From 🇧🇮😂😂iyo ni kweli mana yake yamemu shida uko na raia wake 😅kwa nini ya congo anataka kuyajuwa😂
@kgchippy2 сағат бұрын
Agange ya kwake mwanzo kulkokua na uovu😢
@Josaphine-o2w2 сағат бұрын
Kg ruto awesi bandirika au kukomesha utekajinyara hiletu mungu amunguze ama hamubandirise ndio Kenya hiwe na hamani , Kenya hiki pbandirka vinzuri ndio ata kiongozi atakanye kuwepo atasema kitu kwa nchi zingine simusikize but kwa saa hii ciz
@ZawadiKalume-zb6lb2 сағат бұрын
So sad kenya damu zamwangika kila kuchao kwa hawa watu waserekalini wamwkuwa free mason sai jamani
@kgchippy2 сағат бұрын
Ukisema sana Subaru yakuhusu😢😢
@DavidCurtis-e4cСағат бұрын
@@kgchippyshortly Raisi hawezi kukemea sababu hata kama amri haitoki kwake basi wanaofanya hivyo wanajipendekeza wapate vyeo vya juu zaidi kwa kuwateka watu wasio na hatia, kama raisi anaweza piga just one call na mtu akaachiwa maana ni kweli watekaji wanajulikana, alipaswa kutumia Lugha hii utekaji uisje mara moja na ukiendelea askari wa usalama wa sehemu alipotekwa mtu atawajibika halafu tuone kama utekaji utakuwepo tena. Hii hali ikiachwa hivyo itakuwa ni mazoea, pili ifike wakati wananchi wasiwe wanashangaa mtu akitekwa wachome tu gari husika wakifanya hivyo mara mbili tu basi watashika adabu, tz siku hizi wanachoma magari wasiyoyaelewa.😂
@AnastasiaMutinda-z9pСағат бұрын
Akae kwake
@MitchellErmina2 сағат бұрын
Nikweli awachane na congo kabisa wamepeleka wanajeshi wa jumia ya Africa congo na amani haijawahi patakana wacha m23 ipambane
Tunakataa maleanders maana hawo ndio sasababu wanaichi tunateseka wacha congo ipate amani na m23
@mohamedmanga83914 сағат бұрын
Mimi naona muturi ni mnafiki alikuwa spika na akachangia pakubwa hali hii ilioko.
@kgchippy3 сағат бұрын
Bt this time round we need to support he’s agenda juu msee bado yuko kwa serekali na ywapinga visanga vinavyofanywa na boss(Ruto) wake
@simbachui2281Минут бұрын
NDUGU ZANGU HUYU RUTO NI KIBARAKA WA WAZUNGU,,,PERIOD,
@asminmakoha6889Сағат бұрын
Sasa zakayo yakwake ilimshinda sasa hiyo ndio atawezana atangulie kwanza yakwake
@SelemaniMndai-ox8dy3 сағат бұрын
Kunamkenya kachinja watoto apa Oman reo hii taree 30-1-2025 .na katoroka anatafutwa
@kgchippy3 сағат бұрын
Whaaat😢😢😢
@SelemaniMndai-ox8dy3 сағат бұрын
@kgchippy Ndio Nina picha na voice ya mkaka mkenya na imetumwa kwa group Mimi nimetumiwa nipo Oman
@kgchippy2 сағат бұрын
@@SelemaniMndai-ox8dyebu ntafte kWa Facebook KGCHIPANDE
@QaisqaisQais-s2zСағат бұрын
Uuiiiiiiiwiiiiii oooh my God
@lucymacharia413439 минут бұрын
Kenya imemshida kuuleta amani inchi za wenyewe anaenda kusema nin useless president
@RoselnyEstua-bj9ri4 сағат бұрын
Jameni mutoto wamwenzako niwako tuko na hujungu kupitesa watoto wetu kwa hali hi
@kgchippy3 сағат бұрын
Wallah ukiwa mzazi ndio waeza elewa ule uchungu vijana wakiuliwa kiholela Kenya na raisi ajifanya haoni aenda eka mikutano yakutafta amani nchi jirani😢