Рет қаралды 4,082
SAID MKOLA Amvunja ALI KAMWE Mbavu, Amlipua IBRAHIM CLASS - "NITAMPA BWANGA ILI UACHE NGUMI"
MABONDIA wote watakaocheza pambano la 'DAR BOXING DERBY' Juni 29, 2024 wametembelea makao makuu ya Yanga kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali.
Mbali na matembezi klabu ya Yanga pia wamekuridhia kushirikiana na Peaktime Media katika maandalizi ya pambano hilo litakalochezwa katika viwanja vya Posta jijini Dar.