Gharama zote kama ukishinda Green Card Lottery kuanzia Medical, Visa na Nauli

  Рет қаралды 33,380

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

#visa #medical #flightticket #dvlottery
Gharama za mtu ukishinda Green Card Lottery zimeainishwa hapa. Angalia usije kuibiwa na matapeli mtandaoni wanaosema umeshinda waskati hujashinda

Пікірлер: 164
@ellymia5555
@ellymia5555 3 жыл бұрын
Wazee mnaonaje tunao taka hii ishu tuunde group LA WhatsApp ?, ili tusaidiane ushauri AF tumualike ebm kwa kutueditia picha mnaonaje???
@abubakari.i.gwandi5972
@abubakari.i.gwandi5972 2 жыл бұрын
Umeshaunda group mzee baba??
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 2 жыл бұрын
kabisa mzeebb una group
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 2 жыл бұрын
Idea nzuri
@bekaashbai1781
@bekaashbai1781 2 жыл бұрын
Tuanzeni bro
@aishasaid9110
@aishasaid9110 2 жыл бұрын
niekeni na mimi jamani kwenye group pls
@musajumba559
@musajumba559 2 жыл бұрын
Big love from Nairobi Kenya 🇰🇪 huku tunakutambua👏👏👏
@wigomwenyeflevazake7913
@wigomwenyeflevazake7913 2 жыл бұрын
Broo na kukubali wewe much love from Tanzania zanzbar
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 3 жыл бұрын
Nimekulewa Ahsante sana EBM
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Hongera Sana bro kwa Elimu kubwa ya upendo.
@francismboma6839
@francismboma6839 2 жыл бұрын
Nimekuta nikishire video zako kwa watu wengi wanapenda
@arizonachannel6505
@arizonachannel6505 2 жыл бұрын
Waaah,hiyo gharama ni mingi,na sasa shida ni ukishafanya interview na ulipe pesa ya visa, medical na unyimwe naye baadaye
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hunyimwi ukifanya Medical na Visa ukapewa
@destinrugorerwa9275
@destinrugorerwa9275 11 ай бұрын
Nashukuru sana kwa maelezo.
@danielmartinKiondo-dq4jz
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Sawa mwanangu tunakusikia barikiwa
@shellyonestudios
@shellyonestudios 4 күн бұрын
Wanangu pesa sio ya kitoto wewe n winga unalaza 50 had 100 tulia tu mzee mwenzangu huko ni kwa wakishua amin nawaambia
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Kaka nashukuru sana mana mdogo wangu ameomba green card lottery hivyo ni sawa kujiandaa
@mtainembo2615
@mtainembo2615 3 жыл бұрын
Nakushukuru EBM kwa kutupa data zaidi nikifanikiwa kushinda naomba unifanyie interview kwenye channel yako live
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂
@danielmartinKiondo-dq4jz
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Ooh huyu bd hajaelewa fuatilia maelekezo ya video mwanzo interview ni ubalozi tuu,baada ya kushinda
@elimelindarobert5871
@elimelindarobert5871 2 жыл бұрын
asante sana kwa kutujuza M/Mungu akubariki
@cutenicely4766
@cutenicely4766 2 жыл бұрын
Thank u so much
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 2 жыл бұрын
Dollar 2000 sio padogo!! Halafu hahati mbaya unyimwe viza! Mh
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 2 жыл бұрын
Duuh gharama ni kubwa sanaa ila ningekuwa na hiyo ela daaah marekani ningewnda2
@bensonculture2947
@bensonculture2947 2 жыл бұрын
Qatar Airways 🇶🇦.....itakuwa tumesafiri ndege moja japo mda tofauti😅😅🥰
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Kumbe USA inawanyonya mataifa machanga maana kumbe sio bure ni uchumi kwa govt Yao. Tz nasi tuanzishe mfumo wa green card zetu kwa mataifa ya nje.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 жыл бұрын
nani aje kuishi bongo cc tunawahutaji wao kuliko wao wanavyotuhitaji sisi.
@mohaisha
@mohaisha 2 жыл бұрын
Hahahahaa ume nichekesha sana aty mtoe Green card yenu
@MaulidLihendeko-zu4mv
@MaulidLihendeko-zu4mv 5 ай бұрын
Sisi Africa tulishaacha malango wazi ili mgeni asigonge sana😂😂
@ChoroTesla
@ChoroTesla 14 күн бұрын
Una maajabu gani mtu aje kuzamia bongo huku labda muethiopia na msomali
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
Shukraan kwa hii information kk tungeomba utupe na maelezo kwa kiswahili ya mistake zinazo fanya ukose kumshinda Green card lotto. Plz
@victornzebele3990
@victornzebele3990 4 ай бұрын
Be blessed EBM
@Wayne111
@Wayne111 2 жыл бұрын
Apa unatusaidia kabisa__tungetapeliwa sisi wamoja
@amourkassim7210
@amourkassim7210 2 жыл бұрын
Nimependa sana shukurani sana kwa maelezo
@juliusmugyabuso453
@juliusmugyabuso453 2 жыл бұрын
This l like it.l,ll do it through contact from you EBM...
@kulwalucas8848
@kulwalucas8848 6 ай бұрын
Duh gharama kubwa sana, nilijua mtu akishinda Green card atalipiwa kila kitu na gvt ya uko
@WitnessShamba-wm4tq
@WitnessShamba-wm4tq 2 ай бұрын
😅😅😂
@antidiuserasmus877
@antidiuserasmus877 2 жыл бұрын
Barikiwa sana bro
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 2 жыл бұрын
Duuh aiseee hizi gharama kibongo bongo mbona hatutoboi yaan 10M inafikaa kabisaaa ,hiii inafaaa kwa wakishua tu
@pascalnduwayezu6704
@pascalnduwayezu6704 Жыл бұрын
I , I 'll do it with EBM so that I can't lose my time or anything
@janejoel7798
@janejoel7798 2 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri sana muha wetu. Mungu akubariki sana kwa ufafanuzi mzuri
@titojace1598
@titojace1598 Жыл бұрын
Hujamaa mweu kweli yani jinsi anavyoongea kama rahisi vile kwasababu mm Ninavyojua ni bahati na sibu harafu imelenga wenye kipato
@bongoshare6820
@bongoshare6820 Жыл бұрын
Acha ufala
@zainabissa7986
@zainabissa7986 2 жыл бұрын
Green card lottery ni nzuri japo inamapungufu yake, hizo gharama zote zingekuja baada ya kushinda.mfano medical expenses zifanyike kwa alieshinda, unnecessary cost ni nyingi.. Bwana Ernest nashauri ututetee watanzania kwa kuondoa hizo gharama za medical. After all tupo stage ya kutafta maisha sasa hapa nawaza hizo gharama..Bwana Ernest iwasilishe hoja hii, tho ntaapply the sjui ntatoa wapi hela
@kasingemukolera9707
@kasingemukolera9707 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zainabmohd6524
@zainabmohd6524 Жыл бұрын
Hii ni biashara ndo mana kuna kushinda na kukosa maana usipofanya malipo kabla ya majibu yako ina maana haina faida hii ni kama kubet tu
@chrisbrezzy59
@chrisbrezzy59 Жыл бұрын
🤣🤣😂😂
@IsaacParuz
@IsaacParuz Жыл бұрын
Many thanks boss
@lailakhamis432
@lailakhamis432 3 жыл бұрын
Asante kaka tuombee tufanikiwe
@betheltruetv2208
@betheltruetv2208 2 жыл бұрын
Ninayo shida binafsi nataka kuongea na wewe.Je,unaweza kunipa namba yako ya WhatsApp nikupigie online? Ahsante EBM .
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Tunakushukuru. Sana
@williamcyprian3648
@williamcyprian3648 3 жыл бұрын
Dah,si mchezo asee
@dicksonntizirusha5408
@dicksonntizirusha5408 Жыл бұрын
Hapo nakuja kwanza mwenyewe familia itanifata nikiwa nimeshajipanga
@shellyonestudios
@shellyonestudios 4 күн бұрын
kitaalam kwa tuliopo bongo ujiandae na kama 12M iv so kizembe zembe hii kitu 😢😅😅
@hassshoban8206
@hassshoban8206 2 жыл бұрын
Kuna Wamarekani weusi wengi wanataka viza ya kuishi Tanzania.
@benedictmgini3388
@benedictmgini3388 2 жыл бұрын
Asante sana kaka
@DocumenTz09
@DocumenTz09 3 жыл бұрын
Nijaribu hii i hope nitashinda
@shellyonestudios
@shellyonestudios 4 күн бұрын
sasa hapo tufanye jumla gharama zote ni dolla 4500 na upo bongo oyaaa nyieee humu 😂😂
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 2 жыл бұрын
Mim nawaombea mshinde mtangulie nasi mtatumiaga Ata mwaliko tukuje huko USA 😂😂😂😂😂😂😂
@johngibson3089
@johngibson3089 2 жыл бұрын
Asante
@sharifafatawy9874
@sharifafatawy9874 3 жыл бұрын
Asante sanaaa
@egbertelias3648
@egbertelias3648 2 жыл бұрын
Ukishinda Green card , mtu mmoja kama una spouse, kuna uwezekano na yeye (your spouse) akapata visa kwa ajili ya kuja US?
@petermwai5700
@petermwai5700 2 жыл бұрын
Jambo EBM. Asante kwa kazi nzuri unaoifanya kwa ushauri wako mwema. Wenye wako kwa ndoa, Mume anaweza kujaza green card kama principal applicant then dependants na pia mke ajaze yake kama principal applicant then dependants? Ama mitambo ya kuchagua washindi will disqulify your applications? Can that be double submission? Kindly Advise if it is allowed to apply separately as couples.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mnaweza kucheza wote haina shida
@fabianshagama2647
@fabianshagama2647 Жыл бұрын
Utaratibu wa green rotary ukoje nisaidie
@simbaforex
@simbaforex 2 жыл бұрын
Ni lazima uwe na host Vp kwa nnae kuja individual sina yoyote
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 жыл бұрын
Lazima uwe na address ya apartment au nyumba utakayofikia na kuishi. Sasa kama unatafuta mtu au utapanga in advance wakati wa kujaza viza form hapo ni wewe tu. Ila bila address huwezi kukamilisha form
@shebbyID24.
@shebbyID24. 2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI Tuwekee web ya serikali tuijuee bro tuijue
@mohaisha
@mohaisha 2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI nikijua ticket wanakupa wao na visa na mahali pakuishi na kazi unapewa
@fatmagjumah7450
@fatmagjumah7450 Жыл бұрын
Sasa nin maana y green card n tayali unalipa izo garama zote afazal mgeach kusema bahati nasibu iyo sio bahati n garama z mtu
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Bro mbona gharama za green card sawa tu.na za kuanza biashara mdogo bongo hapa na kuanza maisha?
@joelnaja9935
@joelnaja9935 2 жыл бұрын
Kama umesoma unakumbuka zilitumika ngap wewe mpk kumaliza ? Mbona haukuzianzishia biashara?
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 Жыл бұрын
Hiyo kutorudisha pesa zangu ndio tuu pameni boa, hata nimekata tamaa, kumbe hivyo ndivyo walivyo
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 2 жыл бұрын
Tunaomba wa dhamani watuone jmn hizi garam a tukifika huko tutazilipa hapa bongo hiyo pesa daaaah ni ndefu kwakweli
@stevemwana5748
@stevemwana5748 2 жыл бұрын
😊🙏🙏
@dullayo0015
@dullayo0015 2 жыл бұрын
Niko na passport nataka kuja USA nipe mchongo
@GodfreyZakaria-o7r
@GodfreyZakaria-o7r Жыл бұрын
Iko poa sana nitakutembele skumoja
@ishengomahenry2644
@ishengomahenry2644 2 жыл бұрын
tuma mfano wa form ili watu wajue hili wakija huko kwenye kujaza wajue nn vitatakiwa kwenye kujaza pi anguo za picha wa mama nywele zipi wawe nazo wanaowajazia nini waelewe watakaao wajazia waende wamejiandaa
@usamaamiss3810
@usamaamiss3810 5 ай бұрын
Kwa jina naitwa ussama ninaitaji kuuliza swali mbona jina langu ni la adui wa marecani je nitaweza ku win
@yohanasoly3578
@yohanasoly3578 2 жыл бұрын
Kaka kama mtu una mke inaruhusiwa mume akatangulia kisha nikamwagiza mke baada ya mambo kukaa sawa?
@riavlogstz
@riavlogstz 3 жыл бұрын
Na je.., sababu za kunyimwa visa ni zipi
@IssaIddi-vb9yi
@IssaIddi-vb9yi 6 ай бұрын
Kama ninafamilia hii dola 330 naripa mala familia niliyo nayo ama Natoa dola 330 tu na nikifanikiwa kupata visa ndio niilipie na hii familia niliyo nayo
@adanissack2633
@adanissack2633 2 жыл бұрын
Ahsanta
@alainndindimaamuri8459
@alainndindimaamuri8459 2 жыл бұрын
Asante sana EBM Sasa sababu gani zinaweza sababisha ukose Visa na uli Winnie Green card?
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
Swali la muhimu sanaaa
@Yo_tune-tb5sn
@Yo_tune-tb5sn 2 жыл бұрын
Nauliza je mtu kuja kama kusalimia ndugu inawezekana akafka na akafanya kaz
@modredamour9713
@modredamour9713 3 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa lkn tafadhali fafanua inakuaje ninyime visa Hali yakuwa nimesha shinda nivigezo gani vitanifanya kunyimwa plz naomba kueleweswa
@ramak.9587
@ramak.9587 2 жыл бұрын
Mfano uulizwe maswali ushindwe kujibu ama kujieleza ipasavyo. Mfano uulizwe kwa nini unaonelea tukupatie visa wewe na sio mtu mwingine
@Ahmed26171
@Ahmed26171 5 ай бұрын
Mr Kuna asilimia kubwa ya mtu kukosa visa!?😅
@alphoncemaganga1876
@alphoncemaganga1876 5 ай бұрын
Ok Kaka je ukilipia huku hio usd 220,je watakuprintia hukuhuku?
@yussufrashid3300
@yussufrashid3300 Жыл бұрын
Kama hujapata host inakuwajee
@halimahija2148
@halimahija2148 3 жыл бұрын
Naomba namba yako ebm nataka unieditie picha
@ludobudege1662
@ludobudege1662 2 жыл бұрын
Kaka nashukuru nimejifunza kitu
@Mussasamcare
@Mussasamcare Жыл бұрын
Kwa Wale wanaohitaji huduma yako juu ya mchakato wa masomo master tunakupata wap
@rukiyashali
@rukiyashali Жыл бұрын
Sasa ukisha shinda wakati wewe una shida za kimaisha pesa yote hiyo itatoka wapi?pili hio interview ni ya nini tena?
@ziporrahdavid8025
@ziporrahdavid8025 Жыл бұрын
Dollar 330 ni pesa ngapi za kenya
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Kushinda kwanza hela zinatafutwa
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Kuna video kuhusu host nampataje? Na host anatakiwi awe na vigezo gani?
@furahamasoudy7249
@furahamasoudy7249 2 жыл бұрын
ukiongea taratibu inafaa ila unafanya kama mahubiriiii
@chengeson
@chengeson Жыл бұрын
Haaaaaaaaaaa
@machinefannatic99
@machinefannatic99 Жыл бұрын
Hamna ishue mahela kibao kwenda kupiga boxi
@AnithaJackson-h6b
@AnithaJackson-h6b Жыл бұрын
Group limeshafunguliwa
@hamzaforogo
@hamzaforogo Жыл бұрын
Hee kumbe Kuna kunyimwa visa hata kama umeshinda Green card lottery? Duuuuu
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 Жыл бұрын
Niungeni kwenye group lake plz
@MaySalim-h7y
@MaySalim-h7y 11 ай бұрын
Sasa host unampataje mfano mimi sina ndugu
@mohaisha
@mohaisha 2 жыл бұрын
Heeee ina mana hupewi nyumba ya kuishi ukiingia
@Summerbtz
@Summerbtz 2 жыл бұрын
Kaka nataka kujua kwenye interview baada ya kushinda ni lugha gani inatotumika?
@fjojoly
@fjojoly Жыл бұрын
Utachagua kiswahili au kingereza
@BlaiseNdayongeje-wk6uj
@BlaiseNdayongeje-wk6uj Жыл бұрын
Naile dollar 400 ya medical unaweza kuripa kwa Hera ambayo siyo dollar???
@SabrinaKiumba
@SabrinaKiumba 3 ай бұрын
Anaelewesha vizuri ila ukimtumia pesa hakujibu mesej😢
@shellyonestudios
@shellyonestudios 4 күн бұрын
wewe ni zuzu kumbe umeshaambiwa hakuna sehemu y kutuma pesa 😂😂 sasa unaingia bongo Tanzania yangu nachingwea yangu 😅😅😅
@marwamarwa6836
@marwamarwa6836 2 жыл бұрын
Kaka naomba unikutanishe na Kaka shabani ramadhani mpambe
@edwardbudodi4497
@edwardbudodi4497 Жыл бұрын
Mda ukifika nitaomba
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 2 жыл бұрын
Sasa kwahyo ukiwa na million Kumi na Tano ndio safari upambanie na pesa hapo hapo ipo yakuanzia maisha,sasa ukiomba na unamtoto ukichagukuwa peke ako mtoto unarusiwa kuondoka nae au hapo ikoje
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 2 жыл бұрын
Hii nikwa ss wenye mtoto huku
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 2 жыл бұрын
Unaenda nae na mkeo wote
@mjmswahil6244
@mjmswahil6244 3 жыл бұрын
Ahsnte Anko Green card pia unaweza kunyimwa visa
@JohnMwakulima
@JohnMwakulima 8 ай бұрын
kiongozi kwamfano mimi nidereva wa maroly nataka nije kusomea maroly na kutafuta kazi huko inakuwaje mpaka mimi napata kazi sina mwenyeji nimimi nahitaji sana congo nimechoka
@nahimanawanjani9865
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Sasa ukipita lotto unawezekana kuku nyuma viza
@ViolaFashions-ou8ol
@ViolaFashions-ou8ol Жыл бұрын
Namba yako ya simu uncle
@nahimanawanjani9865
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Kumbe uwezi pokeya mtu mzee
@pendocharles4718
@pendocharles4718 2 жыл бұрын
garama nikubwa mno nahapo unacheza bahati nasibu unatoa garama zote hizo naunafeli 😭😭
@bongoshare6820
@bongoshare6820 Жыл бұрын
Ukishinda ndo gharama zitaitajika
@saymon2pack408
@saymon2pack408 2 жыл бұрын
Sasa kujua kamauneshinga unajuaje sas
@dn.n4983
@dn.n4983 Жыл бұрын
Safibsana wewe kazana kuweka kikoba kwa hazia sasa
@lehabundikumana-el5fi
@lehabundikumana-el5fi Жыл бұрын
Hi bro swali nikonalo ni hili unaweza kuwa mshindi wa DV lottery na ukanyimwa visa? Lingine ni hili mtu amekuwa winner wa DV lottery unaweza kaanayo ka myaka 2 au3 bila kusafiri na ikaendelea kutumika?
@christinawalter7954
@christinawalter7954 Жыл бұрын
Hi Mr fursa ya kufundisha kiswahili nchini Marekani application link aipatikani iliyopo nikwa walioko Marekani
@mauwafrancine9956
@mauwafrancine9956 Жыл бұрын
Namimi ndo swali langu ilo kama unaweza shinda green card afu uka kaa ata mwaka mmjo bila kusafiri kama aujajipanga vizuri ki feza
@jumamohamedikizota8380
@jumamohamedikizota8380 Жыл бұрын
Kiiongozii jee kupata kazii y driving huko marekani mpaka hutumie taratibu zipii
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 2 жыл бұрын
HICHO NDICHO KINACHOKATISHA WATU KUCHEZA GREEN CARD
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 11 ай бұрын
Kwa kweli
@mohammadsaeed6907
@mohammadsaeed6907 2 жыл бұрын
Asanate sana boss umetupa elimu kubwa sana...naomba kuuliza results zikisha kutoka na umefanikiwa jee utatakikana mda huo huo uende marekani ama? Au kuna mda flani utapangiwa uwe umeshafika marekani? Au kama result zimetoka umefanikiwa unaweza kubaki kwanza kwenu kuendelea na shughuli zako mpk pale utakapotaka kwenda?
@ramak.9587
@ramak.9587 2 жыл бұрын
Visa ukipewa expiring date yake ni after 6months. Sasa ni wewe ujipange unaeza safiri hadi baada ya miezi 5 ama mwisho huo wa 6
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 жыл бұрын
Duu
@nasibali7198
@nasibali7198 2 жыл бұрын
Na kama huna mtu marikani nigarama ya Pesa gapi kaka
@tambwewilfred622
@tambwewilfred622 3 жыл бұрын
Naweza kupata link ya Green card?
Jua haya kabla ya kuomba Green Card Lottery mwezi October
44:11
EBM SWAHILI
Рет қаралды 11 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
Fursa Za Kazi Luxembourg - Pata Work Visa Baada Ya Siku 5
15:41
Maisha Ya Ulaya
Рет қаралды 8 М.
Omba Green Card Lottery mwezi October mwaka huu
12:48
EBM SWAHILI
Рет қаралды 10 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН