Salama Na GARA B SE6 EP63 | BABA SHUGHULI PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

  Рет қаралды 45,693

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Jina MC Gara B ni miungoni mwa majina makubwa sana kwenye ulimwengu wa kazi ambayo mwenzetu huyu amechagua kuifanya. Familia yake, mke na watoto, wazazi wake na wa mkewe pengine, Ndugu jamaa na marafiki na waajiriwa wake wanakula vizuri kwasababu ya kipaji chake Ndugu yetu huyu. Ni mwanaume ambaye akiwa kazini kwake furaha na burudani ambayo huwapa wateja wake ndo inayomfanya azidi kuenda mbali kwenye tasnia hiyo ya ushereheshaji. Again, yeye ni mmoja ya BORA kadhaa ambao wanafanya kazi kama yake.
Mtandao wa kijamii ni kitu kimoja chenye nguvu sana kwenye miaka ya hivi karibuni, kwa ushahidi tulonao tushawaona wengi ‘wakitoboa’ kwasababu ya Instagram au sehemu nyengine. Mitandao iko mingi na kila mmoja na tobo lake la kufikia mjini. Kazi ambayo MC huyu huifanya yeye huenda na team yake kuiweka vizuri kisha ana post kwenye page yake yenye watu karibia MILIONI MOJA NA NUSU. Akizifikisha mjini kazi hizo wengi huvutiwa nazo na ambao wanakua wana shughuli nao bila ya shaka watamtafuta na kutaka kufanya nae kazi. Ubunifu wake ni wa kipekee kutokana na vingi na wengi ambao tumekua tukiwaona kwa miaka mingi sasa. Mtandao wa kijamii umemsaidia na unaendelea kumfanya awe bora zaidi ya jana.
Sasa, shughuli hii anayo ifanya ndo ambayo ilikua ndoto zake? Pengine alikua huku anamuona mtu fulani akiwa anaifanya hii kazi kwa ufanisi na ikamvutia? Ilikuaje mpaka akaingia huko? Kwa kumtizama haraka haraka tu utagundua Ndugu yetu ni MCHESHI, yeye anapenda kucheka na kuongea, ingawa hapo kwenye kuongea nako sio kiviiiile ila ni mtafutaji ambaye AMETIMIA. Story yake alotupa kwenye episode hii inajumuisha yeye kufanya kazi zaidi ya mbili kwenye kipindi flani hivi cha maisha yake ili aweze kuishi vizuri. Ki professional mwenzetu ni MWALIMU, ambaye hiyo kazi aliifanya hasa, na akaijumlisha na kazi ya huduma kwa wateja pale Tigo na wakati huo huo akawa anafanya kazi kwenye kiwanda kimoja hivi huko Pugu Road, hakua na wa kumdekea wala kumsubiria na hustle yake hiyo ndo ambayo anaenda nayo mpaka leo kwenye maisha yake.
Sasa kama Baba na mume kwa mkewe kipenzi ambaye naye alikutana nae sehemu ya kazi yake, Gara B ananijibu kuhusu uaminifu ambao anao kwa mkewe ambaye kwa mujibu wangu kama amekutana nae kwenye mazingira hayo, vipi hujiskia kila mara anapokua kazini mumewe ukichukulia huko ndipo walipo kutana na ndo ambapo wanawake wengi wazuri huwepo? Jibu lake lilikua na kuukonga moyo.
Alituhadhia pia kuhusu wazazi wake na jinsi ambayo ameweza kujitengenezea jina, siku ya kwanza alipopata kimeo cha ku host harusi ya watu ambayo kwa mujibu wake aliibembeleza sana na hakua amepewa nafasi, ila nafasi ilipojileta akanyoosha kwa umbali mrefu mpaka mengine yamebaki story tu. Na hii ndo ilikua simulizi yangu bora kabisa kuhusu kupata nafasi na kuzitumia vyema.
Yangu matumaini utaskiliza na kuangalia kwa makini maana humu anatupa simulizi zote za kutokata tamaa na jinsi ya kuchukua nafasi, ila pia anatuhadithia baadhi ya mitihani ambayo huja na umaarufu pia na jinsi ya kupambana nayo. Mimi nili enjoy na natumai itakua hivyo kwako pia.
Happy Holidays.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 46
@happynessdavid7921
@happynessdavid7921 Жыл бұрын
Wow naomba nilichojifunza hapa MUNGU kisitoke ktk jina la YESU
@Tyrant141
@Tyrant141 Жыл бұрын
Wow such an inspirational interview! Big up salama na Gara B
@amanmasalu7349
@amanmasalu7349 Жыл бұрын
Salama nakukubali mno very creative sista naomba utuletee mwanamama Jonisia Jacksoni Rukya mwamzi michezo wakike maridadi Tanzania hope tutajifunza kitu mwamba🎉
@evancenicholaus7739
@evancenicholaus7739 Жыл бұрын
Maadili ya kazi yake hatamruhusu kufanya mahojiano na media, mpaka astaafu
@samsonsimon2610
@samsonsimon2610 Жыл бұрын
Namkubali sana GARA B nimejifunza kupambania kile ninachokiamini
@egbartrwegasira1250
@egbartrwegasira1250 Жыл бұрын
Kutoka Rio de Janeiro ya bongo... Kule kuna vipaji vingi sana..
@NuhuMiraji
@NuhuMiraji Жыл бұрын
Salamaaaa real love u but tulete mondi❤
@paulinamaingu7460
@paulinamaingu7460 Жыл бұрын
Kwakweeeliiiii
@aasantemungusays
@aasantemungusays Жыл бұрын
Wa kwanza kuview, whatsup watu wa Tz✌🏾
@benjaminsaimon200
@benjaminsaimon200 Жыл бұрын
Sister salama #Millard ayo plz#
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Жыл бұрын
Naisubiri sana
@EmanuelisMichael-kw9nf
@EmanuelisMichael-kw9nf Жыл бұрын
Big Brother Gara B. Kubali sana Natamani Kufanya Kazi yako #Una Busara sana
@mashopluck
@mashopluck Жыл бұрын
Most Blessed Gara B
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Жыл бұрын
Ndio maana anaufanya vizuri sana uMC! Kumbe ameshakuwa mwwlimu! Big up sana Gara B
@johnyoram7876
@johnyoram7876 Жыл бұрын
We need Prof Kabudi pls
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Жыл бұрын
What a lovely interview nimependa alivyooneshwa mke wake ❤😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Kweli maisha ni kupambana 👏👏🙏🙏
@godfreymiho4927
@godfreymiho4927 Жыл бұрын
🤗 respect sana salama
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын
Robert was my wedding photographer 2010
@lizahadongo1801
@lizahadongo1801 Жыл бұрын
Best mc in Tanzania 🇰🇪
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Baba boy 👌🏽tume subiri sana 🤦🏿‍♀️🙌🏿
@alinebakome
@alinebakome Жыл бұрын
Nawapnda sanaaa nyinyiiii wawiliii
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Uwiiii nime jifunza mimi kufanya kazi nyingi 🙌🏿🙌🏿🙌🏿📝📝
@peterkimati7003
@peterkimati7003 Жыл бұрын
Tuletee frida amani
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Жыл бұрын
Tuletee lulu salama
@mariajoseph9735
@mariajoseph9735 Жыл бұрын
Mbona alishaga kuja
@FrankAbelly
@FrankAbelly Жыл бұрын
🎉🎉
@Yusufu940
@Yusufu940 Жыл бұрын
Salma ndefu kwa wanaune Ni ushujaa na ukuwaji
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Mlete mc eliud
@juliuskuluo8876
@juliuskuluo8876 Жыл бұрын
Naomba utuletee joti au masanja
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Жыл бұрын
Joti alishakujaga
@niriacatering172
@niriacatering172 Жыл бұрын
Safi sana Asante
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Tuna omba juma lokole please
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@liannsambu7264
@liannsambu7264 9 ай бұрын
Sasa autoe mustach mara ya pili unakuwa umejaa mara nyingi nywele ukikata YANAJAA ZAIDI
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Жыл бұрын
Nina extra duty yangu nje na ualimu naenda kusimamia kikamilifu kuptia GARA B
@TreciousMahende
@TreciousMahende Жыл бұрын
Chris mziwanda aje salama
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Жыл бұрын
Mafanikio ni safari ndefu.
@azizamohd4203
@azizamohd4203 Жыл бұрын
Salama unamtaka nn mbona unacheka sauti iyo ww
@ramashemngindo5719
@ramashemngindo5719 Жыл бұрын
Namkubar sana huyu jamaa
@EmanuelisMichael-kw9nf
@EmanuelisMichael-kw9nf Жыл бұрын
Sorry Ni Mwalimu wa Masomo gani.
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Tuleteee Juma Lokole Salama
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و Жыл бұрын
😂😂😂😂
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 Жыл бұрын
Mi mwenyewe mwanamme asie na ndevu simpendi
@West-side-lt9nb
@West-side-lt9nb Жыл бұрын
Rest in peace Gara B
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,3 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 64 МЛН
USIYOYAJUA KUHUSU KARIAKOO || KARIAKOO HISTORY!!
33:03
Kariakoo Radio
Рет қаралды 6 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33