SHEIKH IZUDIN ALISEMA BILA WOGA MBELE YA RAIS SAMIA, TUNANYANYASWA BODA SISI WAKENYA | UNYANYASAJI

  Рет қаралды 70,675

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

Жыл бұрын

Kueelekea katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam, Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar. Mgeni rasmi Rais wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZbin: / @babdeomiladu

Пікірлер: 90
@stefanogizzler
@stefanogizzler 11 ай бұрын
Safi kabisaaa, Am not Muslim but much respect to that speech, I admire Muslim preachings quite a lot, very calm, knowledgeable, smooth and very genuine wallahi. I also like when they call Mtume Salalaha Wa Salala. Well presented bro!!
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 10 ай бұрын
Mashaa Allah welcome true religion
@somosomo4860
@somosomo4860 4 ай бұрын
Join Muslim and let be one as muslim there is much more that u will be admire meyb. if u believe and have faith.wlcm bro
@Ress114
@Ress114 Жыл бұрын
Asante Shekhe . Lunga Lunga na Namanga balaa ndugu. Asante Sana
@halimaomari3415
@halimaomari3415 Жыл бұрын
Mashaa Allah sheikh izudin mola akuongoze kwa kila njia yenye kheir na manufaa
@ismailburhan8622
@ismailburhan8622 Жыл бұрын
MASHALLAH ujumbe mzito na mzr tumefaidika alhamdulillah
@allyhassan7169
@allyhassan7169 Жыл бұрын
Mashaallah ujumbe umefika speech yako shekh ni nzuri mno maneno mazuri yaliojaa hekma ndani yake hata kionqozi wa siasa ni nqumu kuonqea hayo
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve Жыл бұрын
Mashaallah shukran Ahsante kwa mara mzr na yenye mafunzo mzr na muhimu sana
@hassanabdalla9688
@hassanabdalla9688 Жыл бұрын
Mashaallah,waridhi wa mitume.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 14 күн бұрын
Allah ajaalie uislamu ukue kwa kishindo inshallah kwa uwezo wake jalali
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
Jazaaka llahu khayra umepita vizuri sana
@Abdulrahman.84
@Abdulrahman.84 Жыл бұрын
Shukran wajazaka allahu kheir Sayyid
@hassanabdulrahman189
@hassanabdulrahman189 Жыл бұрын
Ma sha Allah.... Allah Baarik fiik 🤲🤲🤲
@rahmahasan32
@rahmahasan32 10 күн бұрын
Masha Allah tabarak Allah
@user-oz5hh4oi8r
@user-oz5hh4oi8r Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie
@RayRey-ji1em
@RayRey-ji1em Жыл бұрын
اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
@knight6757
@knight6757 Жыл бұрын
Asante sheikh 🤲
@aaliyahniqab7876
@aaliyahniqab7876 Жыл бұрын
Ma Sha Allah majaliwa this should happen in Kenya tu.
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Жыл бұрын
MashaaAllah tabaraka Allah 👏🥰❤
@omarjumaan3061
@omarjumaan3061 Жыл бұрын
What's good in your speech is that you are straight forward.
@jaoabdiwatchingfromborehol869
@jaoabdiwatchingfromborehol869 Жыл бұрын
JazakaAllahu kheiran sheikh
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 Жыл бұрын
Mashaa Allah
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 18 күн бұрын
Mama Samia binti Suluhu wake Hassan atatutatulia hili swala la kwenye mipaka..Mungu akupe kheri mama
@hundredcopies2719
@hundredcopies2719 Жыл бұрын
Ameongea vzur sana... Allah akulipe
@user-iz2dw8rp2i
@user-iz2dw8rp2i 11 ай бұрын
Wallah mimi izuddin nimsikilize stress zisitoke...yan najihis nimeingia pepon haswa.nakupenda kwa ajili ya allah
@philetundo
@philetundo Жыл бұрын
Good message from Kenya Samia should take knot please mnatutesa!
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@moyogems
@moyogems Жыл бұрын
Maneno yako shekhe yapo saaana na yanaangamiza taifa siasa ya tz ni zaid ni muombe rais wangu afanyie kazi maneno manzuri hayo ili taifa hili liwe salama zaid mungu akubariki
@irakozesoulayman3048
@irakozesoulayman3048 4 ай бұрын
Respect Mwalim Wang Izudin
@eastafricahealth8168
@eastafricahealth8168 2 ай бұрын
Thank you, shekh izudin TZ boarders ni shida sana kwa wakenya border zote ina shida
@abdallahferouz9238
@abdallahferouz9238 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@sihamjamal2234
@sihamjamal2234 11 ай бұрын
MASHA ALLAH 💖💖💖
@aminajuma1215
@aminajuma1215 18 күн бұрын
Mashallah
@infinixoman-nd7nh
@infinixoman-nd7nh Жыл бұрын
Mashaallah
@hajikhamis6544
@hajikhamis6544 Жыл бұрын
Asant shekh
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Ni kweli yaani ujinga wa wa Afrika kuhusu kishikilia mipaka ya tulio wekewa na wazungu sijui ni maradhi gani yalotushika
@mosesgatsinzi7308
@mosesgatsinzi7308 Жыл бұрын
Be blessed Sheikh 🙌
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
💯
@shakiramoha9682
@shakiramoha9682 Жыл бұрын
Kweli
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Shekh la dunia
@yusuf131000
@yusuf131000 Жыл бұрын
ukweli
@saidkhamismasai1204
@saidkhamismasai1204 Жыл бұрын
Ni Swadakta boda yetu na majiran zetu ina ubinafsi sana .
@marrowog8975
@marrowog8975 Жыл бұрын
Msichanganye haki na batili ..nayo ni aya pia jamani
@musaabdi3467
@musaabdi3467 Жыл бұрын
Kabisa wametutesa mm kwanza kibinafsi
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Жыл бұрын
Huyu ni سامِية Na sio سميا
@user-yh1gs2se7e
@user-yh1gs2se7e Жыл бұрын
Mh yani ww umetafuta wapi makosa mh haya tumeelewa
@AhmedMohamed-um8ox
@AhmedMohamed-um8ox Жыл бұрын
That' is true palipo na ukweli hasidi shetwani hakosekani👹👺
@mugambarazidjuma846
@mugambarazidjuma846 Жыл бұрын
Nasisi waburundi mpakani twanyanyaswa hata njiani askari wakijuwa tu wewe nimburundi basi utawekewa uzito
@user-ds7ho1my4u
@user-ds7ho1my4u 19 күн бұрын
Hivi kweli hamkemei Ushoga na Wanawake wengi, Huenda kinyume cha maumbile kulinda Bikira zao, Zanzibar acheni kukwepa Ukweli Kemeeni hili jambo.
@IsmailJumaAli-wi1xh
@IsmailJumaAli-wi1xh 3 ай бұрын
Naomba namba ya Sheikh Izudin
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Жыл бұрын
Sasa Sheikh Alwi laxima USALAMA uwepo laxima kuwe PAGUMU kwa usalama wa raia na wananchi wote kwa UJUMLA!madawA miraa rasili mali za nchi jusafirishwa bila vibali hizo border ni muhimu sanakuwe na ULINZI wahali ya juu
@yusufhulk3032
@yusufhulk3032 Жыл бұрын
Ukweli usemwe boda kuna ubaguzi na udhalilishaji especially kwa wakenya hao polisi wa Tanzania wamezidi
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
Hata sisii tukijaga kwenu tunapata shida sana
@tintin0019
@tintin0019 Жыл бұрын
Ndio kataja horohoro na lungalunga hakutaja horohoro tuu kuwa muelewa mzuri
@qariibnuhamad
@qariibnuhamad Жыл бұрын
Amesema pande zote mbili
@habibasalim3092
@habibasalim3092 Жыл бұрын
Wewe huku watanzania wake kwa wake wamejaa wametuchukulia kazi zote za nyumba, sisi wenyewe hatuna magazine tena, wakishika pahali wanaletana wakiletana, kuna majumba hadi yamebandikwa majina yaitwa pale kwa watanzania, tena wake kwa waume wanafanya boss mmoja watanzania wake 2 au 3 na mume wa kufua na kufuta madirisha,,Waombaji zakka pia wamejaa, wametunyanyasa hadi sasa watu wameishilia Saudi sababu kazi papa Mombasa hamna tena
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 11 ай бұрын
Na hapa kenya watanzania tumewachia soko yetu kubwa ya gikomba watanzania wako huru wala hatuwasumbui hata kidogo
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
😂MILADU USIJIFANYE KAMA HUJAONA NIQASHI SIULIKUA UNAMPOST ABUU HAATIMY RUSHA NIQAASH WATU WAONE
@khamismwalim5604
@khamismwalim5604 Жыл бұрын
Acha chuki zako apo hapazungumzw habar ya nikash
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Nikash ndio nini?
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Жыл бұрын
Kuna benki hapo mmedhaminia kutoa da,awa na taasisi zenye miamala haram?
@khamseysagrado7547
@khamseysagrado7547 Жыл бұрын
Hiyo ni bank ya kiislam.......islamic banking acha ujuaji
@user-cj2pf7vn4b
@user-cj2pf7vn4b 11 ай бұрын
Kabisz
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 11 ай бұрын
Hii soko yote imechukuliwa na watanzania wala hatuna shida na wao mbona wao wanawasumbua sana wakenya
@martymcfly9232
@martymcfly9232 Жыл бұрын
Na wapi huko?
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 14 күн бұрын
Zanzibar
@metrom8009
@metrom8009 11 ай бұрын
Hiii east Africa parliament ya wabunge kutoka inchi zote za afrika ya mashariki wao uzungumza nini kwa hiyo bunge mbona hatujawahi onyeshwa Mambo wao uzungumzia ili pia sisi tujue maswala yanayo kumba wanainchi wa hizi nchi
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 19 күн бұрын
Ukweli ukaja tanga shida
@user-er1is8gg8y
@user-er1is8gg8y 13 күн бұрын
Ukiona shekh yupo na wakubwa bc tia X
@marrowog8975
@marrowog8975 Жыл бұрын
Uzalilishaji ni uo tu?? Tuache unafiki, kuna wanawake mumewaweka makambini uko na kupiga mapara, kuwapa kazi za kiume, kuwachanganya katika harakati ata za kuingiliana ...uo ndio uzalilishaji
@mafiatv5479
@mafiatv5479 Жыл бұрын
ushauri wako
@qariibnuhamad
@qariibnuhamad Жыл бұрын
Amepewa muda mdogo
@marrowog8975
@marrowog8975 Жыл бұрын
@@mafiatv5479 hakuna komando mwanamke tanzania ... wanawake wasipewe kaz za kiume . Na wasichanganywe
@noelnoel4916
@noelnoel4916 Жыл бұрын
Na watanzania wetu wananyanyaswa pia
@eddyrandu3127
@eddyrandu3127 Жыл бұрын
Nani anawanyanyasa, weee
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf Жыл бұрын
Wapi wanapo nyanyaswa
@mohammedkadary2746
@mohammedkadary2746 3 ай бұрын
Pogezaneni kimpango wenu msiingize dini
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 Жыл бұрын
Mhm chonka bhojo
@twahiruabdul
@twahiruabdul Жыл бұрын
Wabota
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@AhmedMohamed-um8ox
@AhmedMohamed-um8ox Жыл бұрын
🤬👹👺
@user-bp6fb6wo5u
@user-bp6fb6wo5u Жыл бұрын
Sisi kila kukicha hupita hapo boda, hata siku moja wakenya hatujanyanyaswa! Wallahi muongo sana mufti wa shibu!! Wewe ni fattaan!!! Ima huna vibali wataka upite tu ama unataka ufanywe kama rais wababaikiwa ukipita!!! Wewe unaleta fitna shkh kikoi
@mariamnur1036
@mariamnur1036 Жыл бұрын
Subhanallah
@yusuf131000
@yusuf131000 Жыл бұрын
kuna unanyanyasaji
@ishaanizkeah8814
@ishaanizkeah8814 11 ай бұрын
Sasa ww ukitumia lughaa safi ungekoseka wapi kama humpendi nyamaza
@sammarley1413
@sammarley1413 31 минут бұрын
Sina sababu yoyote kukuonea aybu mpumbavu kama ww usie naheshima kwa Sheikh huyu labda tu nitumie nafasi hiyi kukueleza nimetembea zaidi yamataifa 13 ya africa nakungineko kwingi nje ya bara letu la africa Katika sehem zote nilizopita Askari police wa Tanzania wanaongoza kwa utovu wanidham nambaya zaidi wanaujinga usioficika unapo kutana nao iwe nimpakani ao ndani nchini kitu cakwanza utacokigundua wengi wao siwasomi maneno macace tu yakwanza anapoongea ni udhalilishaji na masimango Mulize mtu yeyote alieingia tz atakutajia hili. Solution nikubadilika tuwe vizuri natuace ukiritimba sote ni wa africa na mipaka tumewekewa namzungu sasa ajabu tumeikumbatia .
@hassanabdalla9688
@hassanabdalla9688 Жыл бұрын
Mashaallah,waridhi wa mitume.
HOTUBA YA RAIS SAMIA KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR
36:45
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 12 МЛН
ALICHOKIONGEA SHEIKH OTHMAN MBELE YA RAIS SAMIA
10:59
arkas online tv
Рет қаралды 142 М.
SHK.OTHMAN ASIMULIA ALIVYOTUKANWA NA KIJANA BARABARANI MATUSI MAKUBWAMAKUBWA
11:39
ПОМОГИ РАЗБУДИТЬ ПИЛОТА 😱😱
0:16
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 3,9 МЛН
Этот парень написал картину... 😎
0:29
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 6 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 12 МЛН
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Walking Streets 워킹스트리트
Рет қаралды 15 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39