RASMI MUDA HUU HAJI MANARA ATANGAZA VITA NA RAIS WA YANGA/ HUFAI KUIONGOZA YANGA UNAUPENDELEO...

  Рет қаралды 25,823

BATTLE TV

BATTLE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 55
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 2 ай бұрын
Ukiona kwa adui yako kunawaka moto mwaga petrol
@kombofaraji3995
@kombofaraji3995 2 ай бұрын
Manara tukana Tena Kama kawaida yako na huko kwa baba yako umefukuzwa ni kweli huna adabu na unkurupuka mno Kama vile Yanga unaidhamini wewe walikuwa wakutumia kuitukana Simba Kiko wapi Sasa anzisha timu yako.Simba hatukutaki hata kukusikia mlevi wa stand we,
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
Sisi Yanga tunamtaka
@NasraNasra-sd8hr
@NasraNasra-sd8hr 2 ай бұрын
Kirjuani ya mahoma hio ndo imeanza mtajua hamjui
@dignakanje4508
@dignakanje4508 2 ай бұрын
Hyu jmaaa kichwa chke nikibovu kweli kweli.Hji anamuhemuko waugomvi Kila akiguswa.
@RashidMwasiposya-ck6py
@RashidMwasiposya-ck6py 2 ай бұрын
Kweli Simba ilionewa huyo anapenda utawala
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 2 ай бұрын
Magoma atawanyoosha
@SmilingDachshund-xv5si
@SmilingDachshund-xv5si 2 ай бұрын
Haji weturia tu
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me 2 ай бұрын
Manara unataka kuiharib yg
@GenerozaWilliamMalatwe
@GenerozaWilliamMalatwe 2 ай бұрын
Wew ni mwandishi uchwara !pumbavu unamaliza mb tu.... hakuna uhalisia
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
Arudi CCM, akawaibie tena, mbwa koko hili
@kaitesilaurent8997
@kaitesilaurent8997 2 ай бұрын
Magoma atawapoteza
@mlawamangasini3836
@mlawamangasini3836 2 ай бұрын
Manara anapenda kumpanda kila mtu.sasa ameyakanyaga
@SaidySalum-ne1bq
@SaidySalum-ne1bq 2 ай бұрын
manala jamana vp msemaji kwisha manala
@MonicaSimon-py3nx
@MonicaSimon-py3nx 2 ай бұрын
Nyie wandishi wahabali acheni uongo
@fidelisjoseph-tt9zl
@fidelisjoseph-tt9zl 2 ай бұрын
Mumpe kazi ya kuwa mnara! Au arudi kwenye Viwanja vya dili
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 2 ай бұрын
Alisema yanga ndo nyumbani kwao sasa imekuwaje tena!
@aminattai2676
@aminattai2676 2 ай бұрын
Hamisa mobeto amemponza manara kahara
@manarakassimmanara3132
@manarakassimmanara3132 2 ай бұрын
Sasa ni muandishi au ni mbeya Fulani hivi, Sasa sijui watu mnaugonvi Gani na haji hata kama ataacha Hafiz njaa kama wewe , unaye tumwa haji mwinzio yeye anatuma watu kama wewe , Kwa hiyo ongea kama ilivyo sio Kwa kejei ipo hata wewe anaweza kukupa kazi kwake je utasemaje?
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 ай бұрын
Manara wa nn hana busara ana maneno makali ,ally yupo vizuri yy si alifungukiwa kwahiyo wangemsubiri yy kazoea makelele
@iddyiddy7358
@iddyiddy7358 2 ай бұрын
Jamaa alikuwa anamsema sana mwamedi sasa yamemshuka
@SakinAthuman
@SakinAthuman 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 hahahaha 😂😂🤣 aaaaaaaaaaaaaaaaa kwajiran kumekucha
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
Haji ni mgomvi atamwonea Ali Kamwe. aende timu nyingine kwani lazima awe Yanga?amwachie kijana Kamwe.
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 2 ай бұрын
Mtangazaji kujiuzuru ndio kujiuzulu?
@NzeyiwaboAbdul
@NzeyiwaboAbdul 2 ай бұрын
Maskini manara amekonda kweli njaa nimbaya
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
ALI KAMWE HANA MATUSI NA KAMWE NDY NI BORA YANGA SANA INJINIA KAMWE NDY BORA SANA YANGA.
@tintz3157
@tintz3157 2 ай бұрын
Magoma endelea kushindilia kurjuan mpk wanyokeeeee😅
@AnarysisMkulas
@AnarysisMkulas 2 ай бұрын
Manara atumtak
@albertshao4834
@albertshao4834 2 ай бұрын
Magoma msimu huu atawapelikea motooo😂😂
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 2 ай бұрын
Mambo ya kurujuani hayo. Heeeeheeh!
@iddyiddy7358
@iddyiddy7358 2 ай бұрын
Hawa wote ni wanachama wa simba wanalianzisha jangwani
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 2 ай бұрын
Hivi MAJILA ngio MAJIRA?
@ashaomari-rb1uu
@ashaomari-rb1uu 2 ай бұрын
Manara muache dogo Alliy apige kazi we kaa pembeni wakati wako umekwisha bhana
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Magoma UBAYA UBWELA
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 2 ай бұрын
Hivi wewe mwandishi unajitambua?manara alikuwa kifungoni ulitaka msemaji asitafutwe mpaka manara arudi?acheni uandishi wa habari za uchawa.
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 2 ай бұрын
Idala ndio nini?? Hautoweza ndio nini? Zidiya ndio kiswahili gani?
@RamadhanKhalifa-w6b
@RamadhanKhalifa-w6b 2 ай бұрын
Kweli laisi wa yanga anaupendeleo manara ilipaswa kuwa msemaji
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 2 ай бұрын
Uko katika wa bongo wasema kweli
@Jean-marieNiyonzima-f3e
@Jean-marieNiyonzima-f3e 2 ай бұрын
kamati ifanye wawili hawa wawekitukimojatuu😅
@salumomar-ph8ht
@salumomar-ph8ht 2 ай бұрын
Nyie kolozdad Amna alakufanya mmekua mnapambana kuivuruga yanga timu lenu ni bovu mashoga nyie
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 2 ай бұрын
Anakafagie jagwabi
@kaitesilaurent8997
@kaitesilaurent8997 2 ай бұрын
Kama kamwe ni mpumbavu
@kaitesilaurent8997
@kaitesilaurent8997 2 ай бұрын
Anyenyekeye atapotea
@kaitesilaurent8997
@kaitesilaurent8997 2 ай бұрын
Anasafari ndefu
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 2 ай бұрын
Mwanamkeee nyotaaa.aacha make wa mtu
@muhammadkifakara2573
@muhammadkifakara2573 2 ай бұрын
Young African ni matawi ya juu sana kwa sasa, levo zake ni Bundesliga Manara arudi tu kwa Makolo waliozoea migogoro, ktk udhaifu wa Manara ni kusahau fadhila baada ya mda kidogo tu, Ali Kamwe kueleweka Africa nzima na ndiye aliyeifikisha Young African hapo ilipo kwa maelekezo na ushirikiano bora sana kutoka Eng. Hersi katika mpira wa Africa Manara hana busara zaidi ya masifa ya kijinga na dharau hata kwa wazazi wake, Ali Kamwe piga kazi mwanangu
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 2 ай бұрын
Manara ndo anafaa kuwa msemaji wetu wanayanga,kwa yanga hii manara anafaa
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 2 ай бұрын
Uko TAYALI ndio NIKO TAYARI??
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 2 ай бұрын
KING IS BACK😂😂😂
@abdallahomary4350
@abdallahomary4350 2 ай бұрын
Waandishi wa habari mnapenda uchonganishi sana acheni uchonganishi
@henericolinda
@henericolinda 2 ай бұрын
Kaeni chini muyamalize yanga migogoro sio sehemu yetu
@jothamkibona2919
@jothamkibona2919 2 ай бұрын
Mwandishi mpuuzi mbuzi wewe ndio unamsea manara Hana sauti mpuzi wewe
@KenedyMasuva
@KenedyMasuva 2 ай бұрын
Manara fundi
UFC 308 : Уиттакер VS Чимаев
01:54
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 742 М.
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
小丑揭穿坏人的阴谋 #小丑 #天使 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 14 МЛН
The Day Ronaldinho Became a Brazilian Legend
12:50
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 3 МЛН
UFC 308 : Уиттакер VS Чимаев
01:54
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 742 М.