RASMI JIONI HII KAMATI SAA 72 YAMFUTA LESENI KAYOKO,TFF NA TPLB WATOA TAMKO,MECHI SARE SIMBA,YANGA

  Рет қаралды 13,086

BM NEWS Tz

BM NEWS Tz

Күн бұрын

Пікірлер: 85
@ndaroGamba
@ndaroGamba 17 минут бұрын
Mmmh,hilo pendekezo la ushirikina Utopolo watashuka daraja haki😂
@SurprisedBirchForest-tm5yg
@SurprisedBirchForest-tm5yg 2 сағат бұрын
Sheria zakijinga sana hivi mmejifikilia wakati mnatunga hizo Sheria mnaakili kweli tunatanga ushindani mnaleta kukuza vipaji vya watu ambao hawataki hata kujituma acheni ushamba
@HarunakiongoziMohamed
@HarunakiongoziMohamed Сағат бұрын
Hamna kila kitu,mnataka kutuharibia mpira
@DamianiItandula
@DamianiItandula 10 минут бұрын
Wanyanga'nywe2 pointi wapewe simba
@marcobulili4341
@marcobulili4341 4 сағат бұрын
Adhabu kali sana hyo kunyang'anya timu point si vzuri mtakatisha tamaa wawekezaji. Mchezo utakuwa siyo profession tena.
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 сағат бұрын
Yani hawa naona hata hawajielewi
@johnchaba289
@johnchaba289 Сағат бұрын
Ushauri wako upi
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 сағат бұрын
Ukistaajabu ya Musa....!! Yaani mafundi wa magari wanaweka mikakati ya kutibu wanadamu .....!! Jopo la wataalam wa kupiga picha linajadili taaluma isiyowahusu na wadioijua !! Ni ujinga uliopitiliza kupambana na Katiba ya FIFA, CAF na TFF !!
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba 2 сағат бұрын
Ni mtizamo mzuri sana hasa hapo kwenye save/cleansheet
@godfreybernard5283
@godfreybernard5283 23 минут бұрын
Hakuna kitu hapo
@emmanuelmrope7819
@emmanuelmrope7819 Сағат бұрын
Hawa ndio wanao uwa soka letu hakuna kitu chochote cha point al8chokizungumza hapo kuanzia macoach mpk wachezaji watueleze hizo academy za kipaji mmeziaanda wp au za magolikipa au kuna coach gani mzawa anayefundisha nje? Na pili hiyo nafasi ya 6 tumeipata mwaka gn je ni kwa wachezaji wazawa na macoach wazawa? Au baada ya players wenye quality wa nje ndio wametufikisha hapo? Tusipochagua watu makini wenye weledi na vision ya mbali itoshe kusema hatutasogea popote kwa watu design hii✅🤔🙌
@AbdallahMnyiwe-he2zu
@AbdallahMnyiwe-he2zu Сағат бұрын
Huyu hajui mpira ana ingiza siasa
@yusuphuadhuman9085
@yusuphuadhuman9085 Сағат бұрын
IV mlijifikilia au mlikulupukatu je mashabiki wa timu pizani na wakavaa jezi za wezao na wakafanya uo ujinga mjifikilie vzuli
@fredcheppe1667
@fredcheppe1667 2 сағат бұрын
Mnaweka PESA kwenye timu au maneno tyu....!! Tutarudi nyuma Mita 300 Kwa kutaka Nafasi za upendeleo kwenye football
@RevocatusWilliam
@RevocatusWilliam 11 минут бұрын
Bado nawaza!! Hawa ndo waandishi wa habari
@yusuphuadhuman9085
@yusuphuadhuman9085 Сағат бұрын
Naona mmekuja kuwapangia watu vikosi Sasa
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Сағат бұрын
MNAACHA KUWAPA SEMINA MAREFA KILA CK MNAUHARIBU MPIRA. MAREFA WA KWETU HAWAJUI MPIRA NA SHERIA
@mwanahamisihatibu590
@mwanahamisihatibu590 2 сағат бұрын
Kwenye kufunga magoli sio kweli mbona wengi wamepewa na hawajafunga na hizo tuzo msitake kuwapangia NBC anzisheni tuzo zenu
@SamsonDaniely-s6k
@SamsonDaniely-s6k Сағат бұрын
Wekeni sheria kwenye uandishi wenu wa habari ila mpira hamuwezi
@ismailjailan4186
@ismailjailan4186 Сағат бұрын
Mpira hapewe mtu nafasi nafasi anatafuta mwenyewe hem acha kuushi kwa mazoweya mwenye ubora ndio anacheza
@HarunakiongoziMohamed
@HarunakiongoziMohamed Сағат бұрын
Mawazo mengi hayana faida na soka la tanzania,hapo hakuna kitu,kuna nchi gani inataratibu wa hivyo,hivi huyu anaeongea alicheza timu gan hapa tanzania
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Сағат бұрын
TFF ANGALIENI HILI HUYO ANATAKA KUUHARIBU MPIRA.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Сағат бұрын
WEWE UNAPOSEMA KILA TIMU IWE NA WACHEZAJI 4 AMBAO NI WAZAWA USHAURI NI KILA MCHEZAJI APAMBANE APATE NAFASI VINGINEVYO WATAKUWA WANASEMA HATA NISIPOCHEZA VZR NTAPANGWA TUU HAMUONI NYIE NDY MNAYEHARIBU MPIRA?
@nordiccontrol01
@nordiccontrol01 Сағат бұрын
Du! Mmeona mshahara hamjapewa mkaamua kutaftiza vikao ili mpewe posho
@mpekuzimedia-xw1rb
@mpekuzimedia-xw1rb 5 сағат бұрын
Hii Simba wandawaazimu kweli hivi Mungu kwann hii simba kila siku inazungumziwa maredioni kwenye matv yanii waandishi wanaipa promo kubwa sana sisi yanga hata hatupewi sapoti kubwa na waandishi Simba inapendelewa sana sisi yanga hatupendwi
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 4 сағат бұрын
Acha usenge
@Mkubwa_jr
@Mkubwa_jr 4 сағат бұрын
Jinyonge
@allybakarykombo6785
@allybakarykombo6785 2 сағат бұрын
Jipende mwenyewe boya wee
@FredrickMzuma
@FredrickMzuma 4 сағат бұрын
Sheria mbovu sana hizo
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow Сағат бұрын
Mashabiki wa yanga nimashetani wachawi wakubwa yanga kubebwa mbebwe bado tena mroge matusi ni ya yanga
@ismailjailan4186
@ismailjailan4186 Сағат бұрын
Hivi kabla ya kuzungumza ufikiriya hakula hata moja zuri mira ni biashara sahivi habari ya kupangia tim wacheze kina nani sijuwi kipa sijuwi timu injanganywe kwa ushirikina sijuwi wa and 20 wacheze wanne km ww unatimu ungefanya hivo
@mwanahamisihatibu590
@mwanahamisihatibu590 2 сағат бұрын
Maoni ya kipuuzi
@Magilebasu
@Magilebasu 2 сағат бұрын
Hizo Sheria mmezitunga mkiwa choon😂😂
@bulaasiywez7014
@bulaasiywez7014 4 сағат бұрын
We jamaa izo Sheria peleka nyumban kwako,,mpira wetu Bado unakua huwez kuweka Sheria za hovyo kama izo,,
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow Сағат бұрын
Ukiona matusi ujue ni shabiki wa yanga
@WilfredChomo
@WilfredChomo 2 сағат бұрын
Sikubaliani na hoja hata Moja. Bora ibaki kama ilivyokuwa. Watanzania wasipojituma watabaki kuwa na viwango duni tu.Uwezo unatokana na kipaji.Tafakari.Anzisheni chuo cha makocha.
@AziziLiwago
@AziziLiwago 2 сағат бұрын
Hizi sheria zote mnazipendekeza baada yakuona kunatimu inazinyoosha zingine kona zote,,nimapendekezo yaliyojaa ucmba
@mwanahamisihatibu590
@mwanahamisihatibu590 2 сағат бұрын
Yaani kama mmeenda kujizalilisha hata mpira hamjui Bali mnataka kuharibu ligi
@sebastianmbena2836
@sebastianmbena2836 Сағат бұрын
Mnavyo viongea mna vielewa kweli?? Maana inaonekana waz kwamba mna malengo ya kuua soka la kiushindan nchin
@NtolokwaNtambi
@NtolokwaNtambi 5 минут бұрын
Ninyi Imani za ushirikina mmezitoa wapi? Serikali za Dunia haziamin ushirikina zinaamni kamati za ufundi za wataalamu kwa maana ya makocha, mtatuaibisha ninyi mashirikina!!!!
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 3 сағат бұрын
Kwenda sharia izo kawake kwa mkeo
@SurprisedBirchForest-tm5yg
@SurprisedBirchForest-tm5yg 2 сағат бұрын
Pumbavu lisipitishwe hata moja kuku kweli mnaakili nyie
@DamianiItandula
@DamianiItandula 11 минут бұрын
Safi sana
@AbelOmary
@AbelOmary 2 сағат бұрын
Asante kayoko mbwa
@WilfredChomo
@WilfredChomo 2 сағат бұрын
Wadau wanasemaje kuhusu mapendekezo yenu?
@AyubuMohamedi
@AyubuMohamedi 2 сағат бұрын
Sijaskia wakimtaja kayoko
@drdd774
@drdd774 3 сағат бұрын
Haya mapendekezo hayafai, hata kwenye vikoba😮
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 2 сағат бұрын
Kichwa cha habari na mnacho kiongea ni tofauti
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Сағат бұрын
MNAWAPANGIA SHERIA WENYE TIMU ZAO BASI NA NYIE ANZISHENI TIMU ZENU. KOCHA MNAMPANGIA KIKOSI AKIFUNGWA MNAMFUKUZA NA KUSEMA HAFAI. KWANI HAYO MAPENDEKEZO HAYO MMEYATOA WAPI?ACHENI KUHARIBU MPIRA
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Сағат бұрын
UNAACHA KUWAREKEBISHA MAREFA KM KAYOKO ILI WAYAFUTE HAYO MAKOSA?HAYO NI MAPENDEKEZO CY LAZIMA YAFUATWE WEWE UNATAKA WACHEZE 4HAO VIJANA KM HAWAWEZI ITAKUWAJUJIFUNZE KWA TIMU NYINGINE
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 4 сағат бұрын
Waandishi msiingilie sana suala soka wahamasisheni wachezaji wetu wajitume zaidi badala ya kuwaonea huluma kama mnavyofanya. Tunao wachezaji wachache wa kuigwa mfano Baca,Shalala,Kibu ,Mzize nk wao mbona wanapata namba za kudumu
@SurprisedBirchForest-tm5yg
@SurprisedBirchForest-tm5yg 2 сағат бұрын
Nyie hamna akili kabisa wapumbavu sana
@RAMADHANIJUMA-l6o
@RAMADHANIJUMA-l6o 2 сағат бұрын
Mmefeli hapo mbona mapendekezo yenyewe ndio ushikina sasa
@franknyange6769
@franknyange6769 3 сағат бұрын
Hivi mnaujua mchezo wa mpira wa miguu kweli??? Hayo mapendekezo yenu ndio ushirikina wa kwanza kabisa kabla ya ule unaoudhania wewe, ligi yetu itakuwa ya hovyo sana kuliko ligi yoyote Africa. Na itashuka kwenye viwango vya CAF.
@MussakasimKayanda
@MussakasimKayanda 3 сағат бұрын
Sisi Simba tushamsamehe haya ni maisha tu
@benestadyamwale8218
@benestadyamwale8218 3 сағат бұрын
Mnataka kuua viwango vya timu zetu na vijana wenu
@FredrickMzuma
@FredrickMzuma 4 сағат бұрын
Wachezaji waongeze juhudi ili wapate nafasi. Mbona mzize anapata nafasi mbele ya Prince na baleke
@JudicateShuma
@JudicateShuma 3 сағат бұрын
Hii Sheria ya tff ya GSM kuwadhili zaidi ya tim Moja inatoka wapi wakati GSM ni yanga damu acheni siasa kwenye mpira wetu wa Tanzania,
@AminaTapwale-e5t
@AminaTapwale-e5t 3 сағат бұрын
Nenda akasome kwanza sheria za soka then urudi kucoment ..hata mo akitaka kudhamini team nyingine anaruhusiwa
@fadhilikiduba3894
@fadhilikiduba3894 2 сағат бұрын
La magoal kipa mmmh wapambane kwa kweli
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 сағат бұрын
Rudini tena ndani mkapendekeze upya,na mshirikishe watu wengine wenye weledi sio nyie,hapo hakuna cha maana labda kwenye ubora wa kipa kuzingatia save,,ila wachezaji wa kitanzania wanatakiwa wapambanie namba msiwafeve tu tutaua mpira wetu wenyewe
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 4 сағат бұрын
Mpira ni biashara, tuache kingiza siasa kwenye mpira wetu kutaka kuingiza suala la wazawa. Hili litaua mpira wetu sababu tutalazimika tusahiri na kutumia wachezaji wetu wenye uwezo mdogo wasiojituma. Timu zinalazimika kutafuta wachezaji nje ya nchi sababu wazawa ni wazembe hawajitumi. Suala la kujiuliza ni sera zipi za mpira wa miguu hapa kwetu tofauti na za nchi nyingine
@mujunibikombo764
@mujunibikombo764 4 сағат бұрын
Mapendekezo fake hayo,
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 сағат бұрын
Walevi nyie tokeni hapo hamna cha maana mnachojadili
@ZawadiHassan-x6q
@ZawadiHassan-x6q 3 сағат бұрын
Munataka kualibu ligi hayo mapendelezo mulipendekeza mukiwa baa
@FredrickMzuma
@FredrickMzuma 4 сағат бұрын
Sheria zenu hizo ni mbaya zaidi ziko kihisia zaidi kuliko uhalisia wake
@brycesonmathias6112
@brycesonmathias6112 2 сағат бұрын
Kwa nini Leo?
@GeraldN-h8f
@GeraldN-h8f 4 сағат бұрын
Wachezaji waoneshe wiwango kama hawana viwango akae bech
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 9 минут бұрын
Hamna lolote kaaa mavi
@FatmaAli-i8g
@FatmaAli-i8g 3 сағат бұрын
Kuhusu ushirikina mtathibitishaje? 🤔
@kiluwaselemani4246
@kiluwaselemani4246 4 сағат бұрын
Waqmuzi wenu mbona hamuwasemei au wana shelia zao?
@ashindatawasi9598
@ashindatawasi9598 3 сағат бұрын
Akili zako finyo kuliko za mkeo
@linogracephord9785
@linogracephord9785 3 сағат бұрын
Kuhusu Magoli kipa unaongea pumba kabisa!
@dullahchitemo2311
@dullahchitemo2311 37 минут бұрын
Mikundu yenu nyie
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 2 сағат бұрын
Sasa nyie ni nani?.
@andreajohnmzigula2089
@andreajohnmzigula2089 4 сағат бұрын
Pigen chin R,kayoco
@anthonysegereti9795
@anthonysegereti9795 3 сағат бұрын
Hamna lolote nyie
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 сағат бұрын
Wajinga watupu. Hawajui U 17 au U20 au U23 nani kazianzisha !! Wamejichora !!
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 4 сағат бұрын
NIWAULIZE SWALI MOJA TU.Je mtawezaje kuthibitisha ushirikina? Swali la nyongeza , mlikuwa wapi siku zote kuhusu haki za makipa pale KASEJA ALIPODAKA LIGI YOTE HADI MECHI ZA KIRAFIKI? AU MLIKUWA MUMEKUFA SASA NA MUMEFUKA?
@Mkubwa_jr
@Mkubwa_jr 4 сағат бұрын
Mkipitia mlango wa nyuma tu wakati mlango rasmi upo wazi hiyo ni dalili ya kwanza yq ushirikina😂😂😂
@Yangadamu
@Yangadamu Сағат бұрын
Hawa ni wajinga wa wapi
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 87 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 12 МЛН
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 3,4 МЛН
The Day Ronaldinho Became a Brazilian Legend
12:50
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 3 МЛН
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
REAL MADRID 0 - 4 FC BARCELONA | HIGHLIGHTS LALIGA EA SPORTS
3:35
LALIGA EA SPORTS
Рет қаралды 11 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full Episode  /54/ #love
27:41
BabaJoan
Рет қаралды 77 М.
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 87 МЛН