Ebwana eeehhh. Hili biti haijawah tokea kabisa 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@radokiraka611011 ай бұрын
Oi ooi oi heshima SAAna, keep on ENJOYing iT... PaamojaSAAna
@jafarytzmuzicjafary-g3iАй бұрын
Aaiseee hili beat nililitafuta sikujuaga kama bila Rado I preciate you bro👏🙀
@khalifasultan26775 ай бұрын
Nasikiliza Hili Banger September 2024✊🏾🔥🔥
@khairbinjumaa5545Ай бұрын
Hiyo guitar riff ilinikaa akilini taingia ilipotoka hii ngoma. Wallahi namiss hizi siku kurekodi Top 10 ya redio 1
@beesmarttv37922 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kumrudisha Rado!! Bro usiwaache wapumue. Tupia mawe kaka!! Mashabiki wako bado tupo!! New subscribers bro kutoka kwangu na shemeji yako!! All the way kutoka Botswana
@radokiraka6110 Жыл бұрын
Oi ooi oi HESHIMA SAAna SAAna bLood, WENDELEEkuWEPO: PaaMOJA
@JohnFesto-rd8mz20 күн бұрын
Ngoma yangu Bora ya mda wote ni hii, nakubali fundi Rado💯
@dinyoabeli90282 жыл бұрын
Hii Ngoma miaka 100 naikubaliiii🔥
@radokiraka611011 ай бұрын
Aamin Aamin bLood, na iweHIVYO
@blacksaturday2882Ай бұрын
Nice one all the way from South Africa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@christophergeorge54902 жыл бұрын
Ngoma yangu Bora kabisa
@radokiraka611011 ай бұрын
🙌🙌🙌💪🏿💪🏿
@KhamisJumanne-q2l2 ай бұрын
Nakubali respect mkuu heshima kwako
@NasabiMisses-qy6jd9 ай бұрын
haijawahi kuchuja hii ngoma bado sana cjui uko mitaa gan Rado
@dowgguerrila95032 жыл бұрын
Mkongwe Rado kutoka Kino Heshima sana
@radokiraka611011 ай бұрын
Kamanda Dowg, Heshima SAAna SAAna bLood
@rajlife35172 жыл бұрын
Happy to see you back the realiest one
@mathiaszakaria705222 күн бұрын
Ngoma kali sana
@khamisiomary-xt9su6 ай бұрын
hiii ngoma yamoto sana🔥🔥
@trevorkomba60153 ай бұрын
All time best!!!
@mosamossile91132 жыл бұрын
I'm watching from South Africa 🇿🇦Cape Town, RADO MUSICIAN FRM 🇹🇿 USIULIZE
@@radokiraka6110 Salute I'm happy to see u ma brother, So now work after work Tulikuitaji sanaaa
@watunzamisingi20162 жыл бұрын
HUA HAUTUCHEKI HATA KWA UCHESHI ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
@radokiraka61102 жыл бұрын
HUWA HATUCHEKI! #USIULIZE!
@nassoromelele73392 ай бұрын
BEST DISS TRACK ✌️🔥
@betasolution93 ай бұрын
Bonge la goma ❤
@samsonshile82993 ай бұрын
"Jivike vyeo vyote hata cha u field marshall vitani, utabainika tu siku yako iko njiani"🤣🤣🤣
@StanleyMgasi-v1g11 ай бұрын
Ngoma Kali ila mbona hujawahi toa nyingine!
@samirmswahili6 ай бұрын
Rado kiumbe 2024 nipo hapa nakula madini🐐
@Hadija-mw1wd3 ай бұрын
Nimeitafuta sana kitu dahh..usiulize
@edwinrobert350711 ай бұрын
Haitokaa Ichuje hii ngoma asee 2024 and still a banger
@radokiraka611011 ай бұрын
Aamin Aamin, haipingwi hiyo Ed... ChemChem SAAna SAAna naWANA
@edwinrobert350711 ай бұрын
@@radokiraka6110 Sana Tuu mzee 100%
@dizzonofficial26005 ай бұрын
Radooo asante young killer 2024 nko apa baada ya ku post
@jomiAfrica2 жыл бұрын
Anzisha challenge kwa hili beat
@radokiraka61102 жыл бұрын
Kwelii... ChemChemSAAna naWANA
@radokiraka61106 ай бұрын
0742975817 ChemChem
@andreangoda22444 ай бұрын
Hil goma MR RADO lifanyie namna bas manake bado lko 🔥🔥
@apti-vp2lu8 ай бұрын
Nimetafuta hili beat kwa muda Sana cku jua kumbe ni ya @ RADO
@dicksonmhalila45744 ай бұрын
Oya Mi miaka na miaka ndo nakuja kupata leo😂
@yedwinjj4 ай бұрын
Wewe ni mtoto wa 2000 nine mzee😂😂hii ngoma hujui ni ya Rado?
@josephkapinga17883 ай бұрын
Dah we kama mm😂😂😂😂😂
@RamadhaniAthuman-i6p27 күн бұрын
We utakuwa siyo wa 90s mwenzetu
@erickmoses743016 күн бұрын
Basi hakuna kitu unajua
@CHIEF_WA_BUJONDE6 күн бұрын
tbt achiji kakka
@paterandrea21465 ай бұрын
Kitambo sana kuna rafiki yangu anaitwa madenge alikuwa ameishika nyimbo nzima tukiwa kota za police mbeya sinde ❤❤ brother
@EnockAbraham-h3n4 ай бұрын
Makini sana
@SykesTAbraham3 ай бұрын
Mgagaana upwa hua hali wali mkavu! Kiraka Radoooo✊
@bakwine2 жыл бұрын
Chem chem Sana USO
@radokiraka611011 ай бұрын
Oi ooi oi ChemChem naWANA SAAna SAAna
@RidhiwaniMrisho7 ай бұрын
Huyo ndio kiraka kama kiraka king of rock city
@KhalidVova-f2t5 ай бұрын
Hii ngoma tunairudia kila wakati kukomenti na kuielezea sabab moja ya nyimbo zilizokuwa na ufanisi mkubwa kuanzia beat mipaka michano sisi watu wa mwanza tuna vingi vya kujivunia moja wapo ni hii nyimbo yet ya taifa kuanzia mitaa kwa mbita Mkanyenye Uhuru Rufiji Mviringo Liberty Karuta Rwagasore Lumumba...sea more....
Bonge moja la ngoma , it's one of my favourite songs.Nilikuwa nausikiliza sana enzi nikiwa teenage mpka sasa mtu mzima bado ninao kwa playlist yangu.🎉 Rado,salute sana kwako.Rudi kwenye game utupe mistari tena,tunamiss vitu vyako. August,2024.
@superhemed75905 ай бұрын
Bigup rado🎉🎉🎉 home boy migomigo
@Mc_Chabala5 ай бұрын
Vitasa
@ChorojuniorChoro-i1c4 ай бұрын
Mi hata kwa ucheshi huwa sicheki daah huyu jamaa hatari sana kweli kitambo ndiyo kulikuwa na hip pop
@XasanAxmad-wc5hp2 ай бұрын
Addicted to pain❤
@WaheedHamad-d5g10 ай бұрын
Respect sna mzee hii beat hua naiskiliza sna kwenye vitasa yani wanapenda sana kuiweka kipindi wanaingia mabondia😂😂😂😂hivo bc nikawauliza wana hii ni nyimbo gani wanacheka sna halafu wananambia hio nyimbo ww hujazaliwa huyo ni mnyama rado kipindi hiko wako moto na fid q😂😂😂salute sna lkn hili bit halitoki mdomoni mwangu
@AbdallaSuleiman-n7x6 ай бұрын
Hiii biti... Nmezaliwa 2004 ila naipenda hii beat na sijui kaimba nan leo ndo nimeibamba
@HamisiMlanda2 ай бұрын
Hakika nyimbo zazama zinathamani zaidi ya fulusi
@GodyKaywanga3 ай бұрын
Bit imeshiba saan
@kayitarekkboy12254 ай бұрын
Radooooo
@RidhiwaniMrisho7 ай бұрын
Ngosha alizingua sana kuiba baadhi ya mistari ya huyu mwamba ila msamehe tu respect man
@ibrabazo631811 ай бұрын
Sijawai ichoka hii ngoma
@radokiraka611011 ай бұрын
Shukran SAAna SAAna, ni yaKWAKO DAiMa
@augustinoyumba12659 ай бұрын
Huyu jamaa ni kuma namkubali kinoma
@clemencethomas13087 ай бұрын
Ngoma bado kama limetoka jana.
@skywalker_Eddy7 ай бұрын
Kwembe finest the only rapper with Sauti ya mamlaka
@NtemiJoseph-v6u18 күн бұрын
Hii ngoma itaishi milele
@radokiraka611011 күн бұрын
Aamin Aamin bLood tuDUMUkuMUDU kwaMUDAwaDAMU MKUU KIONGOZI MBELE NJIAyetu
Huyo ni baucha recordy kwa Nick dizzle Siyo majaniiii
@acklandkitaa5664 ай бұрын
Ngoma kal dunia
@johnrichard54826 ай бұрын
I remember those days when this song was on 🔥 Biti lilikuwa Kali, Mistari Mikali na Li Video lilikuwa ni Next Levels SALUTE TO YOU #RADO_KIRAKA #Chemchem 🙌🙌🙌🙌
@mkambora3 ай бұрын
Gone are the days
@KirangaHouston2 жыл бұрын
Ngoma hii..kitambo sana.. Respect🙏🙏 #KikiHouston
@radokiraka61102 жыл бұрын
ni kwelii kabisa SHUKRAN kwa MKUU
@diti48992 жыл бұрын
Back again bro. Kiraka
@radokiraka61102 жыл бұрын
Aamin Aamin SHUKRAN SAAna SAAna bLood ChemChem
@peterkichochi75106 ай бұрын
Chem chem
@Bk_melodyTz5 ай бұрын
🎉 hii beat Kila siku zinavyo zid kwenda inakuwa qari as new