Salute sana mavoko nyimbo zako zote Kali bana. Tin, mkojan nyote mmetisha sana One ❤ from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@UpendoTonny Жыл бұрын
Hii style yako nzuri sana watu wanatamni kuiga ila wameshajiweka WAKUBWA sana na hawana shida kwahyo wanaona wataanzaje ila upo vizuri sio unalalamika lalamika na kuwa CHAWA we mtu haswa
@yussbreezy918 Жыл бұрын
Sure
@SalminMpambalupi Жыл бұрын
Mavoko msanii mkali Sana bongo hakuna Kama yeye anapenda uzalendo peace n luv ishima yako ipo tu
@dottomsuya6597 Жыл бұрын
Mungu ajalie vijana wote wenye vipaji wapate mkate wao wakula kwa njia ya vipaji vyao no jealous no straffic in your line
@jdeoffspliny2594Ай бұрын
Jamaa kawa mkali kabla hata hajaenda wasafiii so mm naimani ni mkali hata bila wasafi🔥🔥🔥🔥silali imetoka ikawa marufu kabla hata ya wasafi haijawa marufu 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@candidoderosa Жыл бұрын
Wena mushu aunadobe kakaa...here from Muidumbe/Mueda Moz
@msengimkoma9550 Жыл бұрын
Namkubali sana tunda man,huwa hajitengi popote kambi aisee.
@spicetvshow Жыл бұрын
I love Richie Maviko like i love Kitimtim 💪💪💪🤭🤭 Big love from Kenya❤️❤️❤️🥂🥂
@JoelFikirini Жыл бұрын
Mavoco ja vorito maxi moiuto obrigado tin white co mkojani
@MbodzeMangale-vp3os Жыл бұрын
Nakupenda sana tini white, ukona moyo wa huruma sana mungu akujalie n kipaji chako, BWENA 😘
@IsaacJoseph-zh9ti Жыл бұрын
Big up Sasa kaka etu tin unamoyo wahuruma Sana Kaka unasitahiri maua yako🌹🌹🌹🌹 Happy birthday brother Tin
@bonabonala5559 Жыл бұрын
rich mavoko anajitafuta ira mungu yupo atajipata mond namuombea afe yeye au mimi kama ninabana liziki kama asake wa tandale aamina
@jusamsaid1746 Жыл бұрын
Mkojani & Tin white Kazi nzuri sana mungu awasimamie sana
@idrisadalluc4498 Жыл бұрын
Yani ii Ngoma ya pacha wangu na ibaki stor kwangu ni🔥🔥🔥🔥 daima
@daynesakulu3169 Жыл бұрын
Nyimbo za mavoko zote nzuri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MerryMerry-g1j Жыл бұрын
Sana
@omarikinyory5785 Жыл бұрын
Uchawi upo
@omarikinyory5785 Жыл бұрын
Mavoco msanii mkali sana anaweza %100 na nyimbo zake zote hot songs SEMA UCHAWI UPO
@13eka_tz-ko8zp Жыл бұрын
Unyama tu bigup sana
@martinsjoaomanhonga1102 Жыл бұрын
Tafsiliwa tini inakuhuwa njaha rudi kwenye komedian baba utakufa njaha yote io ni nja tumemuona mwezako nkojani juzi akidaiwa pesa yakawaida sana kwa msani kama jona la mkojani nikubwa sana aibu rudi kwenye kazi sisi bashabiki bado atujawachoka sio tafsiliwa inakuwa ni zakike baba ebu rudi tin ❤
@auntbongendoile-uh3sk Жыл бұрын
Rich plz toa mwengine mikato ya pacha wangu..... So hit broh
@phantyrhymes9536 Жыл бұрын
Big up
@ronaldissack3338 Жыл бұрын
Mtoto wa kambo na chawa WA rich mavoko umetisha Sana😄
@yonamakeleleilenge2545 Жыл бұрын
Uyu jama kweli usemewe Ana juwa sana
@ThierryHarouna Жыл бұрын
Tunda yuko pale kwa ushirikiano🙏🙏🙏
@VenasPaschal Жыл бұрын
Jaman Hadi raha
@StarfordKalaba-xd4gt Жыл бұрын
Rich Miss you too much❤❤❤❤
@mejumaabaraza3989 Жыл бұрын
Hili jinyimbo liko hot pacha wangu❤🎉🎉🎉
@MaridhiyaAli-t3g Жыл бұрын
Happy birthday too you tin white 🎂🎂🎂
@mbongofeki2 Жыл бұрын
Ni vzr san hii kaliiii👍
@warakawayohana2896 Жыл бұрын
Huyu jamaa anatakiwa awe on top kabisa
@FranciscoAtanasioGabriel-eq4fj Жыл бұрын
Muito bom Rich Mavoko. Desde Mpona Silali. Niko nawe Mavoko.
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@CohenSirengo-bk5yo Жыл бұрын
Good one rich
@barakaramadhan8971 Жыл бұрын
Naomba iwe mwendelezo wake wakazi nzuri
@byemsband8292 Жыл бұрын
Nampendaga sana ila tu mondi nimbaya kahacha jembe iende tuivi kweli 🙏🙏🙏🙏🙏
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Hakika Mungu awaongoze kwenye kazi zenu mmenifurahisha sana na nimejifunza mambo mengi sana kupitia kwa tin white
@VailetEdward-bq2mp Жыл бұрын
Nimefurah xn ❤❤❤mavoko umerud tena
@chiconinde8135 Жыл бұрын
Sema hawa kaka zako wanakufanyia kitu kikubwa sana.
@mwajumahussein5171 Жыл бұрын
Mi nampenda sn richi mavoko
@madibapangarasi5945 Жыл бұрын
Nakubaliana kk tokakitambosana
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Watabana watakufunga watazima nyota lakini mungu lazima akupe liziki yako
@BigabwaBear Жыл бұрын
HBD to my comedian Tin&Mkojani,for bring out again Rich he deserves more than that because he has done well back in days,not only chaka to in Tzt but chaka to chaka in East Africa and all over the world,much love 🎉🎉❤❤❤
@moseslucas1131 Жыл бұрын
Ok
@exsavermateus2670 Жыл бұрын
Wa kwanza Leo mimi nipeni 🎉 yangu
@SaifaKhamis Жыл бұрын
❤❤❤❤
@ZenaisiIsmail-cy3hi Жыл бұрын
Nawapenda mno
@tomsijohni Жыл бұрын
big up to my brother Richi mavoko God bless you 🙏
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@daynesakulu3169 Жыл бұрын
Pacha wangu nyimbo nzuri
@manbashtz9346 Жыл бұрын
Mavoco ❤
@JoseKumburu Жыл бұрын
We miss you bro mavoko
@SimonWembo-re3sq8 ай бұрын
Mkojan ,,tin dah nyie wamba nawakubal sana aseee
@nurudovino4587 Жыл бұрын
Harfu hizi ndio watu wa nafurahi zaidi
@tunurobert2619 Жыл бұрын
Jamaa anaimba sana
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@kadito-music Жыл бұрын
Ishi miaka mingi mwanetu Tin white 🤍 wewe na Mungu ni ukoo mmoja umemsaidia nduguyo Kwa moyo mmoja sasa amerudi kuzungumziwa tena
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@YusuphHugugu Жыл бұрын
iv ulichokiandika unaelewa maana yake...! Kuwa makin sana tena futa sms hiyo haraka...! Lini Mungu akawa na ukoo mbona mwili mkubwa akili kisoda. Fikir kabla ya kuandika kumbuka kuwa kesho kuna hukum
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Usimshirikishe Mungu Na Ujinga kama Huu!
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Mbwa ww mama ako ndo ukoo mmoja kahaba we Allah yuko mbali na maneno yako
@Bigbossman-e1h Жыл бұрын
Mungu hakuzaa wala kuzaliwa HANA mshirika wala ukoo
@twahaissa6914 Жыл бұрын
Nawapenda sana ndugu nyie mkona ushilikiano mzuli
@paulmsape163 Жыл бұрын
Mungu hamtupi mja wake
@Ramadhan.999 Жыл бұрын
Mm kitu kinanifurahisha n tiny white alivyojiunga kumsaidia kaka yake kweli damu n nzito kuliko maji
@deokarisarme884 Жыл бұрын
Mavoko vamia mjini Tena we Bado Simba wa bongo fleva, wengine wanaishi na kiki tu huku mjini kazi kuchambana mitandaoni
@VenasPaschal Жыл бұрын
Nimejifunza kupitia richi ata nikifeli sitokata tamaa hatimae naona ukirudia juu Tena
@Abuu-q4g Жыл бұрын
Nice one
@MerryMerry-g1j Жыл бұрын
Nawapenda sana
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
huyu jamaa kila ngoma yake kali
@charlesrioba4408 Жыл бұрын
Mwamba yupo understanding sana
@djpassovertz..tunaishimaramoja Жыл бұрын
Iko Iviii..mavoko Ako kamwimbo ibaki story usipoperform nikiwa around najiondoa kua shabiki wako..Coz Kwny playlist ya nyimbo Bora 5 duniani Io Ibaki story kwangu ni namba2.nimemaliza..Naipiga Leo @BvB club Nairobi mpaka wanifukuze❤❤❤❤❤❤
@edgarfande9976 Жыл бұрын
Hahaaa kweli "acha ibaki story" bonge la wimbo unanikumbusha mbali FANDE MUSIC NKASI NAMANYERE NI MOTOOO.
@BabaDNyotaTV Жыл бұрын
Goood jobu
@suleimanmgongolwa9669 Жыл бұрын
Mavoko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪
@januarymwingwa2962 Жыл бұрын
Mess wa bongo flavour 🙌🙌🙌
@seifmbembe95 Жыл бұрын
Hongera sana mwanangu
@halimaoman8726 Жыл бұрын
Kaka mkubwa mungu akujalie kwa kumshika mkono mdogo waka udugu ndio huo ajilishi kuyakumbuka yanyuma sasa tusonge mbele ndugu ni ndugu mbinguni kuna kiti chako cha dhwawabu kaka mkubwa
@Joyce-qf5px Жыл бұрын
❤❤❤❤hbd
@jameschipande1090 Жыл бұрын
Ila mimi siyo ushabiki lakini Mavoko mtunzi mzuri kuzidi Mondi japo mimi shabiki wa Mondi
@martinsjoaomanhonga1102 Жыл бұрын
Tafsiliwa tini inakuhuwa njaha rudi kwenye komedian baba utakufa njaha yote io ni nja tumemuona mwezako nkojani juzi akidaiwa pesa yakawaida sana kwa msani kama jona la mkojani nikubwa sana aibu rudi kwenye kazi sisi bashabiki bado atujawachoka sio tafsiliwa inakuwa ni zakike baba ebu rudi tin ❤🎉😅😅😅😅😮😢😢😊
@AmadaRashd Жыл бұрын
Mungu akubariki lich
@خوييمقفل Жыл бұрын
Bigi pow
@jacklinejohn222 Жыл бұрын
Rich kitu gani kimekutoa kwenye reli jamani una sauti nzuri sana mbona umeruhusu kuzima gafla husikiki tena😢😢😢😢😢 dah
@ricklandennis Жыл бұрын
Ukiwa chini ya lebal flani kubwa ukatoka huwa inatumika nguvu kubwa sana kukushusha kwa vitu tunavyoviona na tusivyoviona ila ukweli na Siri inabaki kwa msanii na familia yake ila kwa sisi mashabiki tunauona km msanii hajielewi au kachanganyikiwa, mfano mzuri ni sakata la mohbad Nigeria ,ukilifatilia vizuri utajifunza vitu vingi sana kuhusu wasanii wanaotoka kwenye rebal kubwa. Kuingia ni sherehe ila kutoka ni vita kubwa ya maisha yako, na waliotoka kwa amani Kuna sababu ila huweziambiwa utapewa tu hadithi nziuurii
@janifferkavutu7484 Жыл бұрын
😂😂😂chawa kama chawa
@AlexanderNimbona-lj4ln Жыл бұрын
mavoko mukali💪💪💪👑😍😍
@caskadaphilosophy Жыл бұрын
Pamoja wadau Mungu mbele aise
@kastomwaipopo1763 Жыл бұрын
Kaka unajua sana Rich
@hubertmwemezi8426 Жыл бұрын
Ni vema sana ndg wanapokuwa wanasaidiana
@SuleimanBaluch-et7et Жыл бұрын
Mavoko anakubali t na hii hali ila haimvutii kabisa .kiboko kusaidiwa na swala kuvuka daraja😂
@officialxule2674 Жыл бұрын
Tunda kwa mbaaaali😊😊😊 ila nime enjoy kama nilikuwepo an
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Wakanti wa mungu ndio saihi nimefurah kumuona tena richi mavoko waray
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@richardKolimba26-hb4wk Жыл бұрын
Unyama sana
@bavonichristopha1693 Жыл бұрын
Pacha wangu ni kati ya ngoma bora kuwai kutokea tz
@richardmagasa4900 Жыл бұрын
Ni msanii mzuri lakini amepota saiz havumi tena
@ibrahimshafiimsangi4740 Жыл бұрын
Wametisha🎉
@PatrickBernad-r6s Жыл бұрын
Miss you mavoko😢😢😢
@msafirimauridi7990 Жыл бұрын
Sana pamoja Sana mavoko
@JuliusVicent-nm4zg Жыл бұрын
SEMA alijichanganya Sana kujiunga na mlogaji wa keep goma..... Moro peace Sana.....Bora kashtuka amesepa laah sivyo yangemkita ya MORBAD wa nigeria
@SokoniJumbi Жыл бұрын
He good asrtist cjui nn shida
@DonPrince11 Жыл бұрын
Amazing
@kgmbara3109 Жыл бұрын
Dah uyu jamaa anapambana sana
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Happy basday my bro tin
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@tuzonyava8306 Жыл бұрын
Wajameni iyo chaka 2 chaka Huku nyanda za juu kusin hazifikagi tu
@candidoderosa Жыл бұрын
Mungu yupo
@derrickoliwa8506 Жыл бұрын
Richy my boy we miss you mister
@RajabuBakari-rj7iz Жыл бұрын
Diamond alimroga mwenzak jaman uyu jamaa awezwi
@salimumwakuto5148 Жыл бұрын
Nawakubali ❤
@zillytash693 Жыл бұрын
Stejini mmejaa sana Anashindwa kuplay vema
@linusbalthazar-wu6qf Жыл бұрын
Good 👍👍
@jbreezyqtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rHW1ZaeFrrylqLc
@stewardjacob1945 Жыл бұрын
Mbona kama namuona mzee tunDaman
@PascalRisa-fl1iw Жыл бұрын
Mungu kabisa
@Mpakauseme Жыл бұрын
Nafasi bado unayo na kipaji hakishi zaidi tumia akili na maarifa ya juu utarudi ulipotoka
@richardcandidus186 Жыл бұрын
Mkojani hii Kivyere umeshindwa kuimalizia umeiacha kihuni unatuangusha sanaaa mwenzio Tinwhite na Chapwilo Bwena wanaendelea