Mtu Akifanikiwa Et Fremaso,Kumbe Watu Wanakula Msoto Haswa..Jo,Madee,Mwana FA,Fid Q Mmenipa Somo Kutokata Tamaa Ktk Hustle...💪💪💪
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
ukiona MTU kafanikiwa muheshimu,nakumbuka enzi hizo Joh alikuwa na jeans yake nyeusi na tisheti nyekundu alikuwa anazipenda balaa and here he is rocking through music.mitaa ya mwenge primary lazima akatishe kwenda kupanda gari ITV.God bless you Joh.
@dickmalove55444 жыл бұрын
Noma
@tegezito.steve.1464 жыл бұрын
Hakuna Mxanii Wa HipHop Ninayemkubali Kama Mwamba Wa Kaskazini. Wapo Wengi Ila Joh The Best.
@johnsovela90613 жыл бұрын
Story ya Joh makini kugonga kwenye geti la salama always inanifanya niamini katika hustle
@rosemofuga63134 жыл бұрын
Joh makini mm nakukubali sana, wimbo wako wa chochote naupenda sana
@shedrackelia6874 жыл бұрын
Your my inspiration bro haujawahi kuniangusha since day one
@kyaa0062 жыл бұрын
Alafu kuna mpuuzi mmoja (FIDO VATO) kakaa huko arusha anamponda Joh wakati hakushiriki kwenye hustle zake wala hajui kama mwana aliamua kutoka kwenye comfort zone yake(ARUSHA) na kuja dar kupambania ndoto zake, leo kafanikisha yeye anajenga chuki na stori zake za kiwaki
@elminofisho76754 жыл бұрын
Best interview with best story big up salama na joh makini
@richardcastromzena51363 жыл бұрын
"lakini sisi tulikua kwenye hustle ilibidi tufanye vile"
@indacarservicestz2 жыл бұрын
My best Rapper
@charlesmabena9544 жыл бұрын
Joh Makini Mwamba Wa Kaskazini 💪💪 I'm In Good Mood Noma Sana Broo Joh Makini Mwamba Wa Kaskazini 💪💪 I'm 🔥🔥🔥🔥
@mwakyceasar66534 жыл бұрын
Joh makini n mtu makini... anaudai pesa nyingi sana mziki wake.
@feisalricardo45234 жыл бұрын
Kweli Professor Ludigo amenipa hiyo story aisee Joh njoo mbezi ludigo tupo nae uku