SADC yakutana kuhusu mzozo DRC: Dira ya Dunia TV Ijumaa 31/01/2025

  Рет қаралды 50,804

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
#drc #goma #bbcswahili #bbcswahilileo #sadc

Пікірлер: 68
@duniaduaratv1216
@duniaduaratv1216 6 күн бұрын
Wapewe silaha jeshi kubwa (CRFC) sasa la taifa waingie na wao kwenye udhibiti na wasisubiri waelekee huko hiko Goma, kwa maana hao walioajiliwa tu hapo ni shida kwamba hawawezi kukodhi haja basi ili jambo kuisha tunashauri wapewe silaha vijana wailinde ncho yao Generali mdogo pia angeweza kulimaliza hili akishilikiana na Generali mkubwa, lakini inahitaji umakini kwani jambo lipo wazi hizi tunaliona jeshi la Congo wenyewe husalitiana
@ezekielleonard8160
@ezekielleonard8160 6 күн бұрын
kagame ni Tatizo💔💔💔
@mahamudaideed6922
@mahamudaideed6922 6 күн бұрын
Nashangaa wakongomani wanasema Rwanda inaivamia Congo na wao wanakimbilia Rwanda sasa utakimbiliaje kwa adui kutafuta hifadhi hio inathibisha Rwanda ni watu wazuri very good people
@Kanyaromsenge
@Kanyaromsenge 6 күн бұрын
Uko sahii ndugu hiyo inashangaza sana
@duniaduaratv1216
@duniaduaratv1216 6 күн бұрын
(1) wanajeshi ndio wanashambuliwa kama sheria za kivita zilivyo. (2) ikiwa ni askari kuna shaka ya umamluki jeshini kwao kwani wenyewe wanaripoti jeshini kuwepo na mzozo baina yao na rais wao tsheked. 3) Wanaokimbilia huko ikiwa ni askari inaweza kutumika ligha ya kujisalimisha na wanyarwanda nao wakawapokea kama mateka ili kuondoa sintofahamu ya kile kinachotokea kule lisiwaingize lawamani jumla kwasababu hata wao hawajaweka wazi kwamba ni wafadhili wa m23 hivyo ji lawama kwao kukiri hilo. (4) Marekani ndio inatoa silaha kule Ghaza lakini hao hao ndio wanapeleka misaada ya chakula pale Ghaza. (Kaa utafakari kwanza hizi tuhuma usizichukulie poa.)
@DaviaLeroi
@DaviaLeroi 6 күн бұрын
Acha kamdomo wewe
@samwelkayanda5204
@samwelkayanda5204 6 күн бұрын
Kagame wanamsingizia tu kwa chuki zao na wamekusudia kumuangamiza ila wanasapoti M23 ndo wanaomchukia na kumchafua kagame ni nchi za magharibi
@ce-08
@ce-08 6 күн бұрын
Wanaokimbilia Rwanda ni walowezi wakitutsi ambao waliingia Congo kipindi Cha mauaji ya kimbali wanazaliana huko
@etonganoanzu3886
@etonganoanzu3886 7 күн бұрын
Kwanini mazuri ya congo atuonangi kwenye Habari zenu lakini ikiwa ni m23 munakuwaga haraka haraka kuzitangaza kwanin nyinyi watangazaji wa BBC au na nyinyi ni ivyo muko upande ule wamabwana zenu umoja wa ulaya wana wapagia cha kusema na kupost mujuwe sasa ivi haki ya congo lazima itimie akuna ku cheka na yoyote yule tulisha juwa nyinyi wa BBC muko nyuma na m23 congo itapaki kuwa 🇨🇩 imara nyinyi ni wanafiki
@tunajaribu
@tunajaribu 6 күн бұрын
Duh
@MasimangoLulonga
@MasimangoLulonga 6 күн бұрын
Ukosawa kiogozi niwamoja.ukiagali akuna mtagazaji.kutoka.congo.myakayote.kuusu kukimbilia.rwanda.jua.kule.mpaka.ukokarimbu.ivo.kunawanyarwanda.wanaishikule.au.umo.nilazima.akimbilie.kule.
@hopemwalemwale2100
@hopemwalemwale2100 6 күн бұрын
@@etonganoanzu3886 bbc news wao nikutowa tarifa zinazoendelea dunian hawana mda wakupost post vitu vakijinga mim mwenyew npo africa ila sijawah kuona mazur ya congo najuwa vita tu na raia wanavyoteseka sijawah kuona wa congo wanakura bata labda waliokuwepo FRANCE.😃
@Nauminaumi_1984
@Nauminaumi_1984 5 күн бұрын
Mungu ataingiliakati kilakituminmungupekenyake tumuombe mungu pekeyake
@selemanimmeswa3556
@selemanimmeswa3556 7 күн бұрын
Sadec ;ahina jeshi
@LloydsTech
@LloydsTech 6 күн бұрын
BBC ni wachochezi
@mtesigwamaugo8200
@mtesigwamaugo8200 6 күн бұрын
Miriam anaongea Kiswahili au kiswanglishi 😅
@Colmz1
@Colmz1 6 күн бұрын
hii ni bbc swahili au bbc kingereza?
@TheOtherMwalimu
@TheOtherMwalimu 5 күн бұрын
Yule dada anashindwa sana kuongea lugha 🤣🤣
@hosearichard3913
@hosearichard3913 7 күн бұрын
Wakongo wafike maahala wakue na biashara ya ushirika, yaani warusu mikataba jumuishi kati ya selikali na watu binafsi au mataifa maana kinachowagharimu hapo ni lasilimali walizikuwa nazo. Wakiendelea kukaza fuvu wataisha wote😊 12:19
@hopemwalemwale2100
@hopemwalemwale2100 6 күн бұрын
viongoz wa africa wanafk sana sudan wameitelekeza na raia wanakufa ila congo ndo inazungumuziwa sana kwa nn?
@JoyceAndason
@JoyceAndason 6 күн бұрын
Ongea. Kiswahili kwenye bbc shahili tu usichanganye English
@TheOtherMwalimu
@TheOtherMwalimu 5 күн бұрын
Yule dada anashindwa sana kuongea lugha 🤣🤣
@gjlisa
@gjlisa 6 күн бұрын
Kama hujuii Kiswahili uende BbC English
@TheOtherMwalimu
@TheOtherMwalimu 5 күн бұрын
Yule dada anashindwa sana kuongea lugha 🤣🤣
@SahilDorine
@SahilDorine 6 күн бұрын
Wakongomani nandangantwa naviongozi wawo,,,aduwi atakupa hifathi?? Rwanda inalinda mpakaaa zidi ya FDLL waasi wamauwaji yakimbari ya mwaka 1994 duniyainajuwa warivyo fanya kosa ra Rwanda ni gani hapaaaa
@ThomasErro
@ThomasErro 7 күн бұрын
hakuna maana ya sadc ikiwa haitaweza kuleta amani kongo
@kashindijohn5145
@kashindijohn5145 6 күн бұрын
Hiyo MONUSCO hawafanyi chochote pale congo, zaidi zaidi niku enjoy tu na kunufaisha nchi zao, in short wapo ki biashara zaidi.
@PaulDaud-r7z
@PaulDaud-r7z 7 күн бұрын
Watangazaji acheni kuipaka matope rwanda kwani mnaushahidi
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 7 күн бұрын
Hii vita ya kongo ipo mikononi kwa kiongozi yupi hapa Africa ?
@ErnestBaluza1
@ErnestBaluza1 7 күн бұрын
Vita y'a Kongo ni marikani n'a ufransa wakisapoti Paul Kagame
@Vianney-k9l
@Vianney-k9l 6 күн бұрын
Tafadhali uniongeze ndani
@Vianney-k9l
@Vianney-k9l 6 күн бұрын
Bwanae Goma inazungukwa na vita huku na kule pia bahari imefingwa sasa njia pekee ambayo inabaki nikupitia Rwanda kwakuelekea mahali pengine pote
@SattoMagodi
@SattoMagodi 3 күн бұрын
Umoja wamatifa isaidien congo watoto hawana pakwenda
@FelixMurishi
@FelixMurishi 7 күн бұрын
Nyie bila Kagame kuuwawa,ni shida😊
@AlfredHabimana-u7w
@AlfredHabimana-u7w 7 күн бұрын
Wameungwa mkono na Rwanda wewe ulijua je we mtangazaji?
@gjlisa
@gjlisa 6 күн бұрын
Ongea Kiswahili msichana wakati unaojiwa ktk kipindi cha bbc swahili ili adhira yako iweze kukuelewa
@StanleyNguwa
@StanleyNguwa 6 күн бұрын
Serikali za kiafrica viongoz n wasenge tu.
@Pemba2024-v8n
@Pemba2024-v8n 6 күн бұрын
Marais wa bara la Africa waeke kikao haraka ili wamwite rais wa Congo ili awasikilize waasi M23 shida yao Nini ? ili Amani haraka ipatikane vita hadi lini?
@Pemba2024-v8n
@Pemba2024-v8n 6 күн бұрын
Kupeleka majeshi mingi na silaha mnzito sio suluhisho la vita congo ila siasa za kidiplomasia ndio rasilimali
@ce-08
@ce-08 6 күн бұрын
Hapo wapigane tu ndyo suluhisho ili na Rwanda aonje tamu yakushambuliwa kutoka kwa adui wa nchi nyingne
@hopemwalemwale2100
@hopemwalemwale2100 6 күн бұрын
@@ce-08 jua Rwanda pia haiko pekee yake chokoza uone
@samwelkayanda5204
@samwelkayanda5204 6 күн бұрын
Hao MONUSCO kazi yao ni nini sasa kama raia ambao hawana hatia wanauawa wanakua wakimbizi ndani na nje ya nchi yao na wenyewe wapo tu kwani wenyewe hulinda nini sasa
@OmarAweis-of7ru
@OmarAweis-of7ru 6 күн бұрын
Hakuna mazungumzo na m23 Ni Congo kushirikiana na wazelendo na kupambana nao uso kwa uso. Kwani kukiwa na mazungumzo wanarudi Rwanda na kujipanga tena na kurudi na nguvu mpya. Na Kama Congo watasaidiwa kupewa silaha nasi wapambane na hali zao na kufungua Rwanda kumpiga Kagame na WAO washirikiane na wahutu. Vikosi vya umoja wa mataifa ni wizi tu hawana msaada wowote pia WAO husemekana kuuza silaha kwa almasi au dhahabu
@shilakodeni2853
@shilakodeni2853 6 күн бұрын
Mimi nipo nashindwa kuwaelewa sasa kagame anakataha eti m23 sio watu wake kwaiyo wa naenda kuongeanini narahisi wa Congo
@MahmoodAbas-x2y
@MahmoodAbas-x2y 6 күн бұрын
Ktk ma amuzi yao wasijichanganye Ku umaliza kwa kidiporomasiya Africa itakuwa imeshinwa watajuta badae.Wapigane mpaka mwisho.
@Savio29-mp1vx
@Savio29-mp1vx 6 күн бұрын
Awonawo nimajyambazi kamacyakila nicyidogo Marori ariyobeba cyakura cyawo yapo mangapi Siwatwambiye twende dushushe
@LucySimba
@LucySimba 7 күн бұрын
Kama mimi ningekua Rais wa Congo nigeruhusu URUSi iingilie Mapigano hayo Kagame aache uchokozi 🙏🏼
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 6 күн бұрын
sio rahisi mikataba ndo CHANZO CHA vurugu ilonalo kugeukia urusi nimbaya
@MoshiaAbdullah
@MoshiaAbdullah 6 күн бұрын
Kama Rwanda kunaubaya mbona wakimbizi wakongo wanapokelewa acheni uchonganishi raisi wao nimsaliti tu anafanya yeye anasingizia Rwanda ashindwe
@florencenyaremezo6152
@florencenyaremezo6152 7 күн бұрын
Sio jesho la rwanda na watoto wa congomani wa merudi kwao
@NepporSabith
@NepporSabith 7 күн бұрын
TUACHE kwendelea kuituhumu Rwanda ,Kam wanajeshi wa CONGO hawawezi kujirinda wakishirikiana mamruki wakizungu,SADEC,Na WAZARENDO,je mnataka nini kifanyike zaidi yamazungumzo ????
@josuensiama1777
@josuensiama1777 7 күн бұрын
Wewe ni mnyarwanda , kwa mujibu ya wewe waKongo wauliwe kwa M23 ?
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 күн бұрын
Pk unachopanda utavuna
@hillaryngowi
@hillaryngowi 6 күн бұрын
Aw
@salmonnestory
@salmonnestory 7 күн бұрын
Huyo Miriam Otutu kanikera sana ushaambiwa ni bbc swahili unaenda kama mtathimini wa masuala ya kisiasa unachanganya lugha za nini? Kwamba hukujiandaa? Kanikera sana
@danwayne786
@danwayne786 7 күн бұрын
BBC ina faa kukagua wachambuzi kama wana fahamu lugha ya Kiswahili. Ama wapewe watafsiri basi.
@LucySimba
@LucySimba 7 күн бұрын
Je wakati watakaa kupatanishwa M23 au Rwanda yenyewe itakubali kuachilia Aldhi ya wacongo?? Kama hamna ni Rais wa Congo Aombe msaada kutoka Mataifa mengine Polo Kagame aache uchokozi
@esuthoby7865
@esuthoby7865 7 күн бұрын
Ninyi waandishi wa habari, mnahitaji kujua historia ya huo mgogoro. Mnatakiwa kuelimisha nchi ambazo hazielewi huo mzozo. Nchi za ulaya zenye interest na congo wamebaðilisha mwelekeo, at rwanda wanataka madini,huo ni uwongo,wao ndo wanataka waendekee kuiba madini wakijidai wanalinda amani. Sasa hawataki hao wakongo wa m23 wanaozungumza kirwanda wafaidi mali zao.wanawaita warwanda kisa lugha.
@amaskaisimbi9130
@amaskaisimbi9130 6 күн бұрын
Sadec mwende kwenu pia kwenu wanawuawa kwawenyewe mumeshindwa kushugurikia wanainchi wenu ,mtashugulikia wakwetu. Mtakufia kwa hio zahawu ya congo. Kwanini Kagame akue kwahio mkutano Yawacongo?
@ErickWankuru
@ErickWankuru 6 күн бұрын
Wakongo amkeni nchi yenu inachukuliwa mbele ya macho yenu
@gjlisa
@gjlisa 6 күн бұрын
Miriam ogutu
@SerageSaide
@SerageSaide 7 күн бұрын
Miriam otutu kanikera unaenda kama😂😂😂😂😂😂😂😂
@johnkjamal1317
@johnkjamal1317 6 күн бұрын
Kilakinamwanzo hakikosimwisho
@NoahDaudi-j7y
@NoahDaudi-j7y 7 күн бұрын
Vp
@sarrgodanaguyo3892
@sarrgodanaguyo3892 6 күн бұрын
Vita ya wafrica haita isha viongozi nidio wanafiki kugonganisha inchi kwa inchi nyingine
@adelikelivisadelikelivis9051
@adelikelivisadelikelivis9051 7 күн бұрын
Mambo magumu DRC Kazi kubwa ifanyike amani ipatikane Tumechoka kuona na kusikia vilio na mabom Africa ni ndugu 😢
Mzozo wa DRC na Rwanda... Katika Dira ya Dunia TV Ijumaa 07/02/2025
28:15
SADC na EAC wakutana kuhusu DRC
8:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 6 М.
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
Hilarious FAKE TONGUE Prank by WEDNESDAY😏🖤
0:39
La La Life Shorts
Рет қаралды 44 МЛН
"Идеальное" преступление
0:39
Кик Брейнс
Рет қаралды 1,4 МЛН
Thank you mommy 😊💝 #shorts
0:24
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 33 МЛН
What will happen in 2025? - The Global Story podcast, BBC World Service
38:19
Diamond Platnumz - Nitafanyaje (Official Music Video)
4:55
Diamond Platnumz
Рет қаралды 2 МЛН
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 57 М.
M23 leaders walk the streets of captured DR Congo city of Goma | AFP
2:08
AFP News Agency
Рет қаралды 1,3 МЛН
Deep Learning Interview Prep Course
3:59:50
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 539 М.
COP29: Climate Finance at Scale for Global Decarbonization
1:23:54
E-axes Forum on Climate Change, Macro and, Finance
Рет қаралды 11 М.
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 06/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 30 М.
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН