Mmmh,hilo pendekezo la ushirikina Utopolo watashuka daraja haki😂
@SurprisedBirchForest-tm5yg2 сағат бұрын
Sheria zakijinga sana hivi mmejifikilia wakati mnatunga hizo Sheria mnaakili kweli tunatanga ushindani mnaleta kukuza vipaji vya watu ambao hawataki hata kujituma acheni ushamba
@HarunakiongoziMohamedСағат бұрын
Hamna kila kitu,mnataka kutuharibia mpira
@DamianiItandula10 минут бұрын
Wanyanga'nywe2 pointi wapewe simba
@marcobulili43414 сағат бұрын
Adhabu kali sana hyo kunyang'anya timu point si vzuri mtakatisha tamaa wawekezaji. Mchezo utakuwa siyo profession tena.
@emmanuelmayunga15183 сағат бұрын
Yani hawa naona hata hawajielewi
@johnchaba289Сағат бұрын
Ushauri wako upi
@richardnganya23113 сағат бұрын
Ukistaajabu ya Musa....!! Yaani mafundi wa magari wanaweka mikakati ya kutibu wanadamu .....!! Jopo la wataalam wa kupiga picha linajadili taaluma isiyowahusu na wadioijua !! Ni ujinga uliopitiliza kupambana na Katiba ya FIFA, CAF na TFF !!
@DeodathChinyamba2 сағат бұрын
Ni mtizamo mzuri sana hasa hapo kwenye save/cleansheet
@godfreybernard528323 минут бұрын
Hakuna kitu hapo
@emmanuelmrope7819Сағат бұрын
Hawa ndio wanao uwa soka letu hakuna kitu chochote cha point al8chokizungumza hapo kuanzia macoach mpk wachezaji watueleze hizo academy za kipaji mmeziaanda wp au za magolikipa au kuna coach gani mzawa anayefundisha nje? Na pili hiyo nafasi ya 6 tumeipata mwaka gn je ni kwa wachezaji wazawa na macoach wazawa? Au baada ya players wenye quality wa nje ndio wametufikisha hapo? Tusipochagua watu makini wenye weledi na vision ya mbali itoshe kusema hatutasogea popote kwa watu design hii✅🤔🙌
@AbdallahMnyiwe-he2zuСағат бұрын
Huyu hajui mpira ana ingiza siasa
@yusuphuadhuman9085Сағат бұрын
IV mlijifikilia au mlikulupukatu je mashabiki wa timu pizani na wakavaa jezi za wezao na wakafanya uo ujinga mjifikilie vzuli
@fredcheppe16672 сағат бұрын
Mnaweka PESA kwenye timu au maneno tyu....!! Tutarudi nyuma Mita 300 Kwa kutaka Nafasi za upendeleo kwenye football
@RevocatusWilliam11 минут бұрын
Bado nawaza!! Hawa ndo waandishi wa habari
@yusuphuadhuman9085Сағат бұрын
Naona mmekuja kuwapangia watu vikosi Sasa
@anithawidambe7543Сағат бұрын
MNAACHA KUWAPA SEMINA MAREFA KILA CK MNAUHARIBU MPIRA. MAREFA WA KWETU HAWAJUI MPIRA NA SHERIA
@mwanahamisihatibu5902 сағат бұрын
Kwenye kufunga magoli sio kweli mbona wengi wamepewa na hawajafunga na hizo tuzo msitake kuwapangia NBC anzisheni tuzo zenu
@SamsonDaniely-s6kСағат бұрын
Wekeni sheria kwenye uandishi wenu wa habari ila mpira hamuwezi
@ismailjailan4186Сағат бұрын
Mpira hapewe mtu nafasi nafasi anatafuta mwenyewe hem acha kuushi kwa mazoweya mwenye ubora ndio anacheza
@HarunakiongoziMohamedСағат бұрын
Mawazo mengi hayana faida na soka la tanzania,hapo hakuna kitu,kuna nchi gani inataratibu wa hivyo,hivi huyu anaeongea alicheza timu gan hapa tanzania
@anithawidambe7543Сағат бұрын
TFF ANGALIENI HILI HUYO ANATAKA KUUHARIBU MPIRA.
@anithawidambe7543Сағат бұрын
WEWE UNAPOSEMA KILA TIMU IWE NA WACHEZAJI 4 AMBAO NI WAZAWA USHAURI NI KILA MCHEZAJI APAMBANE APATE NAFASI VINGINEVYO WATAKUWA WANASEMA HATA NISIPOCHEZA VZR NTAPANGWA TUU HAMUONI NYIE NDY MNAYEHARIBU MPIRA?
@nordiccontrol01Сағат бұрын
Du! Mmeona mshahara hamjapewa mkaamua kutaftiza vikao ili mpewe posho
@mpekuzimedia-xw1rb5 сағат бұрын
Hii Simba wandawaazimu kweli hivi Mungu kwann hii simba kila siku inazungumziwa maredioni kwenye matv yanii waandishi wanaipa promo kubwa sana sisi yanga hata hatupewi sapoti kubwa na waandishi Simba inapendelewa sana sisi yanga hatupendwi
@AishshibnShibani4 сағат бұрын
Acha usenge
@Mkubwa_jr4 сағат бұрын
Jinyonge
@allybakarykombo67852 сағат бұрын
Jipende mwenyewe boya wee
@FredrickMzuma4 сағат бұрын
Sheria mbovu sana hizo
@JohnJoseph-qq7owСағат бұрын
Mashabiki wa yanga nimashetani wachawi wakubwa yanga kubebwa mbebwe bado tena mroge matusi ni ya yanga
@ismailjailan4186Сағат бұрын
Hivi kabla ya kuzungumza ufikiriya hakula hata moja zuri mira ni biashara sahivi habari ya kupangia tim wacheze kina nani sijuwi kipa sijuwi timu injanganywe kwa ushirikina sijuwi wa and 20 wacheze wanne km ww unatimu ungefanya hivo
@mwanahamisihatibu5902 сағат бұрын
Maoni ya kipuuzi
@Magilebasu2 сағат бұрын
Hizo Sheria mmezitunga mkiwa choon😂😂
@bulaasiywez70144 сағат бұрын
We jamaa izo Sheria peleka nyumban kwako,,mpira wetu Bado unakua huwez kuweka Sheria za hovyo kama izo,,
@JohnJoseph-qq7owСағат бұрын
Ukiona matusi ujue ni shabiki wa yanga
@WilfredChomo2 сағат бұрын
Sikubaliani na hoja hata Moja. Bora ibaki kama ilivyokuwa. Watanzania wasipojituma watabaki kuwa na viwango duni tu.Uwezo unatokana na kipaji.Tafakari.Anzisheni chuo cha makocha.
@AziziLiwago2 сағат бұрын
Hizi sheria zote mnazipendekeza baada yakuona kunatimu inazinyoosha zingine kona zote,,nimapendekezo yaliyojaa ucmba
@mwanahamisihatibu5902 сағат бұрын
Yaani kama mmeenda kujizalilisha hata mpira hamjui Bali mnataka kuharibu ligi
@sebastianmbena2836Сағат бұрын
Mnavyo viongea mna vielewa kweli?? Maana inaonekana waz kwamba mna malengo ya kuua soka la kiushindan nchin
@NtolokwaNtambi5 минут бұрын
Ninyi Imani za ushirikina mmezitoa wapi? Serikali za Dunia haziamin ushirikina zinaamni kamati za ufundi za wataalamu kwa maana ya makocha, mtatuaibisha ninyi mashirikina!!!!
@chandeyusufu95703 сағат бұрын
Kwenda sharia izo kawake kwa mkeo
@SurprisedBirchForest-tm5yg2 сағат бұрын
Pumbavu lisipitishwe hata moja kuku kweli mnaakili nyie
@DamianiItandula11 минут бұрын
Safi sana
@AbelOmary2 сағат бұрын
Asante kayoko mbwa
@WilfredChomo2 сағат бұрын
Wadau wanasemaje kuhusu mapendekezo yenu?
@AyubuMohamedi2 сағат бұрын
Sijaskia wakimtaja kayoko
@drdd7743 сағат бұрын
Haya mapendekezo hayafai, hata kwenye vikoba😮
@IMANIMWAITEGE-ve8gr2 сағат бұрын
Kichwa cha habari na mnacho kiongea ni tofauti
@anithawidambe7543Сағат бұрын
MNAWAPANGIA SHERIA WENYE TIMU ZAO BASI NA NYIE ANZISHENI TIMU ZENU. KOCHA MNAMPANGIA KIKOSI AKIFUNGWA MNAMFUKUZA NA KUSEMA HAFAI. KWANI HAYO MAPENDEKEZO HAYO MMEYATOA WAPI?ACHENI KUHARIBU MPIRA
@anithawidambe7543Сағат бұрын
UNAACHA KUWAREKEBISHA MAREFA KM KAYOKO ILI WAYAFUTE HAYO MAKOSA?HAYO NI MAPENDEKEZO CY LAZIMA YAFUATWE WEWE UNATAKA WACHEZE 4HAO VIJANA KM HAWAWEZI ITAKUWAJUJIFUNZE KWA TIMU NYINGINE
@revocatusmalimi45254 сағат бұрын
Waandishi msiingilie sana suala soka wahamasisheni wachezaji wetu wajitume zaidi badala ya kuwaonea huluma kama mnavyofanya. Tunao wachezaji wachache wa kuigwa mfano Baca,Shalala,Kibu ,Mzize nk wao mbona wanapata namba za kudumu
@SurprisedBirchForest-tm5yg2 сағат бұрын
Nyie hamna akili kabisa wapumbavu sana
@RAMADHANIJUMA-l6o2 сағат бұрын
Mmefeli hapo mbona mapendekezo yenyewe ndio ushikina sasa
@franknyange67693 сағат бұрын
Hivi mnaujua mchezo wa mpira wa miguu kweli??? Hayo mapendekezo yenu ndio ushirikina wa kwanza kabisa kabla ya ule unaoudhania wewe, ligi yetu itakuwa ya hovyo sana kuliko ligi yoyote Africa. Na itashuka kwenye viwango vya CAF.
@MussakasimKayanda3 сағат бұрын
Sisi Simba tushamsamehe haya ni maisha tu
@benestadyamwale82183 сағат бұрын
Mnataka kuua viwango vya timu zetu na vijana wenu
@FredrickMzuma4 сағат бұрын
Wachezaji waongeze juhudi ili wapate nafasi. Mbona mzize anapata nafasi mbele ya Prince na baleke
@JudicateShuma3 сағат бұрын
Hii Sheria ya tff ya GSM kuwadhili zaidi ya tim Moja inatoka wapi wakati GSM ni yanga damu acheni siasa kwenye mpira wetu wa Tanzania,
@AminaTapwale-e5t3 сағат бұрын
Nenda akasome kwanza sheria za soka then urudi kucoment ..hata mo akitaka kudhamini team nyingine anaruhusiwa
@fadhilikiduba38942 сағат бұрын
La magoal kipa mmmh wapambane kwa kweli
@emmanuelmayunga15183 сағат бұрын
Rudini tena ndani mkapendekeze upya,na mshirikishe watu wengine wenye weledi sio nyie,hapo hakuna cha maana labda kwenye ubora wa kipa kuzingatia save,,ila wachezaji wa kitanzania wanatakiwa wapambanie namba msiwafeve tu tutaua mpira wetu wenyewe
@revocatusmalimi45254 сағат бұрын
Mpira ni biashara, tuache kingiza siasa kwenye mpira wetu kutaka kuingiza suala la wazawa. Hili litaua mpira wetu sababu tutalazimika tusahiri na kutumia wachezaji wetu wenye uwezo mdogo wasiojituma. Timu zinalazimika kutafuta wachezaji nje ya nchi sababu wazawa ni wazembe hawajitumi. Suala la kujiuliza ni sera zipi za mpira wa miguu hapa kwetu tofauti na za nchi nyingine
@mujunibikombo7644 сағат бұрын
Mapendekezo fake hayo,
@emmanuelmayunga15183 сағат бұрын
Walevi nyie tokeni hapo hamna cha maana mnachojadili
@ZawadiHassan-x6q3 сағат бұрын
Munataka kualibu ligi hayo mapendelezo mulipendekeza mukiwa baa
@FredrickMzuma4 сағат бұрын
Sheria zenu hizo ni mbaya zaidi ziko kihisia zaidi kuliko uhalisia wake
@brycesonmathias61122 сағат бұрын
Kwa nini Leo?
@GeraldN-h8f4 сағат бұрын
Wachezaji waoneshe wiwango kama hawana viwango akae bech
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch9 минут бұрын
Hamna lolote kaaa mavi
@FatmaAli-i8g3 сағат бұрын
Kuhusu ushirikina mtathibitishaje? 🤔
@kiluwaselemani42464 сағат бұрын
Waqmuzi wenu mbona hamuwasemei au wana shelia zao?
@ashindatawasi95983 сағат бұрын
Akili zako finyo kuliko za mkeo
@linogracephord97853 сағат бұрын
Kuhusu Magoli kipa unaongea pumba kabisa!
@dullahchitemo231137 минут бұрын
Mikundu yenu nyie
@SalvatoryMtunga2 сағат бұрын
Sasa nyie ni nani?.
@andreajohnmzigula20894 сағат бұрын
Pigen chin R,kayoco
@anthonysegereti97953 сағат бұрын
Hamna lolote nyie
@richardnganya23113 сағат бұрын
Wajinga watupu. Hawajui U 17 au U20 au U23 nani kazianzisha !! Wamejichora !!
@YOSHUAMWAMPETA4 сағат бұрын
NIWAULIZE SWALI MOJA TU.Je mtawezaje kuthibitisha ushirikina? Swali la nyongeza , mlikuwa wapi siku zote kuhusu haki za makipa pale KASEJA ALIPODAKA LIGI YOTE HADI MECHI ZA KIRAFIKI? AU MLIKUWA MUMEKUFA SASA NA MUMEFUKA?
@Mkubwa_jr4 сағат бұрын
Mkipitia mlango wa nyuma tu wakati mlango rasmi upo wazi hiyo ni dalili ya kwanza yq ushirikina😂😂😂