MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@AlmachNestory3 ай бұрын
Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
@fadhilsalum21433 ай бұрын
i like 👊👊👊
@lucianaligambasi3 ай бұрын
Amen
@MariamMasanja-kd3lm3 ай бұрын
Ameen
@MassoudAbdalla-v9g3 ай бұрын
Inshallah
@SimonAnton-uo1rr3 ай бұрын
Amen❤❤
@NeemaValentina2 ай бұрын
Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club
@amaniomar17553 ай бұрын
Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi
@RashidKidume-w8e3 ай бұрын
Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini
@saumbakar76433 ай бұрын
Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏
@StivinMwaipaja-b9c3 ай бұрын
Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina
@apostleisaacnyika46693 ай бұрын
MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛
@JacksonFrances3 ай бұрын
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
@AnnaChami-ew4cy3 ай бұрын
Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi
@magrethmakauki2353 ай бұрын
Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie
@josephatkibona28143 ай бұрын
Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤
@amaniandrew5343 ай бұрын
Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi
@mackford46983 ай бұрын
Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc
@SethMpulule3 ай бұрын
Mungu awaongoze yanga yetu
@ziadamuhunzi62103 ай бұрын
Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah
@fatmasuleiman38853 ай бұрын
Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉
@nyagoonline79863 ай бұрын
💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko
@alfasilasi52863 ай бұрын
Nakubali chama langu💚💛💚💛
@PatrickMalema-f9s2 ай бұрын
Mungu akabarik
@JuliusMnkondo-fk9kv3 ай бұрын
Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana
@DAUDIMNKONDYA-w6r3 ай бұрын
Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba
@BectMaridadi3 ай бұрын
Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja
@FaustinaMkama3 ай бұрын
Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu
@YohanaMadaha-y8l3 ай бұрын
Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu
@AminaTanzania3 ай бұрын
Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga
@rukiakyaka18273 ай бұрын
Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah
@DinnaSimion-g9z2 ай бұрын
Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania
@ArafatAlly-b3n3 ай бұрын
Ikawe kheri ishaalla
@AdyanMbuyu3 ай бұрын
comment ya kwanza piga like
@AmaniMwankili3 ай бұрын
Ume comment nini sasa
@monicalucas37383 ай бұрын
Meneja wetu huyo🎉🎉🎉
@feruzifeisaly-nh6ou3 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@mussakefa24393 ай бұрын
Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚
@malick_jrzramadhan72983 ай бұрын
Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao
@sarangajohn93383 ай бұрын
Ongera mungu awabariki
@shaibusaady24203 ай бұрын
Allaah Akbar
@RajabuBojo-j2l3 ай бұрын
Like za jeshi apa 🤙
@reginardmrl52833 ай бұрын
Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪
@joelkamanda10133 ай бұрын
Tunawaombea sana kwa Mungu.
@abubakaliyahaya29683 ай бұрын
Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤
@aminangano36353 ай бұрын
Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚
@HawaAlznezbar3 ай бұрын
Allalh ataweka wepesi insha allalh
@ronaldissack33383 ай бұрын
Mchezaji wangu max nzengeli yule pale
@B.M-ix4rz3 ай бұрын
Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu
@habibumavulla3 ай бұрын
Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema Yanga Bingwa💛💚
@MAJALIWAMASSANGA3 ай бұрын
All da best wananchi.
@omarymtotela37513 ай бұрын
Nakubali sana
@Alexismadimo3 ай бұрын
Mungu pamoj nasi
@GregoriRafael-je1sd3 ай бұрын
Munguu n mwema
@aminakhamis22763 ай бұрын
Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah
@shomarisangari-rt6le3 ай бұрын
Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa
@yosayocomedytz3 ай бұрын
💚💚💚
@HajiTarimo3 ай бұрын
Vamos wananchi
@dominamushi71713 ай бұрын
Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏
@patrickndizeye21903 ай бұрын
Mambo fresh sana
@AlexIsubila3 ай бұрын
nawakubali san wanajesh wa vita
@MossiSaadat3 ай бұрын
Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii
@thuwaibamkana96913 ай бұрын
M/mungu awatangulie
@asiahamisi-lo5lw3 ай бұрын
❤❤❤
@LeonardRuteangwa3 ай бұрын
Nawapenda sana wananchi ❤
@allyforodha23033 ай бұрын
Saf sna tim yangu pendwa
@MaryMichael-w1l3 ай бұрын
Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄
@ibrahimomary13863 ай бұрын
kuna watu hawataleta team
@JumaMngumba-1232 ай бұрын
kila la kheri wananch once again
@mailulaamani3 ай бұрын
yanga bingwa
@simonwenceslaus37453 ай бұрын
Adi raha
@hamisiyangakozwe1473 ай бұрын
💪
@AbbyBakari-ix4hi3 ай бұрын
🤲🤲🤲
@maestrokiss72453 ай бұрын
Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele
@michaeljames4033 ай бұрын
Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika
@Gabriel-q7x1f3 ай бұрын
Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio
@kassimomar75893 ай бұрын
Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi
@MoajGraphics3 ай бұрын
Yanga Sc Bingwa 🔰
@salemarahbi91713 ай бұрын
Yanga bingwa 😅
@gerardyoung17073 ай бұрын
Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club
@NdevuKamdini3 ай бұрын
Nice
@athumanishabani11433 ай бұрын
Mashaallah
@AtuAtu-v9f3 ай бұрын
Jaman azz yuko wp mbona naskia moyo unashtuka
@EliaMkumbo-wn7bm3 ай бұрын
Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie
@LukindoMchome-qv3vo3 ай бұрын
❤❤
@DicksonNasibu-tv7vr3 ай бұрын
Daima mbele Nyuma mwiko
@ShimaKaheto3 ай бұрын
Wananch mmetisha
@EliaMkumbo-wn7bm3 ай бұрын
Acha wakazungushe sketi zao huko wakirudi hapa wanaanza oooh GSM kadhamini timu nyingi