RC Makonda 'Alivyomuita' Diamond na Tanasha Awafungishe Ndoa!

  Рет қаралды 90,974

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 191
@joyking424
@joyking424 6 жыл бұрын
Kama munaona Tanasha kavaha mbaya na anajisikia ata haibu gonga like
@salummuhija4435
@salummuhija4435 6 жыл бұрын
Kama umemuona tanasha anogopa kumsogelea shekhe gonga like hapa.
@fatmaabdulla6178
@fatmaabdulla6178 6 жыл бұрын
Hajaogopa MTU, Bali aliona ni fahari kuitwa mbele ya sheikh. Kama kweli anaiheshimu dini yake Nasib asinge mwachia tanasha amsogelee sheikh wala kuvaa mavazi ya uchi, Nasib utokako ni mbali unakokwenda ni karibu, life have no guarantee jitayarishe sasa kuonana na Muumba, kama si sasa ni sasa hivi. Nakuombea uzinduke kutoka kwenye huo usingizi, Allah akusameh mwanangu
@mamyally958
@mamyally958 6 жыл бұрын
Fatma Abdulla Aamin ni kweli kabisa
@zakyahya4645
@zakyahya4645 6 жыл бұрын
Kam umemuona Tanasha anawasiwasi walivyo itwa mbele Gonga like apa
@reubendick4033
@reubendick4033 6 жыл бұрын
Alie ona diamond kavaa Eleni agonge like.
@mwanahamisjuma3361
@mwanahamisjuma3361 6 жыл бұрын
Kama umemuona mama mai kwa mbaligonga like
@habibmohdali206
@habibmohdali206 6 жыл бұрын
Kama umemuona mkuu wa mkoa kashtuka kwa walinzi wa diamond weka like twende sawa
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 6 жыл бұрын
Mh makonda hii speech nmeipenda sanaaaaaa 👍 point tupu
@barakanyambele4673
@barakanyambele4673 6 жыл бұрын
Mkuu makonda umeongea vizuri sana, natamani sana cku nikudogelee hata karibu unipe a, b,c
@mrsb.j283
@mrsb.j283 6 жыл бұрын
Mbele ya mama mkwe ulishika kiuno, mbele ya waheshimiwa wote hao pia unashika kiuno, jifunze heshima na Mila na desuri tanasha
@kadechoabuu6635
@kadechoabuu6635 6 жыл бұрын
mkuu uko vizuri hii bongo uchawi majungu .na mungu kwa amesema bola mchawi .sio wenye majungu.
@shabanmajasho7164
@shabanmajasho7164 6 жыл бұрын
Boss leo umeongea point sanaaaa🔥🔥
@busegamediatanzania
@busegamediatanzania 6 жыл бұрын
Kama umeelewa Mh. Makonda asemacho like hapo
@georgedamas7097
@georgedamas7097 6 жыл бұрын
Nina rohoo wa Mungu!! Safi sana bless you
@herifredrickson2040
@herifredrickson2040 6 жыл бұрын
Tanasha Ni Dem mkali aisee!!!👏👏👏👏
@richardhegani5898
@richardhegani5898 6 жыл бұрын
Ila wabongo tunamaneno sana ya majungu, tukio la hapo ni uzinduzi pafyum ya Hajji Manara lakini cha kushangaza maneno mengi kwa Diamond na Tanasha yanahusu nn, hayo ni maisha yao, ila nimeamini mafanikio ni chanzo cha kuwa na maadui.
@mbondokambi8053
@mbondokambi8053 6 жыл бұрын
Mm nakukubal sana Mzee baba Makonda
@abelsundi6105
@abelsundi6105 6 жыл бұрын
Big up Mr Makonda,.
@josephbonday8510
@josephbonday8510 6 жыл бұрын
Maneno yenye busara kabisa. Bigup mkuu!
@Mr.Ndelwa
@Mr.Ndelwa 6 жыл бұрын
Manala anafaa nae ateuliwe mkuu wa mkoa, Gonga like nyingi kama unakubaliana nami....
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama 6 жыл бұрын
Waaa Tanasha ata hayuko comfortable na hiyo gauni ,am sure hao watu wanaocheka wana mcheka Tanasha 😔😔😔
@christinanuurinkluge9118
@christinanuurinkluge9118 6 жыл бұрын
Is True 😘
@modestarubunda3850
@modestarubunda3850 6 жыл бұрын
Wow!
@Imapolite
@Imapolite 6 жыл бұрын
Good job
@khatibucarroll5339
@khatibucarroll5339 6 жыл бұрын
Makonda upo vizuri sana kwanasaha zako
@saloujohn3639
@saloujohn3639 6 жыл бұрын
Safi kaka makonda majungu bongo ndio chuo kikuu umeongea vizuri saana big 5
@fauziaali6720
@fauziaali6720 6 жыл бұрын
mavazi yako tanasha hayana heshima mama
@marysaituni4642
@marysaituni4642 6 жыл бұрын
hajui kuvaa kbx
@jamilaomar9860
@jamilaomar9860 6 жыл бұрын
😁😁😁😁 kweli Tanasha kavaa kituko waaah
@modestarubunda3850
@modestarubunda3850 6 жыл бұрын
Mheshimiwa, nimekuelewa, hongera sn kwa neno la busara!
@sabahalnaamani110
@sabahalnaamani110 6 жыл бұрын
Nice speech
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
iyo nguo apanaaaaa tanashaaa why usivaye kanzu isiyo kuwa nampasuwoooo .ungependeza sanaaaaa
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 6 жыл бұрын
Mondi take nice care of our sister
@bakarimatamba5521
@bakarimatamba5521 6 жыл бұрын
Shekhe Bigup.Kampa mkono Diamond ilivofika wakati wa kumpa mkono Tanasha,shekhe kajigeuza,Tanasha akupata mkono wa shekhe.Tofauti na alivyokataka Mkuu wa Mkoa.bigup shekhe.
@mariyaal5366
@mariyaal5366 6 жыл бұрын
Daimondi umependeza sana ila ungemshauri tanasha kidogo kuwa hiyo nguo aliyovaa ni kubwa kwake huko juu imemuacha wazi sana Ila Mungu awe pamoja nanyi mfunge ndoa sasa
@salummasoud6395
@salummasoud6395 6 жыл бұрын
I like it Haji
@hawamfumbi6801
@hawamfumbi6801 6 жыл бұрын
Kuvaa hereni mwanaume izo bangi na ushooooo......... Gonga like kama umemuerewa shekhe
@rashidiwahi1533
@rashidiwahi1533 6 жыл бұрын
Uislam sikanzu wala kofia Bali Imani uwezi jua anaweza badilika akawa muchamungu
@watsapsese330
@watsapsese330 6 жыл бұрын
Asanteee Mweshimiwa nakupenda bure ubarikiwe umejuaje haya. yapo
@salummasoud6395
@salummasoud6395 6 жыл бұрын
Tanasha angalia dress style haziko sawa be smart
@muditelela7720
@muditelela7720 6 жыл бұрын
Haahaaha Leo nimecheka sana
@johnnydepp3218
@johnnydepp3218 6 жыл бұрын
Mh Makonda hawo ndo wa Tz ukitaka kuwajuwa tazama comments zawo humu wawo ni majungu tu na kuchunguza maisha ya watu ooh kava vibaya ooh simzuri, wa Tz badilikeni nguvu mnazo tumiya ku judge watu mngelizitumiya kupambana na maisha Tz ingelikuwa nchi ambayo inamaskini wachache sana barani Africa!!
@jacklinemutua416
@jacklinemutua416 6 жыл бұрын
mm nakupendaga sana sina tu chakukupa Mungu akunyooshee kila unachopanga
@nururajabu8555
@nururajabu8555 6 жыл бұрын
Yani natasha hiyo nguo aibu aibu aibu unaenda kwenye mikutano kama hiyo utadhani unaenda kwenye fashion show kweli mchagua nazi sana huangukia koroma tena kiroma liloliwa na mwezi 😎😎😎
@hadijahalifa5418
@hadijahalifa5418 6 жыл бұрын
Inna lillah wa inna Illah raj'un!msiba wallah! kijana wetu kila mara nakuona na kilemba! Subhannallah!umetoka nae nyumbani amevaa hivyo na ukaridhika kweli!muogope mungu aliekufikisha hapo!sisi ni wa Africa sio mila zetu kuvaa uchi!si kwambii uislam!this is too much!dah!for the first time you've let us down my boy!
@mohamedaminsaid1603
@mohamedaminsaid1603 6 жыл бұрын
Na herini aliyovaa platnumz je?
@truthhimself1
@truthhimself1 6 жыл бұрын
Nicr
@beatriceconsolataachiengan5979
@beatriceconsolataachiengan5979 6 жыл бұрын
Nguo gani hiyo wavaa washinda kuvutavuta, siungevaa ile iko comfortable.
@zeanorbx279
@zeanorbx279 6 жыл бұрын
Hio nguo inaweza kukuwacha uchi Tanasha
@bakarimatamba5521
@bakarimatamba5521 6 жыл бұрын
Were Faith na ndiomana shekhe hakumpa hata mkono
@hamjohamohamedi7851
@hamjohamohamedi7851 6 жыл бұрын
Mwenzangu ayibu Sana nguo hata haijashika maziwa Bora hata ingembana Kwa matiti yangekaa vizuri ona yamtepeta😁
@josej9888
@josej9888 6 жыл бұрын
@@hamjohamohamedi7851 hayo maziwa au ndara?
@herifredrickson2040
@herifredrickson2040 6 жыл бұрын
Simba huyo ndio saizi yako yaani kijana mwenzako so wale wazee big up chibuevara.
@jastinmsera9557
@jastinmsera9557 6 жыл бұрын
Jamani vazi gn hl hadi shehe kaogopa kumpa mkono Tanasha aibuu, kuna sehem zake hz nguo
@rayaali7551
@rayaali7551 6 жыл бұрын
Jamaniiiii munamlaumu tanashaa amepasishwa huyooo na huyoo mtovuwaadabu mwenziweee mwanamke hana hata heshima mbele kwa wanao stahiki heshima mwanamke ni ZARRY TUUU
@msanangomwarabu301
@msanangomwarabu301 6 жыл бұрын
MKULU kwa hili la kipaji umeongea nakupa mia mara mia.wanafiki wanaenda mbali mpaka kwenye shiriki ili kukwamisha tu.
@mumybhay4984
@mumybhay4984 6 жыл бұрын
ahh!?😢 mondi nakupenda sana na maisha yako ..lakini hili suala la nguo anazovaa wifi tanasha hapana ..hebu fanya utaratibu ndugu yangu ..kaka ang nguo pia imekua kero kwa yy mwenyewe alivaa pia hana raha.maana c nguo ya maana.
@samwelsirieli1624
@samwelsirieli1624 6 жыл бұрын
Asante mheshimiwa Makonda umeongea vixuriii umeshauriiii vixuriiii,,,umbeyaaaa, jamaniiii,,,ila mwambiye Diamond hapo no,,,wife
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 6 жыл бұрын
Jua kali humo ndani, Diamond mewani ya jua!!!!!!looooh!
@godfreymofire6902
@godfreymofire6902 6 жыл бұрын
Makonda nakupenda sana broo kiongozi da !
@kyshinchelsea8463
@kyshinchelsea8463 6 жыл бұрын
Mmmh nusu uchi mbele za waeshimiwa
@zeddynatty9338
@zeddynatty9338 6 жыл бұрын
Acheni kumlaumu tanasha..wakati akiva c chibu aliona mbona akumsho nimbaya..komaa
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
yani baba umeongeya vizuri sanaaaaa
@mdauzedonabouttruckadventu1850
@mdauzedonabouttruckadventu1850 6 жыл бұрын
Diamond kaza buti achana na wabongo siyo kuwa na maono songa mbele baba
@restymlale6003
@restymlale6003 6 жыл бұрын
Makonda,you can't stop people talking.
@chandrnyoeliakim1006
@chandrnyoeliakim1006 6 жыл бұрын
kavaa uchiuchi huyo mmmm
@saidasimba9979
@saidasimba9979 6 жыл бұрын
Kama umemuelewa.. Hajajiandaa hawajajiandaa sana ni kwa sababu Diamond amevaa heleni, huyo mwanamke yupo uchi
@zeanorbx279
@zeanorbx279 6 жыл бұрын
Tanasha next time vaa bra
@sevarinmajani7757
@sevarinmajani7757 6 жыл бұрын
Nguo sio nzuri jamani mbona modi umependeza sana mbona mkeo yuko uchi
@omarymwigura328
@omarymwigura328 6 жыл бұрын
Daaah shekhe wa mkoa mbele ya mvaa nusu uchi na kijana alie vaa heleni uislam haikubaliani na hayo
@bxrkeshorts738
@bxrkeshorts738 6 жыл бұрын
Ni nguo gani hiyo alovaa mbele ya watu wenye heshima zao
@husseiniddally9036
@husseiniddally9036 6 жыл бұрын
Sheikh wa ccm kimbele kimbele sana
@albatrose9865
@albatrose9865 6 жыл бұрын
Yaani umemfanya shehe wa mkoa ni wakufungisha ndoa za mkeka?halafu hayo mambo ya watu binafsi hayakuhusu mpaka mtu anaona aibu anaomba akakae.yaliyokuleta ni ya manara wacha uchokozi kama unaheshimiwa.
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 6 жыл бұрын
Dada yng limekutoka hashuo pumbav kwenye heshima sasa unapata aibu popote wendapo lazima ujue nendapo naitajika kujistir kwa hali yeyote kwan huwez kujua kipi kitajir huko. Yan mm niliposkia njoon mumpe mkono shekhe basi skutaka hata kuangalia
@annievibes8794
@annievibes8794 6 жыл бұрын
dah huyo tanasha kasimama km bouncer
@fatmawaleed2443
@fatmawaleed2443 6 жыл бұрын
baba upo vinzuri sana tutazindi kukuombea mungu uendelea kuiongoza taifa baba wataifa akimaliza mkatamba wake nadhani ww unafaa kuongoza taifa lkn huyo bibi harusi ndo katuaibisha wanawake wa kiislam maana hata taifa lolote lalalamika kuhusu shekhe wa mkoa amelaumiwa sana lkn msimlaum shekhe kwani niibilisi tu alitawala hapo kwenye sherehe tumsameheni bure msimhukum kwani aombe tu msamaha kwa mola wake
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 6 жыл бұрын
Huyu mko wa mkoa huwaga poa sana kutoka kenya pongezi
@rhinaamiry8535
@rhinaamiry8535 6 жыл бұрын
Akufanya pow kumuita shekhe mbele ya wadhinifu
@hellenpascal9605
@hellenpascal9605 6 жыл бұрын
Global online TV nawatafuta
@zeanorbx279
@zeanorbx279 6 жыл бұрын
Tanasha angevaa nguo ingine
@angelwamiye8727
@angelwamiye8727 6 жыл бұрын
Uyo tanasha afai kuwa mke wa mtu
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 6 жыл бұрын
Mzee dude nimekusoma kwa kutuelimisha watu wa mikoani kwenye move zako ubarikiwe, nawaona watu wapo vifua wazi kama wanaume wabeba vyuma kumbe ni wanawake tena waliojiandaa kwa kuolewa.
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
walai umeongeya kweli kabisaaa baba makonda
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 6 жыл бұрын
Kweli duniani kuna makauzu.
@mwakipesilealfani2666
@mwakipesilealfani2666 6 жыл бұрын
Nikweli
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 6 жыл бұрын
tanasha nguo kubwa uko juu maana unapandisha mda wote na ziwa mbona ndara kwani unamtt pia hiyo nguo uliyo vaa siyo mzuri ilibidi ata umueleweshe mwanamke wako nguo za kuvaa kwenye sehemu kama hizo ww diamond ata shekhe kashindwa kumshika mkono ata kusogerea karibu kwa alivyo vaa
@watsapsese330
@watsapsese330 6 жыл бұрын
jaman acheni majungu kuvaa kwa Tanasha hakuwahusu nyie ndo mnaoongelewa mwenyewe. kakamata maisha. nyie hata Hera ya kubadirisha mboga hamna mtakalia hayo hayo mwacheni mtoto wa watu hajala cha Mtu
@philipongenzatv
@philipongenzatv 6 жыл бұрын
Ujinga na ligaun juz Rais alisema madili lakn zero
@mwantumswalehe6728
@mwantumswalehe6728 6 жыл бұрын
Allhadi mche Allah. Hivi hapo panafaaaa?
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 6 жыл бұрын
Mama Mai amependeza
@preccypressy2226
@preccypressy2226 6 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea mambo ya busara ila kwa mafumbo huwezi muelewa usipokuwa makini. Diamond mfunze mpenzi wako jinsi ya kuvaa maana ushampenda Hata akivaa skirt na t shirt mapenzi bado yananoga tu
@salamashabani7922
@salamashabani7922 6 жыл бұрын
MUHESHMIWA MAKUU WA MKOA HUWA NAKUPENDA SANA WEWE NI MSEMA KWELI KWAMAANA WATU WA PWANI NI WAVIVU SANA KWA KUJITUMA LAKINI KWA MAJUNGU NA ROHO MBAYA WANAONGOZA, NAHATA HUKU KWETU MWANZA WAPO KAMA UNAVYOJUA ILA MUNGU ATAWADHOOFISHA
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 6 жыл бұрын
Hii shughuli ya Haji, sijaona sbb ya kumsimamisha Dimond kwa swala la kuoa......
@jimjam4162
@jimjam4162 6 жыл бұрын
We makonda auna tofauti na uyo tanasha
@amirybng4841
@amirybng4841 6 жыл бұрын
Jim Jam mbona mna msema sana kavaen nanyie vp
@janethjaneth8669
@janethjaneth8669 6 жыл бұрын
Acha ufala ndonyie wachawi wenyewe mumejaa majungu fitina kwendraaaa saa makonda amekosea nini hapo watu wasio penda maendeleo utawaona tu
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 6 жыл бұрын
daimond couple beautiful hakunawakufananisha na tanasha she is hot ukweli sumu.kunyweni sumu watu wa mavi mafungu
@mardinhalfany1413
@mardinhalfany1413 6 жыл бұрын
Ha ha ha huyo jamaa wa mafungu namtafuta
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 6 жыл бұрын
Everrine. Either you are blind or must be ugly person. This woman Natasha could stay naked in front of me and wouldn't bother take a second glance. Frankly she has nothing to offer . I would rather be with Zari a 1000 times. Diamond has no test in woman
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 6 жыл бұрын
Yousuf Harthy zari siku hizi anatembea na costume pekee
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 6 жыл бұрын
@@everrineanyango7410 Jaribu kufahamu kuwa Kila nguo especially kwa mwanamke lazima iendane na umbo lake mfano ikiwa mnene uvae loose clothing na ikiwa mfupi uvae long clothing inakufanya uwe opposite na vile ulivyo. Breast cut dress yataka mtu mwenye maziwa yalojaa ili yotokee kwa juu kama vile embe dodo. Sasa ule Ana vigozi vinaninginiya mpaka kanzu inashuka Kila Mara ni aibu tupu. Hajuwi kuvaa
@Nicehomerecipes
@Nicehomerecipes 6 жыл бұрын
Waambie tena na tena
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
alitaka kumfatiliya zari rangi ambayo aliyo iva hasubui . tanasha tuliya zari anajuwa kuva atari .ona gisi umeika nguo inaka inakusumbuwa coz eti unamfatiliya zari rangi aliyo iva hasubui☺😁
@witnesskivaria7483
@witnesskivaria7483 6 жыл бұрын
hahaa ndiokwanza anafundishwa kuvaa mshamba hawezi pambana na zariii atulize moja yake
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 6 жыл бұрын
Mm aki io nguo naiangalia naona aibu.mpaka ckumalizaia makonda amalize kuongea aki
@sofiaabubakar2736
@sofiaabubakar2736 6 жыл бұрын
Natasha gauni hilo balaaa
@mdauzedonabouttruckadventu1850
@mdauzedonabouttruckadventu1850 6 жыл бұрын
Usimjaji mtu wakati wewe hata chupi ya elfu tano inajushinda acheni ujinga watanzia, nasikitika sana watanzania kuwa na majungu na siyo kufikilia lini na mimi nitakuwa kama yule, kuwa na tamaa ya kutafuta na siyo majungu acheni ujinga.
@vivycosmaa8482
@vivycosmaa8482 6 жыл бұрын
tamaa mbele
@consolatamedard9039
@consolatamedard9039 6 жыл бұрын
Duuuuh jaman uyu dada simzima nguo gan iyo iliyovaa jaman mnampa mitihan shekhe tu apo mana kutoa mkono kashindwa
@mtaanitv3991
@mtaanitv3991 6 жыл бұрын
cyo kwa aibu hyo
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 6 жыл бұрын
uyu demu kavaa nini jamani kweli tanasha kiboko
@stevemirambo05
@stevemirambo05 6 жыл бұрын
Diamond
@kizzarebecca7447
@kizzarebecca7447 6 жыл бұрын
Uganda
@robaiagweyuh5000
@robaiagweyuh5000 6 жыл бұрын
"Tuache kuoneana wivu"
@carloschris8680
@carloschris8680 6 жыл бұрын
nakula bigijiiiiii
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
tanasha harusini usituvalie maajabuuuu kwakweli
@julienemuchiga
@julienemuchiga 6 жыл бұрын
Sasa matiti yote inje ni ya watu yote wala ni ya Diamond
@martinaansea5457
@martinaansea5457 6 жыл бұрын
Uvaaji tu huwezi dada
KING WA MADEM (MY FRIEND) |32|
24:20
BHAILAM
Рет қаралды 2,4 М.
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
WEMA SEPETU SINA MDA WAKULILIA PENZI LA WHOZU
0:13
Bongo Feed
Рет қаралды 6 М.
DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?
39:40
LilOmmyTV
Рет қаралды 500 М.
NYUMBA YAKO NDIO PEPO YAKO HAPA DINIANI | SHEIKH OTHMAN MAALIM
43:27
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН