Yaani Mchungaji alikuwa vacation..Khaaaa! ...1Yohana 4:1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
@joycemetili387611 сағат бұрын
Jamani, njia za mkato na tamaa ya utajiri sio nzuri. Fanya kazi kwa bidii, muombe Mungu nae atakufanikisha na utaishi kwa amani. Utauwa na kuridhika ni faida kubwa
@joycemetili387611 сағат бұрын
Hela ya zamani rupia!! ..ndio umasikini umekuijia hivyo!..hakuna utajiri hapo wameshachukua nyota yako. Pole sana Alex lakini usife moyo, Bwana Yesu ni Bwana wa mabwana, SImba wa Yuda anaweza kuyafungua maisha yako na kukurejeshea
@joycemetili387613 сағат бұрын
Huyu Athumani, mbona yeye hamiliki chuo kama anajua njia za kufanikisha chuo???!!!! Huyu ana wivu na mafanikio ya Alex na anaitaka nyota yake au ni mshirikina anatumiwa na wenye vyuo wengine kuwaharibu washindani wao. Siku zote kuwa makini sana na watu wanaojidai wanajali sana mafanikio yako kuliko yao...ni waharibifu watakuingiza kwenye mateso. Ukiingia kwenye ushirikina lazima upigwe na kitu kizito baadae.
@joycemetili387615 сағат бұрын
Uuuwwwiii!! Jamani!! Uonevu mkubwa namna hii!!😭😭😭Huyu mtu hakuwa na hatia kasingiziwa, wahalifu wamepatikana lakini bado mnamfunga na kumhukumu kunyongwa!!...mfumo wetu wa sheria unafeli wapi?!😡..yaani mtu kapoteza kila kitu kasoro tu uhai wake. Mtu kama huyu akirudi uraiani anaanzia wapi?! Kwanza anakuwa na hasira, uchungu na kutaka kulipa kisasi..wengine wanatoka na magonjwa...Ndio unakuta mtu anaamua kufanya uhalifu maana hana ramani ya maisha. Mungu isaidie nchi yetu iwe inatenda haki kwa wananchi wake.
@AminahAminah-u3oКүн бұрын
jamani inasikitisha
@wineththomas4803Күн бұрын
😊z
@cinemaxsportКүн бұрын
Pole sana Neema.. Wanaume wa naman hiyo tunawajuwa
@joycemetili38762 күн бұрын
Duuh! Napata wasiwasi kuhusu huyu mama na huyu kijana...usikute hao ni mapapa zaidi wanamlaghai tu Rahma ili waje wamuuze bei kubwa kwa watu wa madawa ya kulevya😭😭
@joycemetili38763 күн бұрын
Siku zote shetani ni muongo na mdanganyifu...anakuzamisha taratiiibu mpaka unajikuta umezama kabisa
@joycemetili38763 күн бұрын
Mke alienda kutuma makombora ya damu ya YESU...akili za mume zimerudi normal.. huyu dada atapigwa na kitu kizito we subiri
@joycemetili38763 күн бұрын
Ukisikia kazi za shetani ndio hizi...1 Timotheo 6:10 Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi. Yak 1:14-16 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti. Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike. Mwana wa Mungu (Yesu Kristo) alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
@joycemetili38763 күн бұрын
Eee Mungu wangu!! Mwanadamu akikengeuka anakuwa kiumbe wa hatari sana.
@joycemetili38764 күн бұрын
NAJMA, usimuache Bwana Yesu shetani asije akapata tena nafasi..Mungu akulinde akutunze
@joycemetili38764 күн бұрын
Haleluyaaa! Nampenda sana Bwana Yesu, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana...Simba wa Yuda, Bwana hodari wa vita. Yeye hajawahi kushindwa vita na haitatokea ashindwe vita yoyote. Pole Najma kwa uliyopitia lkn utukufu kwa Bwana Yesu aliekufungua na kukukomboa.
@joycemetili38764 күн бұрын
Mungu ambariki sana mama mlezi, kaka na wifi yako walioamua kukupigania maisha yako
@dorcaskidoti2496 күн бұрын
2024 mwishoni mwa mwaka nasikiliza yaaani huyo mganga nilivyo na hasira naweza mpiga vibao, Sipendi waganga sbb ni waongo wameuwa watt wa Magdalena bd wanamkejeri,,,,,,, Tumuamini Mungu akikubariki hana masharti wali majuto.
@018crewtanzania36 күн бұрын
Wanawake wengine ni kuwaombea tu wengine ni MAROHO YA KIMASKINI YANAWASUMBUA SIO BURE
@joycemetili38767 күн бұрын
Deusdedita huyo rafiki alikuwa mbaya...hujui walichoongea na mganga wake..pengine alkuwa anakuonea wivu akaamua kumuondoa kaka Tom. Tuwe makini sana na marafiki, na sio kila kitu unamwambia rafiki yako. Kuna wakati wa kukaa kimya na mambo ya kunyamaza
@joycemetili38767 күн бұрын
Hayo ni mapepo ya mganga yamemvaa Tom...au hata inaweza kuwa ni mganga mwenyewe kaja kimazingara
@joycemetili38767 күн бұрын
Huyu rafiki hajatulia kabisa halafu mshirikina!!😡😡
@joycemetili38768 күн бұрын
Mambo ya Walawi 20:27 “ Tena mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa; watawapiga kwa mawe; damu yao itakuwa juu yao.”
@hadija_makange8 күн бұрын
😢😢daah hussen kanitoa machozi napia kaonyesha msimamo mkali sana mwanaume na ndio inavyo takiwa
@abisaimuhanji36878 күн бұрын
Hapo kuna cheni kubwa sana
@abisaimuhanji36878 күн бұрын
Vero upo vizuri sana unajua na inajua tenaaa🎉🎉🎉🎉
@abisaimuhanji36879 күн бұрын
Naikumbuka stori ya Ambwene
@joycemetili38769 күн бұрын
Mama anakazana kumchonga binti ili afit kwenye moyo wa kijana😂😂 Huyu mama itakuwa anataka kulifanya agano lake la kichawi liwe na nguvu zaidi
@joycemetili38769 күн бұрын
Shetani muongooo!! anakuongezea tatizo juu ya tatizo... mikwara mingiii!!!! Kiboko yake ni Bwana Yesu tu. Pole sana Essau kwa uliyopitia ...hili ni fundisho kwa sote. Mjue sana Mungu ili uwe na amani AYUBU 22:21
@joycemetili38769 күн бұрын
Esau amekuwa anapuuzia sana ndoto anazopata..na hata baada ya janga lililomkuta shule ya kijijini, bado huku shule ya mjini hachukui tahadhari kabisa yaani amerelax. Mdharau mwiba mguu huota tende
@mariapjohn110 күн бұрын
dada napenda simulizi zako sana name pia napenda kua kama wewe nawezaje dada
@joycemetili387610 күн бұрын
itakuwa vichaa/wendawazimu wengi wapo katika mazingira kama haya aliyopitia Sikujua. Pole sana Sikujua kwa uliyopitia.
@joycemetili387611 күн бұрын
Posta posta posta!!! Hivi posta kuna niniii!! Story zako zote Da Vero posta inakuwaga na jambo lisilo zuri
@joycemetili387611 күн бұрын
Zab 51:17 Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.... na pia.Mungu anasema katika kitabu cha Mathayo 12:20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu ya haki itawale Moyo wa toba humkaribisha Mungu ahusike na maisha ya mtu. Asante sana Zenobia kwa ku-share story yako ya maisha. Nimejifunza mengi..hasa kurudi na kuwaomba msamaha niliowakosea ili maisha yangu yabarikiwe. Mungu akubariki akutunze
@GeorgeKessy12 күн бұрын
Yamenikuta hayo ya Mussa ila mimi Mama ndo alinionganisha kwa binti yake 😢. Mwaka wa nne sasa naishi mwenyewe yaliyonikuta mungu ndo anajua.
@shanizuberi798412 күн бұрын
Tatzo ya hamisa alikua mbishi sana na kujifanya anajuwa
@ms_twiii14 күн бұрын
Kitu cha kujifunza: Kitu kinacho hatarisha afya, utu na uhuru wako usikubali
@joycemetili387616 күн бұрын
Roho zinazopiga uchumi wa mtu zipo kabisa jamani...mimi nimepitia hilo ni Bwana Yesu ndie alienitoa huko. Usimchukie mtu hizi ni roho za giza zinazomfuatilia mtu, yeye kama yeye wala hajui na hana kosa. Sio rahisi sana mtu kuelewa inapotokea akaambiwa kwenye familia yao ndio kuna shida.
@joycemetili387616 күн бұрын
Yaani Josephine wewe ni mwanamke wa nguvu mwenye moyo mwema sana..wewe ni mama bora❤❤chukua maua yako💐💐🌹
@joycemetili387617 күн бұрын
Pole sana Josephine.. Huyo mpuuzi itakuwa alikuwa na mwanamke mwingine..ndio akajifanya hakujui. Atakuja kujuta maana mara nyingi hawa watoto wanaowakataliwa na baba zao, Mungu huwainua na kuwabariki baadae wanakuwa msaada sana..
@joycemetili387617 күн бұрын
Sandra, wewe ni mwanamke mwenye moyo mwema sana. Mungu akufute machozi akuondolee mateso. Lakini kikubwa mpe Bwana Yesu maisha yako ..mwachie hii vita akupiganie. Hiyo nyumba utaweza kuiuza vizuri tuu na wala hakuna kitakachokudhuru. Bwana Yesu ni kiboko ya wachawi. Asante sana Sandra nimejifunza mengi kupitia hii story yako.💐💐
@hadija_makange17 күн бұрын
Mbona sehemu 10 hamna
@hadija_makange18 күн бұрын
Mwanaume akiwa na pesa sana anaweza kukuingiza popote pale
@hadija_makange20 күн бұрын
Yani ndio nasikiliza simulizi japo imepita mda lakn aki naogopa 😢😢yn nikilala naifikiria
@hadija_makange20 күн бұрын
Dunia hii tumtumaini sana mungu bila hivyo tutajikuta tunaishi pazuri kumbe ni kwenye misitu
@EddahNkhata-o2n21 күн бұрын
Ila magdalena ana cha kujibu kwa Mungu😢
@joycemetili387621 күн бұрын
Pole Mussa, ni maumivu makali kudharauliwa kiasi hiki...lakini Mungu kakuepusha na jambo kubwa, mshukuru Mungu, mrudie Mungu atakuponya moyo wako ulioumizwa atakupa mke mwema. Wema wako Mungu atakulipa.
@joycemetili387621 күн бұрын
Kwa hiyo baba alimuegesha binti yake kwa Mussa!?!! Duuh! Hii inapatikana tu Singida😄😄..Kweli Dunia ina mambo
@joycemetili387622 күн бұрын
Sina imani na dada mshauri...yawezekana yeye ndio katoa siri kwa meneja