Kabisa aisee jamaa ni yuko katikati hana upande kabisaa kama SMA
@suleymuntar3544Сағат бұрын
Nyinyi ni wapuuzi hamuuoni upande wake kwa sabab yuko upande wenu sio acha kila mtu awe upande wake as long as unaakili timamu unajua kipi sahihi kipi sio sahihi
@felisteronesmo3091Сағат бұрын
Tulisemaga tuko mwanzo kua , Masubi mtu na nusu hamkuelewa .. hayupo drived na emotions
@salehkhalfan7345Сағат бұрын
Wacha tuone itakuaje ila Israhell na Shaytanyahu mara nying hua haimsikilizi mtu hata bwaanke anaempa kila kitu
@MfikaMkumbwa5 сағат бұрын
Muko vzr sana, Asante sanaa kwa taarifa
@ahmadabdu29985 сағат бұрын
Ally na Smaa mpo vzry snaaa 💪💪
@hemedmwipopo7806 сағат бұрын
Shukrani Tupeni habari.
@HassanLumuliko5 сағат бұрын
Hongera mnachambua kwa uhalisia bila kupendelea.
@suleimanmselemsuleiman9354 сағат бұрын
Wanafeli uharibifu mkubwa umefanyika hawasemi na hawaendi deep hawa kina SMA.
@ajsmainde51384 сағат бұрын
ridhika na unachokipata, majamaa wanafanya kazi kubwa sana🎉🎉🎉
@athumanshaban4 сағат бұрын
mko vizuri sana kuliko chanel yoyote inayozungumzia siasa ila mgelekebisha utoaji Gps maana kunalipoti inatoka juma nne nyie mnakuja kuizungumzia juma tatu unakuta imesha poa tunajua kazi mnayofanya ni ngumu ila mngejitahidi kuwa mnatoa Gps angalau kwa wiki mara 2 tunawapenda sana natupo nyuma yenu hata kwa kidogo tulicho nacho tutawasapoti msichoke kila kipindi mue mnatutajia namba
@AbelCharles-co6qb3 сағат бұрын
Me nadhan 2kubaliane kwamba mchambuz wetu ni masubi ...yupo katkat..haoneshi mahaba...asante
@josephm42332 сағат бұрын
Timu yote ya GPS iko vizuri, tusiwagawanye wachambuzi wetu
@SwedyMohamed-vt5zmСағат бұрын
Sehemu kubwa wote wako vizuri
@felisteronesmo3091Сағат бұрын
Ni masubi ndio yupo kati .. Henry anaendaga na upepo .. hasipokuwepo Smaa Henry anakua katikati japo mizqni inaegemeaga Israel ..
@bashiryusuph71096 сағат бұрын
Leo mapema sana, hii habari imesubiriwa sana na wadau
@ahmadabdu29984 сағат бұрын
Aisee Smaa🙌🙌
@SalimKombo-xo4pq2 сағат бұрын
Smaa your every intelligence 👏
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Uko vizuri kaka dj asmaa umegundua kwa hawana uwezo wowote bali wanaplopaganda t
@FilbertRobert-e4u33 минут бұрын
Asanteni sana kwa taarifa wajomba
@kenbertkikonde-yx2dj5 сағат бұрын
Safi bro endelea kutuhabarisha tuko pamoja.
@KraudiJinioro6 сағат бұрын
Nawapenda San
@JamesJastin-bg1rx5 сағат бұрын
Nawakubali sana wazee wa kazi hapo mjengoni
@hameedm83616 сағат бұрын
Iron dome ilifeli😂😂 wacha stori nyingi hata makombora ya hamasi yanapita
@rehemahamza-l5u6 сағат бұрын
Leo mapema nilisubili kwamuda sana sema Henry nae uchambuzi wake mzuri
@kalekela-j1e4 сағат бұрын
Mungu awabariki sana wana GPS
@ZamgoyadanielZamgoya5 сағат бұрын
Yan aly masubi anajifnya mjuj sna
@mahmoudmzee-pr3vs3 сағат бұрын
Sio anajifanya watu wanajinza ndugu yang
@NyanchokaChacha6 сағат бұрын
Hongera sana GPS
@yasinikimangale14726 сағат бұрын
Tunawapata vizur sana
@ReyzDon4 сағат бұрын
DJ Sma anachambua kishabiki Sana tofauti na Ali masubi
@Daudimakaza-s1v3 сағат бұрын
Cio mmj ukwr unatakiw kusemwa
@allyslim77743 сағат бұрын
sawa ila mimi uwa napendaga sana kusoma coment za watu na majina yao ili nijue upande wao ktk aya mambo ya mashariki ya kati utagundua tu apa uizrael na uharabu asa hawa watanzania wasielewa izrael vzur
@felisteronesmo3091Сағат бұрын
Lipo wazi, na ndio sifa ya Mchambuzi wakimataifa yeyote yule hapaswi kua drived emotionally... Uzuri wote waislamu, tuwaachie wenyewe wajitathmini
@nyandwirulaye703129 минут бұрын
Bro,nafuatilia kwa karibu sana.
@abdulsalamy987226 минут бұрын
Dj smaah uko vzr kwa uchanbuzi
@HajiHaji-w2nСағат бұрын
DJ Sma, upo sahihi sana pia hesbullah Nasrallah alikua ni kiongozi wa kisiasa, lkn ktk military structure yao, kuna kiongozi wa siri ambae wamesema hawamtaji hio ndiombinu wanayoitumia tokea auliwe Nasrallah
@osmanmohammedosman54936 сағат бұрын
Henry akikosekana hainogi Sana
@FredMwamgogwa-td6ni2 сағат бұрын
Safi sana kwakutupa habari.
@hamadiharuna99745 сағат бұрын
Dj sma umerudi nyuma sana kiuchambuzi sijue una tatizo gani my young brother
@golebenson45975 сағат бұрын
Kwa Sasa anadili na ndinga za kisasa anakula Bata kiasi then atarudi sawa.
@jonasmrema85504 сағат бұрын
Umezoea kusikia habari unazozitaka
@mussalusinde10224 сағат бұрын
Smaa labda haupo makini nae tu mzee wa kujoini doti
@mussalusinde10224 сағат бұрын
Labda haupo makini nae tu Dj smaa ni mzee wa kujoini doti
@mahmoudmzee-pr3vs3 сағат бұрын
Sma bado Yuko vizur tega aikio
@yahayaannu36636 сағат бұрын
Niliona tweet ya msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari aliwaambia raia wa Israel waache kupost picha za madhara ya makombora kwamba wanawapa Adui yao Ushindi
@sultanbakary42925 сағат бұрын
😂😂😂😂
@JeannetteManirambona-o6m5 сағат бұрын
Hawataki wa inje wajue 😂😂
@yahayaannu36634 сағат бұрын
@@JeannetteManirambona-o6m yaa 💯
@marlonstudios44082 сағат бұрын
😂😂
@Abuunuwayra6 сағат бұрын
Ilikua Naisubiri Sana Hi Cku Aky yañi Leo Angekosekana Dj Smaa Ngekua Kama Mchuzi usio Na Chumvi😂😂😂😂
@domajosep37973 сағат бұрын
Hongeleni sana
@LusajoJuma5 сағат бұрын
Nimesubir sana aisee hii sehemu
@ManusuraWalumona5 сағат бұрын
Unajua tena tim yako ikiwa uwanjani unavyo kua nafuraha ya kujua matokeo ya mechi naam mmetuambia kua mnatundalia mambo mazuri zaidi niseme tu!kua tupo katika intidhar tuko pamoja5/5❤
@Gulfnas15 сағат бұрын
Tumekubaliana Iron Dome sio kma tulivyo ambiwa 🎉
@MuzafarSaid-k8w3 сағат бұрын
HONGERENI SANA LKN NAIOMBA SANA SEREKALI YETU IMCHUKUE ALI KWENYE JESHI LETU LA TZ ANA KITU KIKUBWA UYU ATASAIDIA MENGI SA
@felisteronesmo309157 минут бұрын
Ni mtu na nusu huyo .. anajua anachokifanya
@khafidhabdi250242 минут бұрын
Brother sky,mualike prof Hamza Njozi,tuchote madini yake pia kwenye GPS
@husseinmohamed12233 сағат бұрын
SNS NA GPS ni kiboko ya online TV na uchambuzi wa Habari za kimataifa! Mpo juu sana
@husseinhemedi93146 сағат бұрын
Nimeisubir kwa ham xan GPS
@AGM196975 сағат бұрын
Ally Masubi pia anajua vizuri anachoongea, ni mchambuzi anayezama sana ktk kutafuta details internationally na kuzichambua
@AFRICA_D6696 сағат бұрын
Israel haijawahi kuishambulia Iran kwa kulipiza kisasi ama kwa uchokozi ndani kabsa ya ariidhi yao, ismail haniel hawakukili wala kukataa kwahyo inaonesha kuwa bdo nikitendawili kwa mzayuni kuvaana na muwajemi kivitendo pasipo kutumia ujasusi wa CIA&MOSSAD
@MohammedSaleh-t5h2 сағат бұрын
Good job guy's
@disanatv44856 сағат бұрын
Apa sawa, Watu wa Maana kabisa Say ALAAAAAA kama umependa hii GPS.😂😂😂
@mozamoza39602 сағат бұрын
Mungu ajalie tuu wasimuuwi Kaminei
@FilbertRobert-e4u4 минут бұрын
Hiyo ni kweli make mpango uliopo ally hamenei yupo target
@JohnLemanya5 сағат бұрын
hongelaka
@AFRICA_D6696 сағат бұрын
Makombora matano yamerushwa kutokea rebanon nakupiga katika viunga vya bandari ya HAIFA Israel nakujeruwi watano, bado israel inafanya uchunguzi kujuwa ni vipi makombora hayo yamefanikiwa kupenya katika mifumo ya ulinzi wa anga
@AliNassor-qt6fm6 сағат бұрын
Kiuweli ulinzi wa Israel ni mbovu kupitiliza kila siku makombora ya Lebanon yanatwanga base za Israel
@saleemsuleiman22206 сағат бұрын
Tulia dawa iwaingiee vizuri
@AFRICA_D6695 сағат бұрын
@@saleemsuleiman2220 ukitaka dawa ituingie kalipize kwanza huko tehran
@benardmakori40123 сағат бұрын
Dj sma nimeamini si mchambuzi ila ni shabiki tu hana uhakika ama usahihi wowote na kile anachongea😂
@felisteronesmo309153 минут бұрын
Is not the Master of his own emotions ..
@barakaphilemon9538Сағат бұрын
Ali yuko vizur sana
@felisteronesmo309155 минут бұрын
Anajua huyo ..
@UUWF6 сағат бұрын
Namsubiri ally masubi jitu la miraba 4 Huyo jamaa alipaswa awe America comand
@DeeJuma-dj1tb6 сағат бұрын
Love over the gold
@mnomatvKE6 сағат бұрын
Mapema ndo best
@spearnyondo4590Сағат бұрын
That picture of Benjamin running is an old picture.....that is when they where voting search....
@SeifMassoud45 минут бұрын
Unajua mimi nataka niulize suali, Watu wakiongelea ulinzi wa anga wa Israel wanasema one of the best air defence in the world, Amepigana na nani mwenye nguvu ukapimwa kweli kuwa ni best in the world? Au marocket ya hamas na Hizbollah
@TheBabel5 сағат бұрын
Kuna taarifa ilitolewa na CNN kwamba imebaki 48hrs ili Iran iwe Nuclear power
@kalekela-j1eСағат бұрын
Uongozi wanao ndugu yangu. Ndio kwa mana majeshi ya ardhi ya Israeli hayajaingia Lebanon
@johnmichaellukindo215 сағат бұрын
GPS nawasifu lakini nyinyi jamaa anti Israel taifa teule 😁
@BrightBautSoldierMhoneСағат бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@khalidbelhasa21376 сағат бұрын
Kwanza Tukubaliane na Dj Smaa Kuhusu. Irone Dome, sio ulinzi bora kama tulivokua tukiaminishwa. Dj Smaa Alikua sahihi.
@saleemsuleiman22206 сағат бұрын
Western media wanasifia tu 😂😂😂
@paulvimbamvula95085 сағат бұрын
Iron dome ni ubora zaidi duniani....awo ana bisha ba hawo wapo kwenye upande wa ushabiki fulani. Ndio dunia haina kila kithu asilinia 💯 kwa Hawo washayenda shule hawezi kubisha ili.....bada Irani kurusha ballistic missiles kwa dakika 12 nakuongia anga ya Israel,ni mangapi ma missiles ya Iran yalifanikiwa kulenga targets? Yaliuwa muntu moja nae tena mu Palistina ilikuwa kipande si bom lenyewe bada la kutunguliwa na Iron dome. Pia mufaham Iron Dom leaves system hakuna inchi ingini dunian anamiliki zaidi Israel na Mu American..walitenfeneza ni ma Israels. Je ku kama Israel inchi idogo ki geagafia ilikuwa bila mu fumo huwo wa Iron dome....leo habari ilikuwa ingini ashafutwa. Sasa kwamutazano wenu wana GPS Israel ikuamuwa kurusha ballistic missiles sawo Mia 2 kama vile Iran 🇮🇷 ku Iran inauwezo waku Linda anga yao kama wa Israels 🇮🇱? Kuna semekana 7 ballistic missiles out of 181 ndizo zilifanikia kupenya Iron dome. Kwa huwu mtazamo maana yake Iron dome ni mfumo uzili kwa asilinia 93%
@paulvimbamvula95085 сағат бұрын
@@saleemsuleiman2220Hapana ni mfumo uzurj sana duniani ata Mu arusi anautafuta....bila uwo mfumo Israel ilokuwa ishafutwa...apa dunian
@marlonstudios44084 сағат бұрын
@@paulvimbamvula9508urusi atafute iron dome??? Umekunywa togwa nini… kwanza usikute ata hujui iron dome ina zuia makombora gani
@habarinamichezo64273 сағат бұрын
Pitia lebanon, Yemen kisha Palestine alafu uje kucoment hakuna kinga yeyote yenye 100% duniani anzia sabuni, condom mbka makombora
@MohammedBwanga55 минут бұрын
Ali tuseme bado mifumo ya Israel imesaidiwa kukingwa na marekani uingereza,France,na Jordan na pia zimepenya kwyo bado iron dome inasaidiwa na majirani lkn pia zimepenya.
@MAHAN-SMART6 сағат бұрын
Hatimae GPS imefikaa
@lionroot40736 сағат бұрын
Wana nilisubiri na kusubiri tuko pamoja from Sweden
@saleemsuleiman22206 сағат бұрын
Sweden 😂
@worldviraltravellerspecialist4 сағат бұрын
Yo Uko mahali gani Sweden
@SultanrawahyСағат бұрын
Dj smaaa❤
@abdullahmapesa4 сағат бұрын
Mimi kitu nilikuwa nasubiri nione zile kauli za Hezbollah wakizuru raia wetu na Sisi tutazuru raia Wao🤔
@shaibmahamudu86222 сағат бұрын
Pamoja
@ALLYLUKONGE-ve2ci5 сағат бұрын
Gps huraaaaaa
@salumabdallah29905 сағат бұрын
Ali masubi leo umechambuwa kwa kina😂
@RobertBitambaOfficial5 сағат бұрын
Endeleeni kutupa ukweli jamani habari nyingi tunapewa ni za uongo
@Williamstozzo6 сағат бұрын
Dj smaa daaah ,,,unafanya kama watu wengine hawajui chochote kinachowndelea
@JeannetteManirambona-o6m6 сағат бұрын
😂😂
@ReyzDon4 сағат бұрын
Kaka Ali kuna mtanzania alienda Israel akasema kwamba taarifa ya vita kutokea baina ya Israel na hamasi walipema kabda ya hata vita yenyewe kutokea so nimipanga ambayo imepangwa mda mrefu
@rajdaboy25 минут бұрын
Nikiwa Nairobi Kenya nawapata GPS
@nick1o7bang176 сағат бұрын
Nimesubiri sn iii swala nikiripoti kutoka apa USA 🇺🇸. Nitatuoa mtazamo wangu apa
@yassinmohamed82416 сағат бұрын
Muislam akifa katika kupigana jihadi akifumba fumbua yupozake fildaus ila mazayuni wakifa tu finari jahanam viva muslim viva wapenda haki ❤
@Williamstozzo5 сағат бұрын
Haha
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Kweli kabisa nilimuona yule shoga akikimbia kutoka kwenye nyumba
@SalimKombo-xo4pq3 сағат бұрын
Sijambo
@suleymuntar35443 сағат бұрын
Sky unatoa taarifa nusu nusu ulianza taarifa ya wanajeshi wa israel walitaka kufanya ground invesion kilichowakuta wanajeshi hao hujasema umeruka au kwenye taarifa yako aikuandikwa
@kanankirannko61745 сағат бұрын
Mhhhhh mi naona bora waelewane
@SalimKombo-xo4pq2 сағат бұрын
Henry leo yoko wapi
@yuscoramadhan846248 минут бұрын
Tunao fuatilia 2ache mapenzi hayana faida kwe2 tufuatilie kwa ajili ya kujifunza
@Williamstozzo5 сағат бұрын
Masudi uko sahihi,,, kuhusu iran.marekani na israel wanamtaka Iran na Wala Soo hesbollar.idf kwa sasa wametengeneza kitengo maalumu kwa ajili ya Iran
@UpdatesDocumentariesTv6 сағат бұрын
Mh...haya mapigano ni endless Kila kukucha jipya
@henrymatebe4 сағат бұрын
Binafsi naamini makombora ya Iran hayajaleta madhara ya ki vile kwa Israel, Ila Iran itashuhudia vituko vya mabigo kutoka Israel
@kamilagwajuma83846 сағат бұрын
Dah at last
@kalekela-j1e3 сағат бұрын
NDEGE ZA ISRAELI ZITADUNGULIWA. Kumbukeni Iran alivyokata mawasiliano ya ndege za Marekani na Iran akaziongoza mwenyewe. Kumbukeni namna ndege ya thamani kubwa ya Marekani ambayo iliaminika haiwezi kuchukuliwa na rada wala kupigwa picha, lakini Iran aliipiga picha. Iran kadungua ndege nyingi sana za thamani za Marekani.
@kalekela-j1e2 сағат бұрын
Ndugu zangu, Marekani atapigwa Mashariki ya Kati. Maslahi yake yote yatachomwa moto kabla ndege zake hazijafika Iran. Aminini hivyo
@FranckDaniel-cc5rg3 сағат бұрын
Kwan urus mbona mmeisusa sana au mshahongwa,mnaanza kuringa
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Uko sahihi hawana ulinzi wowote wala hawanauwezo wa kivita bali wanajitngaza tu kupitia vyombo vyao vya habari maana wao ndio wanaotupangia cha kuskiliza lakin hawa urusi na iran na china na korea ambao hatuja wahi kuwaskia kwenye vyombo vya habari ni hatari kuliko marekani na washirikina wake na
@Kokubrm6 сағат бұрын
Nimechoka kuona hizi vita dah! Hamna vitu positive kweli mitandaoni, ambayo inawafanya watu wajisikie vizuri zidi ya vita na vifo kila siku kila kona.
@AGM196976 сағат бұрын
Wala usichoke hizo, zitakuwepo mpaka siku Yesu Kristo atakapokuja kuhukumu Ulimwenguni wote
@salumabdallah29906 сағат бұрын
Issa bin maryam@@AGM19697
@golebenson45975 сағат бұрын
Acha wazichape kwani Kuna ubaya Gani mbona waliwanyanyasa babu zetu
@kalekela-j1e2 сағат бұрын
Dj Sma anazungumza ukweli.
@mobutu3884Сағат бұрын
Ukweli upi ambao yeye ameuona peke yake 😂 kwani sisi unadhani hatufatilii 😂, yeye huyo anachofanya anahis ila hana uhakika kwa kifupi anaunganisha dot, anayeongea ukweli ni masubi tu 😂
@hamismiraji35916 сағат бұрын
Rudia taarifa za presstive kuhusu mashambulizi wamethibitisha kutumia hypersonic missile
@KessyMkali-ol5hi3 сағат бұрын
Nimesikia Ali. Kasema Israel wanapiga Hezbollah wasijibu. I think it is not well an option kuto kujibu. Israel ni muoga kuuwa wanajeshi wake. Inabidi ndiyo maana Hezbollah wana counter attacks piga nikupigie. Kwa hiyo wanachofanya Hezbollah ni sahii kujibu kwa mimi.
@MohammedBwanga37 минут бұрын
Na mpaka saivi inainekana israel hamuuwezi iran bila marekani ,sababu hii. Ni mara ya p2 kupigwa na iran. Kw. Mtindo huuo llkn bado hajibu na akijib just afanye kitu kidogo aonekane kafanya.
@salumabdallah29903 сағат бұрын
Iyo meli wakipeleka pale ya kubebea ndege itashambuliwa tu😂
@nickbrown83506 сағат бұрын
✊👊
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Dj asmaa umekigundua hiko kitu ambaxho wengi wanajua kile wanacho tangaziwa na magharibi na marekani lakin kwenye uhaisia ni kinyume kabisa na hilo tunaliona kwenye uwanja wa mapamabano mwaka sasa umeisha mateka hawjaweza kuwakomboa na hamas bado ipo
@mobutu38842 сағат бұрын
Israel akiamua kuokoa mateka haichukui hata dakika 10 😂 ila hiyo ni mbinu inayomsaidia aendelee kuichakaza hesbollah, akiwaokoa siatakosa sababu ya kuendelea, inabidi ujue israel ana jambo lake tokea kitambo na jambo lake mtalijua tu soon 😂 someni alama mjiongeze
@khamsjabdullah6912 сағат бұрын
Hakuna gps bora kama inayokusa wote mtu nne tunawaomba wahusika wa gps wajitahidi japo kuwa hatuna cha kuwalipa wajue elimu yao itadumu milele