REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I

  Рет қаралды 17,563

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Күн бұрын

IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 25 OCT 2023.
KICHWA CHA SOMO : KUENDELEA TOKA NGUVU HATA NGUVU.
'' FROM STRENGTH TO STRENGTH ''
NENO KUU: Zaburi 84 : 7
Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.
"WEKEZA KWENYE UWEZO"
Waamuzi 6 : 14 - 16
1 Samweli 17 : 31 - 40
Luka 19 : 26

Waamuzi 6 : 14 - 16
14 Bwana akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?
15 Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu.
16 Bwana akamwambia, Hakika nitakuwa pamoja nawe, nawe utawapiga Wamidiani kama mtu mmoja.
1 Samweli 17 : 31 - 40
31 Na maneno hayo aliyosema Daudi yaliposikiwa, watu wakamweleza Sauli; naye akatuma mtu kwenda kumwita.
32 Daudi akamwambia Sauli, Asizimie moyo mtu ye yote kwa ajili ya huyu; mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana na Mfilisti huyu.
33 Sauli akamwambia Daudi, Huwezi wewe kumwendea Mfilisti huyu upigane naye; maana wewe u kijana tu; na huyu ni mtu wa vita tangu ujana wake.
34 Daudi akamwambia Sauli, Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake, na alipokuwa akija simba, au dubu, akamkamata mwana-kondoo wa lile kundi,
35 mimi hutoka nikamfuata, nikampiga, nikampokonya kinywani mwake; na akinirukia, humshika ndevu zake, nikampiga, nikamwua.
36 Mtumishi wako alimwua simba na dubu pia; na huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wao, kwa sababu amewatukana majeshi ya Mungu aliye hai.
37 Daudi akasema, Bwana aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Enenda, na Bwana atakuwa pamoja nawe.
38 Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii.
39 Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua.
40 Akaichukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe laini matano katika kijito cha maji, akayatia katika mfuko wa kichungaji aliokuwa nao, maana ni mkoba wake, na kombeo lake alikuwa nalo mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.
Luka 19 : 26
26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.

Mhubiri : Rev.Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 28
@Choleta_Charles
@Choleta_Charles Ай бұрын
MRONDO,, ha haaa,,, umenikumbusha mbali mtu wa MUNGU
@JoycePetro-c1r
@JoycePetro-c1r 23 күн бұрын
Wachungaji tufundisheni kuacha zambi na mazara yake ili kutokomeza ukatili na mambo mabaya yanayoendelea katika nchi yetu maana yanatisha
@meriuamugustine
@meriuamugustine 19 күн бұрын
Thank you so much Daddy this is for me 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@endeshyamat6773
@endeshyamat6773 22 күн бұрын
😂 kumbukumbu ya taifa
@kwangukazungu8299
@kwangukazungu8299 23 күн бұрын
Amina Baba Mungu akubariki sana
@MeshackMunuo-yc5ji
@MeshackMunuo-yc5ji 3 ай бұрын
Amen 🙌 sn
@miriamalute1540
@miriamalute1540 9 ай бұрын
Ameen kubwa
@merrystellajohn2508
@merrystellajohn2508 Ай бұрын
Nashukur Mtumishi kwa mafundisho naamin kupitia haya mafundisho,naenda viwango vya juu kiuchumi,🙏🙏
@emmysitayo64
@emmysitayo64 21 күн бұрын
Naomba namba ya MCH the MCH Eliona Kimaro ya kutuma sadaka.
@AminaMsomba
@AminaMsomba 11 ай бұрын
Kweli kabisaaaaa Mchungaji kimaro
@gipsonbamuhaga2976
@gipsonbamuhaga2976 11 ай бұрын
Nakubaliana na wew Baba...tumechelewa sana.
@VanisyJonathan
@VanisyJonathan Ай бұрын
Pastor kwel mm ni . wanafunzi nakubaliana na ww siwez kuwa kila kit ,na wazaz inabidi watambue hivyo
@MaryMakongoro
@MaryMakongoro 3 ай бұрын
Habarini ndg zangu mwenye no ya simu ya mchungaji kimaro tafadhali awasiliane naye in box
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Ni kweli mchungaji🎉
@nailejilejigabriel180
@nailejilejigabriel180 2 ай бұрын
Asante mtumishi unatukumbusha barikiwa
@piliwisman4016
@piliwisman4016 11 ай бұрын
Duuh yaan ww baba mungu akuweke mahali pa juuu
@mwajutailor820
@mwajutailor820 2 ай бұрын
asantee sana Baba napenda sana mahubiri yako
@esterkimambo7234
@esterkimambo7234 11 ай бұрын
Mungu akulinde baba yetu unagusa maisha yetu sana kupita Mungu
@agnesmartin9311
@agnesmartin9311 11 ай бұрын
Mchungaji samahani Nini maana ya linguistic
@reginardtibishubwamu1522
@reginardtibishubwamu1522 11 ай бұрын
Nakupenda xn mchungaji
@veronicasarita8422
@veronicasarita8422 11 ай бұрын
Amen nimepokea kipawa kwa jina la Yessu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Ameen
@johnmcharo-w3t
@johnmcharo-w3t 11 ай бұрын
Asante baba 🙏🏿
@EliahMsaro
@EliahMsaro 11 ай бұрын
🎉🎉
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 11 ай бұрын
Amen
@juliuskira
@juliuskira 3 ай бұрын
Amen
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 11 ай бұрын
Amen
@PamelaMollel-v6v
@PamelaMollel-v6v 3 ай бұрын
Amen
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 22 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,2 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,4 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO:  BARAKA YA KIVIZAZI
47:26
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 7 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO:  SADAKA NA NADHIRI I
40:08
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 9 М.
#LIVE: IBADA YA KUFUNGUA MILANGO ILIYOFUNGWA, 22nd SEPTEMBER 2024
2:40:35
MAMBO 4 YANAYOATHIRI NGUVU ZA KIUME | Deo Sukambi
46:36
Deo Sukambi
Рет қаралды 88 М.
REV ELIONA KIMARO - MGERASI KICHAA NA TAARIFA YA PILI (OFFICIAL VIDEO)
1:09:43
JINSI YA KUSHINDA ROHO YA KUKATA TAMAA
1:44:01
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 108 М.
REV ELIONA KIMARO - SAFARI YA KUWA WEWE (OFFICIAL VIDEO)
1:27:35
Chapeo La Wokovu
Рет қаралды 13 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,2 МЛН