Polen sana fam ya Milard kwa kuondokew na mpiga pic wenu
@AbshirMubaarackАй бұрын
Mheshimiwa Raisi na CDF,naomba hawajamaa wapande vyeo,km ni lutenant bc wawe captain,na km ni Captain bc wawe Majors.Wamejituma mno mno mno,very fantastic and Excellent to them🎉🎉🎉
@amirikhalifa9543Ай бұрын
Ni jeshi la police na sio tpdf
@ce-08Ай бұрын
Sio rahis hvyo ulisema hvyo Kila mwaka watapanda wangap kwenye siku ya uhuru Tanganyika, Zanzibar na siku ya Muungano hapo labda ataenda mwalimu au aliyeonekana kafanya vzur zaidi like right mark
@Maryc2GАй бұрын
Kweli kabisa, mtu akifanya kitu kizuri vizuri kumsifia. Umesema vizuri
@mrogtz8278Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Maryc2GАй бұрын
Yes nakubaliana na wewe, wapande vyeo
@Maryc2GАй бұрын
Discipline ya hali ya juuu 👆🏽🆙 kazi nzuri Hongera sana askari mmeonyesha ushujaa wenu
@ce-08Ай бұрын
Hepu nipe maana ya ushujaa
@superk1186Ай бұрын
@@ce-08kufanya vitu hatarishi.
@superk1186Ай бұрын
@@ce-08kufanya vitu hatarishi.
@mkadammkadamАй бұрын
Kufanya kitendo ambacho mwengine hawezi kufanya kwa kuhofia maisha yake. Ni kutekeleza kitendo ambacho mwengine kitamshinda kukitekeleza
@user-uq2mo7mw2lАй бұрын
Mnafiki anapiga makofi ,wapi jpm❤, 😭😭😭
@NamengehqАй бұрын
Nakumbuka miaka 6 iliyopita mungu ni mwema sana
@user-pi4jv2wq8cАй бұрын
Nimejikuta nacheka kwanguvu safi sana vimwanasesere
@eliakamwela5482Ай бұрын
Nimekumbuka enzi za Tabora millitary school.Hongera!
@user-zn8ws8nf5qАй бұрын
Muheshimiwa rais nakuomba mama anza mradi wadaraja lakutoka fire hadi magomeni mapipa raia wako tuondokane naadha yamaji
@lengaillikinjiye704Ай бұрын
Inafutia Sana kwa Inje ila ingia duuuh hatari Sana 😂😂😂🎉🎉 hongerani Sana
@PeninsulaHousesАй бұрын
Ata sisi tumevulaia sana
@adrianomaulaga1599Ай бұрын
Hahahahaa gwalide ni zuri kulitazama sio kushiriki humo ndani ni noma na nusu
@kevinomondi1390Ай бұрын
That's nice be blessed our mum
@alvinkulasare148Ай бұрын
Nimemkumbuka Charlchampil hapaaaaa hizi movement zao
@mohamedally1594Ай бұрын
Kama mimi
@kassimkalole8834Ай бұрын
Uiuiiddiiii
@tuntufyemwasyete3834Ай бұрын
Huyo anayewakagua Yuko vzr
@kituteАй бұрын
CDF was like waaoh vijana wangu wameiva. He's so impressed
@kevinzachariah6226Ай бұрын
CDF hasimamii Polisi.
@user-de7qf5hj6rАй бұрын
So amazing Tanzania 🎉
@user-wu5os9me4qАй бұрын
Respect to INSTRUCTOR
@DevotaIjumbaАй бұрын
Mungu awalinnde na kuwapa nguvu.mmenikosha sana
@anthonymgina3893Ай бұрын
Si jambo rahisi kuchekesha viongozi wamefanya vyema hongera zao
@TAMIMUALLY-ch7rcАй бұрын
daaaa vijana wameiva
@JACOBNDASHUKAАй бұрын
Hongera sana mpo vizur sana mola awalinde awape afya njema
@georgemihango71Ай бұрын
Mungu amjalie rais wetu maisha marefu! Tabasamu yake ni faraja kwa nchi!
@BibishoshАй бұрын
Allahumma ameen ya Rabby 🙏❤
@JosephDololoАй бұрын
Hatari sanaaaaaaaa
@piuspalmer8941Ай бұрын
wow SF from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 i loved this
@Easymoneyman44Ай бұрын
Honestly hii ni sarakasi banaaaa
@dingadinga6674Ай бұрын
Yesi saar kazi nzuri makamanda
@edithmakwakwa9489Ай бұрын
Good job
@brunotlanka4203Ай бұрын
Saluti kwao
@user-pp5mx1nx7nАй бұрын
Mmetishaaaa wooooosh
@husnatmsangeni739Ай бұрын
😂😂😂 Tanzania yangu😂😂
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Inyeshe mvua jua liwake bora mkoloni aliondoka Tuko huru kiduuchu🤌
@catherinekihengu2420Ай бұрын
Nimependa hili gwaride
@anithiajohn9209Ай бұрын
Ukiwa kiongz raha sana ata ukichek tu wana kupost kuna wew na mimi😅😅😅
Walio sikia sauti ya mc inafanana na ya dj rufufu naomba like zangu apa
@GoodluckAmosАй бұрын
Dah kweli bana dah rest in peace mkandala
@GoodluckAmosАй бұрын
Saut adimu sana
@sulaymanwaziri4455Ай бұрын
😂😂😂😂😂uhakika aisee
@mohamedkondo-tq2bmАй бұрын
Inamaanisha tuliko toka ni mbali
@FastpayMauzoАй бұрын
Hawa ni askari gan millard ungetufafanulia.. Au kuna mtu anajua atueleze
@gka9147Ай бұрын
Polisi hao tena wa Zenji
@shabanjaphar3019Ай бұрын
Askari wa zenji bhn, Yaan ni mdebwedo mpaka kwenye gearide. 😁😂😂😂
@honesternanyaro2106Ай бұрын
WANASTAHILI PONGEZI NYINGI
@s.d.c7925Ай бұрын
Ottomans empire Fes Hat but so beautiful military shows Republic Tanzania 🇹🇿
@miltonjohn9779Ай бұрын
Safi sana
@momylavielАй бұрын
Yaan nmechekaaa
@robertempire9542Ай бұрын
Nimejikuta nacheka kwa nguvu😂
@KevinOtucho-ow2xxАй бұрын
Wakenya kujeni mwone hii nayo ni kali sana
@mariamkimtai693Ай бұрын
Ushawahi ona jeshi la kenya likifanya makosa 😂😂😂😂😂😂😂we us kenyan our army are 👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@ruwaidahadi7198Ай бұрын
Ndio naona sarakasi
@justersmatiko3553Ай бұрын
Hapa ni utoto tu amna kitu hapa
@aggreyomusikoyoАй бұрын
Hawa ni sikauti was SDA hapa kenya
@tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын
Ka@@justersmatiko3553Kafanye wewe kama hujalazwa unakula skonsi mbili na Azam cola halafu ukacheze gwaride Hiro weweee acha kabisa
@user-lr5wc6kk7mАй бұрын
Diamond hakuepo au mvua?au wa2 hawakujua?au ndo wameingh Kwa passport,au watanganyik ndo hawatak muungano Sabab wenzao hawautak
@carlosjose2958Ай бұрын
Sensacional!!!
@iddimmbucwa3618Ай бұрын
Tz Amna wanajeshi hapo sema tu vita aijawafikia
@yohanakananika3586Ай бұрын
Hujitambui
@user-tp8mu3op4sАй бұрын
Pole sana jaribu
@saimonwantango9569Ай бұрын
Wew hujaelewa Kuna makosa yanafanyika kimakusudi ili kuonesha umahili wao mzee
@saimonwantango9569Ай бұрын
Wew hujaelewa Kuna makosa yanafanyika kimakusudi ili kuonesha umahili wao mzee
@othmanally1230Ай бұрын
Inshallah haitufiki ngo hujielew ww
@geofreymulei5695Ай бұрын
Kwa hii unform ya wakati wa wakoroni bado ipo dah 😮
@isayamwasile3103Ай бұрын
Inaweza ikashonwa ikafanana na ya mkoloni
@Psdanieltv7975Ай бұрын
Hata huo mfumo wa kijeshi ni ule ule wa kikoloni yaani ukoloni kila mahali
@francescorutinwa502Ай бұрын
Hawa ndio askari kanzu sio
@mbaruksaid5775Ай бұрын
Wanachekesha comedy tosha😂😂😂😂
@NaomiCharles-bb8md20 күн бұрын
Ongeleni sana askar♥️
@AlexAlex-kf1egАй бұрын
❤mimi pia nmecheka pia nmehuzunika
@koros8727Ай бұрын
Am from Kenya......in Kenya we call them scouts 😂😂😂
@saidyussuf2291Ай бұрын
Scouts wapo na hicho kikosi kilikuwepo kbla y uhuru uniform tuuu zinawiana
@andrensabe7735Ай бұрын
You’re right this is scouts
@dicksonmwenyembegu2523Ай бұрын
sisi kwetu scouts ni watoto kumbe kwenu ni mijitu mizima ivi
@mainguali6046Ай бұрын
Kisha they are taking alot of time for nothing
@geraldndosi2083Ай бұрын
Wapewe maua yao
@prince.eric_msemwa9732Ай бұрын
Kwata safi 😁
@hassanovajunior6972Ай бұрын
Wametisha sana salute🫡 🫡nyingi mno kwao kwakweli👏👏👏👏👏😀😀😀
@mstaraabusantiago747Ай бұрын
Kweli serikali nia wa mama hii ,kaptura ziliisha kipindi Cha ukoloni Bado tz zipo
@user-uq2mo7mw2lАй бұрын
Hivi wewe huna vitu vyako vya ukoloni ulivyoweka
@mstaraabusantiago747Ай бұрын
@@user-uq2mo7mw2l kwn mmekuwa scouts,mko nyuma sana nyie
@udoyasteven1091Ай бұрын
Safiii saana
@simonjoseph7775Ай бұрын
Ilikuwa tabu sana zaid ya jkt leo
@ayakoongori4902Ай бұрын
Silent drill ffrrom kenya where are you the NYS
@daudimichael7338Ай бұрын
Hawa ndo waliingia jeshini kuandaliwa kuwatesa watanganyika wenzao kwa manufaa ya mkoloni. 😂😂😂
@yohanacharles872Ай бұрын
Duuuh, kwann
@user-ex6sh1rl4dАй бұрын
Saiv wakolon wamegeuka watanganyika
@dennissamora729Ай бұрын
@@user-ex6sh1rl4d acha ujinga ww
@Mirzah_tvАй бұрын
Kifupi hao ndio sisiemu
@user-ws3gi8fk8jАй бұрын
Naona Jeshi la Tz lina mengi ya kujifunza kuhusu gwalide
@johnkabila6617Ай бұрын
Great country so peaceful ! Viva Tanzania!
@stevinmwanzaa1785Ай бұрын
Mwalim hongera xana
@bernardjohn8788Ай бұрын
Amesahau tuu kuweka lile sharubu kubwa
@rahymaaa4357Ай бұрын
Ujue wamechukua action ya commedy😂😂😂😂😂had nimemkumbuka champion comedian fire saluti kwenu wamba
@achouraachoura5763Ай бұрын
Hii kazi ngumu jamani😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@papaamasauti1973Ай бұрын
Leo tanzania imefanya majaribio silaha zake za nyuklia
@ruwaidahadi7198Ай бұрын
Hehehe wananijaandaa
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
😂😂😂😂😂 Raha Sana
@user-rt8bd9ne6cАй бұрын
😂😂😂 kazi kwelikweli
@andrewkipkulei7081Ай бұрын
Nice,great parade
@MashakaJohn-vt4gxАй бұрын
Kazi nzur ma kamanda
@FreeMind-tr3iyАй бұрын
Licha ya Mama Samia kucheka lakini pia Kwa mara ya kwanza namuona mama yetu mlinzi anayekuwa nyuma ya mheshimiwa Rais naye pia kashindwa kuvumilia kwa kicheko
@yonawilliam9419Ай бұрын
Da! Gwaride nimelipenda
@CamuudAwedАй бұрын
If we are Somaliland people we love our brother's Tanzanian People ✅🙏♥️🙏✅
@user-mh8lf8fm3hАй бұрын
Benta daaaaf, sithaan aqonsii lugumaheelaaa
@user-hq8wn9tz2lАй бұрын
Vijana wameiva
@chiefndatu1895Ай бұрын
Tarabush!😂😂😂
@hachimmohamed6296Ай бұрын
🤩🤩🤩🥰💞💞💯
@AbdulwahidTariqАй бұрын
Huyo MC si rufufu kabisa huyoo😂
@elandaboyzАй бұрын
Kenya tuko tu hapa tunacheka😂😂😂
@AmechitvАй бұрын
tuko😂😂😂
@Soon815Ай бұрын
Ni comedy unahaki ya kucheka
@joeka5457Ай бұрын
Na sisi from Rwanda tunacheka
@joycekalago532Ай бұрын
Wanapendeza sana❤
@johnsombi545Ай бұрын
Kazi nzuri
@ivankadaudi8161Ай бұрын
Safiiii❤❤❤
@shabanialfani5394Ай бұрын
Kipindi hicho bado Watanzania wengi wenye Akili timamu wakiwepo, lkn kwasasa Vichwa vingi vimebaki na Akili za kutafuta
@user-qy8fl2fd9qАй бұрын
Mbona wamevaa kibarakashia,ni wa zanziba au muungano😊
@emmanuelmasanja6040Ай бұрын
Zamani hizo ndio zilikuwa kofia za polisi
@karhayudeye536Ай бұрын
wonderful display
@AwaziRajabАй бұрын
Tunacheka Lakini Mababu Walipata Tabu Sana Ukoloni Aufai
@iddijumaali7192Ай бұрын
😊
@user-kv7ec4wn9kАй бұрын
ممتع ورائع مبدعين ❤
@MariaElena-td9rb26 күн бұрын
❤🙋🇦🇷
@user-pm7pj6zi6qАй бұрын
❤
@megouko8581Ай бұрын
Looks like the colonial era
@nabeelsombidah3405Ай бұрын
Just a millitary drama resembling collonia army
@Soon815Ай бұрын
That's what they were doing! Making funny of how things were during the colonial era!
@habiricheeseapaАй бұрын
Habiri
@giancarlopegoraro4024Ай бұрын
Please which country is this, I understand they are speaking swahili. Thank you for answer
@MariaElena-td9rb26 күн бұрын
Tanzania
@OmaryShabani-nw1ibАй бұрын
Awa ndo awataki twend kwao bila passport 😅
@user-cx6zn9sr7vАй бұрын
Masyallah 😁😁🤲
@regnethmtemanyongo2237Ай бұрын
❤❤❤❤
@josephwaciuri4568Ай бұрын
🎉good show
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hawezi kuwa cheo asiende hapo anawaza akimaliza hspo aende uwarabuni kuwaleta kuchukuwa hifadhi ili wamasai watokomee
@aliomar5518Ай бұрын
Wako vizuri 😂
@tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын
Kazi ngumu saana hii jamani hongereni
@adelamartin1320Ай бұрын
Tsengedi laisi wa Congo 🇨🇩 anacheka tu akati Ma police wake wezi wana tutesa sana watanzania atuna hamani uku kwao 🥲 mama fanya kitu wasiwe wana tutesa
@VictorKiplagat-wn4mwАй бұрын
Chorus ni lest right ✅️ 😅😅 Alshabab is watching entertainment