mm naamini Haina haja hata kulumbana, MUNGU anajuaga kukomoa anauwezo wakuingilia kati jambo hata hizo kelele zisiwepo, tupige magoti tuombe kama MUNGU amekusudia had 2070 basi ataongoza had huko lkn kama hajakusudia hata 2025 hawezi kupita. tusigombane niwatoto wa baba mmoja MUNGU vurugu hazina tija❤
@JohnsonBagambi4 сағат бұрын
🙏🙏🙏🙏
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur3 сағат бұрын
AMINA
@user-eg1pk1sw4j3 сағат бұрын
Hakika mungu ndiye mwamuzi WA yote
@RamadhaniKitala-gx6wc56 минут бұрын
Amiin yarab mi ni mzanzibar na ni ccm nawaonea huruma sana huko mwishoe tutabaki sisi watazanzar yeye na mapolisi wake mtihani wallah
@isamony585 сағат бұрын
Hatumtakiiiii😢😢😢😢😢
@salehesalehe29674 сағат бұрын
Kufaaaaaaaaaa😊
@RomanMwinyi2 сағат бұрын
@@salehesalehe2967kufa ww atu mtakii na ata Toka 2
@MagangaAbdallah4 сағат бұрын
Mh Lukuvi Safi sana hiyo . Tz itakuwa Nchi iliyoendelea Kwa kasi hii ya ujenzi wa Miundombinu.
@dancerboy26863 сағат бұрын
njaa yke imehamia kichwani ndo mana anaongea utumbo tu
@Patrick-w1j4 сағат бұрын
Lukuvi chawa tuu
@andrewmagwila16023 сағат бұрын
Yupo Mungu mtetezi wa wanyonge na msemaji wa mwisho
@simonetz70364 сағат бұрын
Hatumtaki, hatumtaki sisi
@RBMBAKARI-bv6wnСағат бұрын
Wewe ndio humtaki
@LindaMbilinyi-n3nСағат бұрын
@@RBMBAKARI-bv6wn co atashinda ila wataiba kenge ww
@murattywamuratty9778Сағат бұрын
Tunamtaka tunamtaka sie
@mwawekomiuda977928 минут бұрын
Humtaki wewe usiejielewa. Si uhame nchi njia nyeupee
@RICHMINDEDSKILLS4 сағат бұрын
Kwakua kapewa cheo 😂😂😂
@adelinelyaruu30364 сағат бұрын
Hivi ni nini kinaendelea nchi hii??
@DataICT-n8s3 сағат бұрын
Umenena mh wazir wa zamani wa maliasili,tulifikir ukubwa wa pua ndio uwingi wa kamasi kumbe matopee
@mrabdultv83564 сағат бұрын
yaani au basiii , matumbo haya mmmm
@ndukulusudikucho_4 сағат бұрын
Mwenyekiti wowote tuko pamoja nae, hata akae hadi 2050 who cares , bora maendeleo
@AdamCheze3 сағат бұрын
Sasa aliyesema si inajulikana kama anasema kwasababu ya teuzi aliyopewa mbona hajasema kipindi yupo nje ya baraza
@meckdonald814 сағат бұрын
Hatakiwi kabsa
@ndukulusudikucho_4 сағат бұрын
Kwanza miaka aliompokea Hayati Magufuli hatuhesabii, alipokea kijiti tu, yake 2025-2030 na 2030-2035. katiba tumeandika wenyewe isitushughulishe, maoni binafsi tu, ukiona pazito omba passport kaombe ukimbizi
@adelinelyaruu30364 сағат бұрын
Asingebadilisha awamu
@dancerboy26863 сағат бұрын
naona bdo hayajakukuta ndo mana unaandika utopolo
@Patrick-w1j4 сағат бұрын
Ila Mungu fundi hata Ndugai na genge lake walitaka wabadili katiba kwa ajili ya mwendazake ...Ila Mungu akaingilia..Ndugai yuko wapi na mwendazake?
@deogratiusyudatadei56584 сағат бұрын
Mpeni milele maana mlango wa kuzika marais wakiwa madarakani umesha funguliwa twendee kazi
@jactonmoris30342 сағат бұрын
Kuna umri wa kusubiri tu kufa hata mbio mita kumi uwezi kukimbia Lukuvi anaitaji kula na kutunzwa umri wake ni mzeee Bora aseme hivyo ili rais amkumbuke yupo kinyume na Kila kitu
@AlexFanuel-i1p4 сағат бұрын
Ulanzi umejaa tumboni
@margarethpolepole74384 сағат бұрын
Mwisho ni 2030 tu hatutaki tena aendelee
@Clever-l8v4 сағат бұрын
Utataka tu kumamamayo
@petergeorgekafumuСағат бұрын
Lukuvi ujiheshimu. Endeleeni kumkuza mkifikiri mnamsaidia. Acheni kumgombanisha na Mungu. Kumbukeni Mungu yupo, kama hamjajifunza kwa waliopita, mtajifunza sasa
@JehovanessPallangyo2 сағат бұрын
Kweli nchii waizi sana haya umepigia kura wap mpaunasema Samia had 2035 acheni uwizi bana jaman
@wilbroadsiyonga5889Сағат бұрын
2025 Mwisho,Ashindane ndani ya chama
@AbrahamSekuze3 сағат бұрын
Lukuvi sidhani kama kauli hii ni yako kutoka akilini mwako akae mpaka muda huo wakati kauli ya bavicha tu imemuogopesha Samia must go
@paulmathias8104 сағат бұрын
Kwavile mimi sijafikia umli wa kugombea sina cha kulaumu aukupongeza maana wote ni walewale ila watofauti ni mimi tu😂😂
@saumuabdallah1982 сағат бұрын
Kinachonishangaza... wananchi wote hawamtaki samia yan ni Tushamchoka na kumchukia ila kuna maccm tu yalozoea wizi na machawa tu ambayo ni mafinyu ya akili yakisema aongezewe muda ili amuongoze nan sasa...???📌📌📌📌 Watanzania hatumtaki samia mbn ving'ang'aaaa????🤔🤔🤔
@LindaMbilinyi-n3n4 сағат бұрын
Labda Kwa wiz lkn Kwa haki 2025 hatoboi hta robo ya kura za watanzania shwain
@@huyu1993 Kuma la mama Ako,,,nyie ndo wale mnaenjoy watu kuuawa na kutekwa,kuteswa govi la baba Ako na kisimi na mama Ako kirefu km mto naili
@RBMBAKARI-bv6wnСағат бұрын
Na atashinda sanaa
@RaibebeBebe2 минут бұрын
Kwa maslah yao wanafaidika nakulindana
@exaverysimon1064Сағат бұрын
UKITUMIA HISIA NA CHUK HUWEZ KUKUBAL LAKIN UHALISIA UKO HIVYO
@daviddonatus812115 минут бұрын
Makalio ww ..... Yaan ww ni matako kabisa mh,... Wahaina Gani...?!. Ifikie muda viongozi kama Hawa hawaitajiki
@denismisango61663 сағат бұрын
Umezeeka vibaya we mzee
@georgesungura2 сағат бұрын
alivyotumbuliwa mwanzo tulizani kaonewa kumbe bogac kbs
@jonfredkewe345118 минут бұрын
Mbona hakuna shida hata afike 2100 ni sawatu
@justicebridge54 минут бұрын
Mnamdanganya huyo mtu went kisa nyie mnateuliwa teuliwa shame upon you na huyo
@majebelemathis99913 сағат бұрын
Wakati mwingine mnatuona watanzania kama hatuna hakili
@nicodemusfidelis37723 сағат бұрын
Wazee nchi hii sasa ni wa hovyoo sn
@AbdulhaamisSoudСағат бұрын
Chawa aliepevuka atakufa juu ya kiti
@kalebphilip342643 минут бұрын
Kama wewe Ni Mungu basi atatawala milele hata akina farao walitawala lakn mwsho wao ulifka tu
@EmmanuelChrispin-bo5xhСағат бұрын
Kwel mtu akizeeka na akili zina zeeka lukuvi
@tztanzania22623 сағат бұрын
Allah amuhifadh rais wetu ametutendea mema sana hasa kwenye ajira na maslah kwa watumish madaraja tunapanda sanaaaa
@Fofo-z6t4 сағат бұрын
Kwani kupandamana shingapi 😅
@JosephevansLyimoo5 сағат бұрын
Kwani hiyo nchi ni ya mama yake ndiyo akea apo paka 20235 ataona moto ajawai ona
@princealex52914 сағат бұрын
Yan haw wazee ni wajinga
@eaglecrown11013 сағат бұрын
Akae tu Hadi 2035 mama yetu tunampenda anajitaidi kweli🎉❤
@FortunataNguma58 минут бұрын
Mmh MUNGU NDIE AJUAE
@m.n.b1892Сағат бұрын
(?)unazamila yaukweli au😢😢😢
@victorkisenha59333 сағат бұрын
Wewe mzee ni wa ajabu, usifikir hii NI JIMBO LA ISMAILI, NDO MAANA TOKA MIAKA YA KIKWETE, HAKUNA WENGINE, WEW LUKUVI WAACHIE VIJANA USHACHOKA, UMEZEHEKA KIFIKRA!!!
@bajagihaji89234 сағат бұрын
Viva mama
@fxmeddy95672 сағат бұрын
We ni bogus
@CHAWA_WA_MAMA4 сағат бұрын
Sio 35 TU MPK 2050 TUPO NAE🎉🎉🎉🎉🎉
@johnmwasilu7087Сағат бұрын
Usimkufuru mwenyezi Mungu weka akiba ya maneno
@MicahGhloloj-bs4cy5 сағат бұрын
😂😂😂 mnaanzaga ivo na Mungu ana yake kipekee
@davidwalalason76304 сағат бұрын
Absolutely 💯
@adelinelyaruu30364 сағат бұрын
Hayo ni yako lukuvi
@ommyshopangi95434 сағат бұрын
Kweli hii miaka mitatu imekuwa ya maajabu sana....never seen before!!!!