No video

RC Chalamila awaacha hoi Maaskofu na Mapadre / ''Visasi muachie Mungu mwenyewe'' Tuikwamue Kagera

  Рет қаралды 69,048

Radio Mbiu

Radio Mbiu

Күн бұрын

Ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Cgalamila, alipokaribishwa kutoa salaam kwa waamini Wakati wa Misa Takatifu ya Jubilie ya miaka 25 ya Daraja Takatifu ya upadre kwa Padre Longino Rutagwelera Kamuhabwa. Misa iliyofanyika nyumbani kwao Mayondwe - Parokia ya Kagondo Jimbo Katoliki la Bukoba. Nakuongozwa na Padre Longino Rutagwelera.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja

Пікірлер: 287
@michaelkasogela7219
@michaelkasogela7219 2 жыл бұрын
Kuungama ni muhimu sana mh Chalamila Mungu akubariki sanaaa
@estermgata9617
@estermgata9617 2 жыл бұрын
Yaani mnyalukolo Mwachalamila ninakukubali sana utendaji wako wa kazi. Yaani Inguluvi yikutangage hilo na yikulongolelage hilo bela
@kelvinmtavangu7701
@kelvinmtavangu7701 2 жыл бұрын
Mnyalu ulonzile wunofu Hilo. Huyu MH. Challamila Mungu Ampe Afya njema hapo Kagera. Nyongise Hilo.
@justinemugwewa1583
@justinemugwewa1583 2 жыл бұрын
Toka itiryo tarime mara tanzania Nawafuatilia online radio mbiu.
@user-dn5jb6so1m
@user-dn5jb6so1m Жыл бұрын
Mbona Kama Magufuli vile jamaan mnyongemnyongeni haki take mpen huyu mwamba namkubali Sana mnyalukolo piga kazi tu tunakuombea mema siku zote
@beatricenangale5439
@beatricenangale5439 Жыл бұрын
Kuungama Huleta faraja na Baraka ya maisha. Hata zakayo mtoza ushuru alimuungamia Yesu
@tumainmasuki7110
@tumainmasuki7110 2 жыл бұрын
Powerful
@user-dn5jb6so1m
@user-dn5jb6so1m Жыл бұрын
Duh huyu mwamba alikua wapi siku zote mbona Yuko vizur had siyo poa mnyalukolo nakukubali Sana Mungu awepamoja nawe
@kitovasaidi6753
@kitovasaidi6753 2 жыл бұрын
Hongera
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 2 жыл бұрын
Anaongea kama JPM. Anazijua Takwimu kama JPM. Namkubali sana tena sana mh. Albert Chalamila. Maybe, the President to be.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Kichaa kabisa
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Exactly 💯
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 2 жыл бұрын
Point sana chalamila
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Safi mheshimiwa utawala unauweza kagera wamepata jembe
@nyikaaron3324
@nyikaaron3324 2 жыл бұрын
Kweli nimekuelewa
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Hakika mh ,charamira Ni kiongozi
@paulmsape163
@paulmsape163 2 жыл бұрын
Wengine wanaungama kwa waganga wa kienyeji
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Nimeneno ya msingi baba asikofu
@mankacharles4559
@mankacharles4559 Жыл бұрын
Hakuna toba kwa mtu anaeonekana kwa macho,toba ya kweli na ya haki toba ni kwa aliteumba asie onekana kwa macho
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Huna sababu ya kubishana suala la Imani ni la binadamu na muumba wake. Hiyo unayodai ndiyo Toba ya kweli utaithibitishaje? Kumbuka Toba yahitaji dhamira ya dhati ya mtu binafsi kujutia dhambi ikiongozwa na imani. Hivyo mdhambi anayemwendea Padre kwa kitubia akiwa na dhamira thabiti ya kutubu na Imani kwa mang'amuzi thabiti ya kwamba Padre ni mpakwa mafuta , mtumiahi wa Mungu aliyepewa kazi ya kulichunga Taifa la Mungu, basi kama alivyopewa mamlaka ya kuwabatiza watu ili wapate kuzaliwa upya na kuwa wana wa Mungu basi anasimama vile vilë akifanya kazi ya ukuhani ya KUWAPATANISHA wanadamu na Muumba wao. Hii kazi hawajajipangia Mapadre kwa matakwa yao bali ni kazi waliyopewa na Mungu Mwenyezi kama mojawapo ya majukumu ya makuhani. Soma kitabu Cha wakali!
@grationkato7253
@grationkato7253 2 жыл бұрын
Chalamila tusadie wana Kagera tupo nyuma yako
@rafaelpaschal2245
@rafaelpaschal2245 Жыл бұрын
Nimekupandisha cheo Sasa umekua dkt charamila
@reganantony8913
@reganantony8913 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@bsmonline8482
@bsmonline8482 2 жыл бұрын
Wako huku mjini kwao wamepasahau kabisaa
@GregoryMlay
@GregoryMlay 2 жыл бұрын
Ktk top 5, inashika nafasi ya 26? Hapo sijaelewa vizuri.
@charleschagu7818
@charleschagu7818 2 жыл бұрын
Yaani katika mikoa mitano ya mwisho kimaendeleo kagela ni ya 26
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 2 жыл бұрын
Kwamba una wasomi wengi lkn maendeleo bado. Kamaanisha wasomi wapo mjini lkn kwao kupo nyuma
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Kati ya top 5 mikoa masikinibna kagera IPO na Niya 26 Kati ya 30 YENYEWE ya 26 kwabhiyo top 5 mikoa maskin kagera IPO aibu mkoa wa wasomi
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 Жыл бұрын
RC KAGERA haina stendi ni vema ukalianza na hilo
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 2 жыл бұрын
Mnyalukolo kamwene
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Je wewe hauiamini madhabahu ya Mwaposa?
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Hapana..hiyo ni ya mwanadamu..
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Hapo mh umechemka utakapotubu mbele ya binadamu mwenzio unategemea nini yeye mwenyewe mjadhambi huo ni ukichaa tu
@davidchambulila6318
@davidchambulila6318 2 жыл бұрын
Padri nimuongozaji tu wamaungamo pia ni shahidi tu wamaungamo anayeondoa zambi ni mungu
@Expedito2512
@Expedito2512 2 жыл бұрын
Bahati mbaya hujui vizuri! Siyo kutubu kwa mwanadamu. Chukua muda kujifunza jambo ili uliongelee
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Imeandikwa.Akawavuvia akawaambia.Pokeeni Roho.Mtakao waondolea dhambi wameondolewa.Je,wewe unapingana na maandiko matakatifu? Ishu tu alipoingiza udini hapo ndipo amekosea.Maandiko yanasema mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi sio kwanjia ya dini. Hakuna dini iliyoingia mkataba na Mungu kuwa yenyewe ndiyo dini sahihi na pekee. kuwapeleka watu mbinguni.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 жыл бұрын
Pole na hongera
@grationkato7253
@grationkato7253 2 жыл бұрын
Fata imani yako
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,1 МЛН
"WANYWE POMBE" | Kauli ya RC Chalamila iliyowavunja mbavu TRA
8:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 91 М.
Kauli za Albert Chalamila zilizowaacha watu hoi | Alipokuwa Mkuu wa Mkoa
4:32
Padre Twin'omukama asema na wanaoibeza Imani Katoliki.
48:43
RC CHALAMILA AKIBURUDIKA NA MOJA YA WIMBO HUU WA INJILI
3:29
Dar es salaam RS DIGITAL
Рет қаралды 29 М.