RAMANI YA UBAYA [Bishop Josephat Gwajima] 04.07.2021

  Рет қаралды 44,745

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

Күн бұрын

We are live

Пікірлер: 114
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 3 жыл бұрын
Nafuta ramani ya ubaya dhidi yangu kwa jina la Yesu, imeandikwa mabaya hayatanipata Mimi.......
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 3 жыл бұрын
Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.
@theogeneninkabandi1948
@theogeneninkabandi1948 3 жыл бұрын
Nafuta michoro ya ubaya Kwa maicha yangu na familia yangu Kwa jina la Yesu Kristo. Niko Rwanda ninawapenda sana
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 2 жыл бұрын
Nafuta Ramani zooooooooooote juuu ya maisha na Familia yangu kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
@GraceUlomi-j9x
@GraceUlomi-j9x Жыл бұрын
Michoro ime shandararabobosayaa❤❤❤❤
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Naifuta michoro yote ya ubaya!!! Kwangu na ndugu zangu na taifa langu kwa damu ya YESU
@jossyngumbi1916
@jossyngumbi1916 3 жыл бұрын
Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.
@rehemamwakinyaka3167
@rehemamwakinyaka3167 3 жыл бұрын
Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni
@dr.jombajomba3838
@dr.jombajomba3838 3 жыл бұрын
Watching this from Mombasa Port Control. Man of God Gwajima you're a blessing to many
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Bwana awajuwa waliyo wake
@lillygeorgezz8310
@lillygeorgezz8310 3 жыл бұрын
Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏
@hacimanaclaude5401
@hacimanaclaude5401 3 жыл бұрын
Dr. Gwajima ,hongela kwa mafundisho yako ,Mungu akuongezee hekima
@edwinonsombi
@edwinonsombi 2 жыл бұрын
Amen,Asante kwa neno la Mungu.
@joabyared2436
@joabyared2436 3 жыл бұрын
Naipigixha kona Raman ya ubaya kwa jina LA yesu
@margaretelkanah2038
@margaretelkanah2038 3 жыл бұрын
Yaani wewe ni kuhani mkamilifu mbele za Mungu. Nitapenda ukija kugombea uraisi wa Saba TZ, na utashinda, ameni.
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Bwana apishe mbali akigombea urais watamuua km magufuli bora akaye tu hivo hivo
@hbdina
@hbdina 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Asante Sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen
@sarahmwasyoge1830
@sarahmwasyoge1830 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 3 жыл бұрын
Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen
@pstivolaugustino3701
@pstivolaugustino3701 3 жыл бұрын
Nafuta ramani za ubaya juu ya familia yangu kwa Jina LA Yesu
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 3 жыл бұрын
Huu ujumbe nimeusikiliza zaidi ya mara tano Its wow!
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 3 жыл бұрын
Michoro ya ubaya teketea kwa jina la Yesu
@collinsshadrack6011
@collinsshadrack6011 3 жыл бұрын
Nabomoa ramani ya ubaya juu yangu na wanangu na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo.
@sesiliamwakalinga2239
@sesiliamwakalinga2239 3 жыл бұрын
Amen, I receive in Jesus name
@PendoSamson-rr8uy
@PendoSamson-rr8uy Жыл бұрын
Ramani zote za ubaya teketea Kwa moto wa Mungu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen watu wasiyofanya wote kwenye Maisha yangu nawafutilia mbali kwa jina la Yesu
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 3 жыл бұрын
Ameeeeen ya saba Mara sabini
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Natoroka kwenye ubaya wote uliyonenwa juu yangu kwa jina la Yesu
@binamasamweli9878
@binamasamweli9878 3 жыл бұрын
Kwel mtumish ulichoongea ni sahii Mungu atuepushie na wanaotucholea raman za ubaya
@frolacharles6788
@frolacharles6788 3 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu
@modestajoshua7497
@modestajoshua7497 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@adongotina5289
@adongotina5289 3 жыл бұрын
Amen this is what happened to me in Oman this is way Iam suffering up to today
@annmbatha8021
@annmbatha8021 3 жыл бұрын
Amen..may the name of lord be praised..I witness this..Anne nrb Kenya
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏Nina Afya na Familiya yangu kuliko wakati wowote hapa duniani
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afya yangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali watoto wangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali
@pendosamson7202
@pendosamson7202 3 жыл бұрын
Amen amen
@jackschannel6556
@jackschannel6556 Ай бұрын
@carolinemkuwele7845
@carolinemkuwele7845 3 жыл бұрын
Ninakuelewa saaana Askofu.!!
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi wa Mungu maana wewe ni jasusa la mbinguni 🔥🔥🔥🔥🔥
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Naigeuza michoro Yao yote wariyochora juu yangu na Familiya yangu kwa jina la Yesu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Leo Mwanaume yoyote asiyefaa kwenye Maisha yangu nafutilia mbali kwa jina la Yesu
@JustinJohn-ss4qe
@JustinJohn-ss4qe 9 ай бұрын
Amina kubwa.
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen Baba
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nawakusanya wasiyofaa kwenye Maisha yangu wote nawatupa kwenye shimo la moto watengetee kabisa
@hacimanaclaude5401
@hacimanaclaude5401 3 жыл бұрын
Ukiwa hutojali naomba nambari yako ya mawasiliano, Asante!
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Adui zangu wababwe Live kwa jina la Yesu
@angelkimaro7562
@angelkimaro7562 3 жыл бұрын
Ninafuta ramani ya ubaya kwenye maisha yangu
@pauloteleja7548
@pauloteleja7548 3 жыл бұрын
Nitakuwa na afya mm na family yang kwajiina la yesu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen yaliyo tokea kwangu kwa watoto wangu Familiya yangu basi
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Hahaha Walijuwa kuna promotion na kuapa 😂😂😂😂😂, kumbe ni kutumbuliwa vibaya. Ubarikiwe Mzee.
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni
@JustinJohn-ss4qe
@JustinJohn-ss4qe 9 ай бұрын
❤❤❤
@edmundmbele4307
@edmundmbele4307 3 жыл бұрын
AMEN AMEN
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Naikimbia michoro ya ubaya kwa jina la YESU
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Napokea Afya kwa jina la Yesu
@mdbosco1640
@mdbosco1640 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Simba wa awalambe wote walichora Raman ya ubaya kwajina la YESU
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ramani ya ubaya
@happynesnajiunganishakweny9877
@happynesnajiunganishakweny9877 3 жыл бұрын
Ansate ngwajima Wang Hilo kweli
@theologyclass9209
@theologyclass9209 3 жыл бұрын
Live long my dady
@danielndalangavye2469
@danielndalangavye2469 3 жыл бұрын
Amina
@itugarehema1986
@itugarehema1986 3 жыл бұрын
Afyaaaa Afyaaa Afyaaa
@judyjidena3768
@judyjidena3768 3 жыл бұрын
Ameeeni🙏🙏
@bibishemayonde4406
@bibishemayonde4406 3 жыл бұрын
Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti
@sarafinasakinoi4075
@sarafinasakinoi4075 3 жыл бұрын
natorokaaaaa
@shirimaoliva7695
@shirimaoliva7695 3 жыл бұрын
Barikiwaa mtumishii
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Sabaya naye amesimamishiwa mashahidi wawili wasiofaa.😭😭😭 Amecholewa lamani 😏😏
@aloycesimon8351
@aloycesimon8351 3 жыл бұрын
Amen amen amen.
@josephjulio6112
@josephjulio6112 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Watoto wangu wapokee Afya kwa jina la Yesu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Wachora Raman mbaya juu yangu, ubaya huo uwatafune wao wenyewe kama kanwa ka simba,na moto.
@pauloteleja7548
@pauloteleja7548 3 жыл бұрын
Aminaa
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afya kwa Wazazi wangu Afya a kwa wadogo zangu Afya kwa watoto wa wadogo zangu
@stephenguga1034
@stephenguga1034 3 жыл бұрын
👑🙏🙌🙌🙌🙌💉🌋
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Pomoweni mbaka msingi
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen Haleluyaaaa🙌🙌
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen🙌🙌
@evagumbo6731
@evagumbo6731 3 жыл бұрын
Ameen Ameeeeen 👏👏👏👏👏👏👏🙏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Hata kama huwa sifatilii kwa wakati ila huwa napokea kitu kikubwa Sana
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nikiwa uwarabuni Abu dhabi
@aminalimu5150
@aminalimu5150 3 жыл бұрын
Amen 🙏
@reliantslusajo7643
@reliantslusajo7643 3 жыл бұрын
🙏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Misingi ya ukuu wa ulimwengu umevuliwa nguo
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
ameeen
@hellenmarandu1787
@hellenmarandu1787 3 жыл бұрын
Amen
@tegetatown2805
@tegetatown2805 3 жыл бұрын
Safiiii Bro.
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Sehem ileile
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Haleluya aaaa
@damianchausi4729
@damianchausi4729 3 жыл бұрын
Ninafuta kila ramani juu ya maixha yangu juu ya familia yangu katika ulimwengu wa roho ninafuta kwa damu ya yesu
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Sasa hivi ni mwendo wa simba, I see how Lion walivyowameza
@moniquebankibigwira866
@moniquebankibigwira866 3 жыл бұрын
Some zuri
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Duh, Nafasi zilibaki kibao🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️😂
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
usitamani cha watu kina historia
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afyaaaaaaaa
@berthaayubu7843
@berthaayubu7843 3 жыл бұрын
Nafuta ramani ya ubaya juu yangu nawafyekelea mbali kwa jina la Yesu kristu
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
pisha mbali
@happynesnajiunganishakweny9877
@happynesnajiunganishakweny9877 3 жыл бұрын
Jamani t mungu atusaidie t
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
@@happynesnajiunganishakweny9877 kabisa Mungu atusaidie
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wanawake tuna Maneno
@jackschannel6556
@jackschannel6556 Ай бұрын
@wilsonsimangwa8238
@wilsonsimangwa8238 3 жыл бұрын
Amina
@eliaabethlyd5568
@eliaabethlyd5568 3 жыл бұрын
Amen
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Amen 🙏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amen
ASIJE AKAPATA KUKUSHINDA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: MOSHI DAY SEVEN: 18.01.2020
1:35:09
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.
MUNGU ANAISHI: BISHOP GWAJIMA LIVE FROM DAR ES SALAAM: 19.07.2020
1:30:02
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 25 М.
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 65 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Baraka ya Mungu Hutajirisha | Bishop Dr Josephat Gwajima | 27.10.2021
2:56:19
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 14 М.
tumelogwa Bishop Gwajima
5:05
UZIMA TV
Рет қаралды 1,8 М.
MAWE MATANO YA DAUDI Rabbi Abshalom Longan MAKWALE KYELA
1:08:11
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 4,1 М.
KUVUNJA LAANA YA UDONGO PART 1/5 - Bishop Dr Josephat Gwajima
46:21
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 37 М.
Vikwazo vya Baraka | Bishop Dr Josephat Gwajima | 26.10.2021
2:56:58
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 43 М.
Askofu Gwajima aweka wazi namna wachawi wanavyologa watu | UCHAWI UPOO!!
18:42
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 74 М.
KULOGA KWA KUTUMIA KITABU: BISHOP GWAJIMA: 5 JULY 2020
2:32:11
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 49 М.
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН