Рет қаралды 4,543
Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais DK Samia Suluhu Hassan kwa hotuba yake aliyoitoa Mkoani Kilimanjaro ya kukemea vitendo vya utekaji na mauaji huku akiliagiza Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kubaini wale wanao husika na vitendo hivyo.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.