Ninyi ni idhaa ya Kiswahili halafu Urusi mnaita Russia, Ukraini mnaita Ukraine, Uchina - imekua China (chaina), hii inakuwaje jamani, makusudi au hamjui?
@aminsalum57312 жыл бұрын
kuficha kitu
@samwelmumburia2060 Жыл бұрын
Afrika Hana ubavu wakusema chochote
@badrudiniabdulmpakate20142 жыл бұрын
Knock dem down. MY FRIEND VLADIMIR PUTIN
@sbboymkaliofficial91082 жыл бұрын
Asanteee Putin fanya kweli ayo ma nuclear weapons 🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺👇 kzbin.info/www/bejne/pH-Yn4Juhqqfjqs
@estonwell88502 жыл бұрын
Huyu pp ni pp wa marekani, ulaya na nato hivyo mataifa mengine tuunde papa wa kwetu zikiwemo nchi za afrika.
@samwelmumburia2060 Жыл бұрын
Putin acha ubabe tumia akili anguvu pekee
@afrakanaswahilitv55202 жыл бұрын
Waafrika tunawapigia warusi upatu. Aidha tumesimama kidete na ngangari nao.
@muhammedwakif62162 жыл бұрын
Nazania Waafrika wamemuona bora Putiin kuliko Wamarekani na wa Europer
@doubletapkama39012 жыл бұрын
Nuclear putin anataka kutumia Mungu atapigania Ukraine
@afrakanaswahilitv55202 жыл бұрын
Waukraine ni wabaguzi dhidi ya watu weusi. Na waafrika hatuwezi Kuwapigia chapuo. La hasha!
@germainpennant64392 жыл бұрын
@@afrakanaswahilitv5520 acha ujinga wewe, Tanzania ndio nchi ya kwanza duniani kwa ubaguzi. Sasa hata kama africa iko nyuma ya putin ndio itaendelea?
@afrakanaswahilitv55202 жыл бұрын
@@germainpennant6439 kwani una wazimu au wewe ni kidudu mtu? Ukijihisi kuwachapukia waukraine jitose kwenye ulingo wa vita tukutane huko. Ukiwa na hizo fikira za utumwa na ukoloni kwa kudhania Yesu Kristo ni mzungu wa mizungu sina la ziada bali kukuacha kwenye dimbwi dubwana la jehanamu. Salia kuko huko, miye nakwenda zangu kwa mwendo wa kuta.