Namkumbuka sana Ruge mpaka leo. Sikuweza kushiriki kwenye Msiba wake kwa sababu na mimi nilukuwa bado kwenye majonzi ya kuondekewa na Binti yangu aliyefariki ghafla sana! Niliongea naye Ijumaa nikamwambia Jumatatu ningempelekea mboga za majani alizokuwa ameniomba, Jumapili jioni nilipigiwa simu kwamba amedondoka Parokiani Kanisa la Mtakatifu Maximilian Korbe Mwenge, na kupoteza maisha. Kifo cha Ruge kilizidi kuniumiza sana kwa sababu niliona ni jinsi gani Wazazi tunaumia kuwapoteza Wapendwa wetu. May The Almighty God Rest their Souls in eternal Peace.
@allenstian37193 жыл бұрын
Binafsi naiaminia sana THT kila siku nilikuwa nasema lzm niingie THT nionane na ruge japo tu kuonana😢