Wanachoongelea ni tofauti ya mitazamo iliyokawepo. Ila ukiangalia kesi haiusiani na hukumu iliyotoka. Hayo ya tofauti ya mitazamo yapo na yataendelea kuwepo ila sio bado wengi wape itasimama.
@NathanKanick2 ай бұрын
Magoma hajajitaja Kama mdhamini bali Kama mwanachama. Yupo sahihi
@BigZhumbe2 ай бұрын
Na Magoma hana shida na nani anadhaamini, yeye kasema anataka wanachama wa Yanga wanaolipa kodi waruhusiwe kuchagua kiongozi na sio kuchagua watu watano kila tawi.
@hajimnubi45812 ай бұрын
Magoma anadai kaishitaki bodi....ndio jamaa anauliza bodi Ipi?abedi wanaedai ndio mwenyekiti wa bodi aliteuliwa na Nani na kwenye kikao kipi
@DStarTz-if2ko2 ай бұрын
Bod yoyote iliobadil katba hata ww ungewkilisha body ungehusika😂
@damianmcba9525Ай бұрын
@@BigZhumbeSio kuchagua bali wanachama karibu lako wote waingie mkutanoni, sasa ukumbi anao yeye? Na pia kuwa eti yy anatambua katiba ya nqaka 68 tu,,, sasa Zingine xote wakati zinabadilishwa alikuwa Wapi? Na alikuwa anashinda jangwani kila siku ,,,, Sema alikuwa anapewa pesa na manji,, sasa hivi apatite kitu ndio kakimbuka katiba ya wadhamini ya mwaka 68? Kisa apatite kitu? Ni mchumia tumbo tu,,, Si unasikia alivyosema huyu jamaa, kuwa baba yake ni kina magoma wote walikuwa wanapata maslahi,, hapo ndo ujue yule hana uchungu wowote na Yanga bali ni tumbo tu,, kuku awachinjwi cku hizi,, anakula maharage tu , au ujamsikiliza vizuri huyu jamaa, ajaficha hata khs baba yake kuwa nae alikuwa anamegua chake
@KamchapeKachara2 ай бұрын
Uko sawa mimi ni mnyama napenda ulweli
@peterpain55942 ай бұрын
Duuuuuh sasa tunapata kujua kumbe hii yanga watu walifanya sehemu ya upigaji yule manji alitakuipeleka yanga kileleni
@zainabsimbamtoro6790Ай бұрын
Hi Tim iliyanza urubuni Kwanini wende wawili wakati kyabu yawa Huwo ulikuwa Umafiya tu
@zainabsimbamtoro6790Ай бұрын
Hii Tim yaujanjaunja Ndiomaana walikuwa wakichapana Bakora
@briankatani67702 ай бұрын
Magoma amesaidia sana kumbe Yanga haina baraza la wadhamini
@fredmbossa-kc3qn2 ай бұрын
sema walikuwa wanakabidhiana timu kihun,,mnakabidhiana timu bila hata ya wajumbe au wanachama kuhusihswa,,lita nao walikuwa na mapungufu
@HabibuSalumu-iv5wl2 ай бұрын
Hizo kumbukumbu alirithishwa,swali yeye alijibiwa kama nani
@ChristantusNyambo2 ай бұрын
Duu RITA ni watoto sana how came mtu anampa mwingine udhamini.
@codemixtz18692 ай бұрын
Hii nchi ina mambo mengi 😂
@hassankhalid24652 ай бұрын
Kumbe magoma yupo sawa!alisema amewashtaki wote7,wakawa hawaji mahakaman Ila mmoja kesi ikaendelea
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Ooooooh umefafanuwa vizuri Sana kumbe magoma nimwizi 😂😂😂😂 kwangu Mimi nimekuelewa Sana Mzee wangu wewe kaaza hivo hivo hapo kunamaokoto watakuja2 kukufata kutaka hicho cheti cha Mzee
@damianmcba9525Ай бұрын
😂😂😂 Ndo maana yake mzee wake pia aliwaacha kina magoma kwenye mataa akawa anakula kwa manji kiulaini, Sasa alivyokufa ndio Magoma akawa nae anapigia denge chance hiyo lkn ajui aingie vipi na njaa zake, Wazee wa zamani walikuwa wanashinda jangwani mikwala mingi ya uchawi wakawa wanapewa mapene daily tangu enzi ya Gulamali , sasa hivi wapo vijana akuna mshiko wa ovyo watu wanajenga timu na awaogopi mikwala "" Wazee wenye hekima kibao wapo jangwani ila wenye njaa ndio wanatafuta mwanya wa kupata doo 😂
@Gervas-l3h2 ай бұрын
Upo vzr kaka tetra ukweli
@khadijajumanne33242 ай бұрын
Sio manji bro ni njaa tu hao
@ipaparaymond36222 ай бұрын
Interim committee.
@hamadiomari92572 ай бұрын
Hoja ya Mzee magoma ni katiba wanayotumia viongozi wa sasa ni batili kuna vipengele haviko sawa ambavyo ni wanachama kuingia kwenye uchaguzi na pili kuwe na mwenyekiti wa klabu hicho ndio kilio cha Mzee magoma 😊
@LinusKyando2 ай бұрын
SIMBA TULIA
@selemanisalum76852 ай бұрын
Unataka tufanane na nyi nyi makolo kuwa na mw/kiti sijuwi katibu kwani chama cha siasa ndio uwaga na migogolo km nyiee na kina mangungu yanga imepita huko huo ni mifumo ya kizamani inayodumaza michezo ndio mana yanga ikaleta wasomi wakaweka mikakate tutoke huko tuwe na raisi ndio watu wakenda jifunza laliga wakalipwa wakaenda kozi Espenia kusoma walivyoludi ndio unaona yanga inakimbiza africa nzima kwa miaka 3 tu sasa leo nani anataka kusikia upuzi huo weshachelewa wanzishe yanga yao sio hii
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Katiba batili imepitishwaje na vyama vya serikali ina maana hyo magoma ana akili kuliko wote walopitisha katiba?? Na imetambulishwa rasmi na Rais mstaafu nae alikubali kuidanganya serikali??
@LinusKyando2 ай бұрын
KATIBA INAPITISHWA NA WENGI WAPE,HATA YA NCHI KUNA WATU WANAIPINGA NA NCHI INAENDELEA,KENGE WEWE HATUWEZI KUUSIKILIZA WAJINGA WENU SIMBA WAWILI HAO AKAPINGE KATIBA YENU
@NathanKanick2 ай бұрын
@@LinusKyandonaona unajijibu mwenyewe kwamba watu wanaipigia katiba ya serikali lakini hawasikilizwi. Sasa katiba ya Yanga ni ile ile lakini haijafwatiwa.
@JumaJidawiАй бұрын
Wewe ongea mpaka unye kinyesi lakini pale yanga upati chochote we Babu tafuta kazi ya kufanya we babu
@damianmcba9525Ай бұрын
Unataka kufilwa wewe huyu umeona anataka pesa? Au kiswahili nacho uelewi? Yy hata ajali ndio maana anawaachia waandishi hayo ya kuwauliza yanga km baada ya miezi 3 walichagua wadhamini wengine,, msikilize mwishoni anasemaje? Usilopoke tu kisa ni mfuasi wa magoma
@josephinemgomi98372 ай бұрын
Yako RITA, na labda babaako hakuondoa jina lake ndiyo maana jina lake bado liko
@hajimnubi45812 ай бұрын
Magoma anadai yeye na mwambelo walienda kumtafuta mwinyikambi usiku bagamoyo akawaambia mje kesho mapema twende mahakamani nikawakabidhi power of attorney ndio wakaenda yeye na mwambelo
Mzee kila aliye nwanachama anayo mamlaka ya kushitaki kama kuna kosa ameliona.
@WestonMbuba-ff4jk2 ай бұрын
Mwandishi ni mzito sana wa kuelewa, swali moja kaliuliza mara 5
@NgomelejiSindiyo-yt5ib2 ай бұрын
Anakazia kwa faida ya uma
@rexgodwill73532 ай бұрын
Hayooo yooote unayongea hayana issue Sana.. Point ni uwakilishi wa wanachama kwenye kupiga kura na muwakilishi wa wanachama kwenye club awe tofauti na muwakilishi wa muwekezaji hapo ndiyo aliposimamia magoma na wenzie.. Je mzee magoma na wenzie wako Sawa au hapaswi kuhoji hili? Mashitaka kwa wazamini ni kwamba usalama wa club na Mali zake uko mashakani... Kwa mdhamini yeyote anayestahili hizi hoja anapaswa kuzijibu.. Magoma yeye hajashitaki kama kiongozi Bali kama mwanachama wa kawaida tu ana haki kisheria
@BigZhumbe2 ай бұрын
Sijui anaongelea nini wakati Magoma yuko wazi hataki Uongozi anataka haki sawa kwa Wananchi kwenye kuchagua viongozi
@JumaJidawiАй бұрын
Wewevkama mamluki was Simba umifeli,pesavupati Wala chochote be iyovni njaa TU inayokusumbua tafuta kazi ya kufanya umalize njaa yako,Happ unapoteza MDA wako we Babu.
@KhalfanSeleman2 ай бұрын
Magoma yupo sahihi injinia kaingiaje kwenye uzamini
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Magoma kumbe kilaza Sana Mzee wangu unaki2 tutaongea na helesi akwangalie jicho la pili
@damianmcba9525Ай бұрын
Huyo baba yake alikuwa ndio bodies ya wadhamini peke yake ,, magoma anajua alishawahi kumtaja lkn ajui ukweli kuwa baba yake huyu alienda kuwaongeza ndio kina fatma karume na wenzake
@giftkalenge4182 ай бұрын
tumekuelewa brother
@manaseyona92602 ай бұрын
Nimemuelewa sana 🎉
@DeusiMorisi2 ай бұрын
Huyu naye hajui hawezi kutoa ushahidi mahakani
@adamummy43632 ай бұрын
Mzee magoma atampiga kurujuan huyu ije kua balaa duniani 😂😂😂maana hapa kashamvua nguo mtu mzima 😂😂😂
@MwazoaMwazoa2 ай бұрын
Yaani mie sio Yanga lkn hivi ilipofikia yanga Anaweza kutokea mtu mwenye Nia njema kweli Akaibua migogoro?
@peterpata88252 ай бұрын
Hawawezi lita kuuza Yanga …Yanga ni asili..inazuia wajanja
@khalsasalim79302 ай бұрын
Yanga apewe tuu gsm yote hatutaki watu wenye njaa njaa kuhusika na vilabu
@MartinKimbwi2 ай бұрын
😮
@LinusKyando2 ай бұрын
KESI IMEENDESHWA KWA UDANGNYIFU!!
@peterpain55942 ай бұрын
Duuuuuh yani hii yanga watu walikuwa wanapeana tu
@PauloAlfayo-qi1gn2 ай бұрын
Mzeee mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉,ila timu zetu simba yanga na baadhi ya timu mbona yote inaongozwa na uislamu ,nauliza tu nijue,kwa nini kwa sababu kama yanga ni timu ya wananchi mbona hivyo,asasnte
@amirjuma93952 ай бұрын
Hii Dar es salaam ya wazaramu na wandengereko wamanyema hao ndo wenyeji makabila haya wengi ni waislamu kwaiyo ndomaana unaona waislamu ni wengi
@raphaelmakekela21852 ай бұрын
0:36 m😮😊😊
@azizamuharam39412 ай бұрын
Nae pia ajijue tu kuwa kasema baba ake mpk kuipata yanga katoa rushwa ya sukari na unga na tunajua rushwa ni hujma
@ibrahimtanganyika27962 ай бұрын
Wote wahuni mnachanganya watu.subirini sheria ya sasa.
@josephinemgomi98372 ай бұрын
Kule RITA yapo majina ya wadhamini nenda kaulizie utapata majina
@raymondmunis35532 ай бұрын
Bado magoma kisheria anayo haki kuhoji kama mwanachama.Kumbe uhaini ulianza muda ndio maana magoma amegundua hicho kitu.
@DStarTz-if2ko2 ай бұрын
Magoma yeye kashatak kama nwanachama huru
@yahayaolomi10572 ай бұрын
Duh. Hii kali
@jumakiduka46252 ай бұрын
Bodi yote ya wadhsmini ni batili kujingana na maelezo
@KhalfanSeleman2 ай бұрын
Sasa injinia kaingia kwa latina ipi yaleyale hata hao waliopo hawatambuliki kisheria
@DM_152 ай бұрын
Hao wazee 7 ndio wakora hawakutaka kukabidhi timu ndiomaanambakaleo akina mama fatma tunaishi tukijua ndio wamiliki wa clabu. Ulafi wamadaraka UBAYA UBWELA
@magoripiru17572 ай бұрын
Nyooka unazunguka sana
@damianmcba9525Ай бұрын
Lazima aongee km ilivyo sio kukata kata km magoma
@athumanmapunda2 ай бұрын
Sawa kabisa mtoto wa juma mgomelwa
@PaulMuasya-z8cАй бұрын
Magoma kashitaki wadhamini hao saba kama mwanachama wa katiba ya 68 akiwemo mama Karume na wala hajasema yeye ni mmoja ya hawa wadhamini saba. Lakini wewe mwaandishi muite magoma hajibu ili la huyu mtoto wa Juma Mwabelo
@hassankhalid24652 ай бұрын
Inashangaza taasidi kubwa km hii yanga nyaraka zake zimehifadhiwa mitaani,,wa2 wanaangalia michuzi tu kujaza matumbo
@ZacksonMakundi2 ай бұрын
Rita ndiyo walimpa abeid udhamini baada ya kujiridhisha kuwa mwambelo amekufa
@MlokongaMnyanza2 ай бұрын
Umeingia ktk mfumo wa gsm
@HABIBHASSAN-wf5mr2 ай бұрын
ETI HUYO NDIO MWENYE YANGA HIYO TIMU NI YA WANACHAMA ..
@DStarTz-if2ko2 ай бұрын
Kama kina aman walipew mamlaka kwa muda ndio hao wanaoshtakiwa
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Kazia hapo hapo kwenye kadi ya kifo
@jamilahjamilah41572 ай бұрын
Uko sahihi sana huyo magoma mwehu
@peterpain55942 ай бұрын
Inaoneka wazee wengi walufanyaga taasisi ya selikali ambayo ni rita kama yao
@AsaelBayaga2 ай бұрын
Kwako #yanga
@bakanga14102 ай бұрын
uto oyee
@geofreychitamu3662 ай бұрын
Vilaza ni wengi mno nchini,,katiba tuliyopatia uhuru ndiyo tunayo sasa?ila njaa za wazee wengi waliokuwa yanga kipindi hicho ni stomach's transparent,
@JuhudiKasanga-yq5ks2 ай бұрын
Anazungumza nani nihawao mapandikizi ya watu wanayanga tupo swali kabisa Hilo genge la wahuni waletwe kwenye mkutano mkuu watwambie wenye timu labda wanataka kupata mafoliwazi njaa mbaya au walikuwa wapi timu ilipo kuwa inatapatapa au wameisaidia yanga kwalipi muwe mnawahoji hao wahuni
@nuruabdallahmed94952 ай бұрын
Vururu vururu. Hii ndio maana ya utopolo
@xongejayasini56562 ай бұрын
Hana data za kutosha huyu akafanye vizur homework yake
@josephinemgomi98372 ай бұрын
Tatizo huyo bwana mdogo hajitambui, kwani yeye ana nafasi gani katika Yanga? Au anadhani udhamini ni wa kurithi? Na anajidhani ana mamlaka ya kuihoji RITA? Hajitambui, angeenda huko Rita kuulixia
@ArafaMkomwele-vi2hp2 ай бұрын
Sasa lini walipelekewa majina ya viongozi waliopo madarakani?
@KosovoNaiiem2 ай бұрын
Viongozi wa yanga waondoke mahakama himetoa hukumu
@mussammanga77912 ай бұрын
Maaaaaweeee! kwani walichaguliwa na mahakamaa?
@bakanga14102 ай бұрын
Kwa hiyo yanga haipo toka 2021?
@SULEIMAN-l8v2 ай бұрын
BADO MAGOMA YUPO SAWA
@WestonMbuba-ff4jk2 ай бұрын
Wahuni sana hawa jamaa
@JeniphaDaud-qu2ib2 ай бұрын
Kwako dijei
@giftkalenge4182 ай бұрын
Du watanzania wanaakiri Dana usicheze nao
@patricklaiton89392 ай бұрын
MASKINI USIMPE DHAMANA ATAKUSALITI CHANGAMOTO YA YANGA WAMEDHAMINIWA NA MASKINI MUDA MREFU
@pinomjata6782 ай бұрын
Tatizo lipo Rita wanafanya maamuzi bila kuhusisha maamuzi ya wengi na pia mapendekezo yao hawayakufanyiwa kazi mpaka Juma Mwambelo anafariki 2021 na baada ya Mwambelo kufariki Rita walikuwa wanatambua wadhamini wa Yanga ni wakina nani? Wanaoumia ni wanachama wa Yanga kwani wachache ndio wanaofaidika na hii timu ambao wanajifunika kwenye kivuli cha mafanikio
@DStarTz-if2ko2 ай бұрын
Nakumuwakilisha mtu sio lazma uw mwnykit
@zamukahemele15052 ай бұрын
Daah ww ni hazina ya yanga
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Kumbe shida ilianzia kwa manji aliwalea hao wazee ndo mana wamezoea
@peterpata88252 ай бұрын
Kaongea kidg ila kaeleweka
@WestonMbuba-ff4jk2 ай бұрын
Maelezo haya yanaanza kunifanya nianze kuichukia Yanga. Tunatoa hela kumbe watu wengine wanazila tu
@JuliusMahinya-wl7mq2 ай бұрын
Fala mmoja
@ThomasGai-kz5cu2 ай бұрын
Kinachonishangaza ni kwamba, imekuwaje kumbukumbu za kiserikali zinazoihusu Yanga anazo kila mtu?
@VicentMillanzi2 ай бұрын
Umewaza sana mkuu... Na huyo amesema ahusiki na chochote sasa hizo nakala amepata wp? Achunguzwe uyu jamaa
@josephinemgomi98372 ай бұрын
Hivi kijana unafikiri kila kinachofanyika yanga lazima wewe upewe taarifa? Hujitambui
@seydouside40812 ай бұрын
Magita umeyasikia ya huyo alievaa kofia kama yako..umeisha magita..
@زيتونتنزانيا2 ай бұрын
Kwahiyo magoma kelele kwa sababu hapewi pesa kumbe manji alikuwa akiwpaa pesa😅
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Hta ukimsikiliza anavyojikanyaga utajua tu kma ni njaa ndo inamfanya apige kelele
@زيتونتنزانيا2 ай бұрын
@@fettiemaganza1484 ndio yanı kipindi cha manji watu walizo pesa snaa hiv saşa hawapati nafasi ndomana watu wanawaka
@AsaelBayaga2 ай бұрын
#Maulidi_kitenge
@OmaryMwigula2 ай бұрын
Eti anataka chake pumbavuu mzee wako alikuwa na tamaa
@giftkalenge4182 ай бұрын
Yanga mtumieni huyu
@saidmasoud90042 ай бұрын
Katiba ya 2011 kulifanyika mabadiliko gani?
@JohnNjuyuwi-c2t2 ай бұрын
Kama mambo ya mpira Tanzania ndiyo yako hivyo kihuni sishabikii tena wala uanachama siutaki kabisa wajanja wanatafuta pesa