RC CHALAMILA HAJAWAHI KUKASIRIKA HIVI - "ZOMEENI MUONE, MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA"...

  Рет қаралды 39,581

Global TV  Online

Global TV Online

10 ай бұрын

RC CHALAMILA HAJAWAHI KUKASIRIKA HIVI - "ZOMEENI MUONE, MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA"...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 119
@globaltv_online
@globaltv_online 10 ай бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 10 ай бұрын
Hivi ndio inatakikana,wazembe,wabadhirifu na wapiga dili hawatampenda RC Chalamila
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 10 ай бұрын
Magufuli uyu hapa sasa namuona mzee magu yupo ndani ya wengi sana hongera RC
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 10 ай бұрын
Kuna wakati kiongozi anatakiwa kuwa mkali kabisa tena sana kwa maslahi mapana ya jamii heko mkuu, kwani kumuacha mtu mmoja mpumbavu anaweza kusababisha madhara makubwa kabisa kwa jamiii.
@umalqasimalhamhami6707
@umalqasimalhamhami6707 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda buleeeeeee baba chalamila
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Komrade Chalamila for president !!! Yuko sahihi Watanzania wamezoewa kuendeshwa kama mapunda mmechekeana sana ndio maana mko masikini wa kutupwa
@anwarkashaga3573
@anwarkashaga3573 10 ай бұрын
Ndio inatakiwa kiongozi awe hivi Kwa Tanzania
@rogersiddy
@rogersiddy 10 ай бұрын
Ni kweli kbs maana vichwa maji alafu kila mtu mjuaji
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 10 ай бұрын
@@rogersiddy nikweli kabisa ndugu yangu.
@salhaomar5382
@salhaomar5382 10 ай бұрын
Safi san kiongozi uvaa viatu vya magufuli.mungu akulinde baba
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 10 ай бұрын
If we could get leaders like this in all government sectors TZ inaweza piga hatua mbali tena haraka
@fadhilinkobongo2643
@fadhilinkobongo2643 10 ай бұрын
q
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 10 ай бұрын
Sio uwongo
@AbdillahabubakarSalimu
@AbdillahabubakarSalimu 10 ай бұрын
Tunahitaji viongozi Kama Hawa wakukemea ujinga na upumbavu safi sana
@yapukahassan
@yapukahassan 10 ай бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa Hakika we ni mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
@mosaidi2633
@mosaidi2633 10 ай бұрын
This is kind of leader were looking for
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju 2 ай бұрын
Kauli yake nimeipenda sana"kila mara naangalia hotuba zake
@halimaismail6006
@halimaismail6006 10 ай бұрын
Chalamila akeeee❤❤
@abdisalim7900
@abdisalim7900 9 ай бұрын
Ahs Mkuu wa Mkoa na hata km wakisema umetukana hujatoa tusi hapo bali ni ukweli mtupu tu kwa walengwa.Mungu akubariki sn
@lameckchacha5173
@lameckchacha5173 10 ай бұрын
Wanaoharibu hamuwasemi, mnamwona Chalamila tu, kumbuka Kuna watu wanakera sana
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 10 ай бұрын
Kama nani?
@HamisiForogo
@HamisiForogo 26 күн бұрын
Sanaaaa wanaolalamika kwa kauli zake ndo wezi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 25 күн бұрын
Kwa upande mwingine ninao watanganyika wanapenda kufokewa na kutukanwa. Pole sana jitambueni watu!
@user-fk9co4oh6v
@user-fk9co4oh6v 2 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@YusuphGodfleyKasikiwe
@YusuphGodfleyKasikiwe 24 күн бұрын
Safi sanaaa waulize mbeya walinyooka
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 10 ай бұрын
Mungu akulinde kaka.
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 10 ай бұрын
Rc chalamila for Governor nairobi county. 🇰🇪 Mkuu tunahitaji mwamba kama wewe hapa kenya.😅
@sammyibrahim8626
@sammyibrahim8626 9 ай бұрын
Safi sana ,watanzania wanapata maendeleo kwa ukali tu ,bila ukali hawa wezi watamaliza inchi
@abdisalim7900
@abdisalim7900 9 ай бұрын
Viongozi wa aina ya Chalamila ni wachache sn na huzaliwa mmoja tu kwa kila miaka kumi.Hongera Mh Rais kwa kuona kipaji cha hy kijana
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 26 күн бұрын
safi mkuu
@user-sj8pe6hi9n
@user-sj8pe6hi9n 24 күн бұрын
Anawatisha wasiotishika
@hamismabula9934
@hamismabula9934 10 ай бұрын
Hili li nchi limekuwa la madili dili tu! Bila kuburuzana mambo hayaendi! Pesa zinakusanywa lkn kinachofanyika ni 0
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 10 ай бұрын
Chalamila Oyeee
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 24 күн бұрын
Piga kazi Chalamila
@ZakaliaMatari-hu4xm
@ZakaliaMatari-hu4xm 10 ай бұрын
Chapa kazi mwamba
@nellyjuju5325
@nellyjuju5325 10 ай бұрын
Kweli jamani
@langatjosphat
@langatjosphat 2 ай бұрын
What is chokonoa??
@skjjsj1889
@skjjsj1889 10 ай бұрын
Sema sema mkuu 😂😂
@alecheconradninje6183
@alecheconradninje6183 10 ай бұрын
Hawa viongozi kama wa kenya ndo wanakuaga hivi au sio mtanzania😂
@zachariajustine873
@zachariajustine873 10 ай бұрын
Punguza ukali wa maneno kuna wazaz wetu hapo ,hekima ndo itakuongoza mkuu na utaeleweka vzur tu😢😢😢
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 10 ай бұрын
Hata mzazi kuna Waikato anaongea maneno makali vile vile punda haendi Bila fimbo
@Halima-du1jv
@Halima-du1jv 3 ай бұрын
Cjapenda kauli yako japo kuwa upo sahihi na masilahi ya soko kuwatukani watu na wazazi wao cyo poa mbn watu wambeya wajulikana ni watu wazuri sn kulikoni ww hata mzazi wako ni miongoni uliye watukana hp kumbuka,hiko ni kiti cha basi ukiinuka anakaa mwingine hiyo nizamana ya muda tu wazazi wao hapo wanahusika nani mpaka uwaingize je ungekuwa ww hebu vaa uhalisia kuwa mstarabu bac pia kuwa na hofu ya mungu dunia tunapita kumbuka hilo
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 2 ай бұрын
Hii nchi usipokuwa kiongozi Mkali unadhani itaenda? Mtanzania hataki kumbembeleza inatia hasira sana wazazi kwani katukana matusi gani,
@HamisiForogo
@HamisiForogo 26 күн бұрын
Tena wakome kabisa kuna watu Ni watu wazima ovyooo Kuna wazazi hapo wazazi hao hao ndo wezi piga kazi baba wezi ndo wanaona umetukana hapo Ila wenye haki zetu tunaumia na wapumbavu hao
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 25 күн бұрын
ni kweli dah maana maneno yake Mungu wangu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 25 күн бұрын
Hivi watanganyika bado mko katika ukoloni jamani? Nimeogopa sana kuona watanganyika bado ukoloni bado umekaa katika vichwa vya watoto ambao hata hawajawahi kuishi katika ukoloni. Leo wanatetemekea mtanganyika mwenzao anawatukana wapumbavu, washenzi. Na hapo kuna watu wazima kama baba yake. Lakini wanatukanwa huku wakishangilia! Hata Nyerere alitoka kwa ukoloni hakutukana watu wake hivyo! Jamani vyeo ni dhamana tu. Hao unaowatukana ofisi hiyo uliyo nayo ni ya wanainchi watanganyika. Kweli watanganyika bado mko katika wimbi la utumwa mkubwa sana. Mbona Nyerere aliwaelemisha vizuri sana kwa nini kujilahisha kiasi hicho kufanywa watumwa na serikali ya Samia!
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 ай бұрын
Ndiyoooo chalimila chapa kazi 😅
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 10 ай бұрын
Bola jaman mana khaaa soko la Mabibo linakera mm sikuyakwanza kwenda mvua ilinyesha nikajiuliza naingiaje kwenye hili tope 😅😅 nikajikaza kuingia lakin nikajiuliza hapa hakuna uongoz kama Tandale tu Soko linajengwa vizur kwanin Mabibo mahovyo vile
@khadijachacha3156
@khadijachacha3156 10 ай бұрын
Apa naona kama maguguli kafufuka mana yy ndie aliye kua anaiweza nchi sasa na chalamila nae ni kiboko kama ayati magufuli
@2003hintay
@2003hintay 24 күн бұрын
Dar inataka kiongozi kama huyo
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 20 күн бұрын
Machinga Wana nguvu kuliko wa somi wa chuo kiku
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 10 ай бұрын
Ball machine
@hanspop6961
@hanspop6961 8 ай бұрын
Mwamba huwa nakuelewa sana 🤣🤣hakika wewe unamsaidia Rais
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 10 ай бұрын
SASA NIMEKUELEWA BAADA YA KUKUSIKILIZA MWANZO MPAKA MWISHO
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 10 ай бұрын
Kuumb? Upo sahihi mkuu❤
@2003hintay
@2003hintay 10 ай бұрын
Kwa Watanzania anatakiwa kiongozi Kama huyu. Kazi ya kubembelezana hatuendi, hakuna Cha mzee Wala kijana sokoni wako sawa tu, na hapo wapo waliokuwa wanalengwa sio wote na wanajulikana biga kazi mkuu huhongeki wewe na ndio dawa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Sehemu zote inatakiwa iwe hivi wapumbavu hawa na mafisadi walitakiwa wanyongwe
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 10 ай бұрын
Charamila ongea ila ukifunga watakufa wengi
@skjjsj1889
@skjjsj1889 10 ай бұрын
Wanaozomea. Zomeeni haya 😂😂
@lucasmatinya8039
@lucasmatinya8039 10 ай бұрын
Yaani we Ni magufuli mtupu 😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Mbona kwa mafisadi hamkemei
@frankmatambi4841
@frankmatambi4841 10 ай бұрын
Ukali muhimu ila hekima nayo muhimu sana kwa kiongozi
@HamisiForogo
@HamisiForogo 26 күн бұрын
Hakuna hekima ya mwizi wanyooshe Kama ruraaaaaa
@eliasmuga-xb4sm
@eliasmuga-xb4sm 10 ай бұрын
Imeenda
@PedadMiyombo-pc8gc
@PedadMiyombo-pc8gc 10 ай бұрын
Nikisikia kaul izi nakumbuka mbal sana maana ckuiz ata jeshi comedy
@mussaadaut3281
@mussaadaut3281 26 күн бұрын
Spana
@user-dy5fn6qj1q
@user-dy5fn6qj1q Ай бұрын
Tutafika tiuu
@user-xf6pg4vf2t
@user-xf6pg4vf2t 2 ай бұрын
Heeeh ! Huyu mnyalukolo hatari japo kuwa salama
@juniversal.onlinetv4163
@juniversal.onlinetv4163 5 ай бұрын
Vyuma vya magu ivo
@alecheconradninje6183
@alecheconradninje6183 10 ай бұрын
Wamekula mbwa hao😂😂
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 10 ай бұрын
Hawezi huyu kunahitajika nguvu kazi kubwa kuwa na watu kama hawa maneno ya vitisho hayafai kwa Taifa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Yuko sahihi Watanzania wamezoewa kuendeshwa kama mapunda mmechekeana sana ndio maana mko masikini wa kutupwa
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 10 ай бұрын
Huwenda wewe nimoja kati mbwa mwitu wanaojipatia kipato cha dhulma kwenye hilo soko mbwa mmoja ww Kha labda sijakuelewa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 10 ай бұрын
@@abdulkarimabdallah9536 kama mimi mbwa mwitu na ww pia mbwa mwitu na huko ulikozaliwa ni hivyo hivyo na ndiyo maana ukaona wote tunafanana mbwa mwitu Uwe na adabu kujibu au kaa kimya Mungu akupe ufahamu wa kutosha
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 10 ай бұрын
Njoo na Morogoro uwe mkuu wa mkoa usafishe madudu natamani nije nikuone upande wa Ardhi Morogoro ni hovyo hovyo watu hawafanyi kazi inavyostahili, waziri wa ardhi uko wapi mama? Usiangushwe mama
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 10 ай бұрын
😂😂😂
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nicksonbaraka7446
@nicksonbaraka7446 10 ай бұрын
Mwamba alichafuka vibaya sana 😂😂
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 10 ай бұрын
Kuna maadili ya viongozi ikiwemo na lugha
@Yunus_Hassani
@Yunus_Hassani 10 ай бұрын
Ww ulitaka je fala ww
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 10 ай бұрын
@@Yunus_Hassani sijibishani na mafala kama wewe usiejua kiongozi inatakiwa awe na kauli ya kistaarabu na busara na si kufoka foka kwani haisaidii Kwa watu sugu. Ingekua inasaidia basis madikteta wangefanikiwa katika uongozi Tena huyu karopoka hata kwenye suala La mkataba mbovu Wa bandari
@hassanmasoud8167
@hassanmasoud8167 10 ай бұрын
Sio kwa sisi watanzania
@EliaHiluka-ep3tp
@EliaHiluka-ep3tp 10 ай бұрын
Soko Hilo ni mali yako hadi ufunge
@MarygetrudeKyauke-hn8hi
@MarygetrudeKyauke-hn8hi 10 ай бұрын
Taifa hili lina viongozi wabovu haijawahi tokea, ivi unaweza tukana wazazi wako wanaokulea ? Jifunzeni kauli za viongozi na kauli za nyumban kwako
@MarygetrudeKyauke-hn8hi
@MarygetrudeKyauke-hn8hi 10 ай бұрын
2:04 Raisi hata angelasilika vipi hawezi tukana hivyo Kwa kuwa anajua anaongea na watu gani, lakini hawa wateule sijuwi Kuna nn kichwani mwao, wajifunze Kwa Raisi Samia waone
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 10 ай бұрын
Uuuiiuiiiii
@marsmars5361
@marsmars5361 10 ай бұрын
Kwahio unatulazimisha tumshangilie we vp ?
@stanymccary7136
@stanymccary7136 10 ай бұрын
Wabongo lazima waendeshwe kama punda husicheke nao kabisa
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 10 ай бұрын
una lolote mwongo tu wewe ungeenda pekeako apo sokoni bila nguvu ya dola alafu uwalishe uwo uwalo wako une watu kama wasingenyonya mavi mchana kweupe uwezi kutukana watu wazima kama watoto wako
@martinkisha6307
@martinkisha6307 10 ай бұрын
Hotuba kama hii inachochea hasira Kwa wanyonge watumishi mjitathimini kauri zenu . Hata kama Kuna makosa hizi kauli zikiendelea na wakoroni hawakuwa hivi
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Yuko sahihi Watanzania wamezoewa kuendeshwa kama mapunda mmechekeana sana ndio maana mko masikini wa kutupwa
@allyhamic1255
@allyhamic1255 10 ай бұрын
Akuna cha kauri nzuri ukiongea kipole pole utashikwa mpaka matako...namna hii ndo inatakiwa kwa apa tz
@ahmedhamis
@ahmedhamis 10 ай бұрын
Waafrika ukicheka nao kwishaaa
@HadjiMbugi-hw2hf
@HadjiMbugi-hw2hf 10 ай бұрын
ulitaka awabembeleze?!?
@EliaHiluka-ep3tp
@EliaHiluka-ep3tp 10 ай бұрын
Acha vitisho
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 9 ай бұрын
Hunaishu matusi kama kiongozi haya fai
@juliusbura4550
@juliusbura4550 10 ай бұрын
Wewe mjinga mpumbavu Ni wewe
@AziziAbedi-ml8lg
@AziziAbedi-ml8lg 9 ай бұрын
Umekua mungu wewe Acha kutukana watu kuna mungu
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 9 ай бұрын
Kwanza ungekosoa mafisadi bungeni hapo sawa na mmbwa koko
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
KWELI
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi 9 ай бұрын
Huyu nae kama chizi hivi matusi ya nini sasa
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 10 ай бұрын
Ila mkuu wa mkoa. Lugha ulio tumia hapo kumbuka Kuna wazee wenye umri kama baba yako au mama yako. Umetumia lugha chafu omba mungu akuongoze ama utubu kabisa 😮😮😮
@2003hintay
@2003hintay 10 ай бұрын
Sokoni hakuna Cha mzee wote lugha Moja tu mzee nyumbani kwake piga kazi mkuu wamezoea kubembelezwa
@nestanesta5704
@nestanesta5704 10 ай бұрын
Maneno machafu kwa kiongozi, Kama yeye,kutumia lugha chafu haimaanishi kwamba ndo utaeleweka, jpm alikua mkali ila hajawahi kutumia maneno ya hivi. Alafu bado anatamba as if Kuna mtu kamtisha, hamna kiongosi humu, Hawa ndo wanamchafua our mother!!!!
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Hamna cha mzee wala kitukuu watu wapumbavu na ujinga hamna kuwachekea. Yuko sahihi Watanzania wamezoewa kuendeshwa kama mapunda mmechekeana sana ndio maana mko masikini wa kutupwa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
@@nestanesta5704acha uongo wewe JPM alikuwa anatukana kabisa na alikuwa anafoka na Watanzania ndio wanataka hivi ukiwachekea wanakupanda kichwani
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 10 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 matako wewe tajir
@marsmars5361
@marsmars5361 10 ай бұрын
Acha kututisha wewe
@pendokomba8322
@pendokomba8322 10 ай бұрын
Una mwanasheria lakini😂
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 20 күн бұрын
Funga wajinga hao machinga Kwa Sasa nisawa ajp mumelea machinga wajinga kutoka vijini mutakuja kuona kazi yao
CHALAMILA : NIMEOA ILI NIYATUMIKIE HAYO MAPENZI WANAYOSEMA NAPENDA
8:18
Gangana Info Channel
Рет қаралды 26 М.
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 6 МЛН
A pack of chips with a surprise 🤣😍❤️ #demariki
00:14
Demariki
Рет қаралды 54 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 14 МЛН
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 26 МЛН
RC MPYA DAR CHALAMILA AMKOSHA RAIS SAMIA ONA ALICHOFANYA
8:10
OFFTRACK TV
Рет қаралды 27 М.
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 6 МЛН