Urusi yatangaza kusimamisha mkataba kati yake na Marekani

  Рет қаралды 78,681

Azam TV

Azam TV

Жыл бұрын

Urusi imetangaza kusimamisha ushiriki wake katika utekelezaji wa mkataba wa upunguzaji wa silaha kali kati yake na Marekani.
Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni leo, Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema Urusi haijajiondoa kutoka kwenye mkataba huo bali itasimama kushiriki kwenye kutekeleza makubaliano baina ya mataifa hayo mawili.
#AzamTVUpdates

Пікірлер: 158
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Mchambuzi anaakili sana
@jumaismaili3656
@jumaismaili3656 Жыл бұрын
nyie wote ambao mmekomenti apo eti urusi kashindwa vita nyinyi nimashoga amuwezi kumpenda poutin maana anacho wafanyia amuwezi kusaau angekuwa kashindwa vita majeshi yake aingekuwa inashikilia mikowa minne iyo utuba imewagusa nyinyi mashoga mbele ya poutin kiboko🇷🇺❤️💪❤️🇹🇿uraaaaaaaa
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
We hujui mathara ya nyuklia ndy unaropoka! Ungejua kwanini amesitisha huo mkataba na Marekani kuwa anajiandaa kutumia silaha za nyuklia.
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Жыл бұрын
@@barakakusa7606 natamani nickie ameyalipua haya mashenzi,yashughulikiwe kama walivyo waua kina Sadam na muamar gaddaf. Yapigwe hayo ma nato.
@charleszakaria643
@charleszakaria643 Жыл бұрын
Hana jpya, tulishamuzoe kwavitisho alisema atakayeingilia vita atakiona chamtema Kuni kumbe mhun2
@ramamtanga3482
@ramamtanga3482 Жыл бұрын
@@charleszakaria643 sasa mbona awaingilii
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
@@barakakusa7606ww ukipmbana na mtu utamuachia akupige kwa hiyo nyukilia alilipua sawa kuliko marecani siku zote aone nchi nyingine bora alipuliwe hata ikipiga dunia marecani kila siku kuonea africa kuwaibia kongo na africa yote na warabu wacha amuonyeshe Huyo zeleksy kwa nnasiache madaraka na na waelewane yakaisha hawataki wanataka wao waonekane wababe siku zote ndio hayo ya nyukilia itakua tu vyakula na maisha yasha kua magum kwa ajili ya vita vyao visivyo isha marecani anapenda vita
@mkongwekarim3036
@mkongwekarim3036 Жыл бұрын
Thabit namkubali Sana 👏👏
@moudys
@moudys Жыл бұрын
Safi sana
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Жыл бұрын
Huyu kichwa Safi huyu anaoujuz mno
@islachristabinastaravista8104
@islachristabinastaravista8104 Жыл бұрын
Viongoz wengi ambao huwa wamepitia kwenye Vita ving vya nchi yake na nyingne amepgana Vita vng km Intelligencer
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Mrusi mjanja sana na yupo tayali kwa nyuklia
@yusuphjafarijr7583
@yusuphjafarijr7583 Жыл бұрын
Putin kichwa ameona hawa jamaa wamemshindwa watatumia nyuklia
@Ambagaye
@Ambagaye Жыл бұрын
Nyuklia haziko urusi tu, wao walikopi kutoka Marekani. Huwezi kumtishia mwenzakao kwa nyuklia wakati ni yeye alieanza kuzitengeza na kuzitumia na badaye akazilaani. Huyu jamaa (pumbavu sana) anatumia neno nyuklia kama vile ni urusi ndiye ana silaha hizo tu.
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Жыл бұрын
@@Ambagaye Unaweza kuwa wakwanza ukabaki na ukwanza ukakosa usasa kwa kuboresha.Utashangaa ulikuwa wa kwanza kununuua gari kwawakati ule uliona Lina speed. kanunua mwezako leo japo kachelewa kanunua gari lenye speed kukuzidi.Nani atakuwa bora kwa wakati huo?
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
@@Ambagaye umewapa somo la uelewa Isipokuwa wakitoa comment za maana dhidi yako nijuze, maana wengi wa wachangiaji ni waathilika wa itikada za AlQaida na Boko Haramu.
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
@@saimonijonas1471 vita hii mshindi atakuwa ni yule Mwenye Technology bora ya Siraha za kivita na Wala siyo kelele za ushabiki Kama ule wa timu za Simba na Yanga.
@mayombomajenga9778
@mayombomajenga9778 Жыл бұрын
Alidi uko sawa sio wale manyang'au wa chekeche hawajui kitu chochote kinachoendelea Duniani Kwa maswala ya urusi na marekani pamoja na washilika wake.asante
@owenmutale8686
@owenmutale8686 Жыл бұрын
Wale wachekeche si mashoga wale ulikua ufahamu
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Жыл бұрын
Wale wa chekeche poor poor aisee🤝
@maryjohn5004
@maryjohn5004 Жыл бұрын
Urus mwamba imara
@EdwardSMsiro
@EdwardSMsiro Жыл бұрын
Thabit uko vizuri sanaa, nakukubali sanaa ktk masuala ya uchambuzi, be blessed
@ommyregga5829
@ommyregga5829 Жыл бұрын
Putin saf sana marekani mashoga
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Жыл бұрын
Putin tunakuelewa vzr sana
@maxmiliangunze8931
@maxmiliangunze8931 Жыл бұрын
Tupo nyuma yako
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
usa ndiyo shida duniani taifa hilo ni la kishenzi sana na migogoro yote duniani ikiwemo kutengeneza makundi ya magaidi ni marekani,wakati umefikia usa inaibika kwa kuishi ikiwafanya watu wote wajinga
@bravenkombe2201
@bravenkombe2201 Жыл бұрын
Marekani mchonganishi
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Жыл бұрын
viva Russia
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 Жыл бұрын
Nyie wachambuzi namipa ongera sana kwa uchambuzi wenu uko wazi
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Yap muwe mnaleta wachambuzi Kama hawa sio wale wa kwenye chekeche hawajitambui kabisa wanatumia elimu yao kupotosha wajinga
@hasanimkamba8377
@hasanimkamba8377 Жыл бұрын
Niko pamoja na urusi
@jacksonmartin8485
@jacksonmartin8485 Жыл бұрын
Safi sana Russia 🇷🇺 yani uko mbele ya Muda mkuu
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 Жыл бұрын
Thabit anachambua haya mambo kwa kina sana..👏🏿👏🏿👏🏿
@philemonbigwanyi8059
@philemonbigwanyi8059 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@khatibkhatib2249
@khatibkhatib2249 Жыл бұрын
Uuuuuuuuuuraaaaaaaaa'paasibyaaaaaaa sputanyaaaaaaa uuuuuuuuuuraaaaaaaaa akhmuuuut long lives putin,more blessing baba wanyoooosheee wapuuzi hao
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 Жыл бұрын
Nyuklia sio poa....tuache ushabiki....ni kifo Kwa uhai!!
@yusuphjafarijr7583
@yusuphjafarijr7583 Жыл бұрын
Acha zipigwe
@mabujuma9355
@mabujuma9355 Жыл бұрын
😜😜😜😜😜
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 Жыл бұрын
Russia is good country ever
@chachamakome-wp1nx
@chachamakome-wp1nx Жыл бұрын
Kumbukeni msisahau Hawa NATO walichotufanyia enzi hizo àchen Putin awaweke sawa M,zee ongeza kichapo,mbona wao ghadaf,...,,,
@elialugongo8663
@elialugongo8663 Жыл бұрын
🇷🇺💪Ushindi kwako
@abdalahngozi5455
@abdalahngozi5455 Жыл бұрын
Huyo ndo mchambuzi sasa sio wale wa kweny chekeche
@matigoroally8282
@matigoroally8282 Жыл бұрын
Huyu Mchambuzi Namkubali Sana Kuliko Wale Waliopita Na Mtayarishiwao Kipindi! Walikua Ovyooo Kabisa Walikua Wanazungumza Wasivyovijua! Kiufupi USA Na NATO Na Umoja Wa Ulaya Maji Ya Shingo Hawamuwezi Mrusi Ameshajiandaa Muda Mrefu Sana Kabla Vita Kuanza lmekula Kwao Na Mnafiki Wao Mgombanishi Wa Dunia Ovyoo Kabisa Marekani!
@barick
@barick Жыл бұрын
♥️
@nyaburumabwire2534
@nyaburumabwire2534 Жыл бұрын
Salute kwa putin
@Fardadihd
@Fardadihd Жыл бұрын
Mchambuzi nimemuelewa
@pauldotto7928
@pauldotto7928 Жыл бұрын
UKWELI AZAMU NILIKUWA SIJAWASIKILIZA NINYI, NAOMBA MCHIMBE KABISA TAARIFA, UKWELI PUTINI YUKO SAHIHI MAGHARIBI NI TATIZO, SERIKALI YETU , HAIPASWI KUWAHUSUDU HAWA MAGARIBI
@omarhemed448
@omarhemed448 Жыл бұрын
Dotto Mabula nishoga anawashwa mkunduni. Wata chonga sana Russia 🇷🇺 babalao
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Choko choko za Marekani ndo zimesababisha yote hayo sasa kipi cha kuficha
@sadickbisale6637
@sadickbisale6637 Жыл бұрын
PUTIN
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Urusi Ana tecnogy ambayo ni Siri haijawahi toa Siri yake your ya. Kisilaa kwa sababu ya kulinda taifa lake ambayo matifa mengine hayana hiyo tecnogy
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Teknolojia ipi hiyo mkuu?
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 tunaposema tecnogy kunaupana mrefu technology ktk kutengeneza vitu technology kugundua vitu technology kucopy vitu tecnogy utafiti ipo ktk sehemu mbili mbali
@senikomanya7223
@senikomanya7223 Жыл бұрын
Uraaa🇷🇺
@thegreenkhidhir3705
@thegreenkhidhir3705 Жыл бұрын
Mchambuzi mzuri sana, ni independent thinker inaonyesha ni maoni yake halisi sio ya kucopy na kupaste!
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 Жыл бұрын
Huyo ndo mchambuzi anachambua uhalisia anaouona , sio mnaleta wachambuzi wanaangalia Borrell kasema nn , au Ursula kasema nn kwenye MSM zao unakuja kutupa uchambuzi
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Жыл бұрын
Pputin kapgwa ana mpya
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Hicho ndicho walitamani yatokee sasa yanakwenda kutokea na mwisho wake mbaya mno sijui ni nani aliidanganya Marekani kumpa uraisi Biden😭😭😭
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Жыл бұрын
Mmmmh! Hata angekuwa nani angepigana tu ni vita iliyopangwa karibu karne sio rahisi kutopigana mtihani kwa kweli
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Hiyo imepangwa na nchi nzima sio na Biden. Nia yao ni kuiminya Urusi isiwe na uwezo wa kiushawishi
@salimmugusi5829
@salimmugusi5829 2 ай бұрын
Tena wamechelewa
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Russia ni mkuu sana!! Marekani huwa anateseka sana!! Afu hajawahi kushinda vita!!
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Urusi ilishinda vita ipi?
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 vita ya korea, vietnam, ile vita ya pili ya dunia!! Aliyemwangusha hitler ni Russia. Hujui cyo soma kaka
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
​@@micamathew2595 mueleweshe hajui kitu huyo ushabiki tu unamsumbua
@issalyanalijr-8610
@issalyanalijr-8610 Жыл бұрын
Adolf Hitler Yuko wapi?
@nectarsangiwa-dy6dm
@nectarsangiwa-dy6dm Жыл бұрын
@@micamathew2595 Urusi alishashindwa vita Uingereza na Ufaransa ndio waliomsaidia Urusi kumuungusha Hitler...
@adamumikidadi2396
@adamumikidadi2396 Жыл бұрын
Nipekupata sabiti ngangana na omba namba ya sabiti mulangi
@josephwaigama-sb8hz
@josephwaigama-sb8hz Жыл бұрын
Ongeza vitu baba ushindi ni wako
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Rusia pigaa hao manyahau
@yussuphmwiwindi9445
@yussuphmwiwindi9445 Жыл бұрын
Hi
@mussakatoro8079
@mussakatoro8079 Жыл бұрын
Hatusimami na Mashoga, tunasimama na Urusi. VIVA URUSI VIVA PUTIN
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Ukisikiliza kwa umakini wachambuzi wengi wa mgogoro kati ya Urusi na Ukraine, wanakataa kujiingiza kwa Marekani mojakwamoja katika kuchochea vita hii. Matokeo ni lazima Urusi atumie silaha zake zote!
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Putin muhoga anaogopa wenzake watamzidi silaha
@chandechande9642
@chandechande9642 Жыл бұрын
huyu jamaa anaingamiza nchiyake nakaa pale
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 Жыл бұрын
Wacha ushoga wewe urusi wanapigana na ndugu yake anaua ndugu zake yeye ndio fala wewe shoga marekani kibokoo kama mti anaweza kuku chonganisha mjinga nani wewe fala
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
Putin na wengine Acheni.vita wanateseka ni wengi.vita sio.vizuri
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 Жыл бұрын
Hawa wote ni wapumbavu sana midude yote hiyo ni kwaajili ya kuuwa binadamu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Joe Baden to traveling to ucrain will not change anything underground on ucrain because they so many different engineering of wipon technology on this four heavy whaity between lran chaina Russian noth Corie this are vary andnvince technology they are am is to make sure end of Western power dimand
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын
Uraaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Kwahiyo huyu Jamaa akili zake zote anaiwaza vita na anako elekea yupo tayari kutumia silaha za nyuklia.
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
URAAAAAAAA
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Usicheze na hii mutu!!
@maryamtan682
@maryamtan682 Жыл бұрын
Si wanamchokonoa wenyewe, acha wakione tu akuna jinsi.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
Akitumia nuclear ndio itakuwa mwisho wake maana sasa ashakuwa tishio la dunia
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
​@@rumdeesonsoa1811 tishio ni Marekani na washirika wake wanataka waitawale kila nchi kama Dunia ni yao
@augustinemwalongo9824
@augustinemwalongo9824 Жыл бұрын
Nataman putin angekua mtanzania na watanzania tuwe na misimamo na mapenzi ya nchi yetu kama walivyo warusi
@Manyara-Jr
@Manyara-Jr Жыл бұрын
MUDA HUU TUNASHUHUDIA HAYA AFRICA ILIKUA MUAMAR GADAFI NA MAGUFULI WAZEE WENYE MAAMUZI MAGUMU NA SISI TUINGIE BRICS.. PIGA CHINI MASHOGA WA WEST NA MAREKANI
@komumbughuni8301
@komumbughuni8301 Жыл бұрын
West ni wapumbavu, mbona wao wanafanya ujinga mwingi wazi tu
@barnabazawadi9433
@barnabazawadi9433 Жыл бұрын
Maji ya kikufika shingoni hutawaita wapumbavu. Kama raisi wa Siria, ameanza kulaumu nchi za magharibi, kwamba huu sio wakati wa kuweka mbele siyasa bali uhai. Aliyasema hayo baada ya kuona hakuna msaada unaotaka nchi za magharibi. Mambo yakiwa sawa ni rahasa kuongea lolote unalojisikia kuongea. Lakini mambo yakikubana, wale uliyowasema vibaya, utaenda kuwaomba msaada. Hata ukiwaita wapumbavu, kumbuka sisi bado tu watumwa wao. Maana kila siku tunaenda kwao kuchukua mikopo. Kwa hiyo hawa watu majina yoyote tunatakayowaita, bado wana nguvu kutuzidi.
@mayombomajenga9778
@mayombomajenga9778 Жыл бұрын
Barnabas kumbuka hata huyo siria kukosa msaada ni sababu ya vikwazo vya hao magharibi.mbona kama unajitoa data mzee.robo tatu ya watu Duniani wanaishi chini ya vikwazo vya marekani EU sababu hawataki nchi zingine ziwe na amani ili waendelee kuzinyonya na kupora rasilimali.hebu fikiria tz Mali tulizo ibiwa na ujerumani na bado zingine wamefukia humu humu tz na huwezi zichukua haya waingereza je?pia masurubu waliyo yapata Babu zako nani atakulipia.wao walishagamwaga ugari kitambo acha putini amwage mboga wakose wote.hizo nyukilia kama putini anazo na amedhamilia kuwanyoosha basi mm naungana na putini amalize mchezo tuone upande wa pili itakuaje.japani iligongwa na marekani si unaona walinyooka ......naimani hata hili litaenda powa kabisa
@ericksonmuhulo1570
@ericksonmuhulo1570 Жыл бұрын
God bless Russia God bless our present putin
@bilioneaibrahim4680
@bilioneaibrahim4680 Жыл бұрын
Alukaida, islamiki state ni mmarekani
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 Жыл бұрын
🇷🇺
@dottomabula7253
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Alivamia alizani ataachwa
@sadikkazimoto7466
@sadikkazimoto7466 Жыл бұрын
Putin kavamia alizani watu watamuacha kakutana na mziki wa haibu
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 Жыл бұрын
Shogaaaaaaa nenda kafirwe na wamerikani na Europe pumbavuu
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Жыл бұрын
​@@nasseralhatmi1762 ww ndio shoga hapo unajifanya hujijui
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 Nenda kafirwe na wamerikani na Europe nyamafu unanuka kumamayako tena sitaki usome comments zangu kabisaaa koma sina shida na nyauuu masikini mkubwa falaaa
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
Sadiki Kazimoto aibu gani kakutananayo Putin? Hao Marekani ndio wamekutana na aibu maana walidhani watamshinda ki rahisi lkn wameshindwa kwaiyo aibu iko kwa nani?
@dottomabula7253
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Putin ameshindwa vita plain and simple
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Putin hajashindwa anapigana na nchi ngapi wasiingie kule wangeona mrusi mjanja anawaumiza kiuchumi
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Жыл бұрын
Brain washed mr
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Kivip??
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Жыл бұрын
@@emmanuelkanyela275 Haijalishi anapigana na wangapi alicho takiwa ni kushinda tu coz alisema ataiangusha Ukraine Kwa siku kadhaa lakini imeshindikana na amesha kula hasara kibao mpaka sasa je unadhani hajashindwa? Na unadhani wakati anaanza harakati zake za kuipiga ukrane hakujuwa kunawatu watamsaidia zerensk na ukumbuke alitoa vitisho kuwa yoyote atakae ingilia kuisaidia ukrane atakiona Cha mtema Kuni Leo Kuna mataifa kibao yanaisadia Ukrane kwanini asiyapige hayo mataifa kama alivyosema? Ukweli ameshindwa tu.
@immaomarwa5122
@immaomarwa5122 Жыл бұрын
Vunga basi acha kuwa marekani
@sadikkazimoto7466
@sadikkazimoto7466 Жыл бұрын
Putini awezi mziki wa yukrein kashachemka mwaka umeisha ana jipyaa
@mdashiruibrahim1367
@mdashiruibrahim1367 Жыл бұрын
Acha ujinga urus Yuko viziri
@dottomabula7253
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Right now I can say RUSSIA is the past tense we stand solidarity with Ukraine
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Pole
@fundidjmatiasimuradio4767
@fundidjmatiasimuradio4767 Жыл бұрын
Shoga
@issajumaali4009
@issajumaali4009 Жыл бұрын
mwehu wewe
@newgarden8036
@newgarden8036 Жыл бұрын
Shoga tu
@henrymwalugala3619
@henrymwalugala3619 Жыл бұрын
Russia 💪
@dottomabula7253
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Putin tumbo joto kaishiwa mbinu Kila aina ya silaha katumia kapata zero
@sogoramwinshekhe1464
@sogoramwinshekhe1464 Жыл бұрын
Vichaa msiojitambuwa mpo wengi sana humu
@festohaule9716
@festohaule9716 Жыл бұрын
Hajafikia malengo..ila kachukua maeneo makubwa makubwa ya Ukren..anayeshindwa ni yule anayepewa nguvu na Nchi 40 na bado anapingwa..
@IbrahimAli-yd1ng
@IbrahimAli-yd1ng Жыл бұрын
Hujui kinacho endelea ndugu, Putin hajapigana na aseme apigane basi ukrene inakuwa jivu.
@festohaule9716
@festohaule9716 Жыл бұрын
@@IbrahimAli-yd1ng kweli kabisa..Maana Russia inajeshi kubwa sana sana lakini walipelekwa ni laki na 80 tu kati ya 2700,000..meli zaidi mia 100 za kivita Submarine pia zipo.. Ukren itafutika. Mabomu mazito yapo.. angalia wanaakili kiaina Kwa kusema Russia inataka kuifuta Ukren wanakili kupingwa!!!!
@swalehemzimba3316
@swalehemzimba3316 Жыл бұрын
Wew huna unacho fahamu kumuhusu Putin kojoa ulale
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 169 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 20 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 63 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 169 МЛН