Rigathi Gachagua asema maafisa katika wizara ya usalama wanahujumu vita dhidi ya pombe haramu

  Рет қаралды 19,195

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

10 күн бұрын

Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anasema kuwa maafisa wakuu katika wizara ya usalama wameanza kuwatumia wanasiasa kuhujumu vita dhidi ya pombe na dawa za kulevya nchini. Gachagua akisema yuko tayari kujiondoa kwenye uongozi wa vita hivi na jukumu hili kukabidhiwa mtu mwingine. Na kama Kamau Mwangi anavyoarifu, Gachagua sasa akimtaka rais William Ruto kuwa makini na watu anaosema wanataka afeli

Пікірлер: 32
@erickjuma7643
@erickjuma7643 8 күн бұрын
So nowadays Gachagua is addressing Ruto in public. Things change really fast
@kkir5004
@kkir5004 8 күн бұрын
He's being haunted by his own demons, this guy belittled Uhuru infront of world leaders. Fought Raila endlessly now that Rao has stepped aside he's turning the spear to the ground he is standing on.
@irine8353
@irine8353 8 күн бұрын
The earth is hard 😂😂
@irine8353
@irine8353 8 күн бұрын
Gachagua don't go please we need some more secrets
@user-if7ti3rn3u
@user-if7ti3rn3u 8 күн бұрын
This one has no secrets to tell, he wants to be treated equally to a head of state, hiyo tu, helicopter, najibebea sabuni nikienda mombasa tulidanganywa kama watoto. Bibi amenyanganywa marupurupu. Vitu ata having umuhimu na nchi, ukizoa kutendekezwa unakuwa mshenzi tu, jaribu 2027 tone kama unatosha mboga, tulikuonea eighteen. 😅😅😅
@superkidsafricatv7152
@superkidsafricatv7152 8 күн бұрын
Rigathi is true
@fatumajuma592
@fatumajuma592 8 күн бұрын
Umesema kweli
@justinebosire9804
@justinebosire9804 8 күн бұрын
uyu n bure kabisa....mt kenya dp..umavi sana
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 8 күн бұрын
There is a saying: THE MORE THINGS CHANGE, THE MORE THEY REMAIN THE SAME.
@JacksonAudi
@JacksonAudi 8 күн бұрын
Gen Zs tupe mwelekeo kuhusu kinywaji.....
@liyakalozeze-hd7kp
@liyakalozeze-hd7kp 8 күн бұрын
Mkunywe Tu hata taa izimwe
@constantine7512
@constantine7512 8 күн бұрын
Why is he not mentioning names, these kind of leaders are the ones we are rejecting, Unajua jambazi na husemi majina tumreject........
@lilianomondi-ck1pl
@lilianomondi-ck1pl 8 күн бұрын
And we are following..
@user-if7ti3rn3u
@user-if7ti3rn3u 8 күн бұрын
Hawa ndio mnatuambie ni viongozi wa makanisa, na uongozi wa nchi, wako na uchungu mwingi dhidi yao. Mnaweza kushindwa na majukumu ya kitaifa, lakini za nafsi ikiwashinda mumelaniwa.
@HillaryKoech-pk2se
@HillaryKoech-pk2se 8 күн бұрын
Kachakua should leave us alone...we are drinking Nation as shown by UHURU Kenyatta
@user-if7ti3rn3u
@user-if7ti3rn3u 8 күн бұрын
Kazi kama imekuwa ngumu ondoka, ukapumzike, au fungal mdomo uendelee kulipwa. Hiwezekani kila mahali unahutubia ni kulalamika tu, kazi yako ulikuwa ukifanya ni ipi hufanyi tena.
@jamalkhedira2398
@jamalkhedira2398 8 күн бұрын
Mogoka is destroying coastal people.yet the president gave them money..we want ruto to give money as to illicit brewerrs 2:18
@niqueque8586
@niqueque8586 8 күн бұрын
Tab tab ndo zinawamaloo
@roseyphone8698
@roseyphone8698 8 күн бұрын
😊😊😊
@ClusterProject
@ClusterProject 8 күн бұрын
There is nothing like illicit brew, made in kenya made by mama mboga can not be illicit
@football964
@football964 Күн бұрын
Mirraa also is killing innocent
@cryptoth4n0s77
@cryptoth4n0s77 8 күн бұрын
The common feature with this government, create a problem then come and fix it. Claim you found the problem and you solved it. From the fuel prices G2G and now prices are low they claim it is their effort
@nyamwangierick2820
@nyamwangierick2820 8 күн бұрын
Udas mapema zana
@estherndanu8729
@estherndanu8729 8 күн бұрын
You helped the gen z s to burn Kenya help yourselves too
@jamalkhedira2398
@jamalkhedira2398 8 күн бұрын
He should be impeached.
@user-if7ti3rn3u
@user-if7ti3rn3u 8 күн бұрын
What's the difference this leaders of kenya and sudan, you know bw. Peggy G, some of your statements needs you to be detained, what you have just said on how the president could be brought down is as well a threat to the country, it seems even malicious could beat the backyard waiting your orders.
@pstvitalisomondi
@pstvitalisomondi 8 күн бұрын
wrong platform to adress your boss sir
@Watt-er8or
@Watt-er8or 8 күн бұрын
Our beloved Deputy President, this is not the time for side shows. The problem at hand is GenZ, let's come together to switch off this fire,.. UDA differences should wait... Saa hii kuna moto inawaka,.. Remember 2017 after the first elections, Uhuru demeaned all Jubilee leaders, but when Supreme Court nullified elections, William Ruto stepped up as real man and told Uhuru, We are going back to the people... Mr. Rigathi Gachagua, step up as a real man at this trying times and unite Kenya Kwanza,, and give a road map on how to solve GenZ issues.. Don't be destructed by small people like Ichungwa,, you are the DP and de facto Mt. Kenya king pin.. We really need you to help in switching off this Fire
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 8 күн бұрын
The whole RUTO govt,should go home....there's no sacred cow in this...
@alexsimiyu8582
@alexsimiyu8582 8 күн бұрын
You are an idiot! So you think this one can be an alternative to our governance issues?
@kiruienock5081
@kiruienock5081 8 күн бұрын
Gachagua ni mkora tu. Suddenly pretending to be so good. Be weary of this untrustworthy man
Ruto, Gachagua bromance back again after sacking of cabinet secretaries
3:03
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 116 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 27 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 101 МЛН
Polisi watupa vitoa machozi Nairobi CBD katika maandamano ya Gen Z
13:50
LIVE: Kenyans Mount Anti-Government Protests#OccupyCBD
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 1,8 М.
GEN Z BATTLING THE POLICE IN NAIROBI CBD
Okoaunga TV
Рет қаралды 29
The Rock
8:58
Shotgun BomBom
Рет қаралды 75 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 116 МЛН