Pole Mussa, ni maumivu makali kudharauliwa kiasi hiki...lakini Mungu kakuepusha na jambo kubwa, mshukuru Mungu, mrudie Mungu atakuponya moyo wako ulioumizwa atakupa mke mwema. Wema wako Mungu atakulipa.
@RehemaBulaya Жыл бұрын
Rafiki wa Mussa wa hko singida nimekupenda buree.. na maneno yako ya busara ... cku 90 ndio za kufanya maamuzi I love you sanaaaaa❤❤❤❤
@ftimaramadan4748 Жыл бұрын
😊😊😊. Dawa ya moto ni moto
@winnieambwene2875 Жыл бұрын
Jmn Musa wamemkosea Sana wallah awajafanyaa Vzr kbs😢😢 binadamu tuna ROHO mbaya sanaa
@luqmanhussein5551 Жыл бұрын
Same story different cast duuuhh i thought I was alone kweli dunia sinia pakuwa kiasi chako then take a bow its was the hardest thing i ever experienced 😭😭😭
@priscasanga445111 ай бұрын
Ulipatwa na nn tena
@luqmanhussein555111 ай бұрын
@@priscasanga4451 km alivyofanyiwa musa ndo nimefanyiwa mimi asikwambie mtu ni zaidi ya maumivu yeyote kuwahi kiyaishii🫵
@Miryambanks0 Жыл бұрын
Nilikuwa naisubir jaman boraa🥳🤩
@reachelchemtai2604 Жыл бұрын
Pole MUSSA mungu yuko pamoja na wewe kila hatuwa muamani yeye tu
@Cathynaman Жыл бұрын
Da vero Nakupenda sana lkn ninamuda zaidi ya two weeks redio haishiki kbs,napatikana Arusha
@ftimaramadan4748 Жыл бұрын
Pole sana mussa ila wamekudharrau sana ni maumivu juu ya maumivi ila mungu ni wetu sote
@jacklinegodifrey8607 Жыл бұрын
Rudi tu kwenye upande wa ndugu zako Mussa pole kwakuiacha imani yako kisa mke afu mwisho wa siku mke nae kasepa
@HAKHISALUMU11 ай бұрын
Ni hiyo pesa tu waliyochukua
@anjelanjau210511 ай бұрын
hao watu watapata azabu kali sana Mungu atawalipaaa
@FatimaRamadan-s4f Жыл бұрын
Wanaume lazima mjue kuwa ukilazimisha kuolewa itabidi umtii babako so huenda hakukupenda usilazimishe mapenzi ila mungu ana sababu ya hayo yote pole sana
@HAKHISALUMU11 ай бұрын
Subhanallah huyu baba ni shida na nusu jamani
@018crewtanzania32 ай бұрын
Familia za wahuni waliokomaa😢
@janemalongo5417 Жыл бұрын
Namba moja mwenyewe
@winnieseba2257 Жыл бұрын
Huyo mzee ana dhambi 😢
@emmanueljiwoo580 Жыл бұрын
Daaaaah kwakwer dada vero umetusahau sana huku mpka nalia 😭
@janethkomba4485 Жыл бұрын
Pole ,ata mimi pia nimetowa macho weeee mpaka yamenivimba 😢saiz ndonaiyona simulizi🧘
@gracekretus1851 Жыл бұрын
Wanaloo mbaya Sana watu wauko wazuli wa kila kitu lakn Wana loombaya Sana wachoyo wanapenda kusalit waume zao 😭😭
@SalumuZomba-xb5bz Жыл бұрын
Jamn dunia ina mengiii kwelii kuwa uyaone
@nashwaaabdullah3412 Жыл бұрын
Leo leo usiku huu wa manane nimekua wa kwanza😊😊😊😂😂
@simonmaige7785 Жыл бұрын
😂😂😂 wengine tunaingia saivi! Saivi mpk asubuhi asubuhi ya saa tano😂😂😂😂
@janethkomba4485 Жыл бұрын
@@simonmaige7785😂😂😂😂😂😂
@WinfridaNdege Жыл бұрын
Ukipenda unakua fala pole sana Mussa, with time utakua sawa
@Alhadady Жыл бұрын
Nawachukiya wanawake wenye roho kama huyo mdada siwapendi hata kidgo
@HAKHISALUMU11 ай бұрын
Eti watu wamcha Mungu
@fora2009 Жыл бұрын
Musa jamani mbona nahona aibu mimi😂
@wanyendakuta8912 Жыл бұрын
Leo siku nzima napita sioni kitu😩😓
@methodmathias1315 Жыл бұрын
Usikilizage radio
@pascalmsuya2553 Жыл бұрын
Jaman dodoma hatujaipata kabsa jana
@janethkomba4485 Жыл бұрын
Watu wema atunaga bahati😢watu wasingida mumemliza MUSA😢 ebu piteni hapa mniambiye mnataka mupewe niniiii ????
@BEATRISFHEMAHEMA Жыл бұрын
Tupewe kila kitu ambacho kina patikana kwenye hii Dunia au wewe unaonaje?😏
@rukyiakimolo-le2tx Жыл бұрын
Nafikiria hivi nikweli kunawatu wahovyo hivyo
@maryammaryam444 Жыл бұрын
Usiku wa manane 😂😂😂
@hopejohnson7352 Жыл бұрын
Kwenye hii dunia nilijua nimeskia vyote kumbe Kuna mengine sijawah kuskia kumbe bado sijaskia watu was singda shikamon heee nimejiskia vbya xna aisee😭😭
@shamimurajabu922010 ай бұрын
Sio wotee,na wanao ishii singida sio wote wanyaturu jiheshimu tupo hapa tunapenda na tunajiheshimu no mchepuko,no mapindo pindo😊