Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 30
@yassirsamir51105 сағат бұрын
Mdogo mdogo Bro watafika safari Ni Ndefu 💯💯💯
@Ali-gq3fb5 сағат бұрын
Diamond alijifunza mengi pale alipowapeleka harmonize na rayvanny kimataifa mwisho wakaingia tamaa wakamkimbia na kumtukana kwa juu na ukiamgalia ata hao kondegang na nextlevel wanaogopa kuwapush wasanii wao coz wanajua wakiwa wakubwa watawakimbia
@PhillyAmbilikileСағат бұрын
Kwani alikua hanufaiki mbona unaongea vitu ambavyo havina maana wewe wale ni juhudi zao binafsi afu mboso Anaimba mziki aina Moja sana zuchu alianza kumchiti mond
@Sunflower001-xt3ouСағат бұрын
Basi angewacha ku sign wasanii, kushinda kufungia wenzake njia akumbuke hao vijana wamemuamini na talent zao , wako pale kukwamua familia zao , na wanakata 60% yao , hio ni dhulma na hata yeye Mungu hatomfungulia
@123456789381292 сағат бұрын
Diamond ana Akili sana tena anaona jinsi akiwafikisha international wanajiona wakubwa kama yeye na kuwa wapinzane wake. Amejifunza kitu 😮😮😮😮😮😮
@AsheruNajimu2 сағат бұрын
Best recap💯
@KamalAbdousaidi3 сағат бұрын
Wandishi wa bongo mnakariri sana na namba za youtube wengine huko wapo bize na mauzo ya Platforms zingine zinaolipa vizuri na shows kwenye nchi tafauti
@agnessnkandi5229Сағат бұрын
Mboso ni mswahili sana, halafu zuchu ni utoto sana, so hawezi kwenda kimataifa
@PhillyAmbilikileСағат бұрын
🎉🎉🎉🎉unaakili sana
@Sunflower001-xt3ou13 минут бұрын
Zuchu Ana utoto ungewacha chuki ungeelewa movements za zuchu 😂😂😂😂, hakuna msanii Ana akili pale wcb kama zuchu
@alphoncemtahuka99384 сағат бұрын
Kwasasa kimataifa ni ngumu kwakua akiwapeleka wanamkimbia ko wakibaki nyumban ukimkimbia huezi toboa kimataifa ko utafia hapahapa
@nabukyeKanefu4 сағат бұрын
Lava lava anajuwa mpubavu
@Sunflower001-xt3ou55 минут бұрын
Lakini hao manager lazima wapitishwe na the main management, hawawezi fanya maamuzi wenyewe, they should give flexibility kwa managers wa wasanii wao ,
@mzeezidane40603 сағат бұрын
Giant man ameongea ukweli
@SifaEmma2 сағат бұрын
Harmonize Mzee Popo ameroga accounts za Wasanii wa WCB kwenye youtube..eti Kimataifa !!!!!!❌❌❌❌😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Sunflower001-xt3ou57 минут бұрын
Kwanza zuchu wanamchelewesha sana , wanataka ku.geuza kama mbosso ana hit tu east africa ,zuchu is being wasted, hata simba aliwacha kupost ngoma za zuchu kabisa ,sijui ndo anaogopa kuambiwa anapush mwanamke wake, ila wanatumia nguvu nyingi kwa mbosso, zuchu anajipambania sana kama si bidii yake ange sha shuka
@ogdosho935 сағат бұрын
Lavalava ndo mkia😂😂
@zanzibarboyzanzibar5094 сағат бұрын
Kimataiafa😂😂 EastAfrica kufika Kimataifa bado safari Ndefu sana
@Sunflower001-xt3ou14 минут бұрын
Ila mkiongea msi sahau wasanii magumu wanawapitia kwenye label kuna vikwazo Vingi, kama zuchu collabo na kina adekunle aliwatafuta mwenyewe,msilaumu sanaa wasanii.
@InsumbazoseСағат бұрын
Jacob ametisha kwenye vitu hivi
@muslimdafatima80034 сағат бұрын
Wakirudi utaifani wanamtukana boss
@KamalAbdousaidi3 сағат бұрын
Mbona kwenye interview ya pale aéroport alisema kollabo alizitafuta mwenyewe na amelipia kila kitu mwenyewe ila wakina zuch na mboso wanalinda diamond ndo alifanye kilakitu kwahio watachelewa
@PhillyAmbilikileСағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉konde jitihada binafsi
@KamalAbdousaidi20 минут бұрын
Y@@PhillyAmbilikilesana
@veronicamccollin8212Сағат бұрын
Translate please!
@glowingspirit606Сағат бұрын
Mmesexualize sana hii big 3 mfanye na ya wadada.
@zanzibarboyzanzibar5094 сағат бұрын
Mnaendelea Kukariri tena Unasema wakitaka Msanii yoyote akitaka Collaboration kwa Wasanii wa Africa anampata. Unajitekenya na kucheka Mwenyewe unafikia hao kina Burnboy sijui Rema wanapatikana Easy kama hivyo? alafu kama yeye Mwenyewe Mkubwa why awatafutie Collaborations na Wasanii wa Nchi nyengine? So awapeleke Mwenyewe kimataifa?😂😂
@ericnzaro91383 сағат бұрын
Wewe Basi Ni zuzu kweli. We kwa akili zako ndogo unafikiri wiz kid angefika international kwa kufanya colabo na Vybz Kartel pekee?
@AsheruNajimuСағат бұрын
Hauna hoja kiongozi collabo zipo sio lazima hao
@zanzibarboyzanzibar509Сағат бұрын
@@ericnzaro9138 Matusi ya nini Tena hapa Zuzu wewe? Kama Boss wao mkubwa tena wasanii wengine wa nini?