#visa #medical #flightticket #dvlottery Gharama za mtu ukishinda Green Card Lottery zimeainishwa hapa. Angalia usije kuibiwa na matapeli mtandaoni wanaosema umeshinda waskati hujashinda
Пікірлер: 164
@ellymia55553 жыл бұрын
Wazee mnaonaje tunao taka hii ishu tuunde group LA WhatsApp ?, ili tusaidiane ushauri AF tumualike ebm kwa kutueditia picha mnaonaje???
@abubakari.i.gwandi59722 жыл бұрын
Umeshaunda group mzee baba??
@hamsikrasheedi17962 жыл бұрын
kabisa mzeebb una group
@fidelisvenance64312 жыл бұрын
Idea nzuri
@bekaashbai17812 жыл бұрын
Tuanzeni bro
@aishasaid91102 жыл бұрын
niekeni na mimi jamani kwenye group pls
@musajumba5592 жыл бұрын
Big love from Nairobi Kenya 🇰🇪 huku tunakutambua👏👏👏
@wigomwenyeflevazake79132 жыл бұрын
Broo na kukubali wewe much love from Tanzania zanzbar
@shukuruilomo7683 жыл бұрын
Nimekulewa Ahsante sana EBM
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Hongera Sana bro kwa Elimu kubwa ya upendo.
@francismboma68392 жыл бұрын
Nimekuta nikishire video zako kwa watu wengi wanapenda
@arizonachannel65052 жыл бұрын
Waaah,hiyo gharama ni mingi,na sasa shida ni ukishafanya interview na ulipe pesa ya visa, medical na unyimwe naye baadaye
@trophywilson72112 жыл бұрын
Hunyimwi ukifanya Medical na Visa ukapewa
@destinrugorerwa927511 ай бұрын
Nashukuru sana kwa maelezo.
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Sawa mwanangu tunakusikia barikiwa
@shellyonestudios4 күн бұрын
Wanangu pesa sio ya kitoto wewe n winga unalaza 50 had 100 tulia tu mzee mwenzangu huko ni kwa wakishua amin nawaambia
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Kaka nashukuru sana mana mdogo wangu ameomba green card lottery hivyo ni sawa kujiandaa
@mtainembo26153 жыл бұрын
Nakushukuru EBM kwa kutupa data zaidi nikifanikiwa kushinda naomba unifanyie interview kwenye channel yako live
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Ooh huyu bd hajaelewa fuatilia maelekezo ya video mwanzo interview ni ubalozi tuu,baada ya kushinda
@elimelindarobert58712 жыл бұрын
asante sana kwa kutujuza M/Mungu akubariki
@cutenicely47662 жыл бұрын
Thank u so much
@beesmarttv37922 жыл бұрын
Dollar 2000 sio padogo!! Halafu hahati mbaya unyimwe viza! Mh
@mmasipeter41572 жыл бұрын
Duuh gharama ni kubwa sanaa ila ningekuwa na hiyo ela daaah marekani ningewnda2
@bensonculture29472 жыл бұрын
Qatar Airways 🇶🇦.....itakuwa tumesafiri ndege moja japo mda tofauti😅😅🥰
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Kumbe USA inawanyonya mataifa machanga maana kumbe sio bure ni uchumi kwa govt Yao. Tz nasi tuanzishe mfumo wa green card zetu kwa mataifa ya nje.
@ChoroTesla2 жыл бұрын
nani aje kuishi bongo cc tunawahutaji wao kuliko wao wanavyotuhitaji sisi.
@mohaisha2 жыл бұрын
Hahahahaa ume nichekesha sana aty mtoe Green card yenu
@MaulidLihendeko-zu4mv5 ай бұрын
Sisi Africa tulishaacha malango wazi ili mgeni asigonge sana😂😂
@ChoroTesla14 күн бұрын
Una maajabu gani mtu aje kuzamia bongo huku labda muethiopia na msomali
@pembemussa28042 жыл бұрын
Shukraan kwa hii information kk tungeomba utupe na maelezo kwa kiswahili ya mistake zinazo fanya ukose kumshinda Green card lotto. Plz
@victornzebele39904 ай бұрын
Be blessed EBM
@Wayne1112 жыл бұрын
Apa unatusaidia kabisa__tungetapeliwa sisi wamoja
@amourkassim72102 жыл бұрын
Nimependa sana shukurani sana kwa maelezo
@juliusmugyabuso4532 жыл бұрын
This l like it.l,ll do it through contact from you EBM...
@kulwalucas88486 ай бұрын
Duh gharama kubwa sana, nilijua mtu akishinda Green card atalipiwa kila kitu na gvt ya uko
@WitnessShamba-wm4tq2 ай бұрын
😅😅😂
@antidiuserasmus8772 жыл бұрын
Barikiwa sana bro
@drisayaambulatoryvetclinic15142 жыл бұрын
Duuh aiseee hizi gharama kibongo bongo mbona hatutoboi yaan 10M inafikaa kabisaaa ,hiii inafaaa kwa wakishua tu
@pascalnduwayezu6704 Жыл бұрын
I , I 'll do it with EBM so that I can't lose my time or anything
@janejoel77982 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri sana muha wetu. Mungu akubariki sana kwa ufafanuzi mzuri
@titojace1598 Жыл бұрын
Hujamaa mweu kweli yani jinsi anavyoongea kama rahisi vile kwasababu mm Ninavyojua ni bahati na sibu harafu imelenga wenye kipato
@bongoshare6820 Жыл бұрын
Acha ufala
@zainabissa79862 жыл бұрын
Green card lottery ni nzuri japo inamapungufu yake, hizo gharama zote zingekuja baada ya kushinda.mfano medical expenses zifanyike kwa alieshinda, unnecessary cost ni nyingi.. Bwana Ernest nashauri ututetee watanzania kwa kuondoa hizo gharama za medical. After all tupo stage ya kutafta maisha sasa hapa nawaza hizo gharama..Bwana Ernest iwasilishe hoja hii, tho ntaapply the sjui ntatoa wapi hela
@kasingemukolera97072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zainabmohd6524 Жыл бұрын
Hii ni biashara ndo mana kuna kushinda na kukosa maana usipofanya malipo kabla ya majibu yako ina maana haina faida hii ni kama kubet tu
@chrisbrezzy59 Жыл бұрын
🤣🤣😂😂
@IsaacParuz Жыл бұрын
Many thanks boss
@lailakhamis4323 жыл бұрын
Asante kaka tuombee tufanikiwe
@betheltruetv22082 жыл бұрын
Ninayo shida binafsi nataka kuongea na wewe.Je,unaweza kunipa namba yako ya WhatsApp nikupigie online? Ahsante EBM .
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Tunakushukuru. Sana
@williamcyprian36483 жыл бұрын
Dah,si mchezo asee
@dicksonntizirusha5408 Жыл бұрын
Hapo nakuja kwanza mwenyewe familia itanifata nikiwa nimeshajipanga
@shellyonestudios4 күн бұрын
kitaalam kwa tuliopo bongo ujiandae na kama 12M iv so kizembe zembe hii kitu 😢😅😅
@hassshoban82062 жыл бұрын
Kuna Wamarekani weusi wengi wanataka viza ya kuishi Tanzania.
@benedictmgini33882 жыл бұрын
Asante sana kaka
@DocumenTz093 жыл бұрын
Nijaribu hii i hope nitashinda
@shellyonestudios4 күн бұрын
sasa hapo tufanye jumla gharama zote ni dolla 4500 na upo bongo oyaaa nyieee humu 😂😂
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Mim nawaombea mshinde mtangulie nasi mtatumiaga Ata mwaliko tukuje huko USA 😂😂😂😂😂😂😂
@johngibson30892 жыл бұрын
Asante
@sharifafatawy98743 жыл бұрын
Asante sanaaa
@egbertelias36482 жыл бұрын
Ukishinda Green card , mtu mmoja kama una spouse, kuna uwezekano na yeye (your spouse) akapata visa kwa ajili ya kuja US?
@petermwai57002 жыл бұрын
Jambo EBM. Asante kwa kazi nzuri unaoifanya kwa ushauri wako mwema. Wenye wako kwa ndoa, Mume anaweza kujaza green card kama principal applicant then dependants na pia mke ajaze yake kama principal applicant then dependants? Ama mitambo ya kuchagua washindi will disqulify your applications? Can that be double submission? Kindly Advise if it is allowed to apply separately as couples.
@trophywilson72112 жыл бұрын
Mnaweza kucheza wote haina shida
@fabianshagama2647 Жыл бұрын
Utaratibu wa green rotary ukoje nisaidie
@simbaforex2 жыл бұрын
Ni lazima uwe na host Vp kwa nnae kuja individual sina yoyote
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Lazima uwe na address ya apartment au nyumba utakayofikia na kuishi. Sasa kama unatafuta mtu au utapanga in advance wakati wa kujaza viza form hapo ni wewe tu. Ila bila address huwezi kukamilisha form
@shebbyID24.2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI Tuwekee web ya serikali tuijuee bro tuijue
@mohaisha2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI nikijua ticket wanakupa wao na visa na mahali pakuishi na kazi unapewa
@fatmagjumah7450 Жыл бұрын
Sasa nin maana y green card n tayali unalipa izo garama zote afazal mgeach kusema bahati nasibu iyo sio bahati n garama z mtu
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Bro mbona gharama za green card sawa tu.na za kuanza biashara mdogo bongo hapa na kuanza maisha?
Hiyo kutorudisha pesa zangu ndio tuu pameni boa, hata nimekata tamaa, kumbe hivyo ndivyo walivyo
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Tunaomba wa dhamani watuone jmn hizi garam a tukifika huko tutazilipa hapa bongo hiyo pesa daaaah ni ndefu kwakweli
@stevemwana57482 жыл бұрын
😊🙏🙏
@dullayo00152 жыл бұрын
Niko na passport nataka kuja USA nipe mchongo
@GodfreyZakaria-o7r Жыл бұрын
Iko poa sana nitakutembele skumoja
@ishengomahenry26442 жыл бұрын
tuma mfano wa form ili watu wajue hili wakija huko kwenye kujaza wajue nn vitatakiwa kwenye kujaza pi anguo za picha wa mama nywele zipi wawe nazo wanaowajazia nini waelewe watakaao wajazia waende wamejiandaa
@usamaamiss38105 ай бұрын
Kwa jina naitwa ussama ninaitaji kuuliza swali mbona jina langu ni la adui wa marecani je nitaweza ku win
@yohanasoly35782 жыл бұрын
Kaka kama mtu una mke inaruhusiwa mume akatangulia kisha nikamwagiza mke baada ya mambo kukaa sawa?
@riavlogstz3 жыл бұрын
Na je.., sababu za kunyimwa visa ni zipi
@IssaIddi-vb9yi6 ай бұрын
Kama ninafamilia hii dola 330 naripa mala familia niliyo nayo ama Natoa dola 330 tu na nikifanikiwa kupata visa ndio niilipie na hii familia niliyo nayo
@adanissack26332 жыл бұрын
Ahsanta
@alainndindimaamuri84592 жыл бұрын
Asante sana EBM Sasa sababu gani zinaweza sababisha ukose Visa na uli Winnie Green card?
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
Swali la muhimu sanaaa
@Yo_tune-tb5sn2 жыл бұрын
Nauliza je mtu kuja kama kusalimia ndugu inawezekana akafka na akafanya kaz
@modredamour97133 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa lkn tafadhali fafanua inakuaje ninyime visa Hali yakuwa nimesha shinda nivigezo gani vitanifanya kunyimwa plz naomba kueleweswa
@ramak.95872 жыл бұрын
Mfano uulizwe maswali ushindwe kujibu ama kujieleza ipasavyo. Mfano uulizwe kwa nini unaonelea tukupatie visa wewe na sio mtu mwingine
@Ahmed261715 ай бұрын
Mr Kuna asilimia kubwa ya mtu kukosa visa!?😅
@alphoncemaganga18765 ай бұрын
Ok Kaka je ukilipia huku hio usd 220,je watakuprintia hukuhuku?
@yussufrashid3300 Жыл бұрын
Kama hujapata host inakuwajee
@halimahija21483 жыл бұрын
Naomba namba yako ebm nataka unieditie picha
@ludobudege16622 жыл бұрын
Kaka nashukuru nimejifunza kitu
@Mussasamcare Жыл бұрын
Kwa Wale wanaohitaji huduma yako juu ya mchakato wa masomo master tunakupata wap
@rukiyashali Жыл бұрын
Sasa ukisha shinda wakati wewe una shida za kimaisha pesa yote hiyo itatoka wapi?pili hio interview ni ya nini tena?
@ziporrahdavid8025 Жыл бұрын
Dollar 330 ni pesa ngapi za kenya
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Kushinda kwanza hela zinatafutwa
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Kuna video kuhusu host nampataje? Na host anatakiwi awe na vigezo gani?
@furahamasoudy72492 жыл бұрын
ukiongea taratibu inafaa ila unafanya kama mahubiriiii
@chengeson Жыл бұрын
Haaaaaaaaaaa
@machinefannatic99 Жыл бұрын
Hamna ishue mahela kibao kwenda kupiga boxi
@AnithaJackson-h6b Жыл бұрын
Group limeshafunguliwa
@hamzaforogo Жыл бұрын
Hee kumbe Kuna kunyimwa visa hata kama umeshinda Green card lottery? Duuuuu
@betricemainoya4176 Жыл бұрын
Niungeni kwenye group lake plz
@MaySalim-h7y11 ай бұрын
Sasa host unampataje mfano mimi sina ndugu
@mohaisha2 жыл бұрын
Heeee ina mana hupewi nyumba ya kuishi ukiingia
@Summerbtz2 жыл бұрын
Kaka nataka kujua kwenye interview baada ya kushinda ni lugha gani inatotumika?
@fjojoly Жыл бұрын
Utachagua kiswahili au kingereza
@BlaiseNdayongeje-wk6uj Жыл бұрын
Naile dollar 400 ya medical unaweza kuripa kwa Hera ambayo siyo dollar???
@SabrinaKiumba3 ай бұрын
Anaelewesha vizuri ila ukimtumia pesa hakujibu mesej😢
@shellyonestudios4 күн бұрын
wewe ni zuzu kumbe umeshaambiwa hakuna sehemu y kutuma pesa 😂😂 sasa unaingia bongo Tanzania yangu nachingwea yangu 😅😅😅
@marwamarwa68362 жыл бұрын
Kaka naomba unikutanishe na Kaka shabani ramadhani mpambe
@edwardbudodi4497 Жыл бұрын
Mda ukifika nitaomba
@ivankadaudi81612 жыл бұрын
Sasa kwahyo ukiwa na million Kumi na Tano ndio safari upambanie na pesa hapo hapo ipo yakuanzia maisha,sasa ukiomba na unamtoto ukichagukuwa peke ako mtoto unarusiwa kuondoka nae au hapo ikoje
@ivankadaudi81612 жыл бұрын
Hii nikwa ss wenye mtoto huku
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Unaenda nae na mkeo wote
@mjmswahil62443 жыл бұрын
Ahsnte Anko Green card pia unaweza kunyimwa visa
@JohnMwakulima8 ай бұрын
kiongozi kwamfano mimi nidereva wa maroly nataka nije kusomea maroly na kutafuta kazi huko inakuwaje mpaka mimi napata kazi sina mwenyeji nimimi nahitaji sana congo nimechoka
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Sasa ukipita lotto unawezekana kuku nyuma viza
@ViolaFashions-ou8ol Жыл бұрын
Namba yako ya simu uncle
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Kumbe uwezi pokeya mtu mzee
@pendocharles47182 жыл бұрын
garama nikubwa mno nahapo unacheza bahati nasibu unatoa garama zote hizo naunafeli 😭😭
@bongoshare6820 Жыл бұрын
Ukishinda ndo gharama zitaitajika
@saymon2pack4082 жыл бұрын
Sasa kujua kamauneshinga unajuaje sas
@dn.n4983 Жыл бұрын
Safibsana wewe kazana kuweka kikoba kwa hazia sasa
@lehabundikumana-el5fi Жыл бұрын
Hi bro swali nikonalo ni hili unaweza kuwa mshindi wa DV lottery na ukanyimwa visa? Lingine ni hili mtu amekuwa winner wa DV lottery unaweza kaanayo ka myaka 2 au3 bila kusafiri na ikaendelea kutumika?
@christinawalter7954 Жыл бұрын
Hi Mr fursa ya kufundisha kiswahili nchini Marekani application link aipatikani iliyopo nikwa walioko Marekani
@mauwafrancine9956 Жыл бұрын
Namimi ndo swali langu ilo kama unaweza shinda green card afu uka kaa ata mwaka mmjo bila kusafiri kama aujajipanga vizuri ki feza
@jumamohamedikizota8380 Жыл бұрын
Kiiongozii jee kupata kazii y driving huko marekani mpaka hutumie taratibu zipii
@fidelisvenance64312 жыл бұрын
HICHO NDICHO KINACHOKATISHA WATU KUCHEZA GREEN CARD
@magrethpeter604911 ай бұрын
Kwa kweli
@mohammadsaeed69072 жыл бұрын
Asanate sana boss umetupa elimu kubwa sana...naomba kuuliza results zikisha kutoka na umefanikiwa jee utatakikana mda huo huo uende marekani ama? Au kuna mda flani utapangiwa uwe umeshafika marekani? Au kama result zimetoka umefanikiwa unaweza kubaki kwanza kwenu kuendelea na shughuli zako mpk pale utakapotaka kwenda?
@ramak.95872 жыл бұрын
Visa ukipewa expiring date yake ni after 6months. Sasa ni wewe ujipange unaeza safiri hadi baada ya miezi 5 ama mwisho huo wa 6
@thehustlerafrica43682 жыл бұрын
Duu
@nasibali71982 жыл бұрын
Na kama huna mtu marikani nigarama ya Pesa gapi kaka