe kwa English tuone