#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
Пікірлер: 375
@chamlilemhando74782 ай бұрын
My favorite female politician in tanzania
@raymondswai55558 ай бұрын
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@winniefridamutakyawa59438 ай бұрын
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand80107 ай бұрын
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@mussamwamoto82318 ай бұрын
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@ChristinaOnditi-el3xo9 ай бұрын
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias90128 ай бұрын
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@caritasmushi4619 ай бұрын
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@rajabalipanjetani566312 күн бұрын
Mashaa Allah Subhannallah nimefurahi sana video hii.
@hosianajolam86959 күн бұрын
Nakupenda sana fatuma
@amourmtungo6239 ай бұрын
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@NyotaTanoTV-gt3od9 ай бұрын
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz9 ай бұрын
Ameishi sn njee dats the problem
@billgussy60999 ай бұрын
Intelligent and gorgeous woman
@fatmahamdoun747 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@AdamSaffi2119 ай бұрын
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@ANTHONYDCOSTA-u5p9 ай бұрын
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj64749 ай бұрын
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale78359 ай бұрын
Kwa kipi?
@salomemlagila57579 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.9 ай бұрын
@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@agreymbwilo58749 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@yussufhaji33359 ай бұрын
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@SeifMassoud9 ай бұрын
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@Aziz-p6s9 ай бұрын
Anakaa uchi tu
@Aziz-p6s9 ай бұрын
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar43368 ай бұрын
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@mosesgasana41028 ай бұрын
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@knight67579 ай бұрын
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@yusuphabel55307 ай бұрын
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@marianajohn54157 ай бұрын
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@ganomwakisambwe27157 ай бұрын
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@abusalman51397 ай бұрын
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@shamisalmahruqi1527Ай бұрын
Mwehu kama babu yake
@festinamwakipale39199 ай бұрын
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@cheka4808 ай бұрын
The one thing she is real not fake
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson72119 ай бұрын
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@TaarabChannel9 ай бұрын
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@seynabhaji80359 ай бұрын
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi23629 ай бұрын
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia25319 ай бұрын
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@HassanArdale-r4j9 ай бұрын
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@Mohamed-uz8id9 ай бұрын
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@katotopesaofficial9 ай бұрын
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@robinbayser30797 ай бұрын
Shangazi wa Taifa soo beautiful
@amanmyolo53597 ай бұрын
God is good
@user-vq2hl4jp1j9 ай бұрын
Aunt tuma❤
@bensonmwakalindile85454 ай бұрын
My good presenter
@charlesmwambinga43559 ай бұрын
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah87729 ай бұрын
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln9 ай бұрын
@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@bakarimmbaga23449 ай бұрын
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@hafidhkhalfan16609 ай бұрын
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@SuweidJuma4 ай бұрын
Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to
@mr.yahzadochuno79148 ай бұрын
I love fatma
@MohamedAbdallahSaid7 ай бұрын
Mswahili Mzungu
@songombingo1089 ай бұрын
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly35419 ай бұрын
Acha songombingo
@Iragibarune1.8 ай бұрын
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@amosmahona4339 ай бұрын
Aise
@cynthiafolonja30509 ай бұрын
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@MosiHassan-dx6gc9 ай бұрын
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@bongomastory7919 ай бұрын
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone63869 ай бұрын
💯%🤝
@aliganzel65129 ай бұрын
Hili limenikuta mimi
@kabhikachambala33929 ай бұрын
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin36238 ай бұрын
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@johntemba42819 ай бұрын
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz9 ай бұрын
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@naomimaro21569 ай бұрын
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy71829 ай бұрын
Kweli anaonesha
@kulthummaabad7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@gracekagoma32319 ай бұрын
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia25319 ай бұрын
Lretending
@fatmahamdoun747 ай бұрын
Love you wajina
@FatmaHamad-g6s9 ай бұрын
Alokupa Jina saluti kwakwe
@ChristerShao9 ай бұрын
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@neemamajana30788 ай бұрын
Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!
@SHALLOOTV8 ай бұрын
Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video
@seifserenge33409 ай бұрын
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma32319 ай бұрын
😂😂😢
@missg14309 ай бұрын
I just love her
@mimiraia25319 ай бұрын
Approach her
@liannsambu72649 ай бұрын
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas75209 ай бұрын
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu72649 ай бұрын
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@roudhamahmoud7639 ай бұрын
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk9 ай бұрын
Topo wote
@amneamne24929 ай бұрын
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@msabahaali7589 ай бұрын
watanganyika mnapenda kutukana wanawake na kunyanyasa wanawake angalia mnavyomtukana shngz
@ezekieljacob57959 ай бұрын
Fungu la kukosa hao na si watanzania wote
@bakarimdeve83869 ай бұрын
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar9 ай бұрын
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi23629 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@mohamedismail26627 ай бұрын
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@StevenLevenson-g3d5 ай бұрын
❤naomba nambazake
@ibrahimaziz71589 ай бұрын
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@FarhatSeif-p3t9 ай бұрын
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@abuumadesign80957 ай бұрын
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@mbarakawesu62139 ай бұрын
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@gracekagoma32319 ай бұрын
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@naturelle10979 ай бұрын
Aging gracefully girlfriend❤
@erickKiiza9 ай бұрын
Dah kiswahili
@darajalakidatukilomgi23629 ай бұрын
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah7 ай бұрын
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@spreadlove53007 ай бұрын
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@divaimafuru68449 ай бұрын
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
@SalminMkwachu9 ай бұрын
mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??
@darajalakidatukilomgi23629 ай бұрын
Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii
@zainabndete871322 күн бұрын
Watoto wa viongozi wasoma shule zenye hadhi ya kimataifa ,watoto wa wananchi waenda shule za kina kayumbaa.
@robertadolf5629 ай бұрын
Ila bado mtamu mbona
@agreymbwilo58749 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma32319 ай бұрын
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@aliathmani71659 ай бұрын
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@issakawaya83159 ай бұрын
Ana uzungu mwingi
@mgenimgambo23128 ай бұрын
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@hafsamsangi5979 ай бұрын
Kama alikunywa kidogo
@FarhatSeif-p3t9 ай бұрын
Ndio usemaji wake kama bb yake
@yusuphabel55307 ай бұрын
Wa kishua
@cosmasthomas91649 ай бұрын
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder77869 ай бұрын
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas91649 ай бұрын
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma32319 ай бұрын
😢
@MussaSuleiman-ui9fy9 ай бұрын
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@naomiswai55249 ай бұрын
Kwani shangazi anagugumizi
@kadrimwingamno2589 ай бұрын
Mcharuko wanguvu
@allywaziry64197 ай бұрын
Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..
@gracekagoma32319 ай бұрын
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@MohammedAwadh-gq9si9 ай бұрын
Loo! Kumbe kiruka njia! Sasa umezeeka tutafute vilabuni ! Ilafamilia ya Mzee Karume kweli ina vipanga! Shangazi safiiiiii ! WakiliHoyee!
@msabahaali7589 ай бұрын
ni muarabu huyu mama ake bishadya ni muarabu bure ujue bro
@salassalas-eo6vo9 ай бұрын
Unamkumkumbuka na yeye kafa 72 wewe ulikua na miaka mi 3 kweli miaka mitatu unakumbuka
@FarhatSeif-p3t9 ай бұрын
1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo
@shamisalmahruqi1527Ай бұрын
It doesn't sense. She's lying
@Jamila-cz5ge9 ай бұрын
Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako
@ngoni79449 ай бұрын
Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,
@leoncebenjamin81079 ай бұрын
Shangaz wa taifa
@openmindtz9 ай бұрын
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@openmindtz9 ай бұрын
@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii16769 ай бұрын
Swadaktaa
@FatumaMohamedi-t6t9 ай бұрын
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@rosehillary87429 ай бұрын
Shangazi mm kwakupika naomba nise me kitu Mm mwanangu wa 5 na 8 wanajifunza kupika but under my supervision Sio kama uwazavyo But kuna wengine ni shida
@florencekombe55039 ай бұрын
Huyu alikuwa mtoto wa Raise jikoni isingekuwa rahisi kwa umri huo