Astfurullah astfurullah astfurullah Allah awatoe katika ujairia muone ndani ya msikit mnapiga Kelele Allah awesamee ajui mnarofanya
@AhmadSalim-dm4uk4 күн бұрын
Shekhe tafuta elimu itakusaidia hata kujua maana ya swalaatullaahi ala nnabi yani katajwa mtume hapo nabado unakaza fuvu 😂😂
@abdallahkassim76028 күн бұрын
Ma sha allah
@HanifaOman-oo4pl7 күн бұрын
Mtihani. Allah amuhifadhi.amjalie pepo. Ilahayomnayoyafanya yenu yy hayupohawakuwatuma mumuimbie nyimbo nakuchezangoma. Kama wakiristo
@mswakisaid23207 күн бұрын
Hayo wewe mhabi yakuhusu?
@allyfundi64057 күн бұрын
Pilipili usioila inakuwashia nn ww shetwani rrajiim
@KhalidAbdalla-lb4ph7 күн бұрын
Allah awaongoze waache upuuzi huu waje ktk sunna
@bachoSheikh-p4m6 күн бұрын
منامكم موتاكم
@KhalidAbdalla-lb4ph7 күн бұрын
tena upuuzi wafanywa mskitini
@Jumamnele-f7yКүн бұрын
hawawote humu wanaojiganya wanajua niwale sheghewetu kasema hawaswalihawa ,kusoma hawajasomahawa ,wao nikujuatubkifugandevubna suruali fupi. jamani hivi hayo madufu wapi waneimba wasiingie msikitini. wapi wamesema Mtume Muhamjad hafai. wapi waliposema Adhuhui ni rakaa mbili asubui moja. vingapi vimezushwa kumsifu mtume ni gharam tumsifunanisasa .
@KhalidAbdalla-lb4ph7 күн бұрын
hivi kuzua ndio kumpenda mtume ?
@Jumamnele-f7yКүн бұрын
hivi unajua hapo walikua wanaongeanini. au ndio shehewako kasema
@abuuabdirrahmaan41326 күн бұрын
KAMA KUNA WATU WAMEFURAHIA KWA KIFO CHA SHEIKH ABUU IDDY ALLAAH AMSAMEHE NI HAWA MASUFY WALIOPIGA NGOMA KWA FURAHA KABUSA
@AhmadSalim-dm4uk4 күн бұрын
Heshim basi hata ilo neno Yaarabbi swallii alaa Muhammad
@abuuabdirrahmaan41323 күн бұрын
@AhmadSalim-dm4uk SIKU ZOTE KUCHEZA NI ISHARA YA FURAHA HASAHASA KUKIAMBATANA NA MIDUNDO KWAHIO HAWA JAMAA WANEFURAHI KWELIKWELI KWA KUFARIKI KWA SHEIKH ALLAAH AMSAMEHE
@OmaryIBNSelemaniКүн бұрын
Rudi ukasome bd haujasoma
@abuuabdirrahmaan4132Күн бұрын
@@OmaryIBNSelemani Alhamdulillaahi nimesoma kwa kiasi cha kujua kwamba kucheza ngoma ni kitendo cha wanawake na nimewaona hao majamaa wenye kanzu hapo wanakata mabega na wengine viuno bado nafikiria hivi wanakusudia nini hao??? Kisha nakuuliza wewe Je hao watu hapo ni wanaume au ni kina mama???? Nisaidie nijue maana sijawaelewa kama ni wanaume wanamkatiakia nani
@abuuabdirrahmaan4132Күн бұрын
@@OmaryIBNSelemani Nisaidie tu kuwa hao watu hapo ni wanaume au ni kina mama na kama ni wanaume wanamaana gani kucheza ngoma
Ulikuwa unaangalia na kuumia ukiwa wapi muwahabi wewe😅
@emmadora78487 күн бұрын
Kwani pia alichati na alimiliki simu ?
@ShuaibuMsofe7 күн бұрын
Mzushi was kwanza wewe utumiaye sim
@AhmadSalim-dm4uk4 күн бұрын
Bachu kawaita watu kwenye kongamano la kuukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhan. Hivyo kamuulize kwanza yeye katoa wap 😂
@AliKhamis-j9z3 күн бұрын
@AhmadSalim-dm4uk inshallah ndugu huo niukumbusho t atamukipenda kuingia namabeni ingieni hamuja katazwa ilajiangalieni musije mukatoka ktk mstari wadini yenu maana hatamanaswara walianzia kama hivo mpaka dini wakaibadilisha