CHEKA TU VUNJA MBAVU NA WAZEE WALIOSHINDIKANA KWA COMEDY (BLACK SANAA)

  Рет қаралды 209,179

S500 TV

S500 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 76
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 9 ай бұрын
Ebwana kazi nzuri ❤❤❤❤❤ nawapa ongera 🇨🇩nawafuata kutoka kongo
@AliMahmoud-p7o
@AliMahmoud-p7o 8 ай бұрын
Mupo vzr sana vjana mnaelimisha sana
@HamisiNanyata
@HamisiNanyata 9 ай бұрын
Hawa jamaa wanaongea ukwel sana, wanafurahisha na pia nimegundua wanatia huzuni muda huo huo. Ila yote kwa yote hongeren sana ndg zangu, Allah awabarik katika kaz zenu.❤❤❤
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 9 ай бұрын
mimi ni mkenya lakini napenda hawa watu nliwaona mwaka jana nikiwa apo chalinze
@CLINTONMAGETO-do4ce
@CLINTONMAGETO-do4ce 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ati ndizi😂😂😂😂 waaaah, kazi safi
@Chum.user-di7jg2rn2q
@Chum.user-di7jg2rn2q 9 ай бұрын
Ukweli tupu❤❤❤❤❤❤❤❤!! Wanawake moto wa kuotea mbali
@ValenjiEnock
@ValenjiEnock 9 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@misifaskills745
@misifaskills745 9 ай бұрын
Sawa nmeelewa hapo kwa Kazimoto tabata segerea
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 9 ай бұрын
Bana bana nimekutana nao ndo wenyewe
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 9 ай бұрын
Hawa jamaa mm nawakubali saana .na wanafaa tuwaunge mkono ,ili waendelee kutupa barudani.
@tmbashujaaosama3810
@tmbashujaaosama3810 9 ай бұрын
Kweli u Cuba ni muhimu eti tulia njia nyembamba mara anakamiza GIA box kumbe kichwa Cha mkewe anamwambia tulia Niko MLA ndizi kuna mlima hahaaa. Kwa nn MLA ndizi?
@JumanneKAHAMBANSHASHA
@JumanneKAHAMBANSHASHA Ай бұрын
Elimu bure endeleeni kuwapa erm wasio na erim nawashukuru sana 😅
@yunisluvanga4211
@yunisluvanga4211 9 ай бұрын
Wapo vzuuri saaaana Hawa watu barahaaa mnachekesha saaaana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 9 ай бұрын
Balaa tupu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda.. poleni.
@YoungsHilary-xd2ml
@YoungsHilary-xd2ml 9 ай бұрын
Kweli kabsa kupambana ,ni kusonga mbele
@RamadhaniKaholi-os3tn
@RamadhaniKaholi-os3tn 9 ай бұрын
Mpo vizuri mtafika mbali ,,,mnatoa stress
@emmanuelkaindo9899
@emmanuelkaindo9899 9 ай бұрын
Hongeren sana
@Mojabo-l8u
@Mojabo-l8u 9 ай бұрын
Kazi nzuli 😂😂😂😂
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 9 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah mbaka naulizwa na mwenzangu unacheka nini 😂😂😂 sensa kaesabiwa
@labionmtinginji4281
@labionmtinginji4281 9 ай бұрын
Anabandika nywere juuu ya nywere kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rahmamamy4034
@rahmamamy4034 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mnaniacha hoi
@riverjoshua8141
@riverjoshua8141 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimewapta sasa
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 9 ай бұрын
Kwani hawa ndio wale DOKTA MJUSI na PROFESA KAZI !?. Walisumbua sana enzi zetu tukiwa watoto 😂😂😂
@officialdinaize
@officialdinaize 9 ай бұрын
Sio
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 9 ай бұрын
@@officialdinaize kama siyo wenyewe basi wamewaiga wale jamaa ndio waanzilishi
@sadinimtinangi-zt4pv
@sadinimtinangi-zt4pv 9 ай бұрын
Yaan lazima ucheke kishamba 😅😅😅😅😅
@emmanuelmichael9764
@emmanuelmichael9764 9 ай бұрын
naomba namba ya hawa ndugu
@johndionice2899
@johndionice2899 4 ай бұрын
Andrea
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 ай бұрын
Mko juu ndugu zangu❤❤❤
@kamtafuteTena01
@kamtafuteTena01 9 ай бұрын
Nouma sana hawa jamaaa❤❤❤😂😂😂😂
@StaphodKassim-t7i
@StaphodKassim-t7i 9 ай бұрын
Nakubali sana mungu awazidishie
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 9 ай бұрын
kama kuna mtu ako apo chalinze kwa petrol station yenye inaitwa (ngamila station) tafathali nijulishe nikutume salam nimerudi niko kwetu kenya
@mbwelamedia3469
@mbwelamedia3469 9 ай бұрын
Kuna vipaji vimejificha mtaani shida wenye nafasi hawataki warithi
@xaverykihwili577
@xaverykihwili577 9 ай бұрын
😅kikubwa kukubaliwa na watu
@batoolmwajuma3000
@batoolmwajuma3000 9 ай бұрын
😂😂😂😂,ety tukaweke wapi rooh zetu uwiiiiiii
@RujainahOmary-bq2ru
@RujainahOmary-bq2ru 9 ай бұрын
Ety mimi sio mgonjwa mimi mwizi niweke ndani Unahisi bonge angemfanya nn
@OmaryMwaropa-dy3no
@OmaryMwaropa-dy3no 9 ай бұрын
Angeenda mla
@Mc_Chabala
@Mc_Chabala 9 ай бұрын
Mafuta
@AmliHamdani
@AmliHamdani 9 ай бұрын
Vizuri sana wazee mkovizuri munguawatangulie sana
@JumanneKAHAMBANSHASHA
@JumanneKAHAMBANSHASHA Ай бұрын
Mna gusa penyewe ❤
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 9 ай бұрын
Big up!
@saidAlfani-c2m
@saidAlfani-c2m 9 ай бұрын
Kongole brothers
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 9 ай бұрын
Tanzania tunavipaji wengi sana jamani Mungu awabariki mnaweza
@RashidKamana
@RashidKamana 9 ай бұрын
Mnawenz 😂
@peternyambo1439
@peternyambo1439 9 ай бұрын
97 SHULE YA UHURU, BADO WADOGO NOW DAYS WAMEZEKA AISEE
@SamoraDavid
@SamoraDavid 9 ай бұрын
Hawamiliki account za mtandaoni niwe nawasikiliza nawapenda❤❤
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 9 ай бұрын
Hii collaboration nzuri
@peteromukule5012
@peteromukule5012 5 ай бұрын
Wazee ni wajasiri sana hao
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 9 ай бұрын
Tanzania tuna talent kibao nivile hazijitokezi hadharan
@salumsalumrobert
@salumsalumrobert 9 ай бұрын
Hatari sana the brack
@aimableassumani2340
@aimableassumani2340 9 ай бұрын
Hawa jamaa wamenifurahisha 😂
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣pyende kyukyu
@RizikiMwinami
@RizikiMwinami 6 ай бұрын
TikTok wanatumia jinagani hawajamaa
@SurprisedDachshund-rc2fw
@SurprisedDachshund-rc2fw 9 ай бұрын
Tunataka mapya sio yayare
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂heee iyi nikali
@BraitonMwavali
@BraitonMwavali 19 күн бұрын
😂 aaaa!
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 9 ай бұрын
Safi Sana 🎉🎉
@isackkidaso9030
@isackkidaso9030 9 ай бұрын
Ssfi sana
@erickabel6201
@erickabel6201 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Mojabo-l8u
@Mojabo-l8u 9 ай бұрын
😂😂❤❤❤🎉🎉
@matembatony9287
@matembatony9287 9 ай бұрын
Mende wingi twende maana yake twende tutarudi tena siku nyingine!
@damianmcba9525
@damianmcba9525 9 ай бұрын
Turia mlandizi kuna mlima,,,,laziwe uwe wa Cuba ndio uelewe
@GodianBuliba
@GodianBuliba 9 ай бұрын
Asante
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 9 ай бұрын
Kakaeee Hawa ndo wenyewe
@PiliMikole
@PiliMikole 9 ай бұрын
😂😅😂
@salama1113
@salama1113 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@HassaniMahamudi-k6w
@HassaniMahamudi-k6w 9 ай бұрын
😅😅😅😅
@MuhammedSinga
@MuhammedSinga 9 ай бұрын
🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
@mossesmichaelnzowa3378
@mossesmichaelnzowa3378 9 ай бұрын
Kazi nzuri hii.
@ValenjiEnock
@ValenjiEnock 9 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 9 ай бұрын
😂😂😂
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it 9 ай бұрын
😁😁🤣🤣🤣
@ValenjiEnock
@ValenjiEnock 9 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@donkaloza6985
@donkaloza6985 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
AFYA COMEDY
Рет қаралды 681 М.
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 14 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
SENGA NA PEMBE KWENYE CHEKA TU
12:19
Cheka tu
Рет қаралды 1,3 МЛН
MTANGA NA BAMBO ,WAUZA MISHKAKI YA NYAU ,HII KIBOKO KABISA
6:38
MTANGA COMEDY TZ
Рет қаралды 685 М.
MWANAFUNZI MTUKUTU (PART 2)
15:24
Steve Mweusi
Рет қаралды 2,7 МЛН
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
CHEKESHA TV
Рет қаралды 241 М.