RAIS SAMIA AANGUA KICHEKO AKOSHWA NA ASKARI HUYU ALIYEWAPIGA BAKORA ASKARI WENZAKE

  Рет қаралды 478,173

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 320
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc Ай бұрын
Polen sana fam ya Milard kwa kuondokew na mpiga pic wenu
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack Ай бұрын
Mheshimiwa Raisi na CDF,naomba hawajamaa wapande vyeo,km ni lutenant bc wawe captain,na km ni Captain bc wawe Majors.Wamejituma mno mno mno,very fantastic and Excellent to them🎉🎉🎉
@amirikhalifa9543
@amirikhalifa9543 Ай бұрын
Ni jeshi la police na sio tpdf
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
Sio rahis hvyo ulisema hvyo Kila mwaka watapanda wangap kwenye siku ya uhuru Tanganyika, Zanzibar na siku ya Muungano hapo labda ataenda mwalimu au aliyeonekana kafanya vzur zaidi like right mark
@Maryc2G
@Maryc2G Ай бұрын
Kweli kabisa, mtu akifanya kitu kizuri vizuri kumsifia. Umesema vizuri
@mrogtz8278
@mrogtz8278 Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Maryc2G
@Maryc2G Ай бұрын
Yes nakubaliana na wewe, wapande vyeo
@Maryc2G
@Maryc2G Ай бұрын
Discipline ya hali ya juuu 👆🏽🆙 kazi nzuri Hongera sana askari mmeonyesha ushujaa wenu
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
Hepu nipe maana ya ushujaa
@superk1186
@superk1186 Ай бұрын
@@ce-08kufanya vitu hatarishi.
@superk1186
@superk1186 Ай бұрын
@@ce-08kufanya vitu hatarishi.
@mkadammkadam
@mkadammkadam Ай бұрын
Kufanya kitendo ambacho mwengine hawezi kufanya kwa kuhofia maisha yake. Ni kutekeleza kitendo ambacho mwengine kitamshinda kukitekeleza
@user-uq2mo7mw2l
@user-uq2mo7mw2l Ай бұрын
Mnafiki anapiga makofi ,wapi jpm❤, 😭😭😭
@Namengehq
@Namengehq Ай бұрын
Nakumbuka miaka 6 iliyopita mungu ni mwema sana
@user-pi4jv2wq8c
@user-pi4jv2wq8c Ай бұрын
Nimejikuta nacheka kwanguvu safi sana vimwanasesere
@eliakamwela5482
@eliakamwela5482 Ай бұрын
Nimekumbuka enzi za Tabora millitary school.Hongera!
@user-zn8ws8nf5q
@user-zn8ws8nf5q Ай бұрын
Muheshimiwa rais nakuomba mama anza mradi wadaraja lakutoka fire hadi magomeni mapipa raia wako tuondokane naadha yamaji
@lengaillikinjiye704
@lengaillikinjiye704 Ай бұрын
Inafutia Sana kwa Inje ila ingia duuuh hatari Sana 😂😂😂🎉🎉 hongerani Sana
@PeninsulaHouses
@PeninsulaHouses Ай бұрын
Ata sisi tumevulaia sana
@adrianomaulaga1599
@adrianomaulaga1599 Ай бұрын
Hahahahaa gwalide ni zuri kulitazama sio kushiriki humo ndani ni noma na nusu
@kevinomondi1390
@kevinomondi1390 Ай бұрын
That's nice be blessed our mum
@alvinkulasare148
@alvinkulasare148 Ай бұрын
Nimemkumbuka Charlchampil hapaaaaa hizi movement zao
@mohamedally1594
@mohamedally1594 Ай бұрын
Kama mimi
@kassimkalole8834
@kassimkalole8834 Ай бұрын
Uiuiiddiiii
@tuntufyemwasyete3834
@tuntufyemwasyete3834 Ай бұрын
Huyo anayewakagua Yuko vzr
@kitute
@kitute Ай бұрын
CDF was like waaoh vijana wangu wameiva. He's so impressed
@kevinzachariah6226
@kevinzachariah6226 Ай бұрын
CDF hasimamii Polisi.
@user-de7qf5hj6r
@user-de7qf5hj6r Ай бұрын
So amazing Tanzania 🎉
@user-wu5os9me4q
@user-wu5os9me4q Ай бұрын
Respect to INSTRUCTOR
@DevotaIjumba
@DevotaIjumba Ай бұрын
Mungu awalinnde na kuwapa nguvu.mmenikosha sana
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 Ай бұрын
Si jambo rahisi kuchekesha viongozi wamefanya vyema hongera zao
@TAMIMUALLY-ch7rc
@TAMIMUALLY-ch7rc Ай бұрын
daaaa vijana wameiva
@JACOBNDASHUKA
@JACOBNDASHUKA Ай бұрын
Hongera sana mpo vizur sana mola awalinde awape afya njema
@georgemihango71
@georgemihango71 Ай бұрын
Mungu amjalie rais wetu maisha marefu! Tabasamu yake ni faraja kwa nchi!
@Bibishosh
@Bibishosh Ай бұрын
Allahumma ameen ya Rabby 🙏❤
@JosephDololo
@JosephDololo Ай бұрын
Hatari sanaaaaaaaa
@piuspalmer8941
@piuspalmer8941 Ай бұрын
wow SF from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 i loved this
@Easymoneyman44
@Easymoneyman44 Ай бұрын
Honestly hii ni sarakasi banaaaa
@dingadinga6674
@dingadinga6674 Ай бұрын
Yesi saar kazi nzuri makamanda
@edithmakwakwa9489
@edithmakwakwa9489 Ай бұрын
Good job
@brunotlanka4203
@brunotlanka4203 Ай бұрын
Saluti kwao
@user-pp5mx1nx7n
@user-pp5mx1nx7n Ай бұрын
Mmetishaaaa wooooosh
@husnatmsangeni739
@husnatmsangeni739 Ай бұрын
😂😂😂 Tanzania yangu😂😂
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Inyeshe mvua jua liwake bora mkoloni aliondoka Tuko huru kiduuchu🤌
@catherinekihengu2420
@catherinekihengu2420 Ай бұрын
Nimependa hili gwaride
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 Ай бұрын
Ukiwa kiongz raha sana ata ukichek tu wana kupost kuna wew na mimi😅😅😅
@chido_wa_south2171
@chido_wa_south2171 Ай бұрын
Ata ukilia hutizamwi wanajitia hawakuoni😊
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev Ай бұрын
Ww ukicheka wanajua ni chizi
@SAVINPONSIAN
@SAVINPONSIAN Ай бұрын
Nanga wamejaa hapo
@mukarurangwabetty7605
@mukarurangwabetty7605 Ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/o4u5c2t5hLN3qLM🚨 RDC🇨🇩M23 IFASHE IBINDI BICE GIKOMANDO💪za KALEHE,MINOVA🔥SADEC BAHATAYE IBABA🇿🇦 ABARUNDI🇧🇮FARDC,FDLR😭😭kzbin.info/www/bejne/o4u5c2t5hLN3qLM
@movietz3394
@movietz3394 Ай бұрын
Walio sikia sauti ya mc inafanana na ya dj rufufu naomba like zangu apa
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos Ай бұрын
Dah kweli bana dah rest in peace mkandala
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos Ай бұрын
Saut adimu sana
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 Ай бұрын
😂😂😂😂😂uhakika aisee
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm Ай бұрын
Inamaanisha tuliko toka ni mbali
@FastpayMauzo
@FastpayMauzo Ай бұрын
Hawa ni askari gan millard ungetufafanulia.. Au kuna mtu anajua atueleze
@gka9147
@gka9147 Ай бұрын
Polisi hao tena wa Zenji
@shabanjaphar3019
@shabanjaphar3019 Ай бұрын
Askari wa zenji bhn, Yaan ni mdebwedo mpaka kwenye gearide. 😁😂😂😂
@honesternanyaro2106
@honesternanyaro2106 Ай бұрын
WANASTAHILI PONGEZI NYINGI
@s.d.c7925
@s.d.c7925 Ай бұрын
Ottomans empire Fes Hat but so beautiful military shows Republic Tanzania 🇹🇿
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Ай бұрын
Safi sana
@momylaviel
@momylaviel Ай бұрын
Yaan nmechekaaa
@robertempire9542
@robertempire9542 Ай бұрын
Nimejikuta nacheka kwa nguvu😂
@KevinOtucho-ow2xx
@KevinOtucho-ow2xx Ай бұрын
Wakenya kujeni mwone hii nayo ni kali sana
@mariamkimtai693
@mariamkimtai693 Ай бұрын
Ushawahi ona jeshi la kenya likifanya makosa 😂😂😂😂😂😂😂we us kenyan our army are 👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 Ай бұрын
Ndio naona sarakasi
@justersmatiko3553
@justersmatiko3553 Ай бұрын
Hapa ni utoto tu amna kitu hapa
@aggreyomusikoyo
@aggreyomusikoyo Ай бұрын
Hawa ni sikauti was SDA hapa kenya
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Ka​@@justersmatiko3553Kafanye wewe kama hujalazwa unakula skonsi mbili na Azam cola halafu ukacheze gwaride Hiro weweee acha kabisa
@user-lr5wc6kk7m
@user-lr5wc6kk7m Ай бұрын
Diamond hakuepo au mvua?au wa2 hawakujua?au ndo wameingh Kwa passport,au watanganyik ndo hawatak muungano Sabab wenzao hawautak
@carlosjose2958
@carlosjose2958 Ай бұрын
Sensacional!!!
@iddimmbucwa3618
@iddimmbucwa3618 Ай бұрын
Tz Amna wanajeshi hapo sema tu vita aijawafikia
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
Hujitambui
@user-tp8mu3op4s
@user-tp8mu3op4s Ай бұрын
Pole sana jaribu
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 Ай бұрын
Wew hujaelewa Kuna makosa yanafanyika kimakusudi ili kuonesha umahili wao mzee
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 Ай бұрын
Wew hujaelewa Kuna makosa yanafanyika kimakusudi ili kuonesha umahili wao mzee
@othmanally1230
@othmanally1230 Ай бұрын
Inshallah haitufiki ngo hujielew ww
@geofreymulei5695
@geofreymulei5695 Ай бұрын
Kwa hii unform ya wakati wa wakoroni bado ipo dah 😮
@isayamwasile3103
@isayamwasile3103 Ай бұрын
Inaweza ikashonwa ikafanana na ya mkoloni
@Psdanieltv7975
@Psdanieltv7975 Ай бұрын
Hata huo mfumo wa kijeshi ni ule ule wa kikoloni yaani ukoloni kila mahali
@francescorutinwa502
@francescorutinwa502 Ай бұрын
Hawa ndio askari kanzu sio
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 Ай бұрын
Wanachekesha comedy tosha😂😂😂😂
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 20 күн бұрын
Ongeleni sana askar♥️
@AlexAlex-kf1eg
@AlexAlex-kf1eg Ай бұрын
❤mimi pia nmecheka pia nmehuzunika
@koros8727
@koros8727 Ай бұрын
Am from Kenya......in Kenya we call them scouts 😂😂😂
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 Ай бұрын
Scouts wapo na hicho kikosi kilikuwepo kbla y uhuru uniform tuuu zinawiana
@andrensabe7735
@andrensabe7735 Ай бұрын
You’re right this is scouts
@dicksonmwenyembegu2523
@dicksonmwenyembegu2523 Ай бұрын
sisi kwetu scouts ni watoto kumbe kwenu ni mijitu mizima ivi
@mainguali6046
@mainguali6046 Ай бұрын
Kisha they are taking alot of time for nothing
@geraldndosi2083
@geraldndosi2083 Ай бұрын
Wapewe maua yao
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 Ай бұрын
Kwata safi 😁
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 Ай бұрын
Wametisha sana salute🫡 🫡nyingi mno kwao kwakweli👏👏👏👏👏😀😀😀
@mstaraabusantiago747
@mstaraabusantiago747 Ай бұрын
Kweli serikali nia wa mama hii ,kaptura ziliisha kipindi Cha ukoloni Bado tz zipo
@user-uq2mo7mw2l
@user-uq2mo7mw2l Ай бұрын
Hivi wewe huna vitu vyako vya ukoloni ulivyoweka
@mstaraabusantiago747
@mstaraabusantiago747 Ай бұрын
@@user-uq2mo7mw2l kwn mmekuwa scouts,mko nyuma sana nyie
@udoyasteven1091
@udoyasteven1091 Ай бұрын
Safiii saana
@simonjoseph7775
@simonjoseph7775 Ай бұрын
Ilikuwa tabu sana zaid ya jkt leo
@ayakoongori4902
@ayakoongori4902 Ай бұрын
Silent drill ffrrom kenya where are you the NYS
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Ай бұрын
Hawa ndo waliingia jeshini kuandaliwa kuwatesa watanganyika wenzao kwa manufaa ya mkoloni. 😂😂😂
@yohanacharles872
@yohanacharles872 Ай бұрын
Duuuh, kwann
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d Ай бұрын
Saiv wakolon wamegeuka watanganyika
@dennissamora729
@dennissamora729 Ай бұрын
@@user-ex6sh1rl4d acha ujinga ww
@Mirzah_tv
@Mirzah_tv Ай бұрын
Kifupi hao ndio sisiemu
@user-ws3gi8fk8j
@user-ws3gi8fk8j Ай бұрын
Naona Jeshi la Tz lina mengi ya kujifunza kuhusu gwalide
@johnkabila6617
@johnkabila6617 Ай бұрын
Great country so peaceful ! Viva Tanzania!
@stevinmwanzaa1785
@stevinmwanzaa1785 Ай бұрын
Mwalim hongera xana
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 Ай бұрын
Amesahau tuu kuweka lile sharubu kubwa
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 Ай бұрын
Ujue wamechukua action ya commedy😂😂😂😂😂had nimemkumbuka champion comedian fire saluti kwenu wamba
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Ай бұрын
Hii kazi ngumu jamani😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 Ай бұрын
Leo tanzania imefanya majaribio silaha zake za nyuklia
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 Ай бұрын
Hehehe wananijaandaa
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Raha Sana
@user-rt8bd9ne6c
@user-rt8bd9ne6c Ай бұрын
😂😂😂 kazi kwelikweli
@andrewkipkulei7081
@andrewkipkulei7081 Ай бұрын
Nice,great parade
@MashakaJohn-vt4gx
@MashakaJohn-vt4gx Ай бұрын
Kazi nzur ma kamanda
@FreeMind-tr3iy
@FreeMind-tr3iy Ай бұрын
Licha ya Mama Samia kucheka lakini pia Kwa mara ya kwanza namuona mama yetu mlinzi anayekuwa nyuma ya mheshimiwa Rais naye pia kashindwa kuvumilia kwa kicheko
@yonawilliam9419
@yonawilliam9419 Ай бұрын
Da! Gwaride nimelipenda
@CamuudAwed
@CamuudAwed Ай бұрын
If we are Somaliland people we love our brother's Tanzanian People ✅🙏♥️🙏✅
@user-mh8lf8fm3h
@user-mh8lf8fm3h Ай бұрын
Benta daaaaf, sithaan aqonsii lugumaheelaaa
@user-hq8wn9tz2l
@user-hq8wn9tz2l Ай бұрын
Vijana wameiva
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 Ай бұрын
Tarabush!😂😂😂
@hachimmohamed6296
@hachimmohamed6296 Ай бұрын
🤩🤩🤩🥰💞💞💯
@AbdulwahidTariq
@AbdulwahidTariq Ай бұрын
Huyo MC si rufufu kabisa huyoo😂
@elandaboyz
@elandaboyz Ай бұрын
Kenya tuko tu hapa tunacheka😂😂😂
@Amechitv
@Amechitv Ай бұрын
tuko😂😂😂
@Soon815
@Soon815 Ай бұрын
Ni comedy unahaki ya kucheka
@joeka5457
@joeka5457 Ай бұрын
Na sisi from Rwanda tunacheka
@joycekalago532
@joycekalago532 Ай бұрын
Wanapendeza sana❤
@johnsombi545
@johnsombi545 Ай бұрын
Kazi nzuri
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 Ай бұрын
Safiiii❤❤❤
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Ай бұрын
Kipindi hicho bado Watanzania wengi wenye Akili timamu wakiwepo, lkn kwasasa Vichwa vingi vimebaki na Akili za kutafuta
@user-qy8fl2fd9q
@user-qy8fl2fd9q Ай бұрын
Mbona wamevaa kibarakashia,ni wa zanziba au muungano😊
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Ай бұрын
Zamani hizo ndio zilikuwa kofia za polisi
@karhayudeye536
@karhayudeye536 Ай бұрын
wonderful display
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Tunacheka Lakini Mababu Walipata Tabu Sana Ukoloni Aufai
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 Ай бұрын
😊
@user-kv7ec4wn9k
@user-kv7ec4wn9k Ай бұрын
ممتع ورائع مبدعين ❤
@MariaElena-td9rb
@MariaElena-td9rb 26 күн бұрын
❤🙋🇦🇷
@user-pm7pj6zi6q
@user-pm7pj6zi6q Ай бұрын
@megouko8581
@megouko8581 Ай бұрын
Looks like the colonial era
@nabeelsombidah3405
@nabeelsombidah3405 Ай бұрын
Just a millitary drama resembling collonia army
@Soon815
@Soon815 Ай бұрын
That's what they were doing! Making funny of how things were during the colonial era!
@habiricheeseapa
@habiricheeseapa Ай бұрын
Habiri
@giancarlopegoraro4024
@giancarlopegoraro4024 Ай бұрын
Please which country is this, I understand they are speaking swahili. Thank you for answer
@MariaElena-td9rb
@MariaElena-td9rb 26 күн бұрын
Tanzania
@OmaryShabani-nw1ib
@OmaryShabani-nw1ib Ай бұрын
Awa ndo awataki twend kwao bila passport 😅
@user-cx6zn9sr7v
@user-cx6zn9sr7v Ай бұрын
Masyallah 😁😁🤲
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 Ай бұрын
❤❤❤❤
@josephwaciuri4568
@josephwaciuri4568 Ай бұрын
🎉good show
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Hawezi kuwa cheo asiende hapo anawaza akimaliza hspo aende uwarabuni kuwaleta kuchukuwa hifadhi ili wamasai watokomee
@aliomar5518
@aliomar5518 Ай бұрын
Wako vizuri 😂
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Kazi ngumu saana hii jamani hongereni
@adelamartin1320
@adelamartin1320 Ай бұрын
Tsengedi laisi wa Congo 🇨🇩 anacheka tu akati Ma police wake wezi wana tutesa sana watanzania atuna hamani uku kwao 🥲 mama fanya kitu wasiwe wana tutesa
@VictorKiplagat-wn4mw
@VictorKiplagat-wn4mw Ай бұрын
Chorus ni lest right ✅️ 😅😅 Alshabab is watching entertainment
@rukiamadati336
@rukiamadati336 Ай бұрын
Hawa askari walitisha kuliko wote👏👏
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 3,3 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 48 МЛН
Military might: Kenya Defence Forces showcase their Hardware and Fire power
26:21