Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
Пікірлер: 148
@hawahamza108513 күн бұрын
Good lesson❤Mungu akubarik na akusimamie bali pamoja na jitihada zako Mungu kakupa kipaji pia Mashaallah
@rehefehe88906 ай бұрын
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
@rehemamlawa693723 күн бұрын
Asante sana kwa darasa
@shukranjulius95266 ай бұрын
Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel
@AwadhAdam-j5f4 ай бұрын
Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza
@bazompolaphilbert6 ай бұрын
Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.
@Faridahmoraa-gw9ewАй бұрын
Mm nina marafiki wabaya kweli maisha nikukunywa pombe ata kazi niliaja nifanye aje nimeangaka sahii cjui nifanye nn😢
@bernadetachari76485 ай бұрын
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
@SarahTsuma-g3r5 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@pulcheriamayombo57802 ай бұрын
Asante kwa somo zuri nifanyeje kutimiza malengo yangu?
@EmmanuelMaziku-vp6mq4 ай бұрын
So great 👍
@nurujuma69125 ай бұрын
Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww
@BreckmasBaraka-zx1gb4 ай бұрын
Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine
@hamasikatv3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@abuubakarsalami3 ай бұрын
I learn many different things about you
@hamasikatv3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@MartinsDimbanda4 ай бұрын
Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿
@UnjuKhan-wq5rj4 ай бұрын
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
@realemma23123 ай бұрын
Napata nguvu sana kila nikikusikiliza
@AnnaMagembe-uv5el5 ай бұрын
Hata bhana
@veliuspaschal-wj7ev4 ай бұрын
mungu akubariki kaka
@mpazijuma9625 ай бұрын
Good
@josephtesha8726 ай бұрын
Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏
@francisndabila11195 ай бұрын
Nakubali joel Nanauka
@ZainabuRamadhan-p1z5 ай бұрын
Nimekueerewa sanna kaka mungu akulinde
@directorpatron69952 ай бұрын
kaka unatufunza mengi
@NeemaMashauri-s3u6 ай бұрын
Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health
@NickolausHappy5 ай бұрын
Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe
@husseinmramba6 ай бұрын
Hiyo document au pdf unayodisplay kwenye video inayoelezea 7 areas of life nitaipata wapi? Nilikua nina shida nayo..
@mohamedlegacy2555 ай бұрын
Nahisi ukienda pinterest uka search utaipata.
@optatusduqangw10715 ай бұрын
Screen shot alafu ugoogle KZbin kawaida
@geniusboy33302 ай бұрын
tuma whtsp namba nikutumie
@SwedyMohamed-vt5zm3 ай бұрын
Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.
@lovemusicnoreen91853 ай бұрын
Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download
@kennedyiganja64852 ай бұрын
😂😂Au sio umeshidwa
@Mr.Queentz2 ай бұрын
Nime kunywa chai nime shiba nianze laumu watu sasa😂😂😂😂 mm marafiki zangu kila siku wana shida ila mm nikiwa na shida hawana wanaanza kuelewa zao nanikisema niwakope aisee awalipi Hadi tutombane aisee😂😂😂 Hawa watu
@hamilcharles68305 ай бұрын
MaashaaAllah
@Faridahmoraa-gw9ewАй бұрын
Mungu nisaidie kwakupitia maombi ya Joel Mungu akubaliki niukueli kuna lafiki yangu analia lia kilaa saa namm kweli nimekua nashida sanaa adi sina ata kazi nisaidie aki❤
@Hopestanley5654 ай бұрын
Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana
@RafaelHarubu5 ай бұрын
Thanks bro for ur inspiration ❤
@rehemamallya11362 ай бұрын
nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.
@GeofreyLameck-g3q18 күн бұрын
Ndugu unatuelimisha sana tunakushukulu Kwa ushaul wako
@shukranjulius95266 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@ElishaMwasenga-r6j2 ай бұрын
Asante
@Kablizasekanabo13 күн бұрын
Unasema ukweli kabisa. Unakopeswa hela kila wakati na watu.
@rabanphotostudionyakanazi_41155 ай бұрын
Jamani,Asante
@NestroySeme3 ай бұрын
Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema
@festodaudi64785 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@IbrahimuSpriano3 ай бұрын
Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur
@ElizabethHamidu4 ай бұрын
Vitabu vyako vinapatikana kwa mfumo gani na mkoa upi?
@TumainiMsumba-el3oe5 ай бұрын
Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo
@Kablizasekanabo13 күн бұрын
Mimi nakopeshwa hela na watu sana tena sana.
@festomatiku26113 ай бұрын
ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.
@rehemadaudi43905 ай бұрын
Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu
@magretharcard45316 ай бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha
@IhoyeShushu5 ай бұрын
Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha
@sifuniilomo-om8hp17 күн бұрын
❤vitabu vyako tunavipate
@ElizabethHamidu4 ай бұрын
Kaka ubarikiwe kwa darasa lako
@FelicianFrank4 ай бұрын
By Joel Nanauka
@Dafetty4 ай бұрын
Asante sana brother God bless you
@kuruthumukondo71492 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@SalumuSaid-vq2kp4 ай бұрын
pa1 sana mkuu
@alexandercamili72755 ай бұрын
Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana
@edithavalelian2566 ай бұрын
Barikiwa sana Kaka
@shukranjulius95266 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@IsayaMilya5 ай бұрын
Mungu awe na we thank
@aderiderkihupi72406 ай бұрын
Barikiwa
@wilsonMollel-r4f4 ай бұрын
Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.
@SylvesterJoel-h3yАй бұрын
Great✌
@LeahELias-x8w5 ай бұрын
Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏
@husseinmgoo30744 ай бұрын
Ok
@emmanueltangale25875 ай бұрын
Comrade Joel hongera sana
@jacquelinemwacha77842 ай бұрын
Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼
@CristinaPedro-tv6qm4 ай бұрын
Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.
@medisonburianraismakufurip7591Ай бұрын
ubarikiwe
@TUMAINIMWILILA3 ай бұрын
Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.
@realemma23123 ай бұрын
Pambana usikate tamaa
@frankbubahe26 күн бұрын
Mafanikio ni process
@SamweliDaudi-r4l5 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@DANIELSARAKIKYA-o6nАй бұрын
MUNGU Akubariki sana, HUU Ni ukweli Kabisa uliopo kwenye jamii yetu na Maisha yetu🙏 🙌
@yusteriddy4 ай бұрын
Uyo ndio Joel Nanauka
@charlesmtatiro85344 ай бұрын
Asanteee kaka
@javanskiti59116 ай бұрын
🙏🙏
@RobatiMwambakale-jm5lj4 ай бұрын
Yani naona umenigusa sanaaa
@MunguMwema-m4l4 ай бұрын
Duuuu hii nikweli aisee
@AlbertGau-k7u3 ай бұрын
Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾
@DonardTomas4 ай бұрын
Asant sana Joel nanauka
@BimmangaHemed4 ай бұрын
Uko sahihi sana kijana
@shekhaahmed39614 ай бұрын
Ahsante sana
@IsakaJackson-uc9jj4 ай бұрын
Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥
@StanleyMatembo-wj8rz4 ай бұрын
Mungu akubariki kwa helimu yako
@CheusiMshani4 ай бұрын
Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med
@mathiasdickson5224 ай бұрын
❤
@BimmangaHemed4 ай бұрын
Ninge pata mwalimu Kama ww ningepata Manisha nikiwa primary nikifika sekundary tayari Ni bilonia
@fadhilamour8364 ай бұрын
Hata saiv hujachelewa
@EnockKibona-x9z3 ай бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote
@MartinSokoni4 ай бұрын
🙏
@veronicawilsonmbwambo10543 ай бұрын
Umenibariki sana
@abidandastanmaliyatabu13734 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
@TeopistaHaule5 ай бұрын
Exactly
@adolphishengoma74963 ай бұрын
💯 ✅
@JamesMnyambwa-n2bАй бұрын
Mungu akupe miaka mingi sana ya kuishi hotuba zako nzuri
@dolamussa87495 ай бұрын
Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana
@sadickhassan87642 ай бұрын
🔥🔥
@beatricemwamini20444 ай бұрын
Amen.
@AnithaRiwa5 ай бұрын
Wa kwanza n wewe
@FelicianFrank4 ай бұрын
You tube -mambo 7 ya kuzingatia ili kendelea
@veronicawilsonmbwambo10543 ай бұрын
Barikiwa san 🔥🔥
@tunumigila89956 ай бұрын
Thank you
@paschalpaul38624 ай бұрын
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.