Kuna timu hapo Tanzania ina raha kama Yanga? Penda sana vijana wangu.Mwenyezi Mungu awpiganie mpate ushindi.🙏🙏🙏🙏
@abrahmanifarouckissa56628 ай бұрын
Hamnaaa
@bibinyafuko8 ай бұрын
Amiin
@rehemabahati6748 ай бұрын
Best team in Africa ❤❤,
@zakiakondo28498 ай бұрын
Our time our happiness we love you Yanga 🔰🔰🔰🔰
@bonifasilameck95468 ай бұрын
Kua ynga raha sna
@amaniomar17558 ай бұрын
Pambaneni wanajeshi wetu tuko nanyi kwa dua 🎉🎉🎉
@abrahmanifarouckissa56628 ай бұрын
Kama ulayaaa❤❤❤❤
@AishaAli-q9m8 ай бұрын
Love my team yani yanga inanipa burudani ila nkane jmn😂😂najikuta nacheka tu kashikilia chuma 😂😂
@bonifasilameck95468 ай бұрын
Yanga raha
@maestrokiss72458 ай бұрын
Bacca is a swimming master
@amaniomar17558 ай бұрын
Usisahau ni mzanzibali
@dreamleague-uq2gx8 ай бұрын
Ni mzanzibari wa kikojani
@maestrokiss72458 ай бұрын
Yanga raha sana
@dmswaggbamboostick45768 ай бұрын
😂😂😂oyaaa nkane mimi kambale😂😂😂🙌kibwana
@vi3ayo16228 ай бұрын
Nyie mayele akiona hivi anateseka
@SODAYABEMBA257 ай бұрын
❤❤masshallah my team and my brother's of yanga
@MubarakaRamadhani-vy1et8 ай бұрын
Walivyo washamba utasikia etiiiiii Majin yalikuwa Majin weeeeeee wakome SS hatuna mengi sana inshallah mora atujalie point 3 is possible god bless yanga
@claratango92628 ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏
@ZaniaMohammed8 ай бұрын
Jamani nampenda sana aucho akiwa uanjani hana masikhara kila la kheri inshaallah pointi 3 kolo kashinda huku hivyo anazidi kutusogelea kwahio dua nyingi tunawaombea
Nyie chezeni tu kwenye maji mm nasubiri hiyo juma jumamosi muweke mnara wa 6 au 5
@Bquality8 ай бұрын
Mbona nmeangalia hii video nkawa nacheka 😂😂😂😂
@jaffjeff69128 ай бұрын
DR Aucho unatumia nguvu nyingi sana Swimming relax hakikisha Elbo up
@Graciousmom6798 ай бұрын
Yanga Raha sana yn unaaangalia uku unatabasam😂😂😂
@febroniamsoma1788 ай бұрын
Tunaomba Mungu ampe kocha hekima ya kujua watu alionao na timu anayopaswa kuifanya katika hao watu.
@fatmasuleiman38858 ай бұрын
Vijana km mbelee tofauti kule ulaya hapa TZ ila nyie mna enjoy sana kwa umoja wenu na upendo nawakubali sana vijana wangu Allah awatangulieni kesho tupate ushindi hata goli 2 zita tusogeza mbele.💚💚🙏
@hamzakasebele52518 ай бұрын
Daaah kilabu langu aiseee!!! naenjoy navyo ona wachezaji wangu wakiwahappy
@shedadiabdul6548 ай бұрын
Timu hii ni Tamu saana💚🧡💛🖤💪🏅
@rukiakyaka18278 ай бұрын
Nakuomba Mallah wng eazidishie Afya uwezo kwenye kazi zao Inshaallah
@AbdulHassanSamwel-f5p8 ай бұрын
Yanga tamu jamaniiiiiiii 💛💛💚💚💛💚💚💚💚💚💚
@BsekoMimi8 ай бұрын
Chama letu 💚💛
@shijamachiya38328 ай бұрын
Mungu tusaidie ushindi kesho😊
@reggezawady49948 ай бұрын
Good luck 💚💚💚
@naliakafatuma98708 ай бұрын
Good work all the best be blessed all shalom
@SalminShemsuma8 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko💚💚💛💛💛
@furahamoja65828 ай бұрын
Kwa Raha hizi lazima mayele amiss jamn loooooo
@othmanali74088 ай бұрын
Natakani nicomment kitu juu ya mtu Fulani mana jiwe jepesi kwa yeye lakini Bora nisimtaje ..😅😅😅😅
@iddybakar19468 ай бұрын
Team kubwaaa mambo makubwaa zaid natak kumuona kibwana anavyo swim
@MwaniPh8 ай бұрын
The shark 🦈 kagoma kuogelea
@sabrinakassimu8 ай бұрын
I love yanga💚💛💛💛
@kamdinindevu51858 ай бұрын
I love you yanga
@KudraEliasa8 ай бұрын
Iko poa San jmn yanga laha san🎉🎉🎉🎉
@ngulathfundikira42058 ай бұрын
I love my team
@shaibusaady24208 ай бұрын
Allaah Akbar
@danielkihombo4888 ай бұрын
Anaejiita shark sas kweny kuogelea kawa mende😂😂😂
@sadahamad61588 ай бұрын
Kumbe huyu aucho yuwaongea 😂😂😂 mm humuona kimya mda wote
@femidayahaya48828 ай бұрын
Ila SKUDU😂😂😂😂😂😂😂Ndo maana Wananchi tunawapenda sana mashujaa wetu mnatufurahisha sana💚💛💚💛💚
@husseinmkwachu60718 ай бұрын
Wana-enjoy sana hawa WATU...👍
@NickOrion-th7no8 ай бұрын
Noma sana
@angelathanas59938 ай бұрын
Wananchiii💚💛🔥🔥🔥🔥🔥
@raymondmboyi84598 ай бұрын
Bacca noma kwenye kuogelea
@frankisaya50508 ай бұрын
Jamani kuwa mwafamilia wa yanga Raha sana😅😅 haturogeki haoooooo
@LightnessCharlseKimaro8 ай бұрын
Mazoezi mazuri
@edinamwanasenga15848 ай бұрын
Yanga mbigea🎉🎉🎉
@Dopa7MC8 ай бұрын
Wananchiiiiii 💛💚💛🔥🔥🔥
@FadyMoker7 ай бұрын
Kibwana anasema yy ni kambale 😅😅
@mosesjohn86868 ай бұрын
Job ACHA kutegea na msheri😂 nkane pia 😂
@HasnatShaban8 ай бұрын
Wahooooo😊
@maulidsaid42808 ай бұрын
Mwamnyeto apate psychologist
@melkizedekLyimo6 ай бұрын
❤❤❤
@Munshid_Rajab8 ай бұрын
yani kuna wengine tafrani..kocha kaanza kukita mguu wa left wengine wanakita wa kuliaaaa ooo😀😀😀
@elment72698 ай бұрын
Skudu yan kama last born kumbe ndio mzee kuliko wote 😅 vituko vituko tuu
@betshebadaniel10148 ай бұрын
😅😅
@hasanimohamedi2798 ай бұрын
kwa nkane vip
@bennamush46168 ай бұрын
Aucho kashakuwa mswahili bado tuu kukijua kiswahili chenyewe 😂😂🎉🎉
@mathiasmushi8 ай бұрын
Dah
@lucymsheshi58718 ай бұрын
Gamondi anatamani lakini umri unamnyima raha
@angelathanas59938 ай бұрын
😂😂😂
@ntakakasendebayi99928 ай бұрын
Nkane morogoro hakuna bahari😂😂💚💚💛💛
@swaggerizedninjagoseprocom85238 ай бұрын
Skudu mbwembwe nyingi
@LatifahMaalick-nc6jd8 ай бұрын
Kibwana... Mi kambare😂😂
@DavidMido8 ай бұрын
Daah maisha ya awa watu wafupi yanpndeza
@vibetz99918 ай бұрын
Nisipomuona Diarra,, bado nakua Sina Amani😢😢😢
@JeniphaRobert8 ай бұрын
Yupo angalia vizuri
@lwagamwakalinga80388 ай бұрын
Na metacha je 😅😅
@songombingo1088 ай бұрын
Hivi Madunduka huwa hawana haya mambo? Mbona siyaoni
@sajskodekijiko50638 ай бұрын
Kumbe KIBWANA SHOMARI ni KAMBALE na hamsemi😂😂😂😂😂
@georgettesaidi68098 ай бұрын
😂😂😂😂
@fatmafatu11288 ай бұрын
Jibaleko mkwano gaucho
@fahadrashid97548 ай бұрын
Simuoni mdaka mishale mbona
@fadhilykayuki27868 ай бұрын
Wana mengi ya kujifunza kupitia Yanga
@kelvinimunishi33348 ай бұрын
🔥🔥🔥
@malietamaliet8 ай бұрын
Mtu ukienda kule uongei na mtu lugha gongana uku watu Raha tupu kwanini usiseme umelogwa uku ulijiloga mwenywe kisa pesaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kamdinindevu51858 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@hasanimohamedi2798 ай бұрын
skudu anacheza mapiano kweny maji😂😂😂😂
@Kimweri_tz8 ай бұрын
Hii timu ni hatari sana
@chollejr_8 ай бұрын
Ivi skudu anakuaga criaz kweli😂😂😂😂😂
@asifusuleiman1088 ай бұрын
Hili ndo jeshi la majini na nchi kavu
@MunirDaniford7 ай бұрын
Tukiwambia Gsm kaweka hela muwe mnaelewa jmn
@NickOrion-th7no8 ай бұрын
N hatari
@AminaAlex-e6f8 ай бұрын
Yule Babu kule kashindwa kuongelea 😂
@magrethshishwa54818 ай бұрын
Hizi raha huwezi ziona bunju😅😂😂🤣🤣
@omaryluambano34958 ай бұрын
💚💛💪
@dengahmediatz12308 ай бұрын
Skudu kaja kupiga hela zetu
@user-xy8kl9wd2i8 ай бұрын
💛💚💚
@malietamaliet8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nkane kaoga kanaogopa adi swimming pool je ziwani unaeza kwel