No video

Rigathi Gachagua alazamisha rais Ruto kutangaza msimamo wake kuhusu vita dhid ya pombe haramu

  Рет қаралды 88,917

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Ай бұрын

Rais William Ruto Sasa Anasema Kati Ya Mabadiliko Yaliyofanywa Katika Idara Ya Polisi Yalinuia Kuwaondoa Maafisa Ambao Wamekuwa Wakishirikiana Na Wafanyabiashara Wanaolemaza Vita Dhidi Ya Vileo Ghushi. Ruto Amefichua Hili Alipozungumza Katika Ibada Ya Jumapili Eneo La Ndaragwa Kaunti Ya Nyandarua Baada Ya Naibu Rais Rigathi Gachagua Kumtaka Kutoa Msimamo Wake Kuhusu Swala Hili.

Пікірлер: 103
@MuthamaSabastian
@MuthamaSabastian Ай бұрын
Nani ameruhusu Tena hizi siasa Kwa kanisa........kanisa nyinyi...kanisa nyinyi...mmmmm....chungeni.
@oyay2821
@oyay2821 Ай бұрын
Pombe yote ni haramu, hakuna siku ilikua halali
@Watt-er8or
@Watt-er8or Ай бұрын
We had missed the days President and deputy president talked in one voice... The moment they started to talk in different languages, a group called GenZ was born.. As Rigathi said, unity is strength and it must start from bottom up... Your excellency Rigathi Gachagua, continue with your magnificent work of bringing together Mt. Kenya...
@kenmutwiri7561
@kenmutwiri7561 Ай бұрын
And that's how they control you people wake up, these are two goons in disguise as leaders
@JacksonMutinda-jw5qw
@JacksonMutinda-jw5qw Ай бұрын
Siasa kanisani,nonsense na tunawajua nwakora tuu,,hakuna kitu hapo
@stove7197
@stove7197 Ай бұрын
Nonsense
@georgesalano5771
@georgesalano5771 Ай бұрын
Stupid observation,who told you their so called working together matters to the cause of the gen Z and other many kenyans who are tired of all this politicians
@Watt-er8or
@Watt-er8or Ай бұрын
@@georgesalano5771 GenZ became stronger when they realized that opposition was not powerful enough to take on the government.. But the ones you see today on twitter are Azimio people, most of them are Lips...
@peterkamotho5962
@peterkamotho5962 Ай бұрын
Sasa watoto hawauliwi na pombe wanauliwa na risasi
@Watt-er8or
@Watt-er8or Ай бұрын
Mmoja alienda kukunywa pombe,. Mwingine akaenda kuchoma bunge..
@irenenjoel
@irenenjoel Ай бұрын
Wanauwawa na kuchinjwa vichwa.
@alextercisio
@alextercisio Ай бұрын
Unaeda kuchoma Parliament MTU akiwa na akili ?
@deeruta9894
@deeruta9894 Ай бұрын
But ulitaka wa coast wakule goka 😢😢😢😢so sad
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 Ай бұрын
Kumbe ikihusi watoto wao wanakasirika
@deeruta9894
@deeruta9894 Ай бұрын
@@jumas.sendekwa2788 sana tu bro
@jacksportman5181
@jacksportman5181 Ай бұрын
Iv makanisa ya Kenya ni majukwaa ya siasa instead of kuabudu😢😢
@user-sg6zh6mj1h
@user-sg6zh6mj1h Ай бұрын
I'm David Lukeine, from Narok . His Excellency DP please don't let it come back it's ruining life's of our young people. There'll be future for people - I support you Mia kwa Mia ( 100% )
@Ndakui
@Ndakui Ай бұрын
Pastor wa hii church ako sawa kweli
@jothammaweu3005
@jothammaweu3005 Ай бұрын
Labda anodai occupation by gen zs
@Flamingo9653
@Flamingo9653 Ай бұрын
The reason the 2 goons are going to church in ndaragua is because people there are in the dark and dont know what is happening regards GenZs. Let him try Githurai
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. Ай бұрын
Watoto wetu wanauliwa na RISASI ZA SERIKALI NA SIO POMBE ANYMORE
@alextercisio
@alextercisio Ай бұрын
Yess wakichoma Parliament hapo risasi lazima
@Vodka_c-zar
@Vodka_c-zar Ай бұрын
Citizen mna tangaza ufala sana nyinyi.... Maumbwa
@aheudit
@aheudit Ай бұрын
Lakini Polisi, wanaweza kuuwa bila kushtakiwa. Double standard.
@robertkimani2420
@robertkimani2420 Ай бұрын
Ruto is akiller mambo ni matatu we remember
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Ай бұрын
Wakenya bana mnachanganya ibada na siasa kwann mkiwa ibadani msiabudu Mungu mambo ya siasa mfanye kwenye majukwaa yenu
@rabeccamutindikivuu
@rabeccamutindikivuu Ай бұрын
Lakini muguka mnaruhusu huko pwani,,
@froma3732
@froma3732 Ай бұрын
Ok Pombe ni sumu Mungukaa iko Sawa
@Vodka_c-zar
@Vodka_c-zar Ай бұрын
Mbona hamja ongea kuhusu Ruto ku enda kutoa pesa kanisani na ali sema hakuna iyo mambo tena.... Nyinyi mme nunuliwa mafala nyinyi nkt.
@NasimMaya-k3q
@NasimMaya-k3q Ай бұрын
Kura zikiibiwa ni mlima.michango kanisani nyama na mchele ni Central yan hahafunguka akili ama niaje.wee hii upuz akuna kisumu
@robertkimani2420
@robertkimani2420 Ай бұрын
Sasa president nikuja kanisani kusema stori za pombe wakati watu wanauliwa wakitetea haki zao tunaishi wapii
@nicholasrama5076
@nicholasrama5076 Ай бұрын
What’s the use of City Halls 🤮 Why can’t they just organize themselves to do their Speeches in City Hall,if they want to address the people ?
@jamalkhedira2398
@jamalkhedira2398 Ай бұрын
Pombe irudi...tutawaletea from mombasa😂..tukufe sote
@alfanmwatamu9030
@alfanmwatamu9030 27 күн бұрын
Lakini mgoka mwataka uletwe pwani kumbe kwenu hamtaki watto wenu waaribike...acheni ukabila nyinyi
@grysonkavaya5131
@grysonkavaya5131 Ай бұрын
Ruto haskii...... Tulisema hakuna siasa kanisa
@georgekamao6630
@georgekamao6630 Ай бұрын
Thts very true..how soon did w forget kirinyaga??
@JacksonMutinda-jw5qw
@JacksonMutinda-jw5qw Ай бұрын
Hakuna kitu mtaezana nyinyi,midomo mitupu na hakuna kazi
@abelmakori
@abelmakori Ай бұрын
Hii siasa itaisha lini aki immediately after elections campaigns start again no time to work
@GeorgeMaluki-jr7xi
@GeorgeMaluki-jr7xi Ай бұрын
Sawa deputy
@user-hr2hw9fc9q
@user-hr2hw9fc9q Ай бұрын
Do Not deflect issues.. Govrnt.officials looting infrastructure tax payers money which is supposed to create jobs for these jobless youths... Ruto n Riggy have the Audacity to complain in front of kenyans .They should Go after Government looters/Governors/Mcas !!
@jothammaweu3005
@jothammaweu3005 Ай бұрын
And when coast counties ban Muguka same top leaders come out strongly to oppose. Conflict of interest
@GeorgeMaluki-jr7xi
@GeorgeMaluki-jr7xi Ай бұрын
Tab 😮its wrong politics in church
@user-sb6ek7vn8e
@user-sb6ek7vn8e Ай бұрын
Ruto and Gachagua still attend church services to promote their selfish politics?
@wayando
@wayando Ай бұрын
Politics in the churches is back ...
@ppatop
@ppatop Ай бұрын
Pombe itauzwa tuu kwa sababu Maisha lazima endelee
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 Ай бұрын
Don't you see mlima ndio targeted na pombe sumu.
@mainakihurusia6380
@mainakihurusia6380 Ай бұрын
Heri tuko na Rais anaeskiiiza
@astolafisto5660
@astolafisto5660 Ай бұрын
Ghai wanabadilisha topic sai ili tusahau Nini inaendelea😂😂😂
@patrickmurunga4820
@patrickmurunga4820 Ай бұрын
Ooook hawo ndio waliendesha biashara
@hellenmaiyo2516
@hellenmaiyo2516 Ай бұрын
Stop all the illicit brews and drugs.
@AppComs_Institute
@AppComs_Institute Ай бұрын
poison business is a booming business
@rihkaa6289
@rihkaa6289 Ай бұрын
Pombe haramu isiruhusiwe kuuzwa kabisa.. This fight of illicit brew should not end until it ends
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 Ай бұрын
What about Mugoka
@dennismutinda9875
@dennismutinda9875 Ай бұрын
Hadithi za Abumwasi from the chief in comand of a state. Lets know what is happening in kware?
@janaleokesho8374
@janaleokesho8374 Ай бұрын
Politics politics in church.nkt
@70micgytred
@70micgytred Ай бұрын
We are tired ruto liees must go
@anthonycnei8574
@anthonycnei8574 Ай бұрын
So disgusting to see politics in church. Another reason to avoid churches that still welcome politicians.
@josephmuigai2074
@josephmuigai2074 Ай бұрын
Ni nyumba ya mungu mmeifanya choo....😂😂 kila mtu akikula siasazake anaeda kukunia kanisa😂😂 simfanye makanisa zooote statehouses,
@reubenabugah2137
@reubenabugah2137 Ай бұрын
Siasa chafu😢
@user-cs5bs8xd8r
@user-cs5bs8xd8r Ай бұрын
Mjue more than 60 Genzs wako chini
@babuuosama8752
@babuuosama8752 Ай бұрын
RIGGY G HE IS BOSS THAN HIM EXTRACTION FROM RIGGY G NA SIO MAOMBI NI LAZIMA.
@kwekwenyotakwekwenyota183
@kwekwenyotakwekwenyota183 Ай бұрын
Reject mgokah mombasa
@niominiomi3334
@niominiomi3334 Ай бұрын
Please resign
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 Ай бұрын
Churches are not places of worship anymore...Sahi ni PLATFORM za siasa
@hazeljelimo5995
@hazeljelimo5995 Ай бұрын
kwani unaskia uchungu wapi
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 Ай бұрын
@@hazeljelimo5995 kwenye mboo,unataka kunyonya upoeshe?
@stephenthinguri3414
@stephenthinguri3414 Ай бұрын
Pombe imeua wengi kweli lakini nyinyi hizi wiki zimepita mmeua wangapi mr deputy you dont get to have a moral high ground when in truth your actions have no morals...God is watching you liars....
@augyking8010
@augyking8010 Ай бұрын
Hawa wanapigana na pombe ,,pombe sio enemy, they're the enemy, zakayo and his puppets
@tobiasorimba176
@tobiasorimba176 Ай бұрын
That's your government.
@carolinechepcorir9239
@carolinechepcorir9239 Ай бұрын
The way citizen TV twist things😂 They are thrive in chaos.
@briankwala7923
@briankwala7923 Ай бұрын
you don’t like how they mention your master zakayo😂
@josephonyango7888
@josephonyango7888 Ай бұрын
Unatakia kampuni zako ndyo maana utaka kuuwa za wengine
@SwalehSaleh
@SwalehSaleh Ай бұрын
Siasa kanisani
@aheudit
@aheudit Ай бұрын
The thumbnail photo alafu the two radio presenters 🤔.
@japhetitharu118
@japhetitharu118 Ай бұрын
Uongo umekuwa mwingi kwako
@Josethekenyan
@Josethekenyan Ай бұрын
Gachagua awache ujinga anapigana na pombe mt Kenya pekee
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 Ай бұрын
Ni wapi kwingine umeona pombe sumu kama yenye iko mlimani. Its a plan to destroy males in particular. Blind people cannot see it.
@duhhuskie2698
@duhhuskie2698 Ай бұрын
@@jabezjedidiah1429 The people making poison alcohol are your fellow Kikuyus. Even during Kibaki's time it was there. God is just punishing you guys for the crimes you have committed against other Kenyans. Infact I will vote for Ruto 2027 awafinye kabisa hii ukabila yenu iishe.
@ibnuyussuf
@ibnuyussuf Ай бұрын
Je mgoka naye
@DangotePatrick
@DangotePatrick Ай бұрын
Why don't you talk about peaple killed in kware pipeline mukuru kwa njenga your talking about alcohol 😂
@johnmbugua6499
@johnmbugua6499 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 asalalaaa 😂😂
@Uzuri-kenya
@Uzuri-kenya Ай бұрын
Why do citizen tv twist news?
@vinreyal5627
@vinreyal5627 Ай бұрын
Lies
@erickjuma7643
@erickjuma7643 Ай бұрын
Isn't this just laughable?
@aheudit
@aheudit Ай бұрын
Hawa watu seriously?
@KigodaChaMtemiMsarifu
@KigodaChaMtemiMsarifu Ай бұрын
Makinikieni upakiaji wenu wa video na maelekezi.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
Mbona una madaha ya kuandika misamiati ilhali bado si sanifu
@josephkaruga5495
@josephkaruga5495 Ай бұрын
​@@fahadfaraj6474This comment though 😂😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
@@josephkaruga5495 kaandika Maneno yanayofanana na kiswahili ila hayana usanifu
@cloudinhoabdi868
@cloudinhoabdi868 Ай бұрын
So you have gone back to church again even after we warned you not to?
@FaithFay-mb1yt
@FaithFay-mb1yt Ай бұрын
This guy is lieing at church
@lilyrunya9584
@lilyrunya9584 Ай бұрын
Stupid talks. Why you want Muguka in Coast yet you dont let the pombe there. Are those more special than the others?
@charlyb3560
@charlyb3560 Ай бұрын
Na hao watoto wetu ndo unaua..kigeugeu
Bradley Marongo asema ndiye mtu mrefu zaidi humu nchini
3:43
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 29 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 12 МЛН
Another job scandal reported in Eldoret, Uasin Gishu county
3:46
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,7 М.
Yuko wapi Samuel Ngure?
2:07
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 20 М.
CHURCHILL SHOW S1E6 PART 1-2
15:55
Churchill Television
Рет қаралды 12 М.
DP Gachagua fires at Ruto allies
4:49
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 288 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН