Mwanaume wengi ni bora ukose hela ila mashine iwe inafanya kazi. Nilifikiria jamaa atakuwa ana mambo ya ushirikina kumbe sivyo daah. Ila nilichojifunza ukiwa na changamoto usikae nayo kimya japo uwe na uhakika na yule utakayemshirikisha. Ila vijana tusijitenge na wazee wetu, wazee wetu wa zamani wanafahamu mengi tukiwashirikisha wanaweza kutoa kauli ukajikuta umepata kupona.
@lovenessmjaka97542 жыл бұрын
Hakika
@sekelamwakibete71729 ай бұрын
Mmmm ungemstiri mwenzio jamani
@barakakusa76062 жыл бұрын
Sasa fatuma si Bora angekaa tu kwa mumewe kwani hata akienda kwao bado haibadirishi kilichotokea.
@neemasamson3142 жыл бұрын
Mwe jamani pole sana kaka wa watu
@crizeyaden6158 Жыл бұрын
Nme muonea huruma huyo kaka
@joycemetili3876Ай бұрын
Kumgawa mkeo kama mkate??!!
@mayhamid63202 жыл бұрын
Daah!inasikitisha sanaa
@pankrasimakuliro18712 жыл бұрын
Sasa mbona unachelewa Sana kupost?
@magealphonce36282 жыл бұрын
Kosa la huyu Kaka kukuambia alimuua rafik ake bac vingine Fatima ulitakiwa kutunza siri
@bakari-si1pw2 жыл бұрын
Ndowa imeisha atari sana
@hopejohnson73522 жыл бұрын
Ila ningekua mm nimgevumilia 2 maana tayari ishakua hamna jinsi
@shaababy25702 жыл бұрын
Pole fatuma
@lizzybeth63442 жыл бұрын
Nimemuenea huruma huyu kaka japo alichokifanya sio kizuri coz ao watu wangekuwa na malazi je?
@jennyyshypopo32692 жыл бұрын
yle si mjinga lazma alikikisha kila kitu kiko swa jmn sema tu sisi wanawake uwa tuna jiangaliaga tu sisi akika uyu kaka alipitia maumivu sana tena uchungu mzito mno akika mm binafsi namlilia sana
@complex75822 жыл бұрын
Lizzy hujambo
@latifayusuphu88462 жыл бұрын
Fatuma jmn??Alikukosea sana lkn ukupaswa kumuanika,,,Ungemfichia tu siri
@ireneherman762 жыл бұрын
Jmn fatmaaa Ni huzun ilaa ni mapenz ndo mnaa mume hakufany baya sna japo kuelewa n ngumu
@jennyyshypopo32692 жыл бұрын
kweli kbs
@reginalyimo3242 жыл бұрын
No one
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Hivi ni kweli au 🙄🙄🙄
@elicalyimo21272 жыл бұрын
bor umerud vero maan tunapostiw saut ya kiume mhh
@zainabukayanda39652 жыл бұрын
Fatuma mmbea😔
@husnahusnakhamisially38232 жыл бұрын
Dada ake ndio mbeya
@rahmarajab44712 жыл бұрын
😂😂😂😂Nimecheka Sana kusikia Fatma mmbea 😂😂
@zainabukayanda39652 жыл бұрын
Kweli jmn kamchoma mme wake😁
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🤦♀️
@josephmarwa72122 жыл бұрын
Wanawake hatuna Siri Fatima kaja kumdhalilisha Hadi kwenye redio
@jennyyshypopo32692 жыл бұрын
apana nataka watu wajifunze anajutia nae alicho kifanya kwa mwebzake
@mwamwajaonline18812 жыл бұрын
Nawewe ni Mwanamke?! Joseph Marwa?
@salmakasmakasma3005 Жыл бұрын
😭😭😭
@a_y_d_a Жыл бұрын
Lakn hakutaja jina pia hamtaki watu wapitie km alichopitia