Рет қаралды 69,048
Ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Cgalamila, alipokaribishwa kutoa salaam kwa waamini Wakati wa Misa Takatifu ya Jubilie ya miaka 25 ya Daraja Takatifu ya upadre kwa Padre Longino Rutagwelera Kamuhabwa. Misa iliyofanyika nyumbani kwao Mayondwe - Parokia ya Kagondo Jimbo Katoliki la Bukoba. Nakuongozwa na Padre Longino Rutagwelera.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja