Ahsante sana Mr kwatuzinduwa maana nilikuwa mwanzo sijui ila sasa nishajuwa ubarikiwe kaka Joel Arthur Nanauka
@Damas-s5l16 күн бұрын
Hakika wew ni genius,ulistahili kabisa kuwa the best students,God bless u
@AllyPeter-f8z3 ай бұрын
Asante sana napata elimu kupitia mafundisho yako
@joelrugembe3983 ай бұрын
Nilianza kuweka akiba baada ya kufuatilia mafundisho yako barikiwe sana
@amanjeremiah3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi,umenisaidia sana kubadili fikra zangu kifedha.
@irenemakuta171918 күн бұрын
Kila ninapokusikiliza natamani kuendelea na next topic.Mungu akubariki sana na akufunulie mengi zaidi Kwa faida ya wote.Amina
@SelemaniMlekwa3 ай бұрын
Naongezeka sana kujielewa kupitia ww mungu akutangulie kwani wengi wetu hatu kufanikiwa kupitia hapo lakin kupitia mafundisho yako naamini kwangu mm nitafauru
@IBRAHIMMLOKOTE-v4c3 ай бұрын
Barikiwwa mtumishi wa Mungu
@JorasMasanja3 ай бұрын
Mm naitwa joras m nakuelewa sana mtumishi Mungu akubariki
@BargainPetrolshop3 ай бұрын
Mungu akubariki mtume kwamafundisho yako
@Malupexx23 ай бұрын
Ubarikiwe en mtumishi.
@davidarsen23923 ай бұрын
Amina mtu wa Mungu Nanauka navutiwa sana na ww na elimu yako pia I can reach there one day
@pallangyofamily2 ай бұрын
Barikiwa kaka
@VeronicaYenga28 күн бұрын
Shukrani. sana,
@demelody59283 ай бұрын
Nakukubali kaka.
@ezronkibirizi36156 күн бұрын
Asante sana
@hildamushashu50562 ай бұрын
Uko sahihi kabisa,amen.
@BargainPetrolshop3 ай бұрын
Vijana wengi tunaogopa kuanza upya maisha kwajiri tunaogopa watatuonaje watu
@JoyceHaule-o8c3 ай бұрын
Natamani haya maneno ningeyasikia miaka 30 iliyopita nayapata uzeeni kuna mengine nilishachelewa
@SaraM-m1d26 күн бұрын
Nime jifunze mambo mengi san mdogo wangu
@OfserGege2 ай бұрын
Mustafa shomali nimekuelewa kaka
@MarcoPeter-y5n3 ай бұрын
Amen
@ExaudiMbilinyi2 ай бұрын
Ni mhimu kujua mwanzo mpya unavyoanza
@amonmethod3 ай бұрын
Good in deed
@everliute13043 ай бұрын
Nikweri wengi tunaogopa kuanza maisha mapya
@jacksonaristarick56013 ай бұрын
Great speech
@ElArjunPrince3 ай бұрын
Ni kweli mtumishi😂
@miriambethuel88923 ай бұрын
Very True❤
@Calvinswai-q9x3 ай бұрын
AMEEN
@aderiderkihupi72403 ай бұрын
🙏🙌👏
@DatusDastan3 ай бұрын
Asant
@neemangoda19913 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI ASANTE
@rajabuabasi-s2k3 ай бұрын
❤️🙏🏼
@dannypeter49513 ай бұрын
Huyo ni Mimi
@emmanuelmadata3 ай бұрын
Hata mie nimeanza upya kwenye biashara yangu baada yakula hasara nimejipanga upya
@esthercheupe45293 ай бұрын
umeanza upya ndugu yangu mm nimefunga biashara tangu mwezi wa 8 nashindwa kuwaza naanzaje