Tazama jinsi Roma Mkatoliki alivyopanda jukwaani akiwa amefungwa sehemu za mwili wake kukumbushia jinsi alivyotekwa kabla ya kuungana na Stamina kupiga bonge la show
Пікірлер: 285
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Doctor stamina 🤣🤣🤣 hatr sana nyiye rostam Mungu awape maisha maref muendelee kutup vitu vizur km hivi
@suziemgata89252 жыл бұрын
Hawa wasanii hasa Hawa wanaharakati wanapitia magumu,,Sana😰😰kwani wananchi tunaelewa sasa,,tunashindwa kuwapigania watu Kama hawa tunasapoti ujinga ujinga👏👏👏✍️✍️✍️
@kaaweemwenyewe28725 жыл бұрын
dah aiseee hiyo team ya rostam inalaza ya kufa mtu kila siku wanabuni mambo mazuri mungu awabariki sana Roma & Stamina
@habarimpya71566 жыл бұрын
Huuuuuuuuuuuuuuuuuu uwezo unakera yaaaaaaaaaaaani Rostam inajua mpaka basi Kazi nzuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Mahonda80803 жыл бұрын
Kama umesikia ipo siku inchi itashikwa na upinzani nipe like
@millitarybattalion75156 жыл бұрын
daaaa yaaani.. Mungu hutenda.. ROSTAM ni habari ya mjini tisha mbaya... pamoja tutasonga kama shabiki wa Liverpool..
@emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын
pole xana brodher Roma ndio changa moto ktk maixha tuko pamoja nawe kikubwa ni kumu omba good
@jacksonmgitaabwiro76816 жыл бұрын
hip hop ni uhalisia wa maisha(unayoyapitia na unayoish)... Safi sana "Rostam"
@josephmbeya59736 жыл бұрын
Hakika waweke silaha chini tushindane kwa hoja, kwani upinzani ni uadui?? Big up kaka Mkatoliki
@jumamenge56346 жыл бұрын
Duuuu
@hkmeme54374 жыл бұрын
Viongozi wa kiafrica hawajui kuweka silaha chini
@christonchristian7448 Жыл бұрын
@@hkmeme5437 ni chuma tu hoja kuteseka na kichwa kimoko ata ukiwa wewe na huna hoja 😆😆
@christonchristian7448 Жыл бұрын
@@hkmeme5437 mkuu au hujauona 2023😂😂😂
@hkmeme5437 Жыл бұрын
@@christonchristian7448 2023 Niko 😂😂😂
@lameckplatnum6856 жыл бұрын
Roma sinajambo juu yako nakugubali sana we noma
@kuharibuwilbroard62666 жыл бұрын
Nimependa hiyo idear Roma unaweza mpaka unakela brother
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
big up san roma kaz zak nazielew san pia pole san bro
@chidiomari.656 жыл бұрын
Nimeipenda sana iyo idea
@romanvalentine57706 жыл бұрын
Big wajina u so creativite broher
@LothAugustino2 ай бұрын
Hii ni Dunia na mwenyez mungu anaona atalipa kisasi mwenye
@chidikenadeking85786 жыл бұрын
Rostam noma sana Tanzania kwa hip hop y tanzania
@alfredsamuye42476 жыл бұрын
daaahhh Roma wew ni shdaaaaaa love u
@user-do8fe2od4i5 ай бұрын
Roma my favorite artist
@fikirimpweleleomari39166 жыл бұрын
Rostam full of everything
@naclindaniely37376 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu Romaa
@wangechikoome4170 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭Roma mungu akulinde
@aisheryramadhan2472 Жыл бұрын
Nampenda Sana Roma wallah😭😭😭😘😘😘😘
@denismakweba38706 жыл бұрын
vichwa vingne hivi,ingalijkuwa ni mechi 'Rostam' ni man of fiesta
@youngmalotz55226 жыл бұрын
Daaah fiesta ya mwaka huu ni nomaa aisee......
@shukuruazizi76766 жыл бұрын
umetishaaa mzazi pamoja kaka roma bonge ra sh0000
@faithkoinange42596 жыл бұрын
I salute u Roma u r so creative
@eliasayahaya25606 жыл бұрын
Ametisha sana
@jumayazidu28395 жыл бұрын
palapanda
@jumayazidu28395 жыл бұрын
Salamanca
@annalaurent21446 жыл бұрын
Pole Roma God is in control
@evangeliquehb46406 жыл бұрын
hahahabah Roma love u like u
@emmanuelsamwel28656 жыл бұрын
romaaaaaaaaaa
@ahmediseif31775 жыл бұрын
Roma usiogepe kuongea ukweli sema mm sikupewa kipaji kama chako ila kamaningekuwa na kipaji kama hicho ningekosoa hadi Siku ya mwisho ya maisha yangu
@jamesmwawesu81676 жыл бұрын
kutekanatekana huo ni uhuni wa kishamba ...kweli kabisa braza ...pamoja +254
@Directorjax552 жыл бұрын
Dah aseeee mmmmh pole sn mwamba nakubali dah ila nami nmeumia kukuona upo kwny hali ya maumivu hvo
@user-en6lt4sq8jАй бұрын
roma ni msaani mzl❤❤
@marrykamome41856 жыл бұрын
Nimekubali
@mohammedmchachu88205 жыл бұрын
Shikamooooooooooo👊👊mkatoriki 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@shukururamadhani66555 жыл бұрын
Pole sana romaaaaaaaaa
@eddoboy19206 жыл бұрын
Roma ni moja ya wasanii wanaonifanya nicheki Fiesta
@mwlrobinson2 жыл бұрын
Love this guy
@zainabuhussein11776 жыл бұрын
big up Roma
@chinganchomagu43482 жыл бұрын
Safi Sana roma
@sammringaa74113 жыл бұрын
Salute sana
@h.efrankii98492 жыл бұрын
Too much love..hope u get this liberation soonest guys...i feel this guy man
@shemejiwaxxl95636 жыл бұрын
R $ S MUNGU awape maisha marefu
@pierredeboy74726 жыл бұрын
No coment ✌✌✌✌✌✌🔥🔥🔥
@jacksonpancras91356 жыл бұрын
Pierre De Boy xana
@freddykise77162 жыл бұрын
No comment kak Roma nakukubali
@leydvdavid28212 жыл бұрын
Penda sana wew mungu akujalie maisha malefu loma
@privinuspatrick25776 жыл бұрын
Rostam nyie noma
@SeifSeif-ml5ny5 ай бұрын
Iy good kak
@josephelius11536 жыл бұрын
pole sana brother mungu atakulipia Kwa yote yaliyokutokea
@salumuidi63785 жыл бұрын
tishasanaaa rostam
@kgchippy6 жыл бұрын
Huu ndio usanii tunautaka!!
@fettyedward64636 жыл бұрын
mungu akulinde loma ukomzima
@pinonijonifasi88473 жыл бұрын
Daaaah Nimetoka machoz
@jackisongirani2453 жыл бұрын
Wanaotaka kwenda Zimbabwe na 2030 nataka mikon iv ✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋
@osca3122 жыл бұрын
I like you so much
@IbrahWAKITENGA6 жыл бұрын
Tumetisha
@sadikiomary91836 жыл бұрын
noma
@devidinchimbi90195 жыл бұрын
Gud show baba
@user-mf7jw1gp8q Жыл бұрын
Nmeichek tena 2023 🎉
@user-cd3oe7qx6d9 ай бұрын
😮in blood Roma
@kelvinrichard70596 жыл бұрын
one love Roma we mkali
@focustz44086 жыл бұрын
nakubali sana mkali
@jafaridossantos93066 жыл бұрын
Big up saaaaana Brother yani Nyinyi ndio wasani. Sio kama wale wasaga supu kina Harmvany🙊🤣😅😂😂😂😁😎😎😎
@ThomasJerry-pq8oe4 ай бұрын
Kk nakukubali sana 2kopamoja
@hashimsleiman17272 жыл бұрын
Noma sana roma
@enestlazalo2479 Жыл бұрын
roma nakukubalisanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@nduteboyclassic11636 жыл бұрын
love mingi mingi KWa roma
@isaiahisaac72406 жыл бұрын
big up Mwanangu ROMA ....,
@tonnyelias94546 жыл бұрын
Daaaah hii ni kutumia changamoto za maisha as a source of income
@phetymissanya66436 жыл бұрын
Alhamdulilah ur life 🙏🙏🙏
@geofreynyoni81986 жыл бұрын
he's so creative
@mdashomwamba6796 жыл бұрын
Yan aidia hii mnge ifanya fiesta dar Salam Inge kuwa poa xana
@sadakilona50316 жыл бұрын
Tusubiri aweza akatuletea mazuri zaidi bongo
@suleimanmarcelo2873 жыл бұрын
2020 viva roma viva
@tomtomboyjackson6055 Жыл бұрын
Mara paa 2023 gonga like
@jescarpaul74086 жыл бұрын
Roma we kumamae sana umejua kuniliza
@fabbymusic12 жыл бұрын
Good show
@ufugajiwetu77826 жыл бұрын
hawa watu balaaa
@benbenson47166 жыл бұрын
Nilitabr utaitwa Rais kipind ukiwa wazir
@MsodokiMusodoki2 ай бұрын
dha kweli kak
@safarijoseph49272 жыл бұрын
One love bloody
@sniperboy70983 жыл бұрын
Roma nakukubali sanaaaa
@paulokwako40853 жыл бұрын
mkatoliki huku kenya twakweshisu sana
@claraemmanuel41696 жыл бұрын
🙏mung yup Na wewe
@simonopiyo78293 жыл бұрын
Duuuh pole san mshkaj wang me nakukubal san
@BilalyamisseIssufo-ml2jl4 ай бұрын
Mimi ni chabiki WA Roma kuliko intotowake Niko Mozambique
@zanishirima92576 жыл бұрын
nice creativity...
@mazungumlasu32884 жыл бұрын
Umetisha san
@salimngonga22312 жыл бұрын
Kali brother
@pinonijonifasi88473 жыл бұрын
Pole roma
@nwntz6 жыл бұрын
hip hop is house of reality
@kulwakulwa92722 жыл бұрын
Nakukubali
@sheilalolila22336 жыл бұрын
hongera sana
@ZIGYTZ3 жыл бұрын
Daah pole sanaaaaa
@mistykingz2 жыл бұрын
So,Roma was seriously injured at that moment or its just a stage costume? someone enlighten me please