Ebwana kazi nzuri ❤❤❤❤❤ nawapa ongera 🇨🇩nawafuata kutoka kongo
@AliMahmoud-p7o8 ай бұрын
Mupo vzr sana vjana mnaelimisha sana
@HamisiNanyata9 ай бұрын
Hawa jamaa wanaongea ukwel sana, wanafurahisha na pia nimegundua wanatia huzuni muda huo huo. Ila yote kwa yote hongeren sana ndg zangu, Allah awabarik katika kaz zenu.❤❤❤
@jamesmusyoka14479 ай бұрын
mimi ni mkenya lakini napenda hawa watu nliwaona mwaka jana nikiwa apo chalinze
@CLINTONMAGETO-do4ce8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ati ndizi😂😂😂😂 waaaah, kazi safi
@Chum.user-di7jg2rn2q9 ай бұрын
Ukweli tupu❤❤❤❤❤❤❤❤!! Wanawake moto wa kuotea mbali
@ValenjiEnock9 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@misifaskills7459 ай бұрын
Sawa nmeelewa hapo kwa Kazimoto tabata segerea
@SaimonBishanga-uq7qz9 ай бұрын
Bana bana nimekutana nao ndo wenyewe
@AbdallaMwagora-sm1rj9 ай бұрын
Hawa jamaa mm nawakubali saana .na wanafaa tuwaunge mkono ,ili waendelee kutupa barudani.
@tmbashujaaosama38109 ай бұрын
Kweli u Cuba ni muhimu eti tulia njia nyembamba mara anakamiza GIA box kumbe kichwa Cha mkewe anamwambia tulia Niko MLA ndizi kuna mlima hahaaa. Kwa nn MLA ndizi?
@JumanneKAHAMBANSHASHAАй бұрын
Elimu bure endeleeni kuwapa erm wasio na erim nawashukuru sana 😅
@yunisluvanga42119 ай бұрын
Wapo vzuuri saaaana Hawa watu barahaaa mnachekesha saaaana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika9 ай бұрын
Balaa tupu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda.. poleni.
@YoungsHilary-xd2ml9 ай бұрын
Kweli kabsa kupambana ,ni kusonga mbele
@RamadhaniKaholi-os3tn9 ай бұрын
Mpo vizuri mtafika mbali ,,,mnatoa stress
@emmanuelkaindo98999 ай бұрын
Hongeren sana
@Mojabo-l8u9 ай бұрын
Kazi nzuli 😂😂😂😂
@imanuelnguya92779 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah mbaka naulizwa na mwenzangu unacheka nini 😂😂😂 sensa kaesabiwa
@labionmtinginji42819 ай бұрын
Anabandika nywere juuu ya nywere kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rahmamamy40349 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mnaniacha hoi
@riverjoshua81419 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimewapta sasa
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
Kwani hawa ndio wale DOKTA MJUSI na PROFESA KAZI !?. Walisumbua sana enzi zetu tukiwa watoto 😂😂😂
@officialdinaize9 ай бұрын
Sio
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@officialdinaize kama siyo wenyewe basi wamewaiga wale jamaa ndio waanzilishi
@sadinimtinangi-zt4pv9 ай бұрын
Yaan lazima ucheke kishamba 😅😅😅😅😅
@emmanuelmichael97649 ай бұрын
naomba namba ya hawa ndugu
@johndionice28994 ай бұрын
Andrea
@aminaomary55679 ай бұрын
Mko juu ndugu zangu❤❤❤
@kamtafuteTena019 ай бұрын
Nouma sana hawa jamaaa❤❤❤😂😂😂😂
@StaphodKassim-t7i9 ай бұрын
Nakubali sana mungu awazidishie
@jamesmusyoka14479 ай бұрын
kama kuna mtu ako apo chalinze kwa petrol station yenye inaitwa (ngamila station) tafathali nijulishe nikutume salam nimerudi niko kwetu kenya
@mbwelamedia34699 ай бұрын
Kuna vipaji vimejificha mtaani shida wenye nafasi hawataki warithi
@xaverykihwili5779 ай бұрын
😅kikubwa kukubaliwa na watu
@batoolmwajuma30009 ай бұрын
😂😂😂😂,ety tukaweke wapi rooh zetu uwiiiiiii
@RujainahOmary-bq2ru9 ай бұрын
Ety mimi sio mgonjwa mimi mwizi niweke ndani Unahisi bonge angemfanya nn
@OmaryMwaropa-dy3no9 ай бұрын
Angeenda mla
@Mc_Chabala9 ай бұрын
Mafuta
@AmliHamdani9 ай бұрын
Vizuri sana wazee mkovizuri munguawatangulie sana
@JumanneKAHAMBANSHASHAАй бұрын
Mna gusa penyewe ❤
@eliamtinda72229 ай бұрын
Big up!
@saidAlfani-c2m9 ай бұрын
Kongole brothers
@jovinmancomedytz9 ай бұрын
Tanzania tunavipaji wengi sana jamani Mungu awabariki mnaweza
@RashidKamana9 ай бұрын
Mnawenz 😂
@peternyambo14399 ай бұрын
97 SHULE YA UHURU, BADO WADOGO NOW DAYS WAMEZEKA AISEE
@SamoraDavid9 ай бұрын
Hawamiliki account za mtandaoni niwe nawasikiliza nawapenda❤❤
@charlesmakuri7929 ай бұрын
Hii collaboration nzuri
@peteromukule50125 ай бұрын
Wazee ni wajasiri sana hao
@sawackoswald93229 ай бұрын
Tanzania tuna talent kibao nivile hazijitokezi hadharan
@salumsalumrobert9 ай бұрын
Hatari sana the brack
@aimableassumani23409 ай бұрын
Hawa jamaa wamenifurahisha 😂
@faudhiasaidi36699 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣pyende kyukyu
@RizikiMwinami6 ай бұрын
TikTok wanatumia jinagani hawajamaa
@SurprisedDachshund-rc2fw9 ай бұрын
Tunataka mapya sio yayare
@KulekatsengeHaruni-sb6qc9 ай бұрын
😂😂😂😂😂heee iyi nikali
@BraitonMwavali19 күн бұрын
😂 aaaa!
@rosetreffert41799 ай бұрын
Safi Sana 🎉🎉
@isackkidaso90309 ай бұрын
Ssfi sana
@erickabel62019 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Mojabo-l8u9 ай бұрын
😂😂❤❤❤🎉🎉
@matembatony92879 ай бұрын
Mende wingi twende maana yake twende tutarudi tena siku nyingine!
@damianmcba95259 ай бұрын
Turia mlandizi kuna mlima,,,,laziwe uwe wa Cuba ndio uelewe