Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Пікірлер: 31
@brownngullo40518 күн бұрын
Wiki moja tu imetosha Yesu kambadilisha Q Jay
@shyfettymtunda46198 күн бұрын
Hongera sana Qj kwa kumrudia Mungu.Ukafanyike baraka kwa wengine pia. Wimbo wako wa "Sifai" huwa ninao kwenye playlist yangu miaka yote. Halafu kumbe ni wakunyumba bhana!😂
@rerisamba7 күн бұрын
Mpaka sura inaleta mvuto congratulations pastor
@GaudenceMagwaja4 күн бұрын
Natamani kuwa sehemu hiyo ya malezi, pastor BARIKIWA sana
@MarcoPeter-y5n9 күн бұрын
Mtumikie MUNGU Kwa Jina la YESU
@rev.eliasbenjaminlugomejr.48544 күн бұрын
Aanze kuimba gospels atakuwa vizuri ana kipaji "change ur talents to serve God"
@rerisamba7 күн бұрын
ABC global woiye pastor Dickson corineli woiye Mungu kakutumia kuokoa hii nafsi usimuache endelea kumutunza huyu jamaa
@victormakaranga33967 күн бұрын
Dah hongera sana kaka tulikutana mwanza tukapga story sema mzee ulikuwa chakari😂😂nakubka na maneno Yako fungo jema umechagua 🙏
@FreeGod3688 күн бұрын
Mwez mmoja qj ashabadilika ad sura kapendeza😮😮
@emmanuelelisha1733 күн бұрын
Pole sana na hongera mimi kwa macho yangu nilikuona ulikuja ofisini kwangu huko Mwanza sikuamini kama ni wewe mungu mkubwa
@luktz8537 күн бұрын
MUNGU ni mwema siku zote daima haachi nyuma watu wake🙏🙏
@twiseghekisilu88459 күн бұрын
Umechagua jambo jema!Yesu ndio jibu la mambo yote!
@diwanikatayankonko26719 күн бұрын
Nilimuona miaka kadhaa nyuma pale dodoma alinikuta B one records,kavaa kapens tu yuko tungi balaa...niliumia sana siku hiyo huyu jamaa nampendaga sana
@shyfettymtunda46198 күн бұрын
Sawa Diwani,salamu zao Nkonko
@monyogang30045 күн бұрын
God speaks through thoughts, thanks pastor
@Avsjr227 күн бұрын
Utukufu kwa BWANA YESU
@oscanyakunga8 күн бұрын
Mungu nimwema sasa uyo ndie mwenyewe
@MarcoPeter-y5n9 күн бұрын
Hongera sana MUNGU BABA wa Mbinguni amekuponya
@NoelChambo2 күн бұрын
Ubarikiwe
@rerisamba7 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MOJAZAIDI.8 күн бұрын
MUNGU ni MWEMA
@christopherjoseph99817 күн бұрын
Ila CHADEMA bana, wamewafanyisha polisi maandamano bila wao kupenda!nina uhakika polisi leo wamesimamisha kila kitu na kuingia gharama kuzurura mtaani bila ishu
@simbaboymawe4358 күн бұрын
Mm naamin kilichomsaidia Q jay kurud kweny hali yake haraka ni mazoez pia jamaa ni mtu wa mazoez sana nilkua nikifany nae mazoez uwanja mmoja hata nilipoona stor zake kuw karud kijijin na kawa mlev nilishangaa san coz alkua poa tu mpak mwaka jan mwanzon hakua vbay
@rerisamba7 күн бұрын
Wewe unataja maxoezi naunaona pastor alimtafuta kama amechoka nasahizi ndio ana mlea kuanzia kula mpka kulala
@simbaboymawe4357 күн бұрын
@@rerisamba sjui umeelew nilchoandika
@PresenterJavi9 күн бұрын
Amen, Nipo Humoooo
@kimjamestz7 күн бұрын
oyaaaaa RICK hii INTERVIEW imenyoooka sana
@YusuphMwalongo9 күн бұрын
Mwandishi nimekukubali maswali yako yamenyoka
@wemaMichael-fr4th8 күн бұрын
mhhh kachakaa
@charlestobby60318 күн бұрын
Hapo ameanza kunawiri ungemuona mwanzo si ndio ungeshika kichwa😢
@joseygaudence49227 күн бұрын
mwanaume hachakai huwa anapauka akipata mafuta analudi kati 😊