REV.DR. ELIONA KIMARO: BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI/ SEXUAL TRANSMISSION CURSE

  Рет қаралды 16,023

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

5 ай бұрын

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH
IBADA YA MORNING GLORY: THE SCHOOL OF HEALING
'HII NI KWARESMA:SIKU YA 8
22/ 02/ 2024
MADA:
NIDHAMU NI HATIMA
DISCIPLINE IS DESTINY
SOMO LA LEO: BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI
SEXUAL TRANSMISSION CURSE - STC
Ufunuo 17 : 1 - 7
Ufunuo 18 : 1- 3
NENO KUU:
"Zitafakarini njia zenu"
(Consider your ways)
Hagai 1:7
Ufunuo 17 : 1 - 7
1 Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi;
2 ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake.
3 Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.
4 Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake.
5 Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.
6 Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.
7 Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi.
Ufunuo 18 : 1- 3
1 Baada ya hayo naliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake.
2 Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;
3 kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake, na wafalme wa nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake.

Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 37
@tumainijoshua5090
@tumainijoshua5090 5 ай бұрын
Kadri Watumishi wa Mungu wengine wanavyozidi kuona ni aibu kuyanena haya na si mambo ya msingi kuhubiri,ndivyo wanavyowaangamiza wengi bila kujua,because My People Perish due lack of knowledge, na Hekima ya wasomi inasema pia INFORMATION IS POWER
@merikebukasayo3714
@merikebukasayo3714 5 ай бұрын
Hapo mchungaji pole Hilo fungu umetafisili uongo na unapotosha watu wa mungu.hayo maandiko yanazungumzia mfumo wa kishetani ambayo unasimamiwa na mamlaka za serikali pamoja dini usidanganye watu wa mungu.kumbuka Neno limesema Babeli mkuu.babeli ni mfumo wa kinyama na ukandamizaji dhidi watu wa mungu
@tumainijoshua5090
@tumainijoshua5090 5 ай бұрын
Ubarikiwe Pastor kwa Kutufungua macho,hii Lecture naomba ifike kwa Mamilion na wasikie wakombolewe especially Vijana
@JuliethMakundi-t4u
@JuliethMakundi-t4u 3 күн бұрын
Amen
@jacobfaustine7866
@jacobfaustine7866 5 ай бұрын
Mch wangu, hakika wewe ni mwl wa neno la Mungu. Barikiwa sana.
@user-hs5qm8yx4r
@user-hs5qm8yx4r 5 ай бұрын
mtumishi wa MUNGU,,,,,,,, BWANA YESU ASIFIWE,,,,,barikiwa sana mchungaji,,,, MUNGU wa mbingu na nchi akubalike sana maana uzinzi ulinisumbua sana,,, sasa nimepona kwa Jina la BWANA YESU
@terevaelikaaya8199
@terevaelikaaya8199 5 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji tunafunguliwa sana,je kijana aliyefanya mapenzi katika Hali hiyo hatatokaje kutumika na uchumi wake ukasimame tusaidie njia ya kutoka
@rehemasuleman6720
@rehemasuleman6720 5 ай бұрын
Aiseeee this is huge. Ubarikiwe sana Mchungaji hii ni kweli kabisa
@user-dz3rl1ki6u
@user-dz3rl1ki6u 5 ай бұрын
Mchungaji kwa mafundisho haya hakika Kuna kusudi kubwa la Mungu umelibeba na lazima Vita kukuelekea iwe kubwa maombi yangu kwa Mungu wetu aliye juu akufunike kwa Damu tukufu ya Yesu Kristo ulindwe kila kuitwapo leo daaah!! Kwakweli unafundisha vitu very clinical ubarikiwe Sana mtumishi
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 5 ай бұрын
Baba Eliona Kimaro unayofundisha leo nimeguswa nayo mimi kama mimi, nami naomba Mungu anirehemu kwa somo hili dhahiri, nawe Baba, Mungu asikuache, wewe, watoto wa UZAO wako , nao pia wakue na KUACHA kabisa Zinaa hii unayofundisha , STC, MBAYAA.
@user-yu7bn9wo7v
@user-yu7bn9wo7v 5 ай бұрын
Hii ni kweli kabisa, nilienda kwenye utafutaji na 3m nkampata mdada mzuri sana nilipofanya naye zinaa tu.... Nilipata hasara pesa yote iliisha nakurudi na nauli tu.
@user-wg2oi3kp1k
@user-wg2oi3kp1k 4 ай бұрын
😭😭😭😭 ooh My God stay with me
@dapinitiative2451
@dapinitiative2451 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana
@amosziro7054
@amosziro7054 5 ай бұрын
Asante pastor..Mungu tusaidie
@clementgaspersoka4139
@clementgaspersoka4139 5 ай бұрын
Leo nimekuelewa sana Mtumishi wa Mungu
@peterkashamba
@peterkashamba 5 ай бұрын
Be blessed pastor 🙏🏿🙏🙏🏿
@adenhyera4820
@adenhyera4820 5 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe zaidi endeleaaaa hivyo hivyo kufundisha kweli
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 5 ай бұрын
Kama mim nikifanya mapenzi na baba mtoto wangu, lazima nigombane na mtu ,sana sana wapangaji wenzangu , mara tatu sasa
@user-zq6xk8ou9w
@user-zq6xk8ou9w 5 ай бұрын
Mafundisho manzuri kweli Mungu akuweke
@cmsa1r
@cmsa1r 5 ай бұрын
Bwana Yesu. Tusamehe!!!!
@bhokeshinta5140
@bhokeshinta5140 5 ай бұрын
Leo umenipata mtumishi wa mungu😭😭
@teddysisty320
@teddysisty320 5 ай бұрын
Mungu nisaidie 😢😢
@ceciliavintany2113
@ceciliavintany2113 5 ай бұрын
Leo mm nimeelewa vyema Asante Sana mtumishi
@oscarngowi4750
@oscarngowi4750 3 ай бұрын
Kimaro nenda kajifuze unabii wa Danieli na ufunuo kwaza acha kudanganya watu wa Mungu . Mwanamke ni kanisa mnyama ni utawala(serikali) maji au mchanga wa bahari ni watu wengi dunia nzima BABELI ni mamlaka ya UPAPA
@user-wl9ry9tk7p
@user-wl9ry9tk7p 5 ай бұрын
Nakuelewa Mchungaji niko Misungwi Mwanza.
@user-us8xw9cg4o
@user-us8xw9cg4o 5 ай бұрын
Mchungaji zidi kubarikiwa
@terevaelikaaya8199
@terevaelikaaya8199 5 ай бұрын
Mchungaji nitapataje naomba zako
@user-mn2wt9fu6v
@user-mn2wt9fu6v 5 ай бұрын
God be with you uzidi kutufungua
@williamjumbe1988
@williamjumbe1988 5 ай бұрын
Pastor naweza kupata namba zako mchungaji,
@GAUDENSIAKIMARIO
@GAUDENSIAKIMARIO 5 ай бұрын
Ingia u tube kwenye masomo ya Eliona kimaro kijitonyama utapata namba hapo
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 5 ай бұрын
Hivi Huwa wanarudishaje nyota jaman 😮
@imanisanga-sm2hm
@imanisanga-sm2hm 5 ай бұрын
Kwan nyota yako haipo?
@belfastmoshi9005
@belfastmoshi9005 5 ай бұрын
Babeli mkuu ninani ?
@simonjackson4722
@simonjackson4722 5 ай бұрын
Leo umenipata pia mtumishi
@tobesimatiku1987
@tobesimatiku1987 5 ай бұрын
Rafiki yangu kimaro fundisha mambo yote lkn siyo hayo mafungu hapa unadanganya Dunia yote nenda kajifunze zaidi upate kuelewa......kwanza lazima uelewe mwanamke ni Nini? Mnyama ni Nini? ..maji ni Nini? ..naona unaongea usaniii mtupu aiseee.........Daniel 7:1-25 kasome yote ufunuo 17:15 Iko wazi .....
REV. DR. ELIONA KIMARO: NIDHAMU YA MAISHA NA BARAKA YA KIVIZAZI
39:08
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 9 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 19 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 8 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,7 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 55 МЛН
IBADA YA  JIONI  31 JULY 2024
KKKT - DMP USHARIKA WA KIMARA
Рет қаралды 43
REV. DR. ELIONA KIMARO: ZINAA ILIYOLETA UKAME, UKAUFU NA JANGWA WAKATI WA ELIYA
45:01
KUTANA NA FALSAFA ZA PROFESSOR LUKS WAKAILUTI
36:22
Njia Media
Рет қаралды 303
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI ENDELEVU UFUNGUA MALANGO YA FURSA KWA MUOMBAJI.
1:21:14
🔴LIVE: JANA NA LEO NDANI YA WASAFI FM- 31JULY,2024
Wasafi Media
Рет қаралды 306
REV. DR. ELIONA KIMARO: WA MBAO
39:25
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 26 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI NYUMBANI?
40:07
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 15 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAISHA NA NADHIRI
1:47:04
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 62 М.