Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

  Рет қаралды 112,734

Hamasika Tv

Hamasika Tv

Күн бұрын

Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

Пікірлер: 148
@hawahamza1085
@hawahamza1085 13 күн бұрын
Good lesson❤Mungu akubarik na akusimamie bali pamoja na jitihada zako Mungu kakupa kipaji pia Mashaallah
@rehefehe8890
@rehefehe8890 6 ай бұрын
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
@rehemamlawa6937
@rehemamlawa6937 23 күн бұрын
Asante sana kwa darasa
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 ай бұрын
Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel
@AwadhAdam-j5f
@AwadhAdam-j5f 4 ай бұрын
Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza
@bazompolaphilbert
@bazompolaphilbert 6 ай бұрын
Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.
@Faridahmoraa-gw9ew
@Faridahmoraa-gw9ew Ай бұрын
Mm nina marafiki wabaya kweli maisha nikukunywa pombe ata kazi niliaja nifanye aje nimeangaka sahii cjui nifanye nn😢
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 5 ай бұрын
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
@SarahTsuma-g3r
@SarahTsuma-g3r 5 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@pulcheriamayombo5780
@pulcheriamayombo5780 2 ай бұрын
Asante kwa somo zuri nifanyeje kutimiza malengo yangu?
@EmmanuelMaziku-vp6mq
@EmmanuelMaziku-vp6mq 4 ай бұрын
So great 👍
@nurujuma6912
@nurujuma6912 5 ай бұрын
Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww
@BreckmasBaraka-zx1gb
@BreckmasBaraka-zx1gb 4 ай бұрын
Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine
@hamasikatv
@hamasikatv 3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@abuubakarsalami
@abuubakarsalami 3 ай бұрын
I learn many different things about you
@hamasikatv
@hamasikatv 3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@MartinsDimbanda
@MartinsDimbanda 4 ай бұрын
Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿
@UnjuKhan-wq5rj
@UnjuKhan-wq5rj 4 ай бұрын
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
@realemma2312
@realemma2312 3 ай бұрын
Napata nguvu sana kila nikikusikiliza
@AnnaMagembe-uv5el
@AnnaMagembe-uv5el 5 ай бұрын
Hata bhana
@veliuspaschal-wj7ev
@veliuspaschal-wj7ev 4 ай бұрын
mungu akubariki kaka
@mpazijuma962
@mpazijuma962 5 ай бұрын
Good
@josephtesha872
@josephtesha872 6 ай бұрын
Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏
@francisndabila1119
@francisndabila1119 5 ай бұрын
Nakubali joel Nanauka
@ZainabuRamadhan-p1z
@ZainabuRamadhan-p1z 5 ай бұрын
Nimekueerewa sanna kaka mungu akulinde
@directorpatron6995
@directorpatron6995 2 ай бұрын
kaka unatufunza mengi
@NeemaMashauri-s3u
@NeemaMashauri-s3u 6 ай бұрын
Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health
@NickolausHappy
@NickolausHappy 5 ай бұрын
Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe
@husseinmramba
@husseinmramba 6 ай бұрын
Hiyo document au pdf unayodisplay kwenye video inayoelezea 7 areas of life nitaipata wapi? Nilikua nina shida nayo..
@mohamedlegacy255
@mohamedlegacy255 5 ай бұрын
Nahisi ukienda pinterest uka search utaipata.
@optatusduqangw1071
@optatusduqangw1071 5 ай бұрын
Screen shot alafu ugoogle KZbin kawaida
@geniusboy3330
@geniusboy3330 2 ай бұрын
tuma whtsp namba nikutumie
@SwedyMohamed-vt5zm
@SwedyMohamed-vt5zm 3 ай бұрын
Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 ай бұрын
Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download
@kennedyiganja6485
@kennedyiganja6485 2 ай бұрын
😂😂Au sio umeshidwa
@Mr.Queentz
@Mr.Queentz 2 ай бұрын
Nime kunywa chai nime shiba nianze laumu watu sasa😂😂😂😂 mm marafiki zangu kila siku wana shida ila mm nikiwa na shida hawana wanaanza kuelewa zao nanikisema niwakope aisee awalipi Hadi tutombane aisee😂😂😂 Hawa watu
@hamilcharles6830
@hamilcharles6830 5 ай бұрын
MaashaaAllah
@Faridahmoraa-gw9ew
@Faridahmoraa-gw9ew Ай бұрын
Mungu nisaidie kwakupitia maombi ya Joel Mungu akubaliki niukueli kuna lafiki yangu analia lia kilaa saa namm kweli nimekua nashida sanaa adi sina ata kazi nisaidie aki❤
@Hopestanley565
@Hopestanley565 4 ай бұрын
Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana
@RafaelHarubu
@RafaelHarubu 5 ай бұрын
Thanks bro for ur inspiration ❤
@rehemamallya1136
@rehemamallya1136 2 ай бұрын
nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.
@GeofreyLameck-g3q
@GeofreyLameck-g3q 18 күн бұрын
Ndugu unatuelimisha sana tunakushukulu Kwa ushaul wako
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@ElishaMwasenga-r6j
@ElishaMwasenga-r6j 2 ай бұрын
Asante
@Kablizasekanabo
@Kablizasekanabo 13 күн бұрын
Unasema ukweli kabisa. Unakopeswa hela kila wakati na watu.
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 5 ай бұрын
Jamani,Asante
@NestroySeme
@NestroySeme 3 ай бұрын
Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema
@festodaudi6478
@festodaudi6478 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@IbrahimuSpriano
@IbrahimuSpriano 3 ай бұрын
Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur
@ElizabethHamidu
@ElizabethHamidu 4 ай бұрын
Vitabu vyako vinapatikana kwa mfumo gani na mkoa upi?
@TumainiMsumba-el3oe
@TumainiMsumba-el3oe 5 ай бұрын
Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo
@Kablizasekanabo
@Kablizasekanabo 13 күн бұрын
Mimi nakopeshwa hela na watu sana tena sana.
@festomatiku2611
@festomatiku2611 3 ай бұрын
ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 5 ай бұрын
Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu
@magretharcard4531
@magretharcard4531 6 ай бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha
@IhoyeShushu
@IhoyeShushu 5 ай бұрын
Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha
@sifuniilomo-om8hp
@sifuniilomo-om8hp 17 күн бұрын
❤vitabu vyako tunavipate
@ElizabethHamidu
@ElizabethHamidu 4 ай бұрын
Kaka ubarikiwe kwa darasa lako
@FelicianFrank
@FelicianFrank 4 ай бұрын
By Joel Nanauka
@Dafetty
@Dafetty 4 ай бұрын
Asante sana brother God bless you
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 2 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@SalumuSaid-vq2kp
@SalumuSaid-vq2kp 4 ай бұрын
pa1 sana mkuu
@alexandercamili7275
@alexandercamili7275 5 ай бұрын
Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana
@edithavalelian256
@edithavalelian256 6 ай бұрын
Barikiwa sana Kaka
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@IsayaMilya
@IsayaMilya 5 ай бұрын
Mungu awe na we thank
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 6 ай бұрын
Barikiwa
@wilsonMollel-r4f
@wilsonMollel-r4f 4 ай бұрын
Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.
@SylvesterJoel-h3y
@SylvesterJoel-h3y Ай бұрын
Great✌
@LeahELias-x8w
@LeahELias-x8w 5 ай бұрын
Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏
@husseinmgoo3074
@husseinmgoo3074 4 ай бұрын
Ok
@emmanueltangale2587
@emmanueltangale2587 5 ай бұрын
Comrade Joel hongera sana
@jacquelinemwacha7784
@jacquelinemwacha7784 2 ай бұрын
Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼
@CristinaPedro-tv6qm
@CristinaPedro-tv6qm 4 ай бұрын
Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.
@medisonburianraismakufurip7591
@medisonburianraismakufurip7591 Ай бұрын
ubarikiwe
@TUMAINIMWILILA
@TUMAINIMWILILA 3 ай бұрын
Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.
@realemma2312
@realemma2312 3 ай бұрын
Pambana usikate tamaa
@frankbubahe
@frankbubahe 26 күн бұрын
Mafanikio ni process
@SamweliDaudi-r4l
@SamweliDaudi-r4l 5 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@DANIELSARAKIKYA-o6n
@DANIELSARAKIKYA-o6n Ай бұрын
MUNGU Akubariki sana, HUU Ni ukweli Kabisa uliopo kwenye jamii yetu na Maisha yetu🙏 🙌
@yusteriddy
@yusteriddy 4 ай бұрын
Uyo ndio Joel Nanauka
@charlesmtatiro8534
@charlesmtatiro8534 4 ай бұрын
Asanteee kaka
@javanskiti5911
@javanskiti5911 6 ай бұрын
🙏🙏
@RobatiMwambakale-jm5lj
@RobatiMwambakale-jm5lj 4 ай бұрын
Yani naona umenigusa sanaaa
@MunguMwema-m4l
@MunguMwema-m4l 4 ай бұрын
Duuuu hii nikweli aisee
@AlbertGau-k7u
@AlbertGau-k7u 3 ай бұрын
Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾
@DonardTomas
@DonardTomas 4 ай бұрын
Asant sana Joel nanauka
@BimmangaHemed
@BimmangaHemed 4 ай бұрын
Uko sahihi sana kijana
@shekhaahmed3961
@shekhaahmed3961 4 ай бұрын
Ahsante sana
@IsakaJackson-uc9jj
@IsakaJackson-uc9jj 4 ай бұрын
Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥
@StanleyMatembo-wj8rz
@StanleyMatembo-wj8rz 4 ай бұрын
Mungu akubariki kwa helimu yako
@CheusiMshani
@CheusiMshani 4 ай бұрын
Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med
@mathiasdickson522
@mathiasdickson522 4 ай бұрын
@BimmangaHemed
@BimmangaHemed 4 ай бұрын
Ninge pata mwalimu Kama ww ningepata Manisha nikiwa primary nikifika sekundary tayari Ni bilonia
@fadhilamour836
@fadhilamour836 4 ай бұрын
Hata saiv hujachelewa
@EnockKibona-x9z
@EnockKibona-x9z 3 ай бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote
@MartinSokoni
@MartinSokoni 4 ай бұрын
🙏
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 3 ай бұрын
Umenibariki sana
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 4 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
@TeopistaHaule
@TeopistaHaule 5 ай бұрын
Exactly
@adolphishengoma7496
@adolphishengoma7496 3 ай бұрын
💯 ✅
@JamesMnyambwa-n2b
@JamesMnyambwa-n2b Ай бұрын
Mungu akupe miaka mingi sana ya kuishi hotuba zako nzuri
@dolamussa8749
@dolamussa8749 5 ай бұрын
Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana
@sadickhassan8764
@sadickhassan8764 2 ай бұрын
🔥🔥
@beatricemwamini2044
@beatricemwamini2044 4 ай бұрын
Amen.
@AnithaRiwa
@AnithaRiwa 5 ай бұрын
Wa kwanza n wewe
@FelicianFrank
@FelicianFrank 4 ай бұрын
You tube -mambo 7 ya kuzingatia ili kendelea
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 3 ай бұрын
Barikiwa san 🔥🔥
@tunumigila8995
@tunumigila8995 6 ай бұрын
Thank you
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 4 ай бұрын
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.
@hamasikatv
@hamasikatv 3 ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 68 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,9 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
SIFA 10 ZA WATU WANAOFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
17:59
Victor Mwambene
Рет қаралды 12 М.
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
Godly voice family
Рет қаралды 9 М.
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 26 М.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 16 М.
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 52 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12