Рет қаралды 78,681
Urusi imetangaza kusimamisha ushiriki wake katika utekelezaji wa mkataba wa upunguzaji wa silaha kali kati yake na Marekani.
Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni leo, Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema Urusi haijajiondoa kutoka kwenye mkataba huo bali itasimama kushiriki kwenye kutekeleza makubaliano baina ya mataifa hayo mawili.
#AzamTVUpdates