Рет қаралды 20,014
Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anasema kuwa eneo la Mlima Kenya limewakilishwa vilivyo kwenye sura mpya ya baraza la mawaziri. Gachagua aliyezungumza katika ibada ya jumapili eneo la Kinangop kaunti ya Nyandarua amewasuta wanamkosoa kwa kutowakilisha eneo la kati vilivyo akisema eneo hilo limepata nafasi za kutosha kwenye baraza la sasa.