Nafuta ramani ya ubaya dhidi yangu kwa jina la Yesu, imeandikwa mabaya hayatanipata Mimi.......
@sophiamwakila33003 жыл бұрын
Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.
@theogeneninkabandi19483 жыл бұрын
Nafuta michoro ya ubaya Kwa maicha yangu na familia yangu Kwa jina la Yesu Kristo. Niko Rwanda ninawapenda sana
@janetjanet86693 жыл бұрын
Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏
@sisterolivia98742 жыл бұрын
Nafuta Ramani zooooooooooote juuu ya maisha na Familia yangu kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
@GraceUlomi-j9x Жыл бұрын
Michoro ime shandararabobosayaa❤❤❤❤
@sarahmsangi72433 жыл бұрын
Naifuta michoro yote ya ubaya!!! Kwangu na ndugu zangu na taifa langu kwa damu ya YESU
@jossyngumbi19163 жыл бұрын
Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.
@rehemamwakinyaka31673 жыл бұрын
Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni
@dr.jombajomba38383 жыл бұрын
Watching this from Mombasa Port Control. Man of God Gwajima you're a blessing to many
@azizaaziza91133 жыл бұрын
Bwana awajuwa waliyo wake
@lillygeorgezz83103 жыл бұрын
Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏
@hacimanaclaude54013 жыл бұрын
Dr. Gwajima ,hongela kwa mafundisho yako ,Mungu akuongezee hekima
@edwinonsombi2 жыл бұрын
Amen,Asante kwa neno la Mungu.
@joabyared24363 жыл бұрын
Naipigixha kona Raman ya ubaya kwa jina LA yesu
@margaretelkanah20383 жыл бұрын
Yaani wewe ni kuhani mkamilifu mbele za Mungu. Nitapenda ukija kugombea uraisi wa Saba TZ, na utashinda, ameni.
@azizaaziza91133 жыл бұрын
Bwana apishe mbali akigombea urais watamuua km magufuli bora akaye tu hivo hivo
@hbdina3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Asante Sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen
@sarahmwasyoge18303 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima
@machoguhameri77573 жыл бұрын
Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.
@yasintakahamba13203 жыл бұрын
Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen
@pstivolaugustino37013 жыл бұрын
Nafuta ramani za ubaya juu ya familia yangu kwa Jina LA Yesu
@mary.matullu82793 жыл бұрын
Huu ujumbe nimeusikiliza zaidi ya mara tano Its wow!
@mary.matullu82793 жыл бұрын
Michoro ya ubaya teketea kwa jina la Yesu
@collinsshadrack60113 жыл бұрын
Nabomoa ramani ya ubaya juu yangu na wanangu na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo.
@sesiliamwakalinga22393 жыл бұрын
Amen, I receive in Jesus name
@PendoSamson-rr8uy Жыл бұрын
Ramani zote za ubaya teketea Kwa moto wa Mungu
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ameeen watu wasiyofanya wote kwenye Maisha yangu nawafutilia mbali kwa jina la Yesu
@emmanuelmwakyoma57463 жыл бұрын
Ameeeeen ya saba Mara sabini
@sweetluc26603 жыл бұрын
Natoroka kwenye ubaya wote uliyonenwa juu yangu kwa jina la Yesu
@binamasamweli98783 жыл бұрын
Kwel mtumish ulichoongea ni sahii Mungu atuepushie na wanaotucholea raman za ubaya
@frolacharles67883 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu
@modestajoshua74973 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@adongotina52893 жыл бұрын
Amen this is what happened to me in Oman this is way Iam suffering up to today
@annmbatha80213 жыл бұрын
Amen..may the name of lord be praised..I witness this..Anne nrb Kenya
@sweetluc26603 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏Nina Afya na Familiya yangu kuliko wakati wowote hapa duniani
@sweetluc26603 жыл бұрын
Afya yangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali watoto wangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali
@pendosamson72023 жыл бұрын
Amen amen
@jackschannel6556Ай бұрын
❤
@carolinemkuwele78453 жыл бұрын
Ninakuelewa saaana Askofu.!!
@janetjanet86693 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi wa Mungu maana wewe ni jasusa la mbinguni 🔥🔥🔥🔥🔥
@machoguhameri77573 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.
@sweetluc26603 жыл бұрын
Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo
@sweetluc26603 жыл бұрын
Naigeuza michoro Yao yote wariyochora juu yangu na Familiya yangu kwa jina la Yesu
@sweetluc26603 жыл бұрын
Leo Mwanaume yoyote asiyefaa kwenye Maisha yangu nafutilia mbali kwa jina la Yesu
@JustinJohn-ss4qe9 ай бұрын
Amina kubwa.
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ameeen Baba
@sweetluc26603 жыл бұрын
Nawakusanya wasiyofaa kwenye Maisha yangu wote nawatupa kwenye shimo la moto watengetee kabisa
@hacimanaclaude54013 жыл бұрын
Ukiwa hutojali naomba nambari yako ya mawasiliano, Asante!
@sweetluc26603 жыл бұрын
Adui zangu wababwe Live kwa jina la Yesu
@angelkimaro75623 жыл бұрын
Ninafuta ramani ya ubaya kwenye maisha yangu
@pauloteleja75483 жыл бұрын
Nitakuwa na afya mm na family yang kwajiina la yesu
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ameen yaliyo tokea kwangu kwa watoto wangu Familiya yangu basi
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Hahaha Walijuwa kuna promotion na kuapa 😂😂😂😂😂, kumbe ni kutumbuliwa vibaya. Ubarikiwe Mzee.
@azizaaziza91133 жыл бұрын
Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni
@JustinJohn-ss4qe9 ай бұрын
❤❤❤
@edmundmbele43073 жыл бұрын
AMEN AMEN
@akwilinatopisto70283 жыл бұрын
Naikimbia michoro ya ubaya kwa jina la YESU
@sweetluc26603 жыл бұрын
Napokea Afya kwa jina la Yesu
@mdbosco16403 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@akwilinatopisto70283 жыл бұрын
Simba wa awalambe wote walichora Raman ya ubaya kwajina la YESU
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ramani ya ubaya
@happynesnajiunganishakweny98773 жыл бұрын
Ansate ngwajima Wang Hilo kweli
@theologyclass92093 жыл бұрын
Live long my dady
@danielndalangavye24693 жыл бұрын
Amina
@itugarehema19863 жыл бұрын
Afyaaaa Afyaaa Afyaaa
@judyjidena37683 жыл бұрын
Ameeeni🙏🙏
@bibishemayonde44063 жыл бұрын
Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti
Wachora Raman mbaya juu yangu, ubaya huo uwatafune wao wenyewe kama kanwa ka simba,na moto.
@pauloteleja75483 жыл бұрын
Aminaa
@sweetluc26603 жыл бұрын
Afya kwa Wazazi wangu Afya a kwa wadogo zangu Afya kwa watoto wa wadogo zangu
@stephenguga10343 жыл бұрын
👑🙏🙌🙌🙌🙌💉🌋
@sweetluc26603 жыл бұрын
Pomoweni mbaka msingi
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ameeen Haleluyaaaa🙌🙌
@sweetluc26603 жыл бұрын
Ameen🙌🙌
@evagumbo67313 жыл бұрын
Ameen Ameeeeen 👏👏👏👏👏👏👏🙏
@sweetluc26603 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@sweetluc26603 жыл бұрын
Hata kama huwa sifatilii kwa wakati ila huwa napokea kitu kikubwa Sana
@sweetluc26603 жыл бұрын
Nikiwa uwarabuni Abu dhabi
@aminalimu51503 жыл бұрын
Amen 🙏
@reliantslusajo76433 жыл бұрын
🙏
@sweetluc26603 жыл бұрын
Misingi ya ukuu wa ulimwengu umevuliwa nguo
@akwilinatopisto70283 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
ameeen
@hellenmarandu17873 жыл бұрын
Amen
@tegetatown28053 жыл бұрын
Safiiii Bro.
@sweetluc26603 жыл бұрын
Sehem ileile
@sweetluc26603 жыл бұрын
Haleluya aaaa
@damianchausi47293 жыл бұрын
Ninafuta kila ramani juu ya maixha yangu juu ya familia yangu katika ulimwengu wa roho ninafuta kwa damu ya yesu
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Sasa hivi ni mwendo wa simba, I see how Lion walivyowameza
@moniquebankibigwira8663 жыл бұрын
Some zuri
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Duh, Nafasi zilibaki kibao🙆♂️🙆♂️🙆♂️😂
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
usitamani cha watu kina historia
@sweetluc26603 жыл бұрын
Afyaaaaaaaa
@berthaayubu78433 жыл бұрын
Nafuta ramani ya ubaya juu yangu nawafyekelea mbali kwa jina la Yesu kristu
@machoguhameri77573 жыл бұрын
Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
pisha mbali
@happynesnajiunganishakweny98773 жыл бұрын
Jamani t mungu atusaidie t
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
@@happynesnajiunganishakweny9877 kabisa Mungu atusaidie