Msanii Roma Mkatoliki amejitokeza mbele ya Waandishi wa habari leo April 10 2017 akiwa na wenzake ambao walitekwa na watu wasiojulikana akiwa studio za TONGWE RECORDS, hii video inasimulizi yote ya Roma Mkatoliki.
Пікірлер: 260
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
Nape tutakukumbuka sana nataman ungekuwepo ww leo kwenye mkutano huu kikao kingeisha vizur na ungeahd meng mazur juu ya swala hii last ndugu zetu
@fridasulle39897 жыл бұрын
maswali gani mnauliza jamani
@edwintelewah2887 жыл бұрын
Waandishi wa habari wa Tanzania you have along way to go.Aibu ilioje kuwa na tabia za watoto wa chekechea
@missmuunasharifu23237 жыл бұрын
M/mungu anawaona waliohusika wooote ktk hilo tukio zima awaonyeshe hapa hapa dunian na akhera inshaallah
@missmuunasharifu23237 жыл бұрын
kwa M/mungu hayo ni madogo saaana waliofanya hivyo wanaona wamefanya makubwa sana lkn makubwa kwao ila kwa mungu madogo sanaa
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Mungu atawalinda Ndugu zangu poleni sana
@miminiyuledem42087 жыл бұрын
huyu roma apewe time kwanza akili zake zirudi sawa.. kutekwa na kuteswa sio mchezo, may God give you strenth roma
@habarizauhakika93767 жыл бұрын
tuliwaomba wamuachie na wamemuachia ni kumshukuru tu mungu
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
thx Ayo Tv Mungu akubark sana akulinde na kukutunza uendeleee kutupa hbr za Taifa letu kwa ss ambao tuko nje ya nchi yetu tunajivunia sana uwepo wako #Millard Ayo ubarikiwe sana
@monicamabula74207 жыл бұрын
nakuelewa sana millardayo
@saimonimloka42217 жыл бұрын
asante mr countdown kwakutujali na habari moto moto... keep going bro #Arushaboy
@dianaahdarlingkenya76167 жыл бұрын
thanks so Much for Your Great News Respect to u #millardAyo bro wa nguvu Daaa Pole #ROMAmay God guide u
@graciousjerry13227 жыл бұрын
ashukuriwe Mungu kwa kuwatoa salama. inauma!! Najaribu kuvaa kiatu chenu najikuta kinanipwaya. polen sana inauma mnooo kupita kias
@FabianMkirikiti-fn9mb3 ай бұрын
Waandishi wetu badilikeni mmekosa elimu ya kutosha kwenye kazi yenu pole roma nakukubali sana ndugu yangu
@wemajumanne57097 жыл бұрын
Jaman n nini hicho mbn hv..waziri majibu yake yamenikera na huyo dada aliyekuwa anatoa mwongozo ndio kaboa kabisaaa yaan dah am speechless wallah
@amanimariki76317 жыл бұрын
unafanya kazi nzuri my brother ndo maana napenda sn habari zako bro big up@millard ayo
@smrmb767 жыл бұрын
Poleni sana bro lililobaki kumshukuru Allah awaepushe na mabaya
@totoladinda30287 жыл бұрын
apo kuna jambo ziiitoooo, limejificha lkn Inn sha Allah mungu atawalipia
@sphrb10637 жыл бұрын
asante sana ayotv kwa kutuhabarisha
@EzzySkillz7 жыл бұрын
ahsante mr countdown .... wide n clear
@millardayoTZA7 жыл бұрын
shukrani kwako mtu wa nguvu Skillz kwa kutazama.
@danielyzenno21247 жыл бұрын
Millard Ayo safi sana mtu wangu wa nguvu kwa mihabari ya nguvuu
@rajabuabdallah38407 жыл бұрын
Millard Ayo Kka ktaka watoa hbr hii wote nimetaza hkuna aliyetoa hbr clear kma wwe na inayo sikilizka upo juu kka Tnakuombea mngu upte vyombo vkali na vy kissa zaid ya hv hongera kwko kka
@emmanuelnyansiro86367 жыл бұрын
anavifaa vya kisasa wengine wanatumia simu za tochi
@graciousjerry13227 жыл бұрын
umenuna nuna tu ukali nao motooo uwiiiii tupitage tu kwa kwel! kesho isijekuwa zamu yangu bure
@joanwacira64647 жыл бұрын
this guy is a hero
@lenadimyumbo28267 жыл бұрын
Roma usiogope chapa kaz
@ibrahimkihulya89347 жыл бұрын
wangekuwepo waandishi peke yao wangeaza kupotoshana tu. Nafurahia kuwepo kwa waziri.
@mlokozimpesha14487 жыл бұрын
bora nikaishi Sudan hii nchi mabaladhuli wamekuwa wengi, mwakyembe naee..!?
@eliafileephata84197 жыл бұрын
Shukurani sana kwako Millard kwa taarifa watu watahukumiwa kwa matendo yao waliofanya huo utekaji jamani utadhani sio binadamu,mungu atawahukumu
@graceyohana17337 жыл бұрын
sitaki kuamin kama waziri anashindwa kujibu maswali ya kitoto kiasi hiki. duuuh! hadi mwili unasisimuka aiseee.
@pirminletus71387 жыл бұрын
Daaaaah.....! tumshukuru Mungu
@ibnbakr22987 жыл бұрын
ayo uko njema sana brother
@maryamramadhan31927 жыл бұрын
pole Kamanda wetu. ila hapa kuna kitu kinaendelea aiwezekan Roma ashindwe kutupa japo sababu moja ya kutekwa kwake.. na kwann makyembe anajifanya kukataa maswali yanayoihusu serikali.!! Iko namna hapa.. Na uyo dada msenge tuu anapiga kelele kama yuko leba nyokoooo wee.. Kama mlikua hamuitaj maswali mngelala makwenu... Tanzania ya awamu ya 5 sijui inatupeleka Wapi...
@JerubaalXerxes7 жыл бұрын
Mwakyembe hana point wala hana issue yoyote....Magufuli please fire mwakyembe kabisa hafai kuwa waziri....mfukuze kazi huyu mzee mi sioni kitu anafanya hana tofauti kabisa na mtu wa kawaida asiyeenda darasani. Na ALAANIWE yeyote aliyehusika na aliyetoa oder ya kukamatwa na kuteswa kwa ndugu zetu hawa katika nchi huru ya Tanzania laana hii iende vizazi vyake vyote. kwa machozi ya watanzania na hawa kina Roma wataelewa somo. MH.Raisi please angalia hii mambo sijasikia kabisa umesema chochote....vijana wako wanatekwa wanateswa najuwe wewe unaweza deal na wanaojiona wakubwa juu ya sheria na hawa watekaji na watesaji mi nafkiri hawa ni zaidi ya mafisadi aisee. #tunawaombeaRoma #mwachilieninaSAANANE
@tikaeddie72847 жыл бұрын
your the best Millard Ayo
@emmanuelfrank69067 жыл бұрын
Huyo dada ana ongea sana aisee!!!
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
hao wengne walichukuliwa tu lkn mlengwa Roma
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
We mwakiyembe mnafik mbona hukutokea alipokuwa hajaonekana
@damariszuckschwert94897 жыл бұрын
Thank you Mr Ayo.. very clear video.
@ibrah19897 жыл бұрын
poleni sana, But Waandishi kama watoto wadogo bhana😳
@benny43457 жыл бұрын
Waandishi wa habari kama watoto
@sarah.wangoi.56917 жыл бұрын
pole sana Roma
@intercenscans28847 жыл бұрын
kuna kitu roma anakificha, macho yake yanaonyesha.
@robertmaginga61327 жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana kuliko yeyote mtegemee yeye, mwanadamu ni nani mpaka akutie hofu? mwenye hila hatashinda , siku zote mtegemee MUNGU. Pole sana.
@dewmustapher86167 жыл бұрын
duuuh...mungu akusaidie roma
@shaibuhamisi87157 жыл бұрын
asante sana bro millard ayo
@stargloria71067 жыл бұрын
your TV is the best..... no scratches.....so clear with perfect voice
@jasminikinga48397 жыл бұрын
pole Roma mungu ni mwema . utakuwa sawa
@AidanMlay7 жыл бұрын
This is the worst press conference i have ever watched. Mwakyembe anakwepa maswali anasema sio relevant na topic wakati yanahusika 100%..anyways hapa movie imechezwa moja hatari mimi siamini chochote hata akina roma pia wanazingua.
@khalidvova66017 жыл бұрын
kujibizana kwa post za ovyo huwapa mwanya viongoz kutufanyia dhihaka juu ya maisha yet kwa sabab wanakuwa tayar washabaini watanzania wanauelewa upi wa mambo na hii kit kibaya sana akil na ufaham wa mt huchunguzana humu humu mitandaoni nawasihi watanzania jipimeni ufaham wa jambo kabla hujatoka na kufumbua mdomo......"mungu ibarik tanzania"
@yuriempress9387 жыл бұрын
shukrani Mr. countdown
@mashmashmkeyenge92107 жыл бұрын
Poleni sana kwa yaliyowakuta Mungu yupo nanyi
@emmanuelymtamaduni29517 жыл бұрын
Wanaharakat waoga Nao͟o͟ W͟A͟P͟O͟O͟
@andrewnyambega55907 жыл бұрын
tatizo ni upuuzi wa watanzania wanawake kwa wanaume wote kusubiria umbeya ndo mana vinavyozungumzwa mnaona si sahihi acheni kua kana kwamba nchi hii hamna wanaume...
@martinanjiku22507 жыл бұрын
Asante kwa kutuhabarisha millard ayo
@kelvindeah3417 жыл бұрын
maswali wanayoyauliza waandishi ndiyo tunayojiuliza sisi wananchi sa kama hajibu kama ipasavyo anamaana ganu ya kuja hapo ni bora tyu asingekuwepo
@burtonsatshop20617 жыл бұрын
Tunaonaga cnn na vituo vikubwa duniani kama kuna press conference kama hii uwa hamna mavurugu ya waandishi wa habari kwetu sasa kama wanafunzi wa chekechea kwenye foleni ya uji😃😃😅😅😃😃
@esgtv54477 жыл бұрын
we Millard ni noma yan haina haja ya kununua gazet Daaah salute
@ritaabduel43687 жыл бұрын
Jamani I know the feeling pole roma yani ukitokewa na kitu afu useme watu wakuonyeshe kutoamini roho inauma zaidi Ni sawa na mtu awe abused afu jamii Imuone muongo ndo mana watu Wanajiua mwisho
@husseinjongo75887 жыл бұрын
aiseee i'm crying
@al-abadjuma54027 жыл бұрын
kama sierewierewi au Ndo wanaingiza nahisi muvi iko ktk intermission aisee AA wa Dom Millard broooo
@mamarama63607 жыл бұрын
mmh wameambiwa wasiseme hao wakisema watatekwa tena wacheni sheria ifanye kazi
@dreamerboy49567 жыл бұрын
Huyo dem ni msenge sana, sasa anakataa maswali utadhan yy ndo Mrs Roma. kumamake.
@conradgotham50927 жыл бұрын
I think most of Tanzanian journalists waende tuition.
@wemajumanne57097 жыл бұрын
But ahsante Millard umetuletea video ipo clear kabisa👍👍👍
@tarikj37827 жыл бұрын
nani uyo mwanamke anapiga kelele "naomba utulivu jamani" alafu yeye ndio anapiga kelele. mh umefanya la maana kuja ila naona kama maswali mengine umeyakwepa.
@hauleckhaule61587 жыл бұрын
poleni kaka Roma na wengine imeandikwa katka Injili takatifu Kheri yao wale wateteaji haki kwa maana hao ni wataurith ufalme wa mungu.
@chokambaya4687 жыл бұрын
na akimjua nani atafanya nini mbona hasemi nyau we
@ernestjohanes90877 жыл бұрын
nimewapenda vyombo vya habari
@graciousjerry13227 жыл бұрын
hii inshu sio ya ku comment chochote iyache tu ipite iende zake
@kilelgilbert91837 жыл бұрын
Kwnza nawpa pol wenztuuu kwa waliyoypta, inauuma xnaa kW kiongoziii wa kutegemewa kukaatishaaa mahojianoo ya wanchiiii badalaa ya kufafnaua vzriii, ila Millard asantee wa kutusogezea hbariii, mungu akujalie zaidii ktka kazii ya mikono yakoo.
@mbmussa_fashionstyle98247 жыл бұрын
shukulAni kwako MT anguvu kutupostia habali zote kali
@revocatusgervas30407 жыл бұрын
waandishi wa nchi hii ni viazi kabisa utadhani memkwa
@allymamlo28687 жыл бұрын
hivi huyo mdada anayeruhusu.maswal anamatatizo gan mbona anaboa sana!!
@misswinnie5427 жыл бұрын
Hapo umefata nini mwakyembe majibu utoi unaruka ruka tu kama bata iyo si fani yako rudi kwenye uwanasheria mwenye nafasi yake arudi nape nnauye
@chokambaya4687 жыл бұрын
uyo waziri alokuepo bora lingewekwa jiwe hana hata maana wanahusika wote ao yeye na ao mnowaamini yy kaja apo km kubabaisha tu fala uyo yeye na bashite
@kelvindeah3417 жыл бұрын
jaman vp mbona mwakyembe anakwepa maswali???yani mm hata cjamuwelewa kabsa
@abdideweezy34927 жыл бұрын
shukran sana ayoo tv
@isayambuba33357 жыл бұрын
mungu mkubwa
@andrewsadiki99147 жыл бұрын
Gud staff Ayoo bless u bruv
@emmanuelnyansiro86367 жыл бұрын
hilo Limwakembe kama limetumwa kumzuia Roma asiongee ukweli
@heavenonearthchannel37487 жыл бұрын
nchi imekuwa ya kipumbavu had I roho inauma
@vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын
Pole sana. Keep doing it bro. Peace.
@bigdad18167 жыл бұрын
whoo this is a joke what? this is a movie kabisa waziri anataka nini ili swala ni la waziri wa mambo ya ndani na si waziri wa michezo na habari kweli leo nimeamini hii serilkali inachezea WaTanzania kabisa.
@vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын
Waandishi wa Habari tabia gani hizi? I didnt expect such kwa watu kama nyinyi. Peace.
@curiositygenius92077 жыл бұрын
Swali la kujiuliza ni swala la Bashite (makonda) lile la kuvamia kituo cha clous fm limeishia wapi ndio tuunganishe na hili la roma sio kuruka ruka kupoteza boya
@emmanuelnicholaus87957 жыл бұрын
yaaan kuna mijitu mingine yanamajina mazurii ila hayana aminiii kabisaa
@monicamabula74207 жыл бұрын
kazi nzuri millardayo
@samwelintandu7907 жыл бұрын
poleni sana
@abelmachunda94947 жыл бұрын
mwakyembe daaah ... haukua hivi..! Roma pole subiri hukumu ya nani amfunge paka kengere
@josephtarimo78427 жыл бұрын
bashite majambazi wote hanawajuha hanao tumia risasi kwanini wametumwa hao na bashite mkuu wakoa haondoke kama hitatokea tena
@markomushi14657 жыл бұрын
pole sana kk
@carrenkapia39217 жыл бұрын
mwakyembe jmn mbona skuelewi! pole sana Roma na wenzio
@marychacha8257 жыл бұрын
naona tu case study sijui ni research hii! tena ya madawa ya kulevya kuisha kazi Sana!
@saulomathayo7 жыл бұрын
Ukifuatilia kauli za mwakyembe kwa umakin utagundua serikali imehusika kwa 100%. Kwel usalama wao ni mdogo sana, ndo maana hakusema kila kitu. Cc sote ni wafungwa hapa Tanzania, hatuna haki, mda wowote tunaweza kufanyiwa chochote. Mungu tu ndo atatunusuru na hili.
@sharondivine27977 жыл бұрын
waandishi rudini shule
@IbrahimMwakikoti7 жыл бұрын
Huyo dada mpuuzi hapo mbele nae K tu
@janetcharles49917 жыл бұрын
hahahahaha duuuuh,, ama kwl mwakyembe ni bashite mwngine
@lovelyheaven20277 жыл бұрын
Yaani waandishi wa Habari wa Tanzania ni mashabiki wa siasa kabisa!!Maswali mengi si ya kitaaluma ni kumkandamiza mtu fulani bahati wamkemkuta waziri ni mtaalamu si wa kukurupuka!! Wengi wanataka majibu ya kile wanachoamini!! #Tanzaniayetu
@sifatiiman Жыл бұрын
huna akili wewe vitu viko wazi
@BarakaWaya7 жыл бұрын
Roma kaongea nini sasa! daaah
@yusuphsamwel79497 жыл бұрын
NamkumbukaNape, kunaviongozi wengine wanareta mambo ya bashite
@issasaidi10197 жыл бұрын
ilizoea kumshika masikio nape huyu hataki maneno Ya kusikia hapo amesikiliza akasema niwape imani mpak jpili watakuwa wamepatikana sasa hakusema nilazima watakuwa wamepatikana mtu akisema niwape imani anawapa moyo wananchi kama mkuu wa ulizi na usalama mkoa wa dar yani nyinyi wandishi wa habar mnatakiwa mbadilike
@monicamabula74207 жыл бұрын
pole sana loma
@erickthobias48387 жыл бұрын
Mazee kazingua,stori nyiiingi wakati watu wanataka kujua nn kilitokea!
@tracyjustice16007 жыл бұрын
Poleni sana kina Roma, wako traumatized kwa kweli, huyu mwanamke ni nani? ana kera sana na hayupo professional kwenye kazi yake kama kanywa maji ya chooni
@killerbona50187 жыл бұрын
Hivi kulikuwa na haja gani ya Mwakyembe kuja??? Japo kajitolea haimanishi kila swali alikimbie Kama asingetaka kuulizwa maswali kaja kufanya nn hapa bado hatujapata waziri wa Sanaa, habari na Michezo Mh. afanye uteuzi mwingine 2
@dr.abdinassir68077 жыл бұрын
@Milard Ayo ndugu mwisho sjui ulichomoa mick sjui, video imefoka sanaa daah #umeniumiza_sana_maskio
@allymapinda88047 жыл бұрын
Hawa waandishi wa habari ni kama watt wa chekechea! wangefanya kwamba maswali yangeandikwa na kujulikana idadi then.
@jerrudon96387 жыл бұрын
Kuanzia Leo sitasikiliza nyimbo ya Roma tena.na sina sababu ya msingi nimeamua tu
@sifatiiman Жыл бұрын
kuma la mamako kwendaaaaaaa malaya mbwa wewe
@methuselayusto51147 жыл бұрын
I would suggest the victims to access psychological counselling to foster resilience ( one among mentioned to have nightmares that may develop to mental Heath problems if not dealt). May Almighty God protect you.