RAIS SAMIA ALIVYOINGIA TENGERU LEO, ULINZI WAKE NASSARI AMKOSHA AKIOMBA

  Рет қаралды 27,121

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 44
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Жыл бұрын
Tunamuomba mwenyezi mungu subhana huwataallah amjaalie rais wetu afya njema ,❤❤❤❤❤❤❤,kazi iendeleee
@user-qp9mr5ge5e
@user-qp9mr5ge5e Жыл бұрын
Shikamoo mama tunakupenda Sana hatuna Nia mbaya na wewe tunakuomba Umtangulize Mungu ndiye atakupa uwezo wa kutuongoza najua huwez kumridhisha Kila mtu uishi maisha marefu Mama Samia
@kelvinkangomba9590
@kelvinkangomba9590 Жыл бұрын
My president❤❤
@bongo39
@bongo39 Жыл бұрын
Mama piga kazi wachawi wanga wafunge midomo yao wezi wa fadhila wasioujua kushukuru mungu
@Monica1Mona1
@Monica1Mona1 Жыл бұрын
Mama samia upo vizuri na unaupiga Mwingi saanaaa Comrade
@davidpaulbernard
@davidpaulbernard Жыл бұрын
Ukiona hayo elewa ni nguvu ya pessa inashangilia Lakin ukweli ni unabaki. Kuwa ukweli ya kuwa tumeuzwa na hao hao wanaoshangilia wakipewa fedha waandamane wanaweza . so shida ni kwamba tunatofautiana kipato.pole Sana Tanganyika
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Жыл бұрын
Tatizo letu mambo mazuri comment ni chache,ila jambo baya au mrembo kapiga vitu vya Uturuki comment hadi 10000
@khalifamutabuzi6583
@khalifamutabuzi6583 Жыл бұрын
Kazi Iendelee
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 Жыл бұрын
Safi Sana Mama
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
Piga kazi mama nafungua nchi
@ChidBoy-fz8qs
@ChidBoy-fz8qs Жыл бұрын
Saf sana mama Samia soko
@kingnkumbi5834
@kingnkumbi5834 Жыл бұрын
Hizi combati zingne ni jeshi la wapi naomba kueleweshwa 🙏
@natgeowildafrika7328
@natgeowildafrika7328 Жыл бұрын
Dp world
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Жыл бұрын
Hahaha 🤣🤣🤣🤣
@richardbegga6679
@richardbegga6679 Жыл бұрын
Wameripwa Sh ngp hao watu wa CCM?
@roseamos2812
@roseamos2812 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@mrjaula7769
@mrjaula7769 Жыл бұрын
Jamani hata no comments jamaniii 😭😭😭😭😭😭😭
@highthemetv7857
@highthemetv7857 5 ай бұрын
Kuna mume wa mtu hapo anaita mamaa
@davidpaulbernard
@davidpaulbernard Жыл бұрын
Na aliyoyasema dugai alijua Kila kitu na ndio maana wakamtaka ajiuzuru.ila. Dugai anajua kabisa bandari insuzwa ili tupunguze den la uvico 19.
@allymusira2153
@allymusira2153 Жыл бұрын
Wewe ukimtukana wenzio wanamuelewa
@muzneali4747
@muzneali4747 Жыл бұрын
Wabejibanza kimya ingekuwa hakuna watu ungewaona wakiponda Binaadamu taabu saana
@mohamedbushoberwa9418
@mohamedbushoberwa9418 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
WATANZANIA WANAFIKI SANAA. MNALALAMIKA ANAUZA NNCHII, LAKINI BADO HUKU MNA MPIGIA MAKOFII, SASA TUWAELEWEJEE?
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 Жыл бұрын
Mtapigwa Bei mpaka kaptura zenu
@mayaally2512
@mayaally2512 Жыл бұрын
HII NCHI WATU WANAJUA WANATAKA NN WA MITANDAONI WANAJISUMBUA NA NI O.OO1%
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
TANAZANIA HATUKUWAHI KUWA NA RAIS MNYENYEKEVU NA MCHA MUNGU WA UKWELI KAMA MAMA SAMIAH! ASANTE SANA MUNGU BABA KWA KULIPENDA TAIFA LAKO HADI UKAMLETA MTEULE WAKO AMINA!
@hashimuuhehwa1320
@hashimuuhehwa1320 Жыл бұрын
Bwege wewe
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
@@hashimuuhehwa1320 Hata utembelee kichwa, sisi huyu ndo rais wetu mpendwa na atakuongoza hata wewe miaka mitano tena. Ukimchukia ndo Mungu anazidi kumbariki zaidi!
@hashimuuhehwa1320
@hashimuuhehwa1320 Жыл бұрын
@@cleophacephelician6739 Sema wewe sio sisi kiswahili hujui nini au wewe sio Mtanzania?
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Жыл бұрын
wauza bandari
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
Kiongozi ukipendwa huwezi kuweka ulinzi mkubwa hivi,,,,sasa wanaogopa nini viongozi wa kiafrika?kutembea nchini mwao kwa ulinzi mkubwa na mabunduki ya vita
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Hukusomea Protocol ya Usalama Kaa kimya Kwani duniani kuna binadamu atapendwa na Kila mtu Binadamu huyo hajazaliwa labda wewe utakuwa ndio wa kwanza
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
@@ramadhanimtetu3656 viongozi huku ulaya wanararuana kwa maneno ata kwenye mabunge yao...ila hawana ulinzi wa hivyo...ni viongozi wa vi nchi maskini kununua bunduki hizo kuwaua waafrika wenzao..leo tunaona huko sudan..kwani bunduki si viwanda viko ulaya...?
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
@@ambokileasheengai1140 Ulinzi Kwa Viongozi wetu ni Suala nyeti linaloratibiwa na Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama sababu Kila mtu ana Maadui na wanaompenda kanuni ya kiusalama inasema m-baya kajificha m-baya haonekani kwa urahisi Ndio Maana nchi kama Marekani imepoteza Marais wao kadhaa kwa kuuawa na watu waovu akiwemo Rais Kennedy
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
Wanafiki hamkosi la kusema! Magufuli mlimsifu kila kona ila ulinzi wake mkubwa hamkusema, leo mama analindwa kama watangulizi wake, mmeanza makelele. Tuwaeleweje!? Ulinzi wa rais we unakuhusu nini!?
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
@@cleophacephelician6739 mimi ata ulinzi wa Magufuli sikusifia ni upuuzi mkubwa viongozi wa Kiafrika kutembea na ulinzi na magobole yaliotengenezwa ulaya na wao wenyewe wako huru,,ina maana sio wasafi kabisa
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Жыл бұрын
Watanganyika hata hawajielewi
@NDEWARA
@NDEWARA Жыл бұрын
Mtanganyika nani😂😂 Tanganyika ilikuwa estate ya wajerumani 😢Sisi ni Watanzania 🎉🎉🎉
@nolascotesha8996
@nolascotesha8996 Жыл бұрын
Stendi yetu yamkoa mama mbona hatuielewi mama,ahadi yastendi imekua kizunguzungu sana.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Sina comment acha nikae kimya sina wakili mie😂
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Жыл бұрын
BANDARI BANDARI SHIKAMOO
@Bikhafija
@Bikhafija Жыл бұрын
Bandar umefeli mm lazima tuseme ukweli
@khalifamutabuzi6583
@khalifamutabuzi6583 Жыл бұрын
Kazi Iendelee
@khalifamutabuzi6583
@khalifamutabuzi6583 Жыл бұрын
Kazi Iendelee
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
TAZAMA ULINZI WA RAIS SAMIA ALIVYOTEMBELEA BUNGE LA MALAWI
2:08
EastAfricaTV
Рет қаралды 5 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН