Shekh Walid naomba dua zako nipate jabo nusu ya elimu yko nakupenda sana kwa ajili ya ALLAH mualimu wngu unaufasaha wa waonngezi wewe na Othman maalim maneno yenu mukiongea .maneno yenu yanapangika. M/Mungu akujaalie ww na Othman maalim akupeni zaidi ya elimu mulonayo.
@AbuuOthman Жыл бұрын
Aaameeen yaaa Rabbal Aaalaaameen
@dinakipingo1905 Жыл бұрын
Allahumma Aamiin
@ismailhassan5209 Жыл бұрын
Alhamdulillah tunaye mufti aalim Mahiri msikivu mbunifu Ductur mtulivu mwenye kufikiri mwenye kuthubutu Allah amjaalie subira kukitokea fitna Allah amjaalie makhraja Inshaallah
@maymgaya41929 ай бұрын
Mashallah, nawapenda sana kwa ajili ya Allah ❤... Allah awatunze Mashekkh wetu🙏🙏
@hanspop696110 ай бұрын
Allah Akuhifadh Mufti hakika umetuleta Pamoja na kutuunganisha Waislam
@RashidSaid-t9i2 ай бұрын
Masha allah alhamdullah ❤
@AlimiahAlimiah-k8i Жыл бұрын
Masha Allah maneno yenye maana sana hakika mufti upo sawa .mapungufu niyaninadamu Allah akupe maisha marefu ili ufanye makubwa kuwaunganusha waislaam tanzania
@mbarouksalim1568 Жыл бұрын
Mashaa Allah kwa unyenye kevu ninamuomba Allah Allah akuzidishie Afya na umri mrefu Akupe ulinzi wake popote ulipo daima watu wakudhanie mazuri na wala wasikudhanie vibaya YA RABBI asishindwe ashinde siku zote ktk kheri ktk kutuongoza daima tepe zidisha amani ktk nchi yetu upe nguvu uisilamu uzidi kwenda mbele YA RABBI zidisha mapenzi kati yetu umoja kati yetu tumeelekea kwako tuongooze mola wetu mlezi ktk yanayo kupendeza ww tusamehe madhambi yetu ss niwakosaji tupokelee maombi yetu hakika ww ndie unaesamehe madhambi na ww mola mlezi ulisema tukuombe hakika YA RABBI unajibu maombi Amiin.
@saidizuberiissa7286 Жыл бұрын
Wallah! nampenda saaana huyu mufti
@hulkamgenihulka2645 Жыл бұрын
Daaa❗nimepata mafunzo ..Asante 🙏
@Kibadi7 Жыл бұрын
Allah Kareem subraa ibada
@aminahkimwana109 Жыл бұрын
Mansha ALLAH tabaraka Allah
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Masha Allah Akulinde Allah Akbar Amiiin.
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Mash Allah Allah akuweke Shekhe Walid .
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Mashallah, Allah awahifadhwi mashekh wetu.
@MatanoSalim-il9fk Жыл бұрын
MashaAllah mufti twakutambua vyema tukiwa Kenya..... Umoja ni muhimu kuliko sisi
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Jazzak Allah kheri
@SharifaOman-bf1bn Жыл бұрын
Asalam alaykum nawapenda mashekhe wetu kwaajili ALLAH