Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co... Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app DONATE TO EBM SCHOLARS 1. PayPal www.paypal.com... 2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Пікірлер: 33
@mpembutvchannel92584 ай бұрын
Hongera Ebm
@destinrugorerwa92759 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba. Mimi nakufuatiriya nikiwa nchi ya Burundi. Napendan sana vipindi vyako
@silasgerrychannel2259 ай бұрын
Kaka ubarikiwe sana kwa elimu unayotupatia
@khayraatabdool228610 ай бұрын
Maa Shaa Allah..Shukran sana. Mungu Akubariki
@saliieking72796 ай бұрын
Nakubali kk EBM
@user-bo3jd6ng5d10 ай бұрын
Kweli kaka, hao jamaa wako serious sana, na wanajua sana
@alhajiabed747910 ай бұрын
Hongera sana kaka kwa elimu hii utaetupatie
@enemtatuka586310 ай бұрын
Asante kwa kutuelekeza wajina wangu
@VicentJohn-tg9yp9 ай бұрын
Nimefurahi kweli kaka
@ngoynzoagermain10 ай бұрын
Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
@user-er2tn6de9o4 ай бұрын
Inshallah
@lexmondniyukuri861710 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮💖💖💖❤ thanks for your information
@Salumchiwili20237 ай бұрын
Samahani kaka mimi nataka kufahamu kwenye working experience ni kwamba wanakuuliza tu au kuna documents watazihitaji ili kuthibitisha huo uzoefu wako naomba ufafanuzi wako kwenye hilo mfano mimi nafanya graphic ndio kazi yangu ila sijasomea lakini ndio kazi ninayoifanya
@munjurumwangi78410 ай бұрын
Leo nimetoka kwa office yako hapa Nairobi, Na tumehudumiwa vizuri sana,lakini ningefurahi sana kukupata.
@victorotienomusumba4 ай бұрын
Hello Ernest Boniface My name is Victor Musumba am from Kenya am just asking how do you charge for photo editing for green card and DV application this year because I want to try my luck this year
@annatemu448810 ай бұрын
Kaka umezungumzia swala la kifo kabla hujafanikiwa kuvuka, je mtu akivuka akafika kule baada ya mwezi mmoja main applicant akafariki,inakuaje kwa wale dependant wake? Wataendelea kuwa raia kwa kigezo kipi?@ EBM SWAHILI
@victorotienomusumba4 ай бұрын
And can you do the application for somebody
@joycedavid55339 ай бұрын
Tutakaa kwetu tu jamani kha!
@samsonmusyimi178210 ай бұрын
Experience nixa kazi gani?
@user-uq5jx6yl2w9 ай бұрын
Je ukisha zala mtoto badaye inakuwaje
@taimurherman67809 ай бұрын
Kaka nipo nje ya Tabora na nahitaji kufanya applications ya Green card
@alloycemillinga16739 ай бұрын
Dodoma Lini mtakuwepo?
@user-jt8fi7vk6s10 ай бұрын
Ukishinda Alafu uko nafamiliya kubwa unaweza ku tangulia ili upate nauli yawengine?
@habibhamza976610 ай бұрын
Ebm nauliza, hivi watuaje Kama umedanganya? yaan Kama umesema huna Mtoto wakati unao watuaje?
@binmasoud415010 ай бұрын
One question, you apply lottery as unmarried but you married before result and you became a winner, will they allow you to go as married. Thanks for good lesson 👍
@izohizoh78339 ай бұрын
As long as you married b4 results in May, you are ok.
@habibhamza976610 ай бұрын
Au Kama uko katika ndoa ukasema upo katika ndoa watuaje pia?
@ibrahimamey399010 ай бұрын
diplomatic inachunguza kote uko
@user-sm6ex6ww4n10 ай бұрын
Nashukuru nimemuelewa je ukishinda bahati nasibu nawe unafamiriya na visa umepata na kama nauli haitoshi kwenda famiriy yote unaweza kwenda mtu mmoja kwanza ukatengeneze mazingila?
@mackjr52919 ай бұрын
Swali zuri,ukipata majibu nijuze nami
@user-sm6ex6ww4n9 ай бұрын
@@mackjr5291 mpaka muda huu cijapata jibu je wewe mwenzangu umepata jibu?
@mackjr52919 ай бұрын
@@user-sm6ex6ww4n inawezekana ukasafiri pekeyako, hao wanafuata baadae lakini kunasehemu unajaza next to follow
@user-jt8fi7vk6s10 ай бұрын
Ukishinda Alafu uko nafamiliya kubwa unaweza ku tangulia ili upate nauli yawengine?